Mutumishi fundisho linaumiza sana moyo wangu ninauchungu mwingi sana moyoni.mimi niko kazi ugaibuni na mume wangu yuko kenya na watoto so nikaambiwa na watoto baba ana lala na mfanyikazi mama.mtumishi hapa nilipo nahisi uchungu nipe muelekeo nifanye nini mtumishi wa mungu
Mungu akubariki sana mtumishi wake 1.Unatakiwa kumsamehe mumeo Mathayo 6:14-15 2.Unatakiwa kuishi kiroho ,usiishi kimwili ,wewe ishi kiroho na Mungu atakubariki Warumi 8:13 Mungu akubariki sana ombea familia yako kila siku na usisahau kujiombea ,mwinue Yesu ,msifu Yesu ,usimwache Yesu. 3.kama haujaokoka hakikisha unaokoka mpe Bwana Yesu maisha yako na kama umeokoka usimwache Yesu Zaburi 23:1
Asante mtumishi kwa ushauri wako mimi nimeokoka nampenda yesu ni mokozi wa maisha yangu namuona akinitetea nikiwa mahali huku..nitayatilia maanani uliyo niambia na mungu akubariki sana
Amen 🙏🙏🙏 jamnii Mtumishi nimepata somo na nimelielewa sanaaa Mungu akupe maisha mazuri sanaa jamani
Kweli pastor niombee msamaha kwa Mungu
Mungu wetu Jehovah atuhurumiye sana kabisa,,, iyo ni kweli Pastor... ❤️📖🕊️
Mutumishi fundisho linaumiza sana moyo wangu ninauchungu mwingi sana moyoni.mimi niko kazi ugaibuni na mume wangu yuko kenya na watoto so nikaambiwa na watoto baba ana lala na mfanyikazi mama.mtumishi hapa nilipo nahisi uchungu nipe muelekeo nifanye nini mtumishi wa mungu
Mungu akubariki sana mtumishi wake
1.Unatakiwa kumsamehe mumeo Mathayo 6:14-15
2.Unatakiwa kuishi kiroho ,usiishi kimwili ,wewe ishi kiroho na Mungu atakubariki
Warumi 8:13
Mungu akubariki sana ombea familia yako kila siku na usisahau kujiombea ,mwinue Yesu ,msifu Yesu ,usimwache Yesu.
3.kama haujaokoka hakikisha unaokoka mpe Bwana Yesu maisha yako na kama umeokoka usimwache Yesu Zaburi 23:1
Hongela sana Mungu akupe maisha malefu sana utupe mafundish mengi sana maana duniani ya Leo imemuas mungu ez🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Mungu atusaidie, mtumishi hiyo ni kweli kabisa
Pastor ubarikiwe sanaaaa
Asantee kwa neno mtumishi ubarikiwe
Barikiwa mno mtumishi wa Mungu 😅
Ahsante kwa neno nimejifunz,,
Ameen baba ubarikiwe sana
Barikiwa mtumishi , u r a blessing to me 🙏🙏🙏
Nikwer,kabisa mtumishi. Ila mambo turio beba ktika mioyo ni hasara kabsa
Kweli pastor
Amen mtumishi
Maneno yako Niya kweli Ila mengine nimakali sana Hongera kwa ujumbe mzuri.
nakuele waga sana ubarikiwe
Barikiwa mtumishi
Hatari Mungu aingiliye kati
😢😢😢 sitasahau
Amém pastor
Mungu atusaidie sana
Hiyo ni kweli..
Amen
Giving shows how much you love GOD!
Ameni baba❤
Amen🙏🙏
😂😂😂😂 Davie
Amina sana kaka
Noted.
Noted
Jamani
Asante kwafundisho zuri
Asante mtumishi kwa ushauri wako mimi nimeokoka nampenda yesu ni mokozi wa maisha yangu namuona akinitetea nikiwa mahali huku..nitayatilia maanani uliyo niambia na mungu akubariki sana
Kwa majina yangu naiwltwa Nancy kahindi na mungu amenibariki na watoto 4 mabinti 2 na vijana wawili
😂😂😂😂😂😂
Ameeeen
Kusamehe kunatibu tamaa
😂😂😂
Ameen baba ubarikiwe sana
Amen