Hekima Za Ndoa- na Pastor Dickson Cornel Kabigumila Kupata ushauri na msaada wa kiroho fungua link hii- linktr.ee/past... Kwa masomo zaidi Fungua link hii- www.yesunibwana...
*”Adamu alitoa ubavu wake kama mahali. Mwanaume ni lazima utoe ili upate. Hata Mungu alipotaka kuupata ulimwengu aliamua kumtoa mwanae Yesu”* Jibu kwa vijana wanaouliza Adamu alitoa mahali kwa nani?
I Was Here Again 4thJuly 2024
🇹🇿🇹🇿🔥🔥🇹🇿🇹🇿
*”Mume na mke wanaoomba pamoja,hudumu pamoja*
Ameen 🙏
“Binti hauhitaji maombi ili uolewe,bali mabadiliko (kubadilika)”
*”Viwango vikilegezwa,bidhaa hupoteza ubora”*
BISHOP DCK.
Mme na mke wanaoomba pamoja hudumu pamoja
*”Ndoa ni uwazi. Shetani huwa anaweka matatizo kwenye ukimya”*
*”Ndoa haiendelezi familia zilizokuwepo,inaanzisha ndoa mpya”*
Wazazi niko na ninyi
BISHOP DCK.
Ndoa sio NGO ya kusaidia familia mbili zenye matatizo😊😊. ila baba...
Ukweli usemwe!
My Daddy ukiacha Hekima hizi za ndoa,ki ukweli SUIT ilikupendeza Baba.
NAKUPENDA
Hujaona WALIOOKOKA mwishoni umeona suit wewe mwanangu!
*”Adamu alitoa ubavu wake kama mahali. Mwanaume ni lazima utoe ili upate. Hata Mungu alipotaka kuupata ulimwengu aliamua kumtoa mwanae Yesu”*
Jibu kwa vijana wanaouliza Adamu alitoa mahali kwa nani?