HEKIMA ZA NDOA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 окт 2024
  • Hekima Za Ndoa- na Pastor Dickson Cornel Kabigumila
    Kupata ushauri na msaada wa kiroho fungua link hii-
    linktr.ee/past...
    Kwa masomo zaidi Fungua link hii-
    www.yesunibwana...

Комментарии • 13

  • @pastoreskakachaula4684
    @pastoreskakachaula4684 3 месяца назад

    I Was Here Again 4thJuly 2024
    🇹🇿🇹🇿🔥🔥🇹🇿🇹🇿

  • @makoyekelvin
    @makoyekelvin 2 года назад +1

    *”Mume na mke wanaoomba pamoja,hudumu pamoja*

  • @lailamiraji956
    @lailamiraji956 2 месяца назад

    Ameen 🙏

  • @makoyekelvin
    @makoyekelvin 2 года назад +3

    “Binti hauhitaji maombi ili uolewe,bali mabadiliko (kubadilika)”

  • @makoyekelvin
    @makoyekelvin 2 года назад +1

    *”Viwango vikilegezwa,bidhaa hupoteza ubora”*
    BISHOP DCK.

  • @pastorgeofreyephraemkaijag8230
    @pastorgeofreyephraemkaijag8230 2 года назад +1

    Mme na mke wanaoomba pamoja hudumu pamoja

  • @makoyekelvin
    @makoyekelvin 2 года назад +1

    *”Ndoa ni uwazi. Shetani huwa anaweka matatizo kwenye ukimya”*

  • @makoyekelvin
    @makoyekelvin 2 года назад +1

    *”Ndoa haiendelezi familia zilizokuwepo,inaanzisha ndoa mpya”*
    Wazazi niko na ninyi
    BISHOP DCK.

  • @joycemangilima2086
    @joycemangilima2086 2 года назад

    Ndoa sio NGO ya kusaidia familia mbili zenye matatizo😊😊. ila baba...

  • @makoyekelvin
    @makoyekelvin 2 года назад +1

    My Daddy ukiacha Hekima hizi za ndoa,ki ukweli SUIT ilikupendeza Baba.
    NAKUPENDA

    • @kabigumila
      @kabigumila  2 года назад

      Hujaona WALIOOKOKA mwishoni umeona suit wewe mwanangu!

  • @makoyekelvin
    @makoyekelvin 2 года назад +2

    *”Adamu alitoa ubavu wake kama mahali. Mwanaume ni lazima utoe ili upate. Hata Mungu alipotaka kuupata ulimwengu aliamua kumtoa mwanae Yesu”*
    Jibu kwa vijana wanaouliza Adamu alitoa mahali kwa nani?