Magoli manne, penati mbili Team Kiba ikiigaragaza Team Samatta mechi ya hisani
HTML-код
- Опубликовано: 5 окт 2024
- Timu ya Msanii Alikiba leo imepata ushindi dhidi ya timu ya Nahodha wa taifa Stars, Mbwana Samatta katika mchezo wa hisani uliochezwa leo kwenye Uwanja wa Mkapa, Dar es Salaam, huku Timu ya Samatta ikikosa penati mbili kupitia kwa Bernard Morrison.
Magoli yamefungwa na Ibrahim Ajibu, Mudathir Yahya na Hassan Dilunga huku la kufutia machozi likiwa ni la kujifunga kupitia kwa Mudathir Yahya.
Tazama taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kutoka Azam TV na UTV kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa:
► bit.ly/2wB6zmR
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►INSTAGRAM: / azamtvtz
►INSTAGRAM: / azamsports2
►TWITTER: / azamtvtz
►FACEBOOK: / azamtvtz
►WEBSITE: www.azamtv.co.tz
Team Kiba tujuane hapa. 💪💪💪huyo moricho mmemchukua na mtakuja kumchukia. Mark my words
Team kiba mko wap jaman naombeni like zangu jamn maana siyo pow kabis ushindi wetu wanakosa penant mbili duh
Azam tv mnatukosha roho zetu saana.Burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮tunawapata 5/5
Team kiba for life
King kiba 👑 jmni kwa music mkali na pia kwa football mashaallha 👍💪💯🇰🇪⚽so hot
Anajuaaa ni hatariiii
Kweli haijawahi tokea hapa Tz msanii ambaye ni wa kipekee sana kama Alikiba,haki hakun wa kumfananisha popote pale
Ila awa wachejlzaji wa simba wanasifa Atari piga like APA km ww ni simba dam
Kama we team Kiba gonga like
We nduguyangu?
I like how mashambiki wamejaa kwa uwanja.. Waah Kenya tutafika huku
Kwani we hauonagi Mashemeji derby
Tulie kwanza mpaka miaka3 ijayo
Mechi kama hizi kwanini hayapati matangazo ya kutosha na ushawishi kutoka kwa wasanii na viongozi mbali mbali ili kujaza uwanja na waweze kukusanya pesa zaidi kwakuwa ni mchango wa Elimu
team kiba tujuane
Team Kiba 4 life ❤️❤️👏👏
😂😂😂😂😂😂daah Pole sn Morrison na Club nzima ya Team Samatta hakika hii Mechi mmekamatika kwa kwl.....Team Kiba 🔥🔥🔥🔥🔥🔥👏👏👏👏👏👏👏
Tanzania raha sana
Yaani kabisa Bro,, I hope uchaguzi 2020 hautaharibu nchi jamani!!
Timu kiba piga keleleee kama zote au niongeze sauti
Morrison Sidhani Kama Atakuja Kuondoka Tanzania 🇹🇿 Hata Akimaliza Kucheza Mpira 😂😂
I'm proud to be a 🇹🇿Tanzanian🇹🇿
Morrison + Penati + Kukosa + Ndani ya simba= Kukalia Bench
Atakaa benchi mpk basi
Omarry Ally chukua soda ya vuguvugu nakuja kulipa.
Oyooooo kiba juuuu team kiba mpoooooooi
Yeeeeeeebaba
Team kiba juuuuu ❤❤
Sema morrison ni mchezaji mzuri,lkn cjui ana tatozo gani kichwani,eti alikuwa team kiba mara ghafla kahamia team samata
Bangi hizo ndio zinazomzingua
Hiii kali aiseee nimefurahi kuona penalty za Morrison
King kiba upo juu
Leo Nimeenjoy Sana #TeamKiba4life
Kiba ndo nini DIAMOND PLATNUMZ ndo baba wa DUNIA
Hahahahahahaa ajibu kamfundisha ally tunapigaga hiviii
Jmn mpira ulopigwa penalty ya kwanza nimeuokota huku Dodoma maeneo ya Msalato
😂😂😂🙌nikajua ni huu ulodondokea hapa getini. Kumbe watoto wanacheza nje huko.
Sawa
Sawa
Team Kiba💓
Piga kelele kwake king kiba
Saf sana kwa Tim kiba
Teamkiba😎
King kiba iko good
Alipo King ndipo nilipo
Mchezaji wa simba kakosa penati hahahaa hatuna shida naye sisi Yanga, Kiba oyeeeeeee fireeeee!!!
Mchezaji gani wa simba alie kosa penati apo
King
Team kiba 🔥🔥🔥🔥
Kiba oyeeee raha ya mchezo huu hauna uyanga wala usimba yan hadi raha.
Yaan huyo Juma Kaseja amezingua sn...kafungwa magoli ya Kizembe sn utafikiri hakuwepo Mchezoni...daah inabidi abadilike aisee awe Serious km anavyokuwaga kwny Club yake ya KMC
King wa kila kitu
Yebabaaa Tim kiba yooooooo
King kiba vibe Kama loteee
Ndio waone bangi za Morrison,
Mechi kama hizi kwann wasinge zipeleka mikowani kwajili ya kujaza viwanja na inaonekana dar hawana mwamko jalibuni na kwingine
Yanga dam
Kwamba mdathiri wasimtanie kafunga kule na huku anafunga
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣nmecheka san wallah
@@rehemarajabu8576 Hahahahahaahahahaha
shida hizi game wanachukulia serious sana. wajifunze gemu za hisani ulaya...machenga mengi na raha
Bien courage
SIMBA Bwana "we acha tu" mara Ajibu; mara Dilunga......ili mradi burudani tu. Afu TRIPLE C kumbe maana yake ni TRIPLE CUPS😉😉😉😉😉
Hahaaaaa🤣🤣 habari wanayo
Samattaaa juuu
Morrison bhangi nyingi
Kamaa Namwonaa king nyikaniiii
Hiki kitu kishakuwa kikubwa
#teamkiba254 hoyee
Hili goal limeifanya yanga ianze kumshobokea Morrison leo😂😂😂😂
Nice wote wameonyesha upendo
Yooooooooooh!!!! Yeeeebabaa!! Morrison kawatia gunduuuu maana hata penat hajui
Hahaaa
Teh
Morison ana gundu
Nimeelewa kwnini yule Mzungu aliwananaisha Yanga na Wanyama wasiofugika! Mtu kakosa penat kwenye mechi ya Bonanza wao wanapiga keleeeeeele
#TeamKibaaaaaaa
Ajib master
Goli zimefungwa na Simba na Azam Siwafokei
Wooøw
Asante kiba
Kiba
TEAM KIBA JUU
Leo nimehamia team kiba kisa huyo madevu kama beberu la sumbawanga
Hahahaha
Kwani anaitwa Nani yule mi mwenyewe namshangaa kumbe siko pekeyangu
Aloo Morrison kweli hana bahati katoka team kiba kaenda team samatta wamefungwa hahah
😂😂
😂😂😂😂😂😂 eti kama Barcelona 😂😂😂
Team kiba ni hatariiiiio
Morrison hajiamin kwenye penalty cyo wa kumpa penalty kwanza mtu kafanyiwa yy alaf unampa apige yy wapi na wap hyo cheki anavohema vile
ruclips.net/video/YA3fTNlV4MM/видео.html
Team kiba
Kiba umesafishiwa....watu wakanawa mikoni ....hujawahi kutuangusha
King forever
Watangazaji wa Azam bhana ....etii.an...........
Mwenyewe najikuta nacheka kifala sana
Hiyo inaitwa iwache ikuje
Pole sana Morrison
Mambo ya akili yanatoka wapi sasa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 wanashangilia morson kukosa
Timu kina mmejitaid sana
Nice
Watu wanatuonea wivu na Morrison ndo kasha sign scan ukweli mwakan soka tutaliona
Abel charles
Mm wakwanza
Alikiba nomaa xan
Raha sana
Saf sana kib
ruclips.net/video/qknF_l9VyWw/видео.html karibuni kutazama cover ya nyimbo ya jeshi kutoka kwa harmonize support yenu inaitajika kukuza vipaji vipya vya tanzania 🙏🙏
Kuna watu wanafoka wakisikia Morrisoooon. Wanajua kashapanda kitu. Ha haaa,
Fire
Yeeeeebaba
Tazama historia ya mwanajeshi aliyedai kukutana na Mungu...alipigwa risasi 27 na kuendelea kupigana....bofya link 👇🏾ruclips.net/video/3q3bDAqT460/видео.html
Msimbazi wemeng'ara leo
Msimbazi vipi wewe
Wemaxe
Jishindie vocha ya bure kila unapo Subscribe kwenye channel yangu. Bonyeza picha hiyo ya matunda kisha subscribe na tuachie comment yenye namba zako ambayo tutaiwekea shilingi 1000 ya vocha ya bundle kwa wale wote wa kwanza 500 watakao subscribe na kuacha comment ya namba zao.
WEWE MORRISON JAMANI. MBWEMBWE ZAKO HIZO BORA UWENDE SIMBA USIRUDI YANGA KWA KWELI
KWA UJINGA HUO HATUWEZI KUKAA NA HUYO TAKATAKA
KWA UJINGA HUO HATUWEZI KUKAA NA HUYO TAKATAKA
piga kelele kwa kiba akee weweeeeee
Morrison jembe😁😁😁
Video mbovu sana mawingu mengi
Simu yako ndio inaonesha ivo mbona ipo clear kabisa
Simu yako Kimeo😂😂😂
@@breackychangwe7326 kumbe wew kimeo daaah pole sana
Unatumia kimeo cha mchina wewe hamia kwenye i phone
Screen yako inarudi china
Marison gundu mxiuuu😆😆
Wachezaji wa simba wameiva
Yebabaa!
Tetesi za usajili
Morrison kiburi na mpira haviendani unapaswa uige kwa kaka zako Chama na Niyonzima na huko umeenda unaenda kuozea Benchi. Ona unakosa hadi penalt yetu macho ngoja ligi zianze.
Sasa kukosa penalty mbona kawaida sana..amekosa messi tena kwenye fainali ya Copa America..sas Morisson ni nan asikose tena kwenye bonanza tu
@@itulemethusela4482 mchukueni ili apate fundisho lakukaa benchi
Me Tim samatta bwan japo kuwa tumefugwa pia morson siyo mubovu kama wengi wanavo sema ilanihali ya mpiratu mana hata wajuzi zaidi mpila huwagomea!!
Yeeeeeeababahhhh 🤣🤣🤣
Morrison Amna tu YANGA Tumuachie Tu Aende zake huyo kashachujaa
Wambie haooo!