Magoli manne, penati mbili Team Kiba ikiigaragaza Team Samatta mechi ya hisani

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024
  • Timu ya Msanii Alikiba leo imepata ushindi dhidi ya timu ya Nahodha wa taifa Stars, Mbwana Samatta katika mchezo wa hisani uliochezwa leo kwenye Uwanja wa Mkapa, Dar es Salaam, huku Timu ya Samatta ikikosa penati mbili kupitia kwa Bernard Morrison.
    Magoli yamefungwa na Ibrahim Ajibu, Mudathir Yahya na Hassan Dilunga huku la kufutia machozi likiwa ni la kujifunga kupitia kwa Mudathir Yahya.
    Tazama taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kutoka Azam TV na UTV kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa:
    ► bit.ly/2wB6zmR
    Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
    ►INSTAGRAM: / azamtvtz
    ►INSTAGRAM: / azamsports2
    ►TWITTER: / azamtvtz
    ►FACEBOOK: / azamtvtz
    ►WEBSITE: www.azamtv.co.tz

Комментарии • 213

  • @ronaldsariah8760
    @ronaldsariah8760 4 года назад +13

    Team Kiba tujuane hapa. 💪💪💪huyo moricho mmemchukua na mtakuja kumchukia. Mark my words

  • @regankimaro501
    @regankimaro501 4 года назад +11

    Team kiba mko wap jaman naombeni like zangu jamn maana siyo pow kabis ushindi wetu wanakosa penant mbili duh

  • @massudbiz9828
    @massudbiz9828 4 года назад +8

    Azam tv mnatukosha roho zetu saana.Burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮tunawapata 5/5
    Team kiba for life

  • @احمدعمر-خ4ط
    @احمدعمر-خ4ط 4 года назад +9

    King kiba 👑 jmni kwa music mkali na pia kwa football mashaallha 👍💪💯🇰🇪⚽so hot

  • @emanuelmosses1524
    @emanuelmosses1524 4 года назад +11

    Kweli haijawahi tokea hapa Tz msanii ambaye ni wa kipekee sana kama Alikiba,haki hakun wa kumfananisha popote pale

  • @sostenesemmanuel6339
    @sostenesemmanuel6339 4 года назад +12

    Ila awa wachejlzaji wa simba wanasifa Atari piga like APA km ww ni simba dam

  • @bakarimtumbaya1754
    @bakarimtumbaya1754 4 года назад +20

    Kama we team Kiba gonga like

  • @karanjakaihuragithaka4944
    @karanjakaihuragithaka4944 4 года назад +7

    I like how mashambiki wamejaa kwa uwanja.. Waah Kenya tutafika huku

  • @kibongobongo4608
    @kibongobongo4608 4 года назад +7

    Mechi kama hizi kwanini hayapati matangazo ya kutosha na ushawishi kutoka kwa wasanii na viongozi mbali mbali ili kujaza uwanja na waweze kukusanya pesa zaidi kwakuwa ni mchango wa Elimu

  • @goodlucktemu3149
    @goodlucktemu3149 4 года назад +14

    team kiba tujuane

  • @halimasulaimani848
    @halimasulaimani848 4 года назад +5

    Team Kiba 4 life ❤️❤️👏👏

  • @yohanakiyumbi4795
    @yohanakiyumbi4795 3 года назад +3

    😂😂😂😂😂😂daah Pole sn Morrison na Club nzima ya Team Samatta hakika hii Mechi mmekamatika kwa kwl.....Team Kiba 🔥🔥🔥🔥🔥🔥👏👏👏👏👏👏👏

  • @josephatalphonce4474
    @josephatalphonce4474 4 года назад +9

    Tanzania raha sana

    • @kilimanjaroICE
      @kilimanjaroICE 4 года назад +1

      Yaani kabisa Bro,, I hope uchaguzi 2020 hautaharibu nchi jamani!!

  • @ramadhanijuma2542
    @ramadhanijuma2542 4 года назад +9

    Timu kiba piga keleleee kama zote au niongeze sauti

  • @jandaboytzz2755
    @jandaboytzz2755 4 года назад +8

    Morrison Sidhani Kama Atakuja Kuondoka Tanzania 🇹🇿 Hata Akimaliza Kucheza Mpira 😂😂

    • @kimutattoo4067
      @kimutattoo4067 4 года назад

      I'm proud to be a 🇹🇿Tanzanian🇹🇿

  • @omaryally5555
    @omaryally5555 4 года назад +10

    Morrison + Penati + Kukosa + Ndani ya simba= Kukalia Bench

  • @anzufatty8733
    @anzufatty8733 4 года назад +5

    Oyooooo kiba juuuu team kiba mpoooooooi

  • @kingsmusicfans1416
    @kingsmusicfans1416 4 года назад +7

    Yeeeeeeebaba

  • @nyamunakisuda6333
    @nyamunakisuda6333 4 года назад +5

    Team kiba juuuuu ❤❤

  • @mrmea1935
    @mrmea1935 4 года назад +5

    Sema morrison ni mchezaji mzuri,lkn cjui ana tatozo gani kichwani,eti alikuwa team kiba mara ghafla kahamia team samata

  • @barakashadrack7695
    @barakashadrack7695 4 года назад +6

    Hiii kali aiseee nimefurahi kuona penalty za Morrison

  • @manasemwakilasa5931
    @manasemwakilasa5931 4 года назад +3

    King kiba upo juu

  • @kagejr369
    @kagejr369 4 года назад +3

    Leo Nimeenjoy Sana #TeamKiba4life

    • @emilydominick3123
      @emilydominick3123 4 года назад

      Kiba ndo nini DIAMOND PLATNUMZ ndo baba wa DUNIA

  • @emmanueljmasanja6903
    @emmanueljmasanja6903 4 года назад +5

    Hahahahahahaa ajibu kamfundisha ally tunapigaga hiviii

  • @barakashadrack7695
    @barakashadrack7695 4 года назад +10

    Jmn mpira ulopigwa penalty ya kwanza nimeuokota huku Dodoma maeneo ya Msalato

    • @ronaldsariah8760
      @ronaldsariah8760 4 года назад

      😂😂😂🙌nikajua ni huu ulodondokea hapa getini. Kumbe watoto wanacheza nje huko.

  • @talikisiomlegehe7733
    @talikisiomlegehe7733 4 года назад +5

    Sawa

  • @mariamukasyupa6817
    @mariamukasyupa6817 4 года назад +3

    Team Kiba💓

  • @faridaessa7844
    @faridaessa7844 4 года назад +11

    Piga kelele kwake king kiba

  • @allybery295
    @allybery295 4 года назад +3

    Saf sana kwa Tim kiba

  • @lanafelix8649
    @lanafelix8649 4 года назад +3

    Teamkiba😎

  • @edinakamwambi9032
    @edinakamwambi9032 4 года назад +3

    King kiba iko good

  • @onlyonetztv610
    @onlyonetztv610 4 года назад +6

    Alipo King ndipo nilipo

  • @zarunaamwanajimba1950
    @zarunaamwanajimba1950 4 года назад +6

    Mchezaji wa simba kakosa penati hahahaa hatuna shida naye sisi Yanga, Kiba oyeeeeeee fireeeee!!!

  • @ayubuhussein834
    @ayubuhussein834 4 года назад +4

    King

  • @kahoribonga9280
    @kahoribonga9280 4 года назад +2

    Team kiba 🔥🔥🔥🔥

  • @salehsuleiman1218
    @salehsuleiman1218 4 года назад +4

    Kiba oyeeee raha ya mchezo huu hauna uyanga wala usimba yan hadi raha.

  • @yohanakiyumbi4795
    @yohanakiyumbi4795 3 года назад +3

    Yaan huyo Juma Kaseja amezingua sn...kafungwa magoli ya Kizembe sn utafikiri hakuwepo Mchezoni...daah inabidi abadilike aisee awe Serious km anavyokuwaga kwny Club yake ya KMC

  • @mariamothman7404
    @mariamothman7404 4 года назад +1

    King wa kila kitu

  • @faddyokonkwo9256
    @faddyokonkwo9256 4 года назад +2

    Yebabaaa Tim kiba yooooooo

  • @pendopendosilayo1451
    @pendopendosilayo1451 4 года назад +1

    King kiba vibe Kama loteee

  • @juliussenzia8717
    @juliussenzia8717 4 года назад +4

    Ndio waone bangi za Morrison,

  • @hassanabdul3277
    @hassanabdul3277 4 года назад +3

    Mechi kama hizi kwann wasinge zipeleka mikowani kwajili ya kujaza viwanja na inaonekana dar hawana mwamko jalibuni na kwingine

  • @hamismkilanya6921
    @hamismkilanya6921 4 года назад +3

    Yanga dam

  • @felistarjolam3806
    @felistarjolam3806 4 года назад +7

    Kwamba mdathiri wasimtanie kafunga kule na huku anafunga

    • @rehemarajabu8576
      @rehemarajabu8576 4 года назад

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣nmecheka san wallah

    • @Almisbahy9551
      @Almisbahy9551 4 года назад

      @@rehemarajabu8576 Hahahahahaahahahaha

  • @enockaz
    @enockaz 4 года назад +2

    shida hizi game wanachukulia serious sana. wajifunze gemu za hisani ulaya...machenga mengi na raha

  • @dieusauveakili3110
    @dieusauveakili3110 4 года назад +1

    Bien courage

  • @minskbelarus7255
    @minskbelarus7255 4 года назад +5

    SIMBA Bwana "we acha tu" mara Ajibu; mara Dilunga......ili mradi burudani tu. Afu TRIPLE C kumbe maana yake ni TRIPLE CUPS😉😉😉😉😉

  • @Vivan483
    @Vivan483 4 года назад +3

    Samattaaa juuu

  • @felistarjolam3806
    @felistarjolam3806 4 года назад +7

    Morrison bhangi nyingi

  • @maggefrank3631
    @maggefrank3631 4 года назад +2

    Kamaa Namwonaa king nyikaniiii

  • @Ezekiel_abel
    @Ezekiel_abel 4 года назад +6

    Hiki kitu kishakuwa kikubwa

  • @princeshiza1944
    @princeshiza1944 4 года назад +2

    #teamkiba254 hoyee

  • @sangodeeafrica2369
    @sangodeeafrica2369 4 года назад +3

    Hili goal limeifanya yanga ianze kumshobokea Morrison leo😂😂😂😂

  • @djmeza411a58
    @djmeza411a58 4 года назад

    Nice wote wameonyesha upendo

  • @elizaatilio180
    @elizaatilio180 4 года назад +2

    Yooooooooooh!!!! Yeeeebabaa!! Morrison kawatia gunduuuu maana hata penat hajui

  • @bujaramaryo3521
    @bujaramaryo3521 4 года назад +4

    Morison ana gundu

  • @johansenbashange2628
    @johansenbashange2628 4 года назад +3

    Nimeelewa kwnini yule Mzungu aliwananaisha Yanga na Wanyama wasiofugika! Mtu kakosa penat kwenye mechi ya Bonanza wao wanapiga keleeeeeele

  • @charlesfrolence1983
    @charlesfrolence1983 4 года назад +1

    #TeamKibaaaaaaa

  • @ibrahimabdileem1989
    @ibrahimabdileem1989 4 года назад

    Ajib master

  • @dastaniguni5599
    @dastaniguni5599 4 года назад +2

    Goli zimefungwa na Simba na Azam Siwafokei

  • @aballkassim4025
    @aballkassim4025 4 года назад +2

    Wooøw

  • @jeniphermassawe3037
    @jeniphermassawe3037 4 года назад +1

    Asante kiba

  • @sadruhsnowwhite668
    @sadruhsnowwhite668 4 года назад +3

    Kiba

  • @begaca
    @begaca 4 года назад

    TEAM KIBA JUU

  • @timothmwakakusyu4563
    @timothmwakakusyu4563 4 года назад +5

    Leo nimehamia team kiba kisa huyo madevu kama beberu la sumbawanga

  • @sniperboy7098
    @sniperboy7098 4 года назад +3

    Aloo Morrison kweli hana bahati katoka team kiba kaenda team samatta wamefungwa hahah

  • @footballlover2358
    @footballlover2358 4 года назад +3

    😂😂😂😂😂😂 eti kama Barcelona 😂😂😂

  • @seifshaban2097
    @seifshaban2097 4 года назад +2

    Team kiba ni hatariiiiio

  • @mwambietv7614
    @mwambietv7614 4 года назад +5

    Morrison hajiamin kwenye penalty cyo wa kumpa penalty kwanza mtu kafanyiwa yy alaf unampa apige yy wapi na wap hyo cheki anavohema vile

  • @WeChooseYou1
    @WeChooseYou1 4 года назад +2

    Team kiba

  • @professormuammar8173
    @professormuammar8173 4 года назад +4

    Kiba umesafishiwa....watu wakanawa mikoni ....hujawahi kutuangusha

  • @kramsjunior4447
    @kramsjunior4447 4 года назад +3

    Watangazaji wa Azam bhana ....etii.an...........

  • @abuubakarkichimbo9957
    @abuubakarkichimbo9957 4 года назад +1

    Hiyo inaitwa iwache ikuje

  • @nuhuibrahim3646
    @nuhuibrahim3646 4 года назад +2

    Pole sana Morrison

  • @housnayousif780
    @housnayousif780 4 года назад +2

    Mambo ya akili yanatoka wapi sasa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 wanashangilia morson kukosa

  • @azizahsalimu153
    @azizahsalimu153 4 года назад +2

    Timu kina mmejitaid sana

  • @Bzmmellody
    @Bzmmellody 4 года назад +1

    Nice

  • @Bboymnyam25
    @Bboymnyam25 4 года назад +1

    Watu wanatuonea wivu na Morrison ndo kasha sign scan ukweli mwakan soka tutaliona

  • @josephjitungulu5111
    @josephjitungulu5111 4 года назад +2

    Abel charles

  • @omaryjumahamisi8626
    @omaryjumahamisi8626 4 года назад +5

    Mm wakwanza

  • @gustiwambali8327
    @gustiwambali8327 4 года назад

    Saf sana kib

  • @africanvibe8
    @africanvibe8 4 года назад +1

    ruclips.net/video/qknF_l9VyWw/видео.html karibuni kutazama cover ya nyimbo ya jeshi kutoka kwa harmonize support yenu inaitajika kukuza vipaji vipya vya tanzania 🙏🙏

  • @abelsanga2616
    @abelsanga2616 4 года назад +3

    Kuna watu wanafoka wakisikia Morrisoooon. Wanajua kashapanda kitu. Ha haaa,

  • @superwhitetz3258
    @superwhitetz3258 4 года назад

    Fire

  • @janemwinuka7350
    @janemwinuka7350 4 года назад +2

    Yeeeeebaba

  • @radiIbrahimnuhu
    @radiIbrahimnuhu 4 года назад

    Tazama historia ya mwanajeshi aliyedai kukutana na Mungu...alipigwa risasi 27 na kuendelea kupigana....bofya link 👇🏾ruclips.net/video/3q3bDAqT460/видео.html

  • @rashidkalabi8212
    @rashidkalabi8212 4 года назад +2

    Msimbazi wemeng'ara leo

  • @stevesoka4229
    @stevesoka4229 4 года назад +1

    Wemaxe

  • @bestfoodreviewshow3892
    @bestfoodreviewshow3892 4 года назад +1

    Jishindie vocha ya bure kila unapo Subscribe kwenye channel yangu. Bonyeza picha hiyo ya matunda kisha subscribe na tuachie comment yenye namba zako ambayo tutaiwekea shilingi 1000 ya vocha ya bundle kwa wale wote wa kwanza 500 watakao subscribe na kuacha comment ya namba zao.

  • @ALIMOHD-bk9lr
    @ALIMOHD-bk9lr 4 года назад +2

    WEWE MORRISON JAMANI. MBWEMBWE ZAKO HIZO BORA UWENDE SIMBA USIRUDI YANGA KWA KWELI

    • @begaca
      @begaca 4 года назад

      KWA UJINGA HUO HATUWEZI KUKAA NA HUYO TAKATAKA

    • @begaca
      @begaca 4 года назад

      KWA UJINGA HUO HATUWEZI KUKAA NA HUYO TAKATAKA

  • @rizicksimon3956
    @rizicksimon3956 4 года назад +3

    piga kelele kwa kiba akee weweeeeee

  • @joxevictus3720
    @joxevictus3720 4 года назад +3

    Morrison jembe😁😁😁

  • @luqmanomary3558
    @luqmanomary3558 4 года назад +2

    Video mbovu sana mawingu mengi

    • @abdullahsaid3359
      @abdullahsaid3359 4 года назад

      Simu yako ndio inaonesha ivo mbona ipo clear kabisa

    • @breackychangwe7326
      @breackychangwe7326 4 года назад +1

      Simu yako Kimeo😂😂😂

    • @luqmanomary3558
      @luqmanomary3558 4 года назад

      @@breackychangwe7326 kumbe wew kimeo daaah pole sana

    • @josephstephen2047
      @josephstephen2047 4 года назад

      Unatumia kimeo cha mchina wewe hamia kwenye i phone

    • @allyhyyy919
      @allyhyyy919 4 года назад

      Screen yako inarudi china

  • @asiajuma8342
    @asiajuma8342 4 года назад +2

    Marison gundu mxiuuu😆😆

  • @rajapazi127
    @rajapazi127 4 года назад +2

    Wachezaji wa simba wameiva

  • @hamietv78
    @hamietv78 4 года назад +1

    Yebabaa!

  • @sakalanmbita5288
    @sakalanmbita5288 4 года назад +2

    Tetesi za usajili

  • @boniphacetabu2903
    @boniphacetabu2903 4 года назад +1

    Morrison kiburi na mpira haviendani unapaswa uige kwa kaka zako Chama na Niyonzima na huko umeenda unaenda kuozea Benchi. Ona unakosa hadi penalt yetu macho ngoja ligi zianze.

    • @itulemethusela4482
      @itulemethusela4482 4 года назад

      Sasa kukosa penalty mbona kawaida sana..amekosa messi tena kwenye fainali ya Copa America..sas Morisson ni nan asikose tena kwenye bonanza tu

    • @boniphacetabu2903
      @boniphacetabu2903 4 года назад

      @@itulemethusela4482 mchukueni ili apate fundisho lakukaa benchi

  • @jumannea9050
    @jumannea9050 4 года назад +1

    Me Tim samatta bwan japo kuwa tumefugwa pia morson siyo mubovu kama wengi wanavo sema ilanihali ya mpiratu mana hata wajuzi zaidi mpila huwagomea!!

    • @saidjuma9782
      @saidjuma9782 4 года назад

      Yeeeeeeababahhhh 🤣🤣🤣

  • @youngmeekmilly3511
    @youngmeekmilly3511 4 года назад +2

    Morrison Amna tu YANGA Tumuachie Tu Aende zake huyo kashachujaa