🔴

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 авг 2024
  • Mzee MAGOMA Atia BARIDI NDANI YA YANGA, UKWELI WAJULIKANA Ndani Ya JANA NA LEO - 17-07-2024

Комментарии • 17

  • @hillwilltv6781
    @hillwilltv6781 Месяц назад +4

    Magoma anapoint zake msikilizeni msimbeze,unajua kila penye mwanya pananjia ya ulaji

    • @edsongerson2988
      @edsongerson2988 Месяц назад +2

      Amesikilizwa ila anachoongea ndo hakieleweki

  • @patricklaiton8939
    @patricklaiton8939 Месяц назад +1

    CHAMA ARUDI TIMU YAKE AZIZ AENDE KAIZER.....PACOME....ARUDI HII NI SURA HARISI YA WATANZANIA...AKIWA NA SHIDA ANAOMBA KWA BAKURI NA AKISHIBA ANADHARAU NA KUCHUKIA ATUA ALIZO PIGA....BURUDANI.....TUACHANE NA MPIRA TURUDI KWENYE SIASA

  • @kelvinjohn5584
    @kelvinjohn5584 Месяц назад +1

    Mgongolwa anakwepakwepa hayuko straight

  • @kelvinjohn5584
    @kelvinjohn5584 Месяц назад

    33:47

    • @kelvinjohn5584
      @kelvinjohn5584 Месяц назад

      Oscar unachambua kwa weledi sana.Ningumu sana kesi kuendelea mahakamani eti taasisi kubwa kama yanga isiwe inajua,kuna uhuni.upo

  • @user-eh5xn9zm1g
    @user-eh5xn9zm1g Месяц назад

    Huyomzee hanabaya, mahakama nisehemu ya haki, na ukiona watoto wako kilasiku wanatoka kula kwajirani ujue, wamemwomba ma2 yao hichochakula hawapewi? Ndiomaana kaenda mahakamini!

  • @yalhafoundationafrica9961
    @yalhafoundationafrica9961 Месяц назад

    Magoma ni shujaa wa yanga

  • @AlfredRutaguza
    @AlfredRutaguza Месяц назад +1

    Magoma anahamu ya kugongwa kunako

  • @johnmwasilu7087
    @johnmwasilu7087 Месяц назад

    Oscar Oscar uko sawa lakini huyo mwingine ni mbumbumbu bado hajamuelewa Magoma

  • @waziribori2280
    @waziribori2280 Месяц назад

    Hamjielewi kwani kura za rais au mbunge kuna watu wachache eanaopiga kura? Kwanini kusiwe na vituo kila tawi wapige kura?

  • @patricklaiton8939
    @patricklaiton8939 Месяц назад

    MSALITI WA YANGA NI HIYO BODI YAKE

  • @novusengineering_tz4523
    @novusengineering_tz4523 Месяц назад

    Mnanichanganya...kagoma alikuwa anaishtaki taasisi sio mtu, sasa tunaaminije kama kuna upngo??...maana kwa uelewa wangu mdogo, baada ya kagoma kufungua kesi lazima mahakani ilitoa taarifa kwa mshtakiwa kwa maandishi....
    Sasa uo uongo unapitia wapi? Mahakama haijui address ya body ya wqdhamini wa yanga?

  • @proisolution7166
    @proisolution7166 Месяц назад

    KWANI HII KAZI YA UTANGAZAJI MKATABA WAKE UPO KAMA WAHUDUMU WA BAR?KUHESABIANA VISODA KILA JIONI .CSE MNAHAMA HAMA SAANA OFISI.LEO WASAFI,KESHO CROWN KESHO KUTWA TUPENDANE REDIO,NK.

    • @proisolution7166
      @proisolution7166 Месяц назад

      NA MNAONEKANA MNA RAHA SANA ,THE SAME NA WAHUDUMU WALE,ANAWEZA KUFNYA KAZI WIKI HII RESORT,KESHO UTAMKUTA KINGATI NK.

  • @HMwanga
    @HMwanga Месяц назад

    Kweli huyu mwingin 🤣