#LIVE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 авг 2024
  • #DaimaMbeleNyumaMwiko #TimuYaWananchi

Комментарии • 76

  • @AvitusAnthony
    @AvitusAnthony Месяц назад +10

    wote wanaojisumbua kuaribu amani ya yanga wanapoteza mda kama wanaomtaili shoga, yanga mbele daima nyuma mwiko❤

  • @simeonmbanguka717
    @simeonmbanguka717 Месяц назад +12

    Hao wazee walishatuibia sana wanachuki na mafanikio ya utawala wa sasas

  • @ismaillikahamba49
    @ismaillikahamba49 Месяц назад +1

    Naipenda Yanga 💛💚

  • @IssaKigua-o3k
    @IssaKigua-o3k Месяц назад +1

    Waambieni hao wazee kama watafanikiwa kuipata timu wataongoza wachezaji bila mashabiki na wanachama watapungua mnoo

  • @issaselemani491
    @issaselemani491 Месяц назад +1

    Na haitatokea katika ulimwengu huu wananchi wote katika nchi yao kwenda Bungeni kujadili na kufanya maamuzi ya nchi.The same applied to Yanga,haiwezekani wanachama wote wahudhurie mkutano mkuu.

  • @RamadhanAshock
    @RamadhanAshock Месяц назад +2

    Yanga tuwen macho

  • @frankmalimi3561
    @frankmalimi3561 Месяц назад +4

    Wakalee wajukuu siasa hizo zilipendwa

  • @ney1304
    @ney1304 Месяц назад +3

    Wazee ni watu wa busara lakin sio hao wazee wa makolo

  • @user-iz3hs8jl5p
    @user-iz3hs8jl5p Месяц назад +1

    hao waxee naona iziraeli anawanyemelea kwa mbaaaaali

  • @ToyoboAndrea-he8fv
    @ToyoboAndrea-he8fv Месяц назад +1

    Kuwafunga tu, wamejichanga, yanga taasisi kubwa,

  • @NeemaValentina
    @NeemaValentina Месяц назад +1

    Wachukuliwe hatua

  • @Dopa5115
    @Dopa5115 Месяц назад +1

    Iyo mzee anatafta kifo atuache na yanga yetu wakati wake umeisha atafute kazi asilete njaa katika mali ya uma

  • @ZiadMoto
    @ZiadMoto Месяц назад

    awo wote wakamatwe maana wanaaribu Moira WA Tanzania

  • @SaidiMaige
    @SaidiMaige Месяц назад +2

    Hawa wahuni wanatumiwa na wapinzani wetu WA upande wa2na3 kundi hili limepanga kuivuruga yang.kutokana mwenendo WA club,kuwa tishio ktk ukanda huu.ndani ya uwanja imeshindikana wanatumiwa baadhi ya wanachama waliyofukuzwa Akina magoma na wengineo.ili kufanikisha matakwa yao

  • @godfreysimoni4270
    @godfreysimoni4270 Месяц назад

    Hao watu wakiketwa kwenye mkutano mkuu ni kuwafukuza Uwanachama tu hawana maana hao hata kidogo

  • @ElishaLaizer-z4x
    @ElishaLaizer-z4x Месяц назад +1

    Wappiiigweeee

  • @mitinjemaziku
    @mitinjemaziku Месяц назад +2

    Jaman Hawa wazee Wana maana sana maana wanafanya timu yetu iwe inafuatiliwa sana yaani yanga Hadi Raha

    • @user-iz3hs8jl5p
      @user-iz3hs8jl5p Месяц назад

      ila wanatushushia sivii hao wapuuzi 2 hao wazee

  • @user-ug1nv3xl4d
    @user-ug1nv3xl4d Месяц назад

    Ao wametumwa na upande wa pili maana wNaumizwa sana na uongoz ulioko madarakan pamja na mfadhili GSM maana unavowapelekea moto na watahangaika sana jmn tumuombee eng hersi dua sana kwani maadui ni wengi

  • @salomemongi1246
    @salomemongi1246 Месяц назад +1

    Wanatoka kuivuruga mshikamano na umoja wa timu

  • @user-ij2oq3xw5y
    @user-ij2oq3xw5y Месяц назад +3

    kwani huyo mzee daaaaa

  • @abiudy.h.chumto1148
    @abiudy.h.chumto1148 Месяц назад

    Mzee anazeeka vibaya atapata taabu saana kama kuna MTU anamtuma bora ajiepushe nao

  • @AlfredMachibya
    @AlfredMachibya Месяц назад +1

    Hawa wazee jamani mda wao umeisha wangeacha timu ikue kimataifa

  • @aroncosmas9683
    @aroncosmas9683 Месяц назад

    Hv huyo shoga anaeza mlpa mshahara mchezaj yupi yanga dah ftna zpo kla eneo lenye mafanikio

  • @InnocentAbel-kx7wd
    @InnocentAbel-kx7wd Месяц назад

    Timu kubwa hatuwezi kuyumba

  • @user-ug1nv3xl4d
    @user-ug1nv3xl4d Месяц назад

    💚💚💚💚💛💛💛💛

  • @abdibrown5591
    @abdibrown5591 Месяц назад +1

    Nikuwauwa tu ndio adhabu yao

  • @japhetkahindi4791
    @japhetkahindi4791 Месяц назад +2

    Hao ni wasaliti wakubwa tuwapigeni....klabu inamalengo makubwa wajinga hawaezi turudisha nyuma

  • @PaulinaPeter-n6k
    @PaulinaPeter-n6k Месяц назад

    Huyu mwanasheria ni nandra sana kushinda kesi zinazo ikabiri Timu ya Yanga ata kwenye kesi za fifa tunashindwa kesi hovyo hovyo tu siju uwezo wa huyu mwanasheria itakuwa mdago

    • @user-zw9tv1pp3k
      @user-zw9tv1pp3k Месяц назад

      Kuandika hujui alaf unasema mwanasheria atashindwa hivi viongozi waliipo Young African wasimi zaid yako na wamesoma zaidi yako we tulia kula mihogo yako ulale huyu msomi ni wakili mashuhuri

  • @user-qd7hf2hp2l
    @user-qd7hf2hp2l Месяц назад +1

    Ni kuwafuta uanachama tu hao

  • @AmourMohd-b3z
    @AmourMohd-b3z Месяц назад +1

    Haho jamaa ni wachawi wametumwa kuwaharibu

  • @ToyoboAndrea-he8fv
    @ToyoboAndrea-he8fv Месяц назад

    Hawo wazee wakijipendekeza kuja yanga tunapita nao,

  • @SumiziBalungula
    @SumiziBalungula Месяц назад

    Hao waliigeuza yanga kama ulis wao Sasa watakoma

  • @MickyDady-n4g
    @MickyDady-n4g Месяц назад +1

    Apa Kuna Sanaa

  • @Mwamalejr-wg7pt2xm8n
    @Mwamalejr-wg7pt2xm8n Месяц назад

    YANGA 💚💚💚💛💚💛💚💛💚💚🫂🫂🫂🫂🫂🫂

  • @frankmalimi3561
    @frankmalimi3561 Месяц назад

    Wananchi huu ndio muda wa kupokea ushindi na mafanikio makubwa kisoka ,njinia kawa shika vibaya kabana Kila kona ndo maana wana weweseka hawajui mlango upi wakutokea Rais tupeleke kwenye asali na maziwa tunakuelewa sana hawajui tu

  • @mitinjemaziku
    @mitinjemaziku Месяц назад +1

    Daa nyie njaaa hizi aisee tukumbuke na kifo jaman
    Kwani ukiwa na fedha ndo hutoingia choon wazee wangu Kila mtu ana njaa lakini usioneshe kama una njaaa alaaa mpaka Kila mtu ajue kuwa una nuka shida wakati mwengine tujikaze siku za kufa zifike tukapumzike 😂😂😂😂😂

  • @MethodKunambi-xz6hm
    @MethodKunambi-xz6hm Месяц назад

    Viongozi naomba muwachukulie hatuwa kalisana iwefundisho kwa wengine

  • @radhiamussa1629
    @radhiamussa1629 Месяц назад

    Ninachowaomba changamoto yoyote iwe nje au ndani jitahidini kuishughulikia bila kuharibu mipango na malengo yetu naimani tarehe 8 hamtutuangusha ushindi muhimu na kombe tunalitaka yeyote anayefanya hila kutuchafua mtafute jinsi ya kuonyesha yanga ya sasa haichezewi kijingajinga

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 Месяц назад

    Wafutwe uanachama mara moja

  • @GeradinaJohn-xh8pw
    @GeradinaJohn-xh8pw Месяц назад

    Aseee hela inatafutwa hadi wazee 🙌🙌🙌 eti wazee wana busara🤔🤔🤔

  • @paschalrobert3852
    @paschalrobert3852 Месяц назад

    Duuuh matepeli ni wengine

  • @Kuminamoja1995
    @Kuminamoja1995 Месяц назад

    Wale wazee wametumwa na Mangungu na Try again full stop ✋️

  • @BarickMwaitulo-tg5cf
    @BarickMwaitulo-tg5cf Месяц назад

    Huyo magoma achukuliwe hatua za kisheria na viongozi wetu iwe fundisho kwa wengine wasiludie kuichafua club yetu

  • @kalanjelekela5525
    @kalanjelekela5525 Месяц назад

    Injinia somga mbele hawa tuachie sisi leo naena mafia kwaajili yao

  • @isaacbywell7081
    @isaacbywell7081 Месяц назад +1

    Tatzo huyu wakili msomi hajawai kushinda kesi hata moja.

    • @ahmednoor1412
      @ahmednoor1412 Месяц назад

      Wewe umeshinda kesi ngapi

    • @sylvestercameo6263
      @sylvestercameo6263 Месяц назад

      Orodhesha hizo kesi zote za Yanga aliziwasimamia mahakamani Yanga ikashindwa!

    • @ahmednoor1412
      @ahmednoor1412 Месяц назад

      Kolo mnateseka sana tarrh 8 mtafute pakujifichia

  • @GeradinaJohn-xh8pw
    @GeradinaJohn-xh8pw Месяц назад

    Hao wahojiwe vizur nani aliyewatuma ndo point hapo????

  • @mudyAlly-yv8qg
    @mudyAlly-yv8qg Месяц назад

    n kuwafukuza na kuwabuluza maakaman il mamb ya kujuana yaishe

  • @financemanager1711
    @financemanager1711 Месяц назад

    In short Hawa wazee ni wezi

  • @user-ut3pb2pf5u
    @user-ut3pb2pf5u Месяц назад

    kwàñí wàñàtàkà ñiní au wàñatakà túrúdi hukó huko kwàñí wao ní nañí jàmàñí na hatà hivó wàñàwéza kúeñdéshà timu màñà wañàtàkà kuvúrugà téñà jamàñí túñàómbà séríkàlí ííñgílie kàtí

  • @AdamMgonga
    @AdamMgonga Месяц назад

    Wazee turieni acheni bifu na yanga tu

  • @kitovasaidi6753
    @kitovasaidi6753 Месяц назад

    Kuna vitu vinafurahisha hivi kweli mahakama inashindwa jiridhisha hata kwa vitu vidogo hivi ni kichekesho kuwa na chombo Cha hivi kesi ya taasisi inaamuriwa na watu watatu?!😅😅😅😅

  • @ZakariaWarioba
    @ZakariaWarioba Месяц назад

    Hawana maana hai waze

  • @hebethkiyola2900
    @hebethkiyola2900 Месяц назад

    💚💚

  • @christianjohnmwalugaja8090
    @christianjohnmwalugaja8090 Месяц назад

    Hao jamaa siyo wanamichezo ni wahuni tu eti wakabidhiwe nyaraka zote za mapato. Naomba uongozi wa Yanga uchukue hatua kali za kuahakikisha pia wanafungwa pamoja na uzee wao. Tena Kuna huyo mnyakyusa ndugu au kaka yangu ni mwizi afungwe tu.

  • @christianjohnmwalugaja8090
    @christianjohnmwalugaja8090 Месяц назад

    Huyo hakimu naye pimbi huyo bwana aliyekuwa anawaklisha wadhamini alikuwa na power of attorney? Ni ujinga tu.

  • @josephmwangita7041
    @josephmwangita7041 Месяц назад

    Nataka kujifuza mmeomba mda mahakaman jee mkinyimwa mda nn kitaendelea wasiwsi wanasiasa wameingia humo maali penye pesa watajipenyeza tu kama uongozi halamu mnataka mapato na matumizi halamu ya nn Kwan nyie mnatumia halam

  • @Beaskcop
    @Beaskcop Месяц назад

    duuh haw azee wanatutafuta ety

  • @EmmanuelMuja
    @EmmanuelMuja Месяц назад

    Kwani hao wazee wametumwa Sasa hawatuwezi

  • @kisinza6077
    @kisinza6077 Месяц назад

    Hahahaha 😂😂😂😂😂 makolo nyie mtakoma, hiyo ndiyo mbinu yenu ya mwisho na imebumaa kuldadadeko!! Kolongada magaidi wakubwa nyie😂😂😂😂

  • @salomemongi1246
    @salomemongi1246 Месяц назад

    Wapigwe

  • @SaidiMaige
    @SaidiMaige Месяц назад

    Kwa nini km walifahamu swala hili tangu tarehe 26/&6/024.muda wote Kwa nini hawakuchukua hatua mpaka leo limekuja fukuliwa na media?hawaoni kuna tahaluki Kwa wanachama na washabiki na umma Kwa jumla?

    • @sylvestercameo6263
      @sylvestercameo6263 Месяц назад

      Hakuna taasisi yoyote.makini na inayojua uadilifu wa uongozi inayoweza kutoa hadharani masuala ya kiofisi kiholela.

  • @bethuelnjau4877
    @bethuelnjau4877 Месяц назад

    Duuuh

  • @hamisramadhan-eb3ie
    @hamisramadhan-eb3ie Месяц назад

    Maumbwa kabisa

  • @amanizavala
    @amanizavala Месяц назад

    Utopolo hatumtambui rais wenu

  • @elizabethelias3130
    @elizabethelias3130 Месяц назад

    😂😂😂

  • @frankjohnsonkitundujohnson7189
    @frankjohnsonkitundujohnson7189 Месяц назад

    Elfu mbili na ishirini na kumi gonga likw😂

  • @EmmanuelMagabe
    @EmmanuelMagabe Месяц назад

    Yang.kumbe.vibaka

  • @AzizaMwita
    @AzizaMwita Месяц назад

    Mbele daima nyuma atuludi awo wazee tuachieni tutaishinao kitaa labuda wasitembee

  • @christianjohnmwalugaja8090
    @christianjohnmwalugaja8090 Месяц назад

    Hao jamaa wafukuzwe na kushtakiwa kabisa.