Wema popote ulipo, tazama tena wimbo huu,rudia tena kutizama Mara tatu, kisha tafakari, na uchukuwe hatua, utakuwa ushuhuda mkubwa sana , na watu wengi utawaleta kwa Yesu
Wema mrudie Mungu km maisha umekula, Bata umekula Hadi kuku wameona wivu, kilichobaki rudisha uhusiano wako na Mungu atakubariki na kukupa mtoto, hakuna usichokijua kuhusu dunia hiii
Good luck for you I like the song you made it is so good to me I wish you a good luck I will what to meet you I love your song it is good so good I can play it over and over again
Wema nakuomba mama yangu achana na mambo ya dunia inayo waya waya, njoo umtumikie Mungu hakika utakuwa baraka mnoo katika nyumba ya Mungu ,njoo wema njoo , niwakati wako wa kumtumikia Mungu aliye hai
Wema sweetheart mungu akukumbuke usife moyo jeribu umuimbie mungu tena nautaona matendo yake and he will give you what you ask him every day in Jesus name Amen
Mbona Wema ana sauti nzuri ya kumuimbia Mungu kweri Yesu asifiweeee milele na milele Amina na amurudishe kanisani kwani kwa Yesu kuna Amani ata musamaha atapewa na wtoto stawapata kweri
Hata kma ilikuwa movie bt wema amependezwa na Christian na mbali ba hvyo angemrudia mungu na kutubu dhambi na kila kitu kitakuwa sawa katika maisha yke
This song was very interesting,so she can sing very well like this?mungu akubariki sana wema,wimbo wako umeniguza sana na unanipa matumaini barikiwa by dia friend,mungu akufungulie njia zote zilizofungwa mbele yko amen.
Sauti nzuri dada keep up muyamba pia namwona natamani sana kujua sehemu alipo
Janat from Kenya tafadhali Rudi kwa Mungu sauti nzurisana
Wema popote ulipo, tazama tena wimbo huu,rudia tena kutizama Mara tatu, kisha tafakari, na uchukuwe hatua, utakuwa ushuhuda mkubwa sana , na watu wengi utawaleta kwa Yesu
Pray for her, iligarimu watu/ mtu kukuombea uokoke.
😢😢😢 Wow nice song ,,sauti kwanza ,,.Keep it up.
Nyimbo nzuli sana.Ubalikiwe sana Wema Sepetu.warundi wote wanakupenda sana sana tena sana!
Wema mrudie Mungu km maisha umekula, Bata umekula Hadi kuku wameona wivu, kilichobaki rudisha uhusiano wako na Mungu atakubariki na kukupa mtoto, hakuna usichokijua kuhusu dunia hiii
Waaaau!!!So, amezing hakika wimbo huu sitosheki.❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Mungu akubariki Wema upate na mtoto
Mbona wema alikuwa mwembamba toka bb akiimba huu wimbo iweje leo karudia umbo lake mnamshangaa Nini mwacheni wema wangu
2021 nani yuko nami huku bado
Rudi Kanisani.Utabarikiwa ndugu yangu
Mungu akufanye chombo cha amani yake chombo kiteule
Unaweza dada hongera.
Mashallah wema umeimba vzuri mnooo Hongera dada
👌👌👌👌👌
Hi ilikuwa filamu nishaiona miaka ya nyuma
Good luck for you I like the song you made it is so good to me I wish you a good luck I will what to meet you I love your song it is good so good I can play it over and over again
Naomba Mungu afanye jia kwajili yauyu dada
Sauti nzuri sana kipenzi chetu! Mungu akupe hitaji la moyo wako
Nakubali wema kumbe upo vizuri
Dada ubarikiwe na uimbaji
Aliimba vizuri sana utazani ni mchristu
Eti hii ilikuwa movie jaman
Watumishi wa Mungu, mbarikiwe sana. Naomba mje mtutie moyo huku pugu kajiungeni,
Wema jaman nilikupenda sana
Mungu akupe hitaji la moyo wako barikiwa dada mrembo
Yesu wangu mkumbuke wema😍
Amina
Ameni
Amina
Jesus deliver her for what she needs
Waoooooo i miss you kanumba ulikuwa mtengenezaji wa move za kuvutia za upako
Aliimba vzur
Nakwambia na fulahi
Ubalikiwe sana
Love this side of her, wished hii ndio ingekuwa ndio uhalisia wa maisha yake, her innocence made me love the movie a point of no return
Mungu atakukumbuka siku moja atakupa mtoto
Wema nakuomba mama yangu achana na mambo ya dunia inayo waya waya, njoo umtumikie Mungu hakika utakuwa baraka mnoo katika nyumba ya Mungu ,njoo wema njoo , niwakati wako wa kumtumikia Mungu aliye hai
Umependeza sana
Wema sweetheart mungu akukumbuke usife moyo jeribu umuimbie mungu tena nautaona matendo yake and he will give you what you ask him every day in Jesus name Amen
Wema mrudie mungu na atakutendea utakayo
Nakupenda sana ❤❤❤ mwema
Mungu hamtupi mja wake,
Huyu akifanya madiriko akaamua kumrudia muumba. Hata watoto atapata. Typle Amina kama waamini
Aaamen
Miraji Mrj hyo n movie bana ilikuwa miv n kama kipand tyu
Ipo siku mugu atatenda miujiza yake ubalikiwe
Nakuombea wema kwani wewe. Nimtumishi Wa Mungu sauti unayo ya kumsifu na kumuimbia Mungu wetu
Kweli anahitaji kumrudia Muumba wake
Mbona Wema ana sauti nzuri ya kumuimbia Mungu kweri Yesu asifiweeee milele na milele Amina na amurudishe kanisani kwani kwa Yesu kuna Amani ata musamaha atapewa na wtoto stawapata kweri
Wimbo huu na upenda sana nikijua wema kaokoka kumbe hamna aliimba kwa hisia sana
Ameen🙏🙏jamani Wema okoka ili Mungu akufungulie milango utazaa jamani
🙆😭
🙏🙏😭👩👦
Huku ndio sehemu yako huko kwingine unapoteza muda tu mpendwa wema njooooo kwa YESU
Wema una sauti nzuri sana ❤
Yesu anakupenda sana njoo achana na ya dunia utapata mme mchamungu uwe na familia nzuri achana na mashetani hayo.
Hiyo ni movi barikiwa dada
Dada wema unakipaji kizuli Sana unasaut zuli Sana ekwama wapi kuiba nyibo zainjili
Binani fulaisha sana kweli wema sepetu anakuja gutumikia Yesu bu islam ana heba
Wema sauti yako nzuri ya kutuza Mungu wa mbinguni
Wema wangu wapi hiyo?,umeiimba vizuri kweli,Mungu akukumbuke hata katika hilo tu ulilofanya ,kila pumzi itamsifu Mungu,
Aamen
@@MasaiLONGTV W
Dada Mungu atakupa mapacha 8 kwa mkupuo nimekupenda
Amen
Hiyo Ni move aliigizaga kitambo sana
Dada yangu. Mungu akupe watoto 🤴🤴🤴🤴🤴🤴🙏🙏🙏🙏💖💖💖 Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
She will namuombea pia
Hiki kilikuwa ni kipande kati ya Move Sena nimeisahau jina lake ila inapebdeza km angeyaishi maisha haya😍😍😍😘😘😘🙏🙏🙏🙏
A point of no return inaitwa
Kwn what happened kwke
Kweli wema unaimba kwa.hisia.mungu akupe watoto
Amekuwa my best muigizaji tangu utoto na maombi yako yajibiwe
Namuona pastor Emmanuel miamba
Wema mludie mungu wako atatenda makuu katika kizazi chako Na mtoto utapata
Mrudie muumba wako
Hongera ulikuwa vizuri ulikwama wap
Jaman Dada wema mungu akujibu maombi yako endelea kumuomba mungu unachokitaka utakipata achawakuseme ila mungu ndo anajua jisigan unauchungu kwake
Mungu aguse tumbo la uzao wako upate hitaji lako
Hata kma ilikuwa movie bt wema amependezwa na Christian na mbali ba hvyo angemrudia mungu na kutubu dhambi na kila kitu kitakuwa sawa katika maisha yke
Wema mrudie Yesu 😭😭😭😭😭😭😭😭
Safi sana Mungu anakupenda mamy
Wema sepetoooo hongela sana burundi tunakupenda sana
Nenda kwa mwamposa ukaombewe upate mtoto hakuna kisichowezekana kwa Mungu hiyosauti yako inapendeza madhabahuni
Sauti nzuri ya kuleta watu kwa Christo Yesu mwana wa Mungu kabisa.
Amina
This is my best movie,rip kanumba.good job wema.God be with you dada
Wema Rudi kanisani jamani Yesu anakupenda.
Mungu akukbuke
Wish angeimba nyimbo za sifa kwa mungu like your voice
Ni move tu hii
Love u wema,,,
Sichoki kuusikiliza huu wimbo jamani hizi hisia ubarikiwe kipenzi
Uhimidiwe yesu uhimidiwe aleluya. YESU kristo abarikiwe sana
Penda sana wema hachuji du tisha sana
Wema una sauti nzuri
Wonderful song,so encouranging may God uplift ur dreams.
Ni meta sama hiii video maraa3 kwa. Maana sia mini kwamba ni wema sepeto Ana imba leo nyimbo nzuriiii hivi ya kumutukusa beans uba rikiwe
Enzi hizo hope ulikuaa ujazaliwa
Ni 2022 lakini sichoki kuangalia
Barikiwa dada sepeto
This song was very interesting,so she can sing very well like this?mungu akubariki sana wema,wimbo wako umeniguza sana na unanipa matumaini barikiwa by dia friend,mungu akufungulie njia zote zilizofungwa mbele yko amen.
Hongela sana mungu akubaliki
Ubariki sana dada mungu anafuguwa palipo fugwa 🍎🍎🍎🍎
I never get enough of this song u sang soo well sister wema God bless u.love fŕom kenya😍❤
She can sing, si aanze kuimba.🤗
NAMSHAURI WEMA AMRUDIE YESU AACHANE NA YADUNIS
Love sepeto Sandi Sana muru die mungu wko ata kuba riki upate watoto na tamani Sana dada yngu na wewe upate watoto
Jamani nimeangalia hii kitu nkakumbuka mbali Sana aise Kama mtu Aki amua kubadilika na Mungu anampokea vema na kumbadisha zaidi jamani daa🥰🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Ubarikwa my sister
Nice song
Wema unajua kuimba sana
hapo wema ajangusa dawa za marehemu kanumba agali mubishi dada murundiliye Mungu
Wow kaimba vizur ila ni move ya kitambo sana
Kichwa hii tunajua hii ni movie but she is good anaeza ongoza vyema
Yesu siakuokoe Wema uolewe na mchungaj na uanze kumtumikia Mungu
Mungu akukumbuke dear Ila naomba uanze kuimba Gospel
Yesu usimsahau Wema alikuimbia ingawa kwenye movie lkn amenigusa, anajua sana, ameimba kwa hisia
This is where you belong my dear 😍
Wau gal go open up you talent I love this so much God bless you
Jaman wema nakuombea uokoke
Daaa ukilud kwamuumba wakoo itapendezaa sanaa
Mwenyezi mungu akubariki
Nice song i love it
Na ukona nyigine au
Huu movie inaitwaje
Mung amsaidie
So proud of you wema god bless you amen 🙏💖💖💯💯👉❤️❤️😐💕👌
Right