#Zaburi

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • USISAHAU KU-SUBSCRIBE KU-LIKE NA KU-COMMENT

Комментарии • 486

  • @mutindamathaka5897
    @mutindamathaka5897 Год назад +1

    Sauti nzuri dada keep up muyamba pia namwona natamani sana kujua sehemu alipo

  • @losariasjenfa298
    @losariasjenfa298 Месяц назад

    Janat from Kenya tafadhali Rudi kwa Mungu sauti nzurisana

  • @ruthaloyce1012
    @ruthaloyce1012 3 года назад +23

    Wema popote ulipo, tazama tena wimbo huu,rudia tena kutizama Mara tatu, kisha tafakari, na uchukuwe hatua, utakuwa ushuhuda mkubwa sana , na watu wengi utawaleta kwa Yesu

    • @lynette4708
      @lynette4708 2 года назад +1

      Pray for her, iligarimu watu/ mtu kukuombea uokoke.

  • @JaydVanny
    @JaydVanny Год назад +4

    😢😢😢 Wow nice song ,,sauti kwanza ,,.Keep it up.

  • @joselynenibigira2647
    @joselynenibigira2647 4 года назад +11

    Nyimbo nzuli sana.Ubalikiwe sana Wema Sepetu.warundi wote wanakupenda sana sana tena sana!

  • @teddymwageni1763
    @teddymwageni1763 3 года назад +3

    Wema mrudie Mungu km maisha umekula, Bata umekula Hadi kuku wameona wivu, kilichobaki rudisha uhusiano wako na Mungu atakubariki na kukupa mtoto, hakuna usichokijua kuhusu dunia hiii

  • @EmmanuelTsuma-u3i
    @EmmanuelTsuma-u3i Год назад +1

    Waaaau!!!So, amezing hakika wimbo huu sitosheki.❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @mariettagfyinagware9969
    @mariettagfyinagware9969 Год назад

    Mungu akubariki Wema upate na mtoto

  • @frpme2611
    @frpme2611 3 года назад

    Mbona wema alikuwa mwembamba toka bb akiimba huu wimbo iweje leo karudia umbo lake mnamshangaa Nini mwacheni wema wangu

  • @lyslinejepchirchir7559
    @lyslinejepchirchir7559 3 года назад +4

    2021 nani yuko nami huku bado

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Год назад

    Rudi Kanisani.Utabarikiwa ndugu yangu

  • @victorishengoma5724
    @victorishengoma5724 2 года назад

    Mungu akufanye chombo cha amani yake chombo kiteule

  • @SmilingBird-fi9sj
    @SmilingBird-fi9sj 2 месяца назад

    Unaweza dada hongera.

  • @nooragana9668
    @nooragana9668 4 года назад +11

    Mashallah wema umeimba vzuri mnooo Hongera dada

    • @mariyaal5366
      @mariyaal5366 4 года назад

      👌👌👌👌👌

    • @baiaaa2809
      @baiaaa2809 4 года назад

      Hi ilikuwa filamu nishaiona miaka ya nyuma

  • @annettenabayo7351
    @annettenabayo7351 3 года назад +1

    Good luck for you I like the song you made it is so good to me I wish you a good luck I will what to meet you I love your song it is good so good I can play it over and over again

  • @ruthmwasomola655
    @ruthmwasomola655 3 года назад

    Naomba Mungu afanye jia kwajili yauyu dada

  • @KhadijaJacob
    @KhadijaJacob 2 месяца назад

    Sauti nzuri sana kipenzi chetu! Mungu akupe hitaji la moyo wako

  • @lubangogabriel7040
    @lubangogabriel7040 2 года назад

    Nakubali wema kumbe upo vizuri

  • @nicksonboy3570
    @nicksonboy3570 3 года назад

    Dada ubarikiwe na uimbaji

  • @priscaphilipo799
    @priscaphilipo799 3 года назад

    Aliimba vizuri sana utazani ni mchristu

  • @Sarah-lp3vl
    @Sarah-lp3vl Месяц назад +1

    Eti hii ilikuwa movie jaman

  • @mchungajisecilia8029
    @mchungajisecilia8029 11 месяцев назад

    Watumishi wa Mungu, mbarikiwe sana. Naomba mje mtutie moyo huku pugu kajiungeni,

  • @ALCADOJAMES
    @ALCADOJAMES Месяц назад

    Wema jaman nilikupenda sana

  • @germanaanatoli3411
    @germanaanatoli3411 4 года назад +6

    Mungu akupe hitaji la moyo wako barikiwa dada mrembo

  • @mariajackson4813
    @mariajackson4813 4 года назад +57

    Yesu wangu mkumbuke wema😍

  • @nananana4885
    @nananana4885 5 лет назад +29

    Waoooooo i miss you kanumba ulikuwa mtengenezaji wa move za kuvutia za upako

  • @Makeya-y1i
    @Makeya-y1i 4 месяца назад

    Ubalikiwe sana

  • @gadhassan4014
    @gadhassan4014 Год назад +1

    Love this side of her, wished hii ndio ingekuwa ndio uhalisia wa maisha yake, her innocence made me love the movie a point of no return

  • @tinnahagustinolyelu4247
    @tinnahagustinolyelu4247 Год назад

    Mungu atakukumbuka siku moja atakupa mtoto

  • @tnentertainmenttz8051
    @tnentertainmenttz8051 4 года назад +9

    Wema nakuomba mama yangu achana na mambo ya dunia inayo waya waya, njoo umtumikie Mungu hakika utakuwa baraka mnoo katika nyumba ya Mungu ,njoo wema njoo , niwakati wako wa kumtumikia Mungu aliye hai

  • @tinnahagustinolyelu4247
    @tinnahagustinolyelu4247 Год назад

    Umependeza sana

  • @maggiemamaafricaofficial7080
    @maggiemamaafricaofficial7080 4 года назад +4

    Wema sweetheart mungu akukumbuke usife moyo jeribu umuimbie mungu tena nautaona matendo yake and he will give you what you ask him every day in Jesus name Amen

  • @fttg5d8couldflzs62
    @fttg5d8couldflzs62 3 года назад

    Wema mrudie mungu na atakutendea utakayo

  • @VeronikaJerome-wr8yz
    @VeronikaJerome-wr8yz Год назад +1

    Nakupenda sana ❤❤❤ mwema

  • @zawadidionis6552
    @zawadidionis6552 3 года назад

    Mungu hamtupi mja wake,

  • @mirajimrj672
    @mirajimrj672 5 лет назад +255

    Huyu akifanya madiriko akaamua kumrudia muumba. Hata watoto atapata. Typle Amina kama waamini

    • @MasaiLONGTV
      @MasaiLONGTV 5 лет назад +2

      Aaamen

    • @nyakaimg1393
      @nyakaimg1393 4 года назад +5

      Miraji Mrj hyo n movie bana ilikuwa miv n kama kipand tyu

    • @rozmihambo1935
      @rozmihambo1935 4 года назад +1

      Ipo siku mugu atatenda miujiza yake ubalikiwe

    • @jescajackson7768
      @jescajackson7768 4 года назад +4

      Nakuombea wema kwani wewe. Nimtumishi Wa Mungu sauti unayo ya kumsifu na kumuimbia Mungu wetu

    • @johanithasylvester9723
      @johanithasylvester9723 4 года назад +4

      Kweli anahitaji kumrudia Muumba wake

  • @turibamweali8661
    @turibamweali8661 4 года назад +7

    Mbona Wema ana sauti nzuri ya kumuimbia Mungu kweri Yesu asifiweeee milele na milele Amina na amurudishe kanisani kwani kwa Yesu kuna Amani ata musamaha atapewa na wtoto stawapata kweri

  • @richardjoseph3842
    @richardjoseph3842 4 года назад +12

    Wimbo huu na upenda sana nikijua wema kaokoka kumbe hamna aliimba kwa hisia sana

  • @otiliahaule5180
    @otiliahaule5180 4 года назад +7

    Ameen🙏🙏jamani Wema okoka ili Mungu akufungulie milango utazaa jamani

  • @kissageorge3987
    @kissageorge3987 Год назад

    Huku ndio sehemu yako huko kwingine unapoteza muda tu mpendwa wema njooooo kwa YESU

  • @mariyaal5366
    @mariyaal5366 3 года назад +8

    Wema una sauti nzuri sana ❤

  • @rambostalon2888
    @rambostalon2888 Год назад

    Yesu anakupenda sana njoo achana na ya dunia utapata mme mchamungu uwe na familia nzuri achana na mashetani hayo.

  • @naomijohn6759
    @naomijohn6759 3 года назад

    Hiyo ni movi barikiwa dada

  • @merrysilungwe2067
    @merrysilungwe2067 2 года назад

    Dada wema unakipaji kizuli Sana unasaut zuli Sana ekwama wapi kuiba nyibo zainjili

  • @mpawenayochantalofficial1051
    @mpawenayochantalofficial1051 3 года назад

    Binani fulaisha sana kweli wema sepetu anakuja gutumikia Yesu bu islam ana heba

  • @elizabethmukeba2528
    @elizabethmukeba2528 Год назад

    Wema sauti yako nzuri ya kutuza Mungu wa mbinguni

  • @mbwelumwakinyuke3727
    @mbwelumwakinyuke3727 5 лет назад +33

    Wema wangu wapi hiyo?,umeiimba vizuri kweli,Mungu akukumbuke hata katika hilo tu ulilofanya ,kila pumzi itamsifu Mungu,

  • @barthelemydiumba324
    @barthelemydiumba324 4 года назад +5

    Dada yangu. Mungu akupe watoto 🤴🤴🤴🤴🤴🤴🙏🙏🙏🙏💖💖💖 Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @phineruge3480
    @phineruge3480 4 года назад +3

    Hiki kilikuwa ni kipande kati ya Move Sena nimeisahau jina lake ila inapebdeza km angeyaishi maisha haya😍😍😍😘😘😘🙏🙏🙏🙏

  • @hellenthomas5089
    @hellenthomas5089 3 года назад

    Kweli wema unaimba kwa.hisia.mungu akupe watoto

  • @naominthambi4359
    @naominthambi4359 4 года назад +4

    Amekuwa my best muigizaji tangu utoto na maombi yako yajibiwe

  • @jumabisongelo6285
    @jumabisongelo6285 3 года назад

    Namuona pastor Emmanuel miamba

  • @neemakameta7473
    @neemakameta7473 3 года назад

    Wema mludie mungu wako atatenda makuu katika kizazi chako Na mtoto utapata

  • @gracejackson5051
    @gracejackson5051 3 года назад

    Hongera ulikuwa vizuri ulikwama wap

  • @annethwilliam1944
    @annethwilliam1944 2 года назад

    Jaman Dada wema mungu akujibu maombi yako endelea kumuomba mungu unachokitaka utakipata achawakuseme ila mungu ndo anajua jisigan unauchungu kwake

  • @neemadani1981
    @neemadani1981 3 года назад +3

    Mungu aguse tumbo la uzao wako upate hitaji lako

  • @linnetpiliwilson413
    @linnetpiliwilson413 4 года назад

    Hata kma ilikuwa movie bt wema amependezwa na Christian na mbali ba hvyo angemrudia mungu na kutubu dhambi na kila kitu kitakuwa sawa katika maisha yke

  • @winifridalaswai1921
    @winifridalaswai1921 Год назад

    Wema mrudie Yesu 😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @hezronsudai9951
    @hezronsudai9951 2 года назад

    Safi sana Mungu anakupenda mamy

  • @consoleeniyobuhungiro8960
    @consoleeniyobuhungiro8960 2 года назад

    Wema sepetoooo hongela sana burundi tunakupenda sana

  • @gracemwandosya6329
    @gracemwandosya6329 3 года назад +1

    Nenda kwa mwamposa ukaombewe upate mtoto hakuna kisichowezekana kwa Mungu hiyosauti yako inapendeza madhabahuni

  • @debbiebambohappy1341
    @debbiebambohappy1341 4 года назад +11

    Sauti nzuri ya kuleta watu kwa Christo Yesu mwana wa Mungu kabisa.

  • @liliankhatinyal2817
    @liliankhatinyal2817 2 года назад +1

    This is my best movie,rip kanumba.good job wema.God be with you dada

  • @maswamills3161
    @maswamills3161 2 года назад +1

    Wema Rudi kanisani jamani Yesu anakupenda.

  • @dorcasmwasibale2942
    @dorcasmwasibale2942 3 года назад

    Mungu akukbuke

  • @trizahakinyi7176
    @trizahakinyi7176 3 года назад +4

    Wish angeimba nyimbo za sifa kwa mungu like your voice

  • @vivianalex8501
    @vivianalex8501 2 года назад

    Ni move tu hii

  • @annahmamba9489
    @annahmamba9489 3 года назад +2

    Love u wema,,,
    Sichoki kuusikiliza huu wimbo jamani hizi hisia ubarikiwe kipenzi

  • @beniteprisca4385
    @beniteprisca4385 4 года назад +6

    Uhimidiwe yesu uhimidiwe aleluya. YESU kristo abarikiwe sana

  • @aminasembe3553
    @aminasembe3553 4 года назад

    Penda sana wema hachuji du tisha sana

  • @SharonSwilla-to2co
    @SharonSwilla-to2co Год назад +1

    Wema una sauti nzuri

  • @naomiben2500
    @naomiben2500 4 года назад +14

    Wonderful song,so encouranging may God uplift ur dreams.

  • @yohanakivuyo4261
    @yohanakivuyo4261 4 года назад +5

    Ni meta sama hiii video maraa3 kwa. Maana sia mini kwamba ni wema sepeto Ana imba leo nyimbo nzuriiii hivi ya kumutukusa beans uba rikiwe

    • @tabynas4485
      @tabynas4485 4 года назад

      Enzi hizo hope ulikuaa ujazaliwa

  • @wennceslausmushi2356
    @wennceslausmushi2356 2 года назад +1

    Ni 2022 lakini sichoki kuangalia

  • @StephenLepilal
    @StephenLepilal 5 месяцев назад

    Barikiwa dada sepeto

  • @saimonsimiyu840
    @saimonsimiyu840 Год назад

    This song was very interesting,so she can sing very well like this?mungu akubariki sana wema,wimbo wako umeniguza sana na unanipa matumaini barikiwa by dia friend,mungu akufungulie njia zote zilizofungwa mbele yko amen.

  • @donataasanga4313
    @donataasanga4313 3 года назад

    Hongela sana mungu akubaliki

  • @Uwezomaleunda
    @Uwezomaleunda 3 года назад

    Ubariki sana dada mungu anafuguwa palipo fugwa 🍎🍎🍎🍎

  • @blessingfavour3198
    @blessingfavour3198 4 года назад +19

    I never get enough of this song u sang soo well sister wema God bless u.love fŕom kenya😍❤

  • @evalunajohannes2382
    @evalunajohannes2382 4 года назад +8

    She can sing, si aanze kuimba.🤗

  • @timothjohn7093
    @timothjohn7093 4 года назад

    NAMSHAURI WEMA AMRUDIE YESU AACHANE NA YADUNIS

  • @yohanakivuyo4261
    @yohanakivuyo4261 4 года назад +3

    Love sepeto Sandi Sana muru die mungu wko ata kuba riki upate watoto na tamani Sana dada yngu na wewe upate watoto

  • @gracelucas1590
    @gracelucas1590 3 года назад

    Jamani nimeangalia hii kitu nkakumbuka mbali Sana aise Kama mtu Aki amua kubadilika na Mungu anampokea vema na kumbadisha zaidi jamani daa🥰🙏🏻🙏🏻🙏🏻

  • @celestinenight1656
    @celestinenight1656 3 года назад

    Ubarikwa my sister

  • @danielosuka9415
    @danielosuka9415 4 года назад +5

    Nice song

  • @wennceslausmushi2356
    @wennceslausmushi2356 2 года назад

    Wema unajua kuimba sana

  • @rayanndizeyes3161
    @rayanndizeyes3161 3 года назад

    hapo wema ajangusa dawa za marehemu kanumba agali mubishi dada murundiliye Mungu

  • @elizabethjames2693
    @elizabethjames2693 3 года назад

    Wow kaimba vizur ila ni move ya kitambo sana

  • @maureenmwanzia3310
    @maureenmwanzia3310 3 года назад

    Kichwa hii tunajua hii ni movie but she is good anaeza ongoza vyema

  • @oscanyakunga
    @oscanyakunga Год назад

    Yesu siakuokoe Wema uolewe na mchungaj na uanze kumtumikia Mungu

  • @merrybernad8707
    @merrybernad8707 4 года назад +1

    Mungu akukumbuke dear Ila naomba uanze kuimba Gospel

  • @lucywilson5875
    @lucywilson5875 3 года назад

    Yesu usimsahau Wema alikuimbia ingawa kwenye movie lkn amenigusa, anajua sana, ameimba kwa hisia

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Год назад

    This is where you belong my dear 😍

  • @annkisuya3277
    @annkisuya3277 4 года назад +9

    Wau gal go open up you talent I love this so much God bless you

  • @annanyoni1981
    @annanyoni1981 3 года назад

    Jaman wema nakuombea uokoke

  • @nurushipela890
    @nurushipela890 3 года назад

    Daaa ukilud kwamuumba wakoo itapendezaa sanaa

  • @melvinniceanyango2919
    @melvinniceanyango2919 3 года назад

    Mwenyezi mungu akubariki

  • @JacklineMsisili
    @JacklineMsisili 5 месяцев назад

    Huu movie inaitwaje

  • @bonifacemuya4351
    @bonifacemuya4351 2 года назад

    Mung amsaidie

  • @judithjeana9592
    @judithjeana9592 5 лет назад +24

    So proud of you wema god bless you amen 🙏💖💖💯💯👉❤️❤️😐💕👌