MBOSSO KAJA NA SELE STEJINI, WAPIGA SHOW PAMOJA RUANGWA | Wasafi Festival 2024

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 окт 2024

Комментарии • 38

  • @samsungtz9148
    @samsungtz9148 16 дней назад +17

    inafaa kama nchi tuungane kumsapoti best naso hili jukumu tusiwaachie wasukuma tu

  • @meryamreally2768
    @meryamreally2768 16 дней назад +9

    Sele Aaaah wewe mbosso Nice ❤️❤️🎉🎉🎉🎉😂😂😂😂

  • @KennyPemba
    @KennyPemba 16 дней назад +7

    Shoo Kali mbosso

  • @EmmanuelMwanga-w8z
    @EmmanuelMwanga-w8z 13 дней назад

    Kazi ya sele ni gani hapo kwa stage sasa?

  • @Shafikimanga7
    @Shafikimanga7 16 дней назад +1

    Fanyeni kazi ki professional zaidi kwa kuondoa mabaunsa na camera nyingi jukwaani. Au labda na wao sehemu ya show. Mkiendaga huko nje hai wapiga picha wenu na mabaunsa Huwa wanaruhusiwa stejini!?

  • @johnmichaellukindo21
    @johnmichaellukindo21 16 дней назад +2

    Huyo selemani mwenyewe kapooza anashangaa watu vibe noooooo

  • @millitarybattalion7515
    @millitarybattalion7515 16 дней назад +14

    Ndio maana mm sipendi kujushuria matamasha kama haya, Sasa anawatisha watazamaji yeye anatakiwa aimbe awakoshe mashabiki wamshangilie ila anawatishia kuwapiga Bao.. mm na deal na live band tu

    • @simontg5447
      @simontg5447 16 дней назад

      ruclips.net/video/l8dCFgIhuZY/видео.htmlsi=TZokJc0jUaN6Txzk

    • @AlexJacobo-vc2kt
      @AlexJacobo-vc2kt 16 дней назад +4

      Kila moja akipendecho

    • @ArafaAmirAmir-ci7ld
      @ArafaAmirAmir-ci7ld 16 дней назад +3

      Mwehu weeee

    • @AbdulkadirMandute
      @AbdulkadirMandute 16 дней назад +1

      na bora hauendagi hakuna maana uende uwe unashangaa t sehem y burudani

    • @mkohoexperience7322
      @mkohoexperience7322 16 дней назад +1

      Tena kama ungejua mbosso kwa live performance usingeandika hapa kwa mbosso

  • @Jayboy_billions_
    @Jayboy_billions_ 16 дней назад +6

    Sele mbona Hana vibe😂😂😂😂

    • @BwaxyWaMicha
      @BwaxyWaMicha 16 дней назад

      Hata mimi nijiuliza ilo swali au hajalipwa😂😂😂

  • @Ben-fp1ys
    @Ben-fp1ys 16 дней назад

    Ifike muda wasanii waache dharau, sasa hii ni performance gani? Si kelele hizi, wanzidiwa na live band za vichochoroni.

  • @ErybarickSamwel
    @ErybarickSamwel 16 дней назад

    Aaaaaa mh kiukwel badoooo sanaaaa hii nin sasa?

  • @ErybarickSamwel
    @ErybarickSamwel 16 дней назад

    Aaaaaa mh kiukwel badoooo sanaaaa hii nin sasa?

  • @ErybarickSamwel
    @ErybarickSamwel 16 дней назад

    Aaaaaa mh kiukwel badoooo sanaaaa hii nin sasa?

  • @ErybarickSamwel
    @ErybarickSamwel 16 дней назад

    Aaaaaa mh kiukwel badoooo sanaaaa hii nin sasa?

  • @ErybarickSamwel
    @ErybarickSamwel 16 дней назад

    Aaaaaa mh kiukwel badoooo sanaaaa hii nin sasa?

  • @ErybarickSamwel
    @ErybarickSamwel 16 дней назад

    Aaaaaa mh kiukwel badoooo sanaaaa hii nin sasa?

  • @BarbaraPatience-qt9cc
    @BarbaraPatience-qt9cc 16 дней назад

    JAMANI sele anavyopendwa!!!!! Kali

  • @nelaxtv9781
    @nelaxtv9781 16 дней назад +1

    Great mbosso ❤

  • @FadhiliHaruni-v5h
    @FadhiliHaruni-v5h 16 дней назад +3

    🔥🔥🔥

    • @simontg5447
      @simontg5447 16 дней назад

      ruclips.net/video/l8dCFgIhuZY/видео.htmlsi=TZokJc0jUaN6Txzk

  • @feswal22
    @feswal22 16 дней назад

    Sele🔥🔥🔥wahuuniii😂😂😂

  • @auntiemylee3157
    @auntiemylee3157 16 дней назад

    Uyo sele sasa

  • @flavourboyke
    @flavourboyke 16 дней назад

    Sound iko vizuri sana

  • @Naj276
    @Naj276 16 дней назад

    sele congratulation

  • @ElzaMungure
    @ElzaMungure 16 дней назад

    Mbosoo ww ni atari na nusuu

  • @JoJo-k7c4f
    @JoJo-k7c4f 16 дней назад

    Sele 😂😂😂😂