#live
HTML-код
- Опубликовано: 16 сен 2024
- JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuwa mchangiaji jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp....
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO SIYO LAZIMA KUCHANGIA BALI NI YA KUPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
Namba za mawasiliano na kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV
Amen sifa zote ni kwa Bwana yesu kristo na kwa utukufu wa Mungu Baba piga kazi mtumishi
Hakika unafungua wengi kwa mafundisho yako.Barikiwa sana. Wapendwa tumtafite Mungu hakika anapatikana.
Baba Mungu akubariki sana kwa huduma ashukuriliwe Mungu juu ambaye amemfichua Siri za shetani
Ubarikiwe sana mtumishi
Amen
Asante kwa mafunzo mtumishi wa Mungu zidi kubarikiwa pamoja na promover TV ujumla
Mungu akubariki na akutunze Kwa ajili ya ufalme wa Mungu kazi Yako ni njema. Unatuongezea maarifa sisi makamanda wa Yesu
Mungu azidii kupa nguvu mtumishi wa mungi
Kwa kweli mchungaji MUNGU akiubariki saaanaa! Binafsi MUNGU mekutumia wewe kuwa kupitia wewe kiimani niinuke vile tuuu nnavyo sikiliza mahubiri yako! ✊✊👐👐
Mungu naomba unisaidie nkutumikie
Karibu Sana Arusha mtumishi Amiel na Tim yote, nawapenda sana, amina.
Amen amen jina la bwana lipewe sifa, nabarikiwa nkiwa saudi arabia n ubarikiwe mtu wa mungu
Pamoja tuning from Saudi
Ameni Ubarikiwe mtumishi kupitia neno tunazidi kufunguliwa
Mungu naomba unipe mwsho mwema
Hakika Bwana amefanya jambo jipya ,smekuthibitisha umegusa wengi, Bwana akutunze, katika wewe tutashinda ba zaidi ya kushinda, barikiwa
Aminaaa Mtumishi wa MUNGU, MUNGU azidi kukutunza
Ameen!! Nabarikiwa sana
Amen asante YESU CHRISTO 🙏🙏🙏
Baba Karibu Morogoro nashukuru Kwa mafundisho
Mungu ndie alikutuma uende kumsaidia huyo mama kweli Mungu nimwema sana
Amen 🙏🙏🙏 mtumishi emiel Mimi Niko Mombasa niombe
AMINA AMINA
Amen and Amen
Amen amen nimembalikiwa sana sana naomba maombi sana sana Kwa familia yangu Niko kenya
Ubarikie sana mtumishi wa mungu
AMEN karibu Mtwara Mtumwa wa Yesu
Hallelujah 🙏🙏🙏
Mtumishi Mungu akubariki sana
Amina mtumishi
Mungu akulinde Tena natena
❤Ameeeeren
Una kazi mtumishi kweli
Mchungaji Ka mm imgn nko karibu kuchoka kukutafuta kwa sababu hupokei simu, unasoma voice unanyamanza aaaaaiiiii!
Msamehe Mtumishi Bure, mda mwingi anakuwa anahidumia watu, usichoke kumtafuta upo wakati utampata akiwa free, mda mzuri ni kuanzia saa 3 usiku anakuwa amemaliza huduma
Usichoke kumtafta Bwana anza Kujifunza kuomba kwanza maana hata ukimpata mchungaji kama ww mwenyewe hauko tayali itakuwa kazi bure.
Kuwa na subra tu wakat wako bado ....jua nae anatafuta sana
@@amosdaniel4596 mtafute kanisani kwake tumia gharama yoyote kumpata
Natamani sikumoja nikuone,najua nitabarikiwa sana
Zaburi 105mstari 37 hausemi hivvyo watumishi
Amen
Amen. Naomba number ya Mchungaji Emieli
0756275511 Mch.Amiel Katekela
NAHUMUMU MADHABAHU ZA KICHAWI MA MHURI YA KICHAWI NA MAAGANO YOTE NA ROHO ZOYE ZA KICHAWI.
Ameeeeeeen mtumishi wa MUNGU
Naomba namba ya mchungaji wa ukonga
+255621010304
Hivi mkristu wa leo pamoja na kuhubiriwa kweli ya Mungu wetu, Bado anaamini ktk uchawi hadithi za kufikirika na vitisho vya watu waongo, matapeli, wanaotafuta mkate wao wa kila siku kwa njia hizo danganyifu kana kwamba kazi ya Yesu kristo ilikuwa ni Bure! Tujitambue kuwa tulishakombolewa na Damu ya thamani, ili tunaijua kweli inayotuweka huru. Je kuugua au kufa, ni laana ya kulogwa na dawa za miti shamba, mapepo, au majini? Mbona hata hao wahubiri maarufu wa aina hiyo wa enzi hizo (Mosesi kulola, lazaro na wengine nisio wajua) waliugua, wakalazwa hospitalini na hatimaye kufa? Mbona watoto wachanga(wasio na hatia/watakatifu),akina Abrahamu, Musa Isaka, Yakobo, Daudi Elia, Elisha, Samsoni, Petro, Paulo, Tomasi, Yohana, Matayo, Luka na wengine waliugua,wakateseka kwa magonjwa hatimaye kufa? Hawakuwa na Mungu ndani Yao? Mbona tunawapa nafasi matapeli kuhangaisha nafsi na dhamiri zetu? Hivi Mungu/Yesu kristo anawasikiliza zaidi wao(wahubiri matapeli) kuliko sisi? Tusemeje basi? Pazia la Hekalu lilipasuka Bure? Hatutaki kufa? Kwa nini tuliletwa hapa Duniani? Mbona twayachunguza maandiko matakatifu kwa tafsiri potofu kana kwamba ndimo ulimo uzima wetu? Naomba mjadala huu uchukue nafasi mioyoni mwetu ili tuijue kweli na kujiweka huru. Nipo tayari kwa mahojiano ya ana kwa ana na yeyote. Na.yangu ya simu: 0754387546. 18:22 19:40
Wew tuache tumsikilize mtumishi wa Mungu kama hutaki usimfuatilie achana naye kabisa
We amini kuwa hakuna uchawi acha walikuwa wachawi na Mungu akawaokoa kutoka na wao ndo walikuwa walogaji wazuri mpaka kanisani kuwaharibu waumini na wachungaji wao acha atufundishe namba wanafanyaga
huyo jamaa anaepiga piga kinanda Anatutoa kwenye uwepo... kwanini asimuache mtumishi akahubiri kwa utulivu...
Msafili mbona image zinagandaganda
Tumerekebisha sasa
Naomba namba yatumishi waukonga
Baba hata Mimi mama yangu ni kichaa wa miaka mingi tangu mwaka 2000 mpaka Sasa ulipo
yoo Mungu amfungue hakika
anzisha kipindi cha maombi ya watu wa nje ya nchi
Jacktan mbona picha inagandaganda
Kumradhi,ni matatizo ya kiufundi, tutarekebisha leo itakuwa poa
@@PromovertvTz ok asante
Asante
Naomba number ya mtumishi katekela