#live

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 16 сен 2024
  • JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuwa mchangiaji jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp....
    PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO SIYO LAZIMA KUCHANGIA BALI NI YA KUPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
    1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
    2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
    Namba za mawasiliano na kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 jina ni Jacktan Msafiri
    #ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV

Комментарии • 61

  • @adorchmassimba4413
    @adorchmassimba4413 8 месяцев назад +3

    Amen sifa zote ni kwa Bwana yesu kristo na kwa utukufu wa Mungu Baba piga kazi mtumishi

  • @flavianarwebangira6726
    @flavianarwebangira6726 Год назад +5

    Hakika unafungua wengi kwa mafundisho yako.Barikiwa sana. Wapendwa tumtafite Mungu hakika anapatikana.

  • @Zawad-nd7yi
    @Zawad-nd7yi Год назад +1

    Baba Mungu akubariki sana kwa huduma ashukuriliwe Mungu juu ambaye amemfichua Siri za shetani

  • @israelmlabwa9783
    @israelmlabwa9783 5 месяцев назад +2

    Ubarikiwe sana mtumishi

  • @lydiamichael5509
    @lydiamichael5509 Год назад +2

    Amen
    Asante kwa mafunzo mtumishi wa Mungu zidi kubarikiwa pamoja na promover TV ujumla

  • @genevievesunday
    @genevievesunday Год назад +2

    Mungu akubariki na akutunze Kwa ajili ya ufalme wa Mungu kazi Yako ni njema. Unatuongezea maarifa sisi makamanda wa Yesu

    • @pamelaogano5220
      @pamelaogano5220 8 месяцев назад

      Mungu azidii kupa nguvu mtumishi wa mungi

  • @gracendola7195
    @gracendola7195 Год назад +2

    Kwa kweli mchungaji MUNGU akiubariki saaanaa! Binafsi MUNGU mekutumia wewe kuwa kupitia wewe kiimani niinuke vile tuuu nnavyo sikiliza mahubiri yako! ✊✊👐👐

  • @LENAHKAVUTHAOFFICIAL
    @LENAHKAVUTHAOFFICIAL 3 месяца назад +1

    Mungu naomba unisaidie nkutumikie

  • @mpandawiliam5390
    @mpandawiliam5390 Год назад +5

    Karibu Sana Arusha mtumishi Amiel na Tim yote, nawapenda sana, amina.

  • @ويلماويلما
    @ويلماويلما Год назад +3

    Amen amen jina la bwana lipewe sifa, nabarikiwa nkiwa saudi arabia n ubarikiwe mtu wa mungu

  • @gradyskamwela6163
    @gradyskamwela6163 Год назад +2

    Ameni Ubarikiwe mtumishi kupitia neno tunazidi kufunguliwa

  • @yusterlucass
    @yusterlucass 4 месяца назад +1

    Mungu naomba unipe mwsho mwema

  • @malulamuhoja1692
    @malulamuhoja1692 Год назад +1

    Hakika Bwana amefanya jambo jipya ,smekuthibitisha umegusa wengi, Bwana akutunze, katika wewe tutashinda ba zaidi ya kushinda, barikiwa

  • @bintmwambapa7734
    @bintmwambapa7734 Год назад +2

    Aminaaa Mtumishi wa MUNGU, MUNGU azidi kukutunza

  • @sundayherrieth9460
    @sundayherrieth9460 Год назад +2

    Ameen!! Nabarikiwa sana

  • @bebebebe9269
    @bebebebe9269 Год назад +2

    Amen asante YESU CHRISTO 🙏🙏🙏

  • @RayKonk
    @RayKonk Месяц назад

    Baba Karibu Morogoro nashukuru Kwa mafundisho

  • @kimsamespa8490
    @kimsamespa8490 Год назад +2

    Mungu ndie alikutuma uende kumsaidia huyo mama kweli Mungu nimwema sana

  • @lilymwasi1221
    @lilymwasi1221 Год назад +1

    Amen 🙏🙏🙏 mtumishi emiel Mimi Niko Mombasa niombe

  • @Esther-Bri
    @Esther-Bri Год назад +4

    AMINA AMINA

  • @sophiamakani6133
    @sophiamakani6133 Год назад +2

    Amen and Amen

  • @alice4720
    @alice4720 Год назад +1

    Amen amen nimembalikiwa sana sana naomba maombi sana sana Kwa familia yangu Niko kenya

  • @nyasabatubae2875
    @nyasabatubae2875 Год назад +1

    Ubarikie sana mtumishi wa mungu

  • @EvelineKalinga-c9q
    @EvelineKalinga-c9q 9 месяцев назад +1

    AMEN karibu Mtwara Mtumwa wa Yesu

  • @ayubu_podcast
    @ayubu_podcast Год назад +2

    Hallelujah 🙏🙏🙏

  • @DIGNAJASTIN-dl8yj
    @DIGNAJASTIN-dl8yj Год назад

    Mtumishi Mungu akubariki sana

  • @esterswepa4735
    @esterswepa4735 Год назад +1

    Amina mtumishi

  • @JaneKuyokwa
    @JaneKuyokwa Год назад

    Mungu akulinde Tena natena

  • @naikekangele7117
    @naikekangele7117 Год назад +1

    ❤Ameeeeren

  • @florencemueni1183
    @florencemueni1183 Год назад +2

    Una kazi mtumishi kweli

  • @Esther-Bri
    @Esther-Bri Год назад +1

    Mchungaji Ka mm imgn nko karibu kuchoka kukutafuta kwa sababu hupokei simu, unasoma voice unanyamanza aaaaaiiiii!

    • @hancymbarikiwa7975
      @hancymbarikiwa7975 Год назад +3

      Msamehe Mtumishi Bure, mda mwingi anakuwa anahidumia watu, usichoke kumtafuta upo wakati utampata akiwa free, mda mzuri ni kuanzia saa 3 usiku anakuwa amemaliza huduma

    • @ayubu_podcast
      @ayubu_podcast Год назад +3

      Usichoke kumtafta Bwana anza Kujifunza kuomba kwanza maana hata ukimpata mchungaji kama ww mwenyewe hauko tayali itakuwa kazi bure.

    • @amosdaniel4596
      @amosdaniel4596 Год назад +1

      Kuwa na subra tu wakat wako bado ....jua nae anatafuta sana

    • @williamchihami4763
      @williamchihami4763 Год назад

      @@amosdaniel4596 mtafute kanisani kwake tumia gharama yoyote kumpata

  • @ShadrackSelemani
    @ShadrackSelemani Месяц назад

    Natamani sikumoja nikuone,najua nitabarikiwa sana

  • @leahenockmrina5381
    @leahenockmrina5381 Год назад +1

    Zaburi 105mstari 37 hausemi hivvyo watumishi

  • @Shalom2018
    @Shalom2018 Год назад

    Amen

  • @rabinzsinoya1434
    @rabinzsinoya1434 Год назад +1

    Amen. Naomba number ya Mchungaji Emieli

  • @forhimchannel5965
    @forhimchannel5965 2 месяца назад

    NAHUMUMU MADHABAHU ZA KICHAWI MA MHURI YA KICHAWI NA MAAGANO YOTE NA ROHO ZOYE ZA KICHAWI.

  • @jackiemaggy2484
    @jackiemaggy2484 Год назад +2

    Ameeeeeeen mtumishi wa MUNGU

  • @veronicamwandembwa9042
    @veronicamwandembwa9042 Год назад +2

    Naomba namba ya mchungaji wa ukonga

  • @marionoti5760
    @marionoti5760 Год назад +1

    Hivi mkristu wa leo pamoja na kuhubiriwa kweli ya Mungu wetu, Bado anaamini ktk uchawi hadithi za kufikirika na vitisho vya watu waongo, matapeli, wanaotafuta mkate wao wa kila siku kwa njia hizo danganyifu kana kwamba kazi ya Yesu kristo ilikuwa ni Bure! Tujitambue kuwa tulishakombolewa na Damu ya thamani, ili tunaijua kweli inayotuweka huru. Je kuugua au kufa, ni laana ya kulogwa na dawa za miti shamba, mapepo, au majini? Mbona hata hao wahubiri maarufu wa aina hiyo wa enzi hizo (Mosesi kulola, lazaro na wengine nisio wajua) waliugua, wakalazwa hospitalini na hatimaye kufa? Mbona watoto wachanga(wasio na hatia/watakatifu),akina Abrahamu, Musa Isaka, Yakobo, Daudi Elia, Elisha, Samsoni, Petro, Paulo, Tomasi, Yohana, Matayo, Luka na wengine waliugua,wakateseka kwa magonjwa hatimaye kufa? Hawakuwa na Mungu ndani Yao? Mbona tunawapa nafasi matapeli kuhangaisha nafsi na dhamiri zetu? Hivi Mungu/Yesu kristo anawasikiliza zaidi wao(wahubiri matapeli) kuliko sisi? Tusemeje basi? Pazia la Hekalu lilipasuka Bure? Hatutaki kufa? Kwa nini tuliletwa hapa Duniani? Mbona twayachunguza maandiko matakatifu kwa tafsiri potofu kana kwamba ndimo ulimo uzima wetu? Naomba mjadala huu uchukue nafasi mioyoni mwetu ili tuijue kweli na kujiweka huru. Nipo tayari kwa mahojiano ya ana kwa ana na yeyote. Na.yangu ya simu: 0754387546. 18:22 19:40

    • @DIGNAJASTIN-dl8yj
      @DIGNAJASTIN-dl8yj Год назад +1

      Wew tuache tumsikilize mtumishi wa Mungu kama hutaki usimfuatilie achana naye kabisa

    • @HellenSulle-m7t
      @HellenSulle-m7t 2 месяца назад

      We amini kuwa hakuna uchawi acha walikuwa wachawi na Mungu akawaokoa kutoka na wao ndo walikuwa walogaji wazuri mpaka kanisani kuwaharibu waumini na wachungaji wao acha atufundishe namba wanafanyaga

  • @sandeabacha7346
    @sandeabacha7346 Год назад +1

    huyo jamaa anaepiga piga kinanda Anatutoa kwenye uwepo... kwanini asimuache mtumishi akahubiri kwa utulivu...

  • @niyonkuruobasanjo3304
    @niyonkuruobasanjo3304 Год назад +2

    Msafili mbona image zinagandaganda

  • @Zawad-nd7yi
    @Zawad-nd7yi Год назад

    Baba hata Mimi mama yangu ni kichaa wa miaka mingi tangu mwaka 2000 mpaka Sasa ulipo

  • @trophywilson7211
    @trophywilson7211 Год назад +1

    anzisha kipindi cha maombi ya watu wa nje ya nchi

  • @juliuskalama2746
    @juliuskalama2746 Год назад +2

    Jacktan mbona picha inagandaganda