NENO LA SIKU | Marko 1 | Maombi Ya Kufungua Mbingu | Isaac Javan
HTML-код
- Опубликовано: 9 фев 2025
- Leo tunaanza kusoma kitabu cha Marko, na tunaenda kufanya maombi ya kufungua mbingu katika ulimwengu wa roho. Lengo la maombi ya siku ya leo ni kuondoa vikwazo na vizuizi vinavyozuia maombi na majibu ya maombi yetu.
Inawezekana ukafanya maombi na Mungu akakujibu, lakini majibu yako yakazuiliwa katika ulimwengu wa roho. Lakini pia inawezekana ukafanya maombi kwa imani, lakini maombi yako yakazuiliwa yasifike kwa Mungu.
Na siku ya leo tunaenda kuvunja huo upinzani, ili tuweze kuwa na ushindi katika maombi yetu. Kwa hiyo tutakapokuwa tunaomba, omba kwa imani, lakini pia tumia mamlaka uliyopewa na uhakikishe unapata ushindi.
Nami nakuombea ili YESU akufungue na akuondolee vizuizi vinavyosimama kinyume na maisha yako katika ulimwengu wa roho. Nakuombea kuanzia siku ya leo uanze kuona wepesi kwenye maombi yako na YESU akupe haja za moyo wako. Mungu akubariki sana na kukutunza daima. Amen
Isaac Javan | +255 745 76 545 72
Nashuru sana kwa neno na maombi mungu akubatiki sana
Amen sana ,God bless you servant of God, may God take you far and meet your dreams for being so blessing in my life Amen.
Mungu akuzidishie kibali cha kutulisha Neno plus maombi🙏🙏.Katika jina la Yesu nafungua mbingu ya majibu ya uponyaji na amani kwenye miguu yangu Amen.
Ameen Mungu zangu zimefunguliwa kwa Jina la Yesu nimepokea majibu yamaombi yangu
Amen naamini kwakupitia neno la siku marko 1 mungu amenifungua kila mbingu yangu ilio fungwa kwa jina la yesu ubarikiwe sana mtumishi kwa maombi yako
Ubarikiwe na bwana akujaze nguvu 🎉🎉🎉🎉
Amena amena amazing ❤❤❤❤❤
Amène Amène ubarikiwe sana nawe piya mutumishi wa bwana mungu .ariye keti katika kiti ça enzi
Amen Amen Asante mutumishi wa mungu ubarikiwe Sana mutumishi
Amen mbingu zifunguke kwa jina la Yesu
Amen barikiwa sana mtumishi 🙏🙏
Amen And Amen baba Mungu azidi sana kukuinua kwa ajili yake ili watu wote Tumjue Mungu na tumtafute nikweli
Ulimwengu wetu wa Roho hufungwa na Adui asante kwakutufundisha
Mungu akutunze nakukubariki na kuku Tunza Barikiwa sana
Barikiwa Mtumishi wa Mungu aliye Hai
Amen. Ahsante YESU
YESU Kristo wewe Ni Bwana Nakupenda kutoka ndani ya vilindi ya moyo Wangu na Amini upo nasi Wa sikiya maombi Yetu . Amina Ubarikiwe milele Babangu Wewe ni Bwana YESU ❤ Bonne fête de Pâques 🐣
Amen barikiwa sana baba
Aminaa mungu akubaliki baba
Amina
Amen, Amen, Mungu akubariki
Bwana Yesu Asifiwe nikweli kabisambingu zinafungwa maana tunaomba sana kumbe adui anatufungia tusipokee majibu ya maombi yetu Yesu tusaidie sana
Mtumishi endelea kutupa Madini ambayo hatujawahi kuyapata
Mungu akutunze sana sana
Amém amém amém ,
Amém amém..
❤❤❤ameni jimebarikiwa
Mungu akubariki sana ❤
Amen barikiwa
Amen mchungaji, nashukuru.
Amen 🙏🙏🙏
Amen Alleluia
Amen
Aminaaaa baba
Asante baba mungu akubaliki
🎉🎉
Amen Mtumishi
Amen mt
Amins
Amen Amen
Erimina😢❤
Ameen Mtumishi.
Ameen
Ameeen
Amen Amen Amen Asante Yesu. Barikiwa mtumishi wa Mungu
Asante Mungu Kwa kuniondolea na kutoa Kila kizuizu kilichokuwa kinakwamisha majibu ya maombi yangu, ubarikiwe mtumishi wa Mungu, Tena samahani mtumishi hiki kitabu Cha pili ilikuwa ni kumbukumbu la torati 28:23 , Shalom
🙏🙏
Amen
Amen
Ameen Ameen baba
10:16 10:18
Poster tulitee maombi ya mchana
Amen amen
Amen Mtumishi
Ameen Ameen
Amen
Amen
Amen
Amen