Buki, Yammy - Sio Vibaya (English Subtitled Video)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • #liwalonaliwe #lyricsvideo #hitsong
    Shot by saixl
    / iamsaixl
    Produced by Foxx Made it & Crazyvibes
    Available in all digital platforms
    ampl.ink/ALoZR
    For Bookings:
    Contacts -- bukimanagement@gmail.com
    mailtevinci@gmail.com
    Connect With Buki On:
    Instagram: / buki_tz
    Tiktok: www.tiktok.com...
    Listen on other Platforms:
    Spotify: open.spotify.c...
    Apple Music: / buki-tz
    Boomplay: www.boomplay.c...
    Audiomack: audiomack.com/...
    Lyrics:
    Mungu atakupa na salama
    Akuhifadhi na kila lenye shari
    Akutunze mpenzi wangu
    Ishi vema
    Akuepushe madada matapeli
    Liwalo na liwe sawa
    Naomba niwe rafiki yako
    Naomba msalimie sana
    Aliyeteka moyo wako
    Nilitamani niwe mie
    Ila tatizo sina kipato
    Haya mwenzangu na mie sawa
    Huu ndo muda wako
    Siyo vibaya
    Mara moja moja ukanitumia meseji
    Sio vibaya
    Ukipata nafasi
    Uje unicheki
    Sio vibaya
    Japo nikipiga simu
    Unampa yeye anapokea
    Sio vibaya
    Nikituma meseji unampa yeye nachati nae
    Ya zambarau
    Ukaichuna rangi ukaifosi iwe nyeupe
    Ukajisahau licha upendo wa dhati
    Ukaniona kama kupe
    Ulipanda dau shida sio ibilisi wala usimuongope
    Angalau
    Uniache nipumzike
    Kwa maana
    Unyonge wangu upole jamani ulifanya unione
    Mwenzako karidhika na hali yako
    Tusisumbuane
    Nalishwa kambale
    Utamu wa samaki
    Changu wacha ninenepe
    Unalia unaniigizia
    Futa na namba zangu
    Liwalo na liwe
    Sawa
    Wacha niwe adui ako
    Usijisumbue wala
    Mie sio nyota yako
    Sikupendi ndio
    Mimi sio kibonde wako
    Siyo vibaya
    Mara moja moja ukanitumia meseji
    Sio vibaya
    Ukipata nafasi
    Uje unicheki
    Sio vibaya
    Japo nikipiga simu
    Unampa yeye anapokea
    Sio vibaya
    Nikituma meseji unampa yeye nachati nae
    Copyright ©2022 Buki ℗ TEVINCI. All rights reserved.

Комментарии • 392

  • @buki_tz
    @buki_tz  Год назад +54

    Follow me On instagram @buki_tz instagram.com/buki_tz/

    • @shukuraniabwe2400
      @shukuraniabwe2400 Год назад +5

      My name ❤❤❤❤

    • @rajaramgovindaraj5718
      @rajaramgovindaraj5718 Год назад +1

      Yamm nakuombe kwa mungu utoboe maana umenivutia sana tena sana kwa hi nyimbo sio vibaya daah yamm mungu akusimamie kwenye kazi yako 💋💞💞ilove yuo sormuch yamm

    • @abouyebo8089
      @abouyebo8089 Год назад

      Mamd

    • @latifaswalehe2614
      @latifaswalehe2614 Год назад

      Is b😊

    • @tanveermalik6182
      @tanveermalik6182 Год назад

      Imagine mm nimeona hii video status ya mtu ikabidi nimekuja hapa nzuri sana tena sana saut imekaa mahala pake ❤❤❤

  • @linnamapunda2275
    @linnamapunda2275 Год назад +19

    Sisi kama mashabiki wa nandy tumesha kupokea kwa moyo mmoja tunakupenda❤️❤️❤️💘

  • @hidayasingano7771
    @hidayasingano7771 Год назад +7

    Wimbo mzuri hauna matusi lugha nzuri ya kiswahili swadakta mashalah hongereni wote meseji tumeipokea nyimbo haichoshi kuskiliza

  • @tanveermalik6182
    @tanveermalik6182 Год назад +4

    Bravo bro buki.,, halafu nyie mnaoona kazi rahis fanyen yenu kama ni rahisi 😏 Mpongezeni bro amejitahidi sana.

  • @antarsangali4456
    @antarsangali4456 2 месяца назад +3

    Goma nene bab kubwa kabisa limenizibua akili zangu.Wapi video nyinyi watu?

  • @tilderndegeulaya6062
    @tilderndegeulaya6062 Год назад +5

    Yani kwa buki nasikia sauti mbili ya Mbosso na Aslay kwa yammi kama zuchu du nice song

  • @IssaAbdillah
    @IssaAbdillah 2 месяца назад +2

    Hapo kweli bro Kwa wahenga wakupishi ,,,

  • @nicholasmuendo9943
    @nicholasmuendo9943 Год назад +3

    Nakubali sana mtoto mzuri anavyo lia kwnye nyimbo na kwnye video nimekubali hyo sauti kwli ina mapenzi ya ukwli🔥🔥🔥

  • @savanny_music
    @savanny_music Год назад +4

    nimefika huku kutoka tiktok.Nipo nje natazama angani nyota za ng'aa wimbo huu ukiwa maskioni

  • @arabgandaempire
    @arabgandaempire Год назад +6

    *Let us all express ourselves through the power of Love peace and Music.*

  • @HdVoice-j7u
    @HdVoice-j7u 3 месяца назад +3

    Kazi nzuri kaka

  • @hassanhamis7730
    @hassanhamis7730 Год назад +3

    Hii video mmekurupuka haina reality sio nzur hata kidogo hatujaipenda

  • @AbdallahKombo-j4q
    @AbdallahKombo-j4q 7 месяцев назад +3

    🙋🙋🙋❤❤ Noma sana mdada nakubali kazi nzur jaman naomba like

  • @lilyrosie3310
    @lilyrosie3310 Год назад +5

    Yammy whatever her name is PLEASE! make more songs.

  • @ramamabinda5063
    @ramamabinda5063 Год назад +4

    Daah aisee hizi nyimbo za namna hii naweza kuskiliza kila wakat, nnje ya muda wa ibada tu.

  • @NAJMAJOHN-y8d
    @NAJMAJOHN-y8d 10 месяцев назад +2

    Pend san ukion mwanamk mwezio an patia mpe sifazak sifa kwake uyudd❤❤❤

  • @desiderias254
    @desiderias254 Год назад +4

    Leo nimeskia nikaskia mbosso sound❤❤

  • @alltrending7392
    @alltrending7392 Год назад +3

    KIJICHI GOT TALENT... UJE GATEWAY BAADAE KUNA BIA ZAKO 😂.... BUKI 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @trickytrenda7772
    @trickytrenda7772 2 месяца назад +2

    Yammy my love 💞,,u really got me into my feeling.😢

  • @perusimissana4736
    @perusimissana4736 Год назад +2

    Wimbo mzuri sana 👌, I like the creativity...🤩
    Nice Art

  • @mtulivu8743
    @mtulivu8743 Год назад +2

    Uaga napenda sana jinzi kiumbe huyu anavo juwa imba..wallai uko sawa

  • @nakshigwal
    @nakshigwal 4 месяца назад +3

    I want to join music buki🥺🥺one day inshallah 🤲

  • @HdVoice-j7u
    @HdVoice-j7u 3 месяца назад +2

    Kazi nzuri kaka

  • @shadyashadyaamani5897
    @shadyashadyaamani5897 Год назад +2

    Yan nyimboo ipo vizurii san ina nikumbush mbalii san 😘😘😘😘

  • @fahadalliy1688
    @fahadalliy1688 Год назад +1

    Video nzur sana ila haikuwa na mantik ya kile kinachoimbwa

  • @AmayraShie
    @AmayraShie Год назад +2

    Acha ibaki historia mimi na yy .....much love yammi na buki from Kenya 🇰🇪

  • @SaidKenga-x6s
    @SaidKenga-x6s 11 месяцев назад +3

    Aki napenda sana songs zako mummy

  • @Tdotkido
    @Tdotkido 9 месяцев назад +3

    Jifunze kuachika😂

  • @williammohamed3081
    @williammohamed3081 Год назад +2

    Dah sema unajua Sana mpaka unaboa ngoma Kali mpaka dah bax

  • @bossmebossme5839
    @bossmebossme5839 Год назад +2

    Aya chibaba nimekuja mie kuweka comment yangu sijaukasema sikufika +254

  • @kennethbaraka9591
    @kennethbaraka9591 Год назад +2

    Ukisika mwanzo utamhurumia sana huyo dada bila kujua stori yote kamili

  • @FrankjumaNdakama-g1c
    @FrankjumaNdakama-g1c 8 месяцев назад +2

    C og hiii Tunasubiri video yake Jamani 🙏🌹🌷💯

  • @sophiahminaro9436
    @sophiahminaro9436 Год назад +3

    buki napenda sauti yako... though nikama ya mboso....alafu dada yammi napenda ww sana

  • @Saidimipango
    @Saidimipango 2 месяца назад +2

    🎉

  • @antarsangali4456
    @antarsangali4456 10 месяцев назад +2

    mmeua kishenzi yani sijui nisemeje hadibieleweke

  • @geraldeliah7287
    @geraldeliah7287 Год назад +3

    Mbna kama huyo mwamba ana voice kama ya Mbosso 😆

  • @man-tbite5340
    @man-tbite5340 Год назад +2

    Tatizo kubwa lililopo kwako brother buki ni video unatakiwa ujue video n kama audio ya 2 ambayo kivyovyote vilee inatakiwa ikupeleke mbalii hvyoo iwekee umakini na ubunifu mkubwa kama wakati unatunga mashairi ya nyimbooo yakoo au kurecodi audio zakoo au kama utaona kidogo wew masuala ya kushoot sio saaaana basii jitahidi kucheza vyema na madirector wakooo mtoe kazi nzur zenye kuendana na mantiki ya audio
    NAAMINI UTAFIKA MBALIII SAAANA MANA KWENYE AUDIOO HAMNA KOSA UNAJUA MPAKA SIOO PW KAKA

  • @salmamasoud791
    @salmamasoud791 Год назад +2

    Ngoma Kali sanaa ila video bado nyimbo nzuri

  • @daisheyidarus8689
    @daisheyidarus8689 Год назад +3

    Hii kumtumia ex inaruhusuwa?

  • @MishuuSaid-ch4dv
    @MishuuSaid-ch4dv Год назад +2

    Hiyo nyimbo si ni ya kakangu brother Nassir from Kenya?? Nd what I know mtu akiimba nyimbo yenye sio yke anafaa kuindicate Kama ni cover, though I dnt know much in songs...

  • @flomenastephen2226
    @flomenastephen2226 Год назад +4

    Duuuh zuchu na mboso

  • @lulually5209
    @lulually5209 Год назад +5

    Hii sauti mbona km ya mboso

  • @fietshadya7360
    @fietshadya7360 Год назад +4

    Good job bro and keep going 🔥🔥🔥

  • @bikoogolla4257
    @bikoogolla4257 Год назад +2

    Nzuri sana. Naskiza kutoka Kenya, keep going.

  • @mwangyomboasifiwe9987
    @mwangyomboasifiwe9987 Год назад +3

    Uyu buki nyiee ni hatareee embu turudie kumsikilizaaa

  • @hamurabani5386
    @hamurabani5386 Год назад +2

    Jamaa kupitia hii nyimbo Kali sana🇹🇿

  • @jacksonjohnkiluli7446
    @jacksonjohnkiluli7446 Год назад +3

    Nyimbo nzuri sana Kama ya madlasa

  • @bram_engineer
    @bram_engineer Год назад +3

    napenda nyimbo zenye hisia kama hii hapa jameni

  • @mimahogtz597
    @mimahogtz597 Год назад +88

    Ni vdeo nzury ila haikupaswa muishoot hv ilibd iwe kwel unaongea nae Kwa cm na huyo mkeo awe kwel mama kijachooo Ile sorry bby anakuja nakukatiaaa iwe anakuj kwel bby Ako🙌🙌🙌nyimb NZURY vdeo nzur ila so snnaah

    • @dianeernest
      @dianeernest Год назад +7

      Angalia video Mara mbili mbili na usikilize ujumbe then comeback to the coment....thank me later

    • @soudalli5605
      @soudalli5605 Год назад +6

      Wewe tena director... 😂

    • @abdulsaid5518
      @abdulsaid5518 Год назад +1

      Kweli ujakosea

    • @rukiajory9354
      @rukiajory9354 Год назад +6

      Ila kwl mamy nakunga mkono ingepnda yammy awe anampgia cm afu buki yupo ome na family ake na mkewe ingekua pw zaid ili2pate ualisia wenyew lkn shareout nymbo kalii nmeikubali🤙🤙

    • @eddula1756
      @eddula1756 Год назад +1

      SAWA director...Lkn kama ndo ungali direct hivo wewe ... MIMI nisingaliipenda cz hujui 🫣🤪

  • @estherkarisa6190
    @estherkarisa6190 Год назад +2

    This song is Amazing!!!!the video is unique na waimbaji wazuri .all the best in ur career.you guys are legends in the making.Love from Kenya.Salute

  • @MOTIVATED.MINDSET.DANCERS
    @MOTIVATED.MINDSET.DANCERS Год назад +4

    Sauti ya Aslay

  • @Binamu224
    @Binamu224 Год назад +2

    Video kali ila yammy yu wapi jmn

  • @SuphianiMalinda
    @SuphianiMalinda 7 месяцев назад +5

    Kaka katika hii move ya mkojani inayo itwa MSANII Kuna hii nyimbo Yako Ina itweje

  • @milamila8653
    @milamila8653 2 месяца назад +2

    😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @davidijames1661
    @davidijames1661 Год назад +2

    Hii nyimbo tamu tens tamu kunoga ila ilitakiwa iwe ktk uhalisia ambavyo mmeimba so haikutakiwa kuwa ktk highclasic nakuombea utafk mbliiii

  • @hosnakamees5454
    @hosnakamees5454 Год назад +3

    Nyimbo nzur 😘❤❤

  • @mackysuphian
    @mackysuphian Год назад +1

    Mbosso anakuja na aslay akauja anakata🤔 but ngoma kali🔥🔥🙌

  • @abdulazackabdul1894
    @abdulazackabdul1894 Год назад +2

    Wimbo mzuri sana Buki.

  • @salwasuleiman3525
    @salwasuleiman3525 Год назад +2

    Ngoja niirudie kwa mara ya 3

  • @omarymussa7471
    @omarymussa7471 Год назад +2

    Nipo live naisubiria burudani...

  • @adambunduki4524
    @adambunduki4524 Год назад +4

    Mi nasema tu dil de diya hai mwenyewe ataelewa

  • @abdallahkisongera5923
    @abdallahkisongera5923 Год назад +2

    dah sktegemea hii video kua ktk muktadha huu kwakwel mmetukosea

  • @jiamwiwambura
    @jiamwiwambura Год назад +3

    Hii ikupate na heartbreak ..utalia sana 😭😭😂😂😂🇰🇪

  • @RajabuShabani-h4r
    @RajabuShabani-h4r 2 месяца назад +1

    Eeeeeeee❤❤❤

  • @adrianorayner6551
    @adrianorayner6551 Год назад +1

    Mzee toa Nyimbo nyingine hii sasa imekuwa too much Sasa , mara lyrics video, mara audio, mara cover, mara official video... Unairudia kinoma au uliotea?

  • @HdVoice-j7u
    @HdVoice-j7u 3 месяца назад +1

    Kazi nzuri kaka

  • @HusnaRamadhan-q8o
    @HusnaRamadhan-q8o 6 месяцев назад +2

    Pamoja sana

  • @sullehtz9327
    @sullehtz9327 Год назад +2

    Nyimbo mzuri sanh 🙌

  • @itschanzuian6080
    @itschanzuian6080 Год назад +2

    Noma sana nimeipenda

  • @HevingItison
    @HevingItison Год назад +2

    Wimbo huu umegusa hisia zangu

  • @mwiker_tz6519
    @mwiker_tz6519 Год назад +3

    One day u will be super star

  • @danteboychild994
    @danteboychild994 Год назад +9

    Nyimbo ni kama hizi sio kwikwikwi

  • @AllyMAlly-cr6uw
    @AllyMAlly-cr6uw 2 месяца назад +1

    unajua Mzaramo

  • @kubwalaodancers
    @kubwalaodancers Год назад +2

    🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🔥🔥🔥🔥🔥

  • @swaumusharafi3974
    @swaumusharafi3974 Год назад +1

    hongela sana buki hii nyimbo imewachoma watu weng maan Kali,💗💗

  • @salimsaid3688
    @salimsaid3688 Год назад +1

    huna baya htl ma nusu htl ya january

  • @Themoneychaser
    @Themoneychaser Год назад +1

    Tushakuchukua ondoa shaka dada support yangu unayo from _Kenya🇰🇪

  • @ferzanahqt3513
    @ferzanahqt3513 Год назад +2

    Kali sana broo🔥🔥

  • @worldneyz4116
    @worldneyz4116 Год назад +1

    Nice ila ingefaa I we kama umempigia simu mnaongea ivi ingekuw bombs ila sio mbaya

  • @dannyclever1076
    @dannyclever1076 Год назад +2

    umetisha sana blood angu

  • @PurityKadii-rs5fo
    @PurityKadii-rs5fo Год назад +1

    Nzuri sana ruki juu inachoma bt inaukweli ndani yke

  • @mwakahamisi4113
    @mwakahamisi4113 Год назад +2

    Nimeipenda sana 🥰🥰🥰🥰🥰

  • @masudisenzia2991
    @masudisenzia2991 Год назад +2

    Mimi siyo shabiki wa nandy but with this i think you desrve respect

  • @zuu9022
    @zuu9022 Год назад +1

    Sauti ya mboso daa nawapenda jamani..imegusa sana hii song

  • @BebethLisa
    @BebethLisa 9 месяцев назад +1

    Aki yammi amefanya unyama sasa why hapo kwenye video

  • @ShabanOmary-du1vr
    @ShabanOmary-du1vr 5 месяцев назад +1

    Msamah unaitajk xx. W anaume😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @trizahkariuki7003
    @trizahkariuki7003 2 месяца назад +1

    Awesome listening from 🇰🇪🇰🇪

  • @EmilyKiondo-z2c
    @EmilyKiondo-z2c 5 месяцев назад +2

    😢😢😢😢

  • @halimahaji3856
    @halimahaji3856 Год назад +4

    Huyu kaka sauti kama mbosso,

  • @6ix7ne
    @6ix7ne Год назад +3

    😢😪😪😪😪😥😥😥😥

  • @maleek11flacko
    @maleek11flacko Год назад +2

    🇰🇪🇰🇪🇰🇪❤❤💧

  • @masudikisima820
    @masudikisima820 Год назад +2

    Atal sana ngoma hiii

  • @jacklinecoata4214
    @jacklinecoata4214 Год назад +2

    Hongela dad nakupend Bure upo vzr

  • @mussahaji230
    @mussahaji230 Год назад +2

    Nyimbo nzuri sana

  • @JulianaLeonards
    @JulianaLeonards Год назад +1

    Wimbo huu unagusa hisia jamani yammy lakini 🎉🎉🎉kazi Poa ❤❤

  • @dominicalbinus1729
    @dominicalbinus1729 Год назад +2

    video aiendan na nyimbo

  • @Iam_rhynolence
    @Iam_rhynolence Год назад +3

    I love my country now I see the really music

  • @CHRISCLAMKE
    @CHRISCLAMKE Год назад +1

    Sauti ya mbosso

  • @laxmajor
    @laxmajor Год назад +3

    🚀🚀🚀

  • @saydmaggidjr4229
    @saydmaggidjr4229 Год назад +2

    ❤️❤️🌹