Allah akuzidishie Rafiki yangu n akupe kila la heri n akuepushie n kila la Shari na akupe subra ili uweze kufaulu katika mziki wako n mm nakupongeza uendelee hivyo hivyo
Buki wewe 🔥🔥💥 mm ni fans wako mzur sana i na sijawah kukupinga kaka daaaah.....cjui nn niseme juu yako lkin naamin cku 1 utakua msanii mkubwa hapa nchin ....allah anatosha na mkubwa ni yeye amin soon utakua mkubwa ♥️♥️🔥🔥🙏🙏
Follow me On instagram @buki_tz instagram.com/buki_tz/
🦅
Kwa uandishi tu kaka nna mengi saana ya kujifunza aisee Allah akupe kila hitajio
@@saidbakari2408❤a
Damn my G,, great work💯💯🥂
Allah akuzidishie Rafiki yangu n akupe kila la heri n akuepushie n kila la Shari na akupe subra ili uweze kufaulu katika mziki wako n mm nakupongeza uendelee hivyo hivyo
Bro ume act vizuri sana kwenye hii video ya umeweka hisia mnooo. Hongera sana
kaka, uko vizuri , sauti , mashahili, mtililiko wa tunzu zako, ongera na kaza kaka , big up
Mbona kama namskia mbosso kwenye hii nyimbo❤❤❤
Mmmmh mbosso mbona kama yupo humu ndani ya track
Same to mee
Hapan huyu buki tz hua anaimba kam mbosso
Masikio yako ayo wwe 😂😂
Hujakoseaa 🎉
Kali sana dah!🎉 naunanikumbusha mchezo wa kivyere
Unajua sana kaka ni swala la muda tu kukaa kwenye level unazostahili.💪
Sauti nzuri kaka....na unavyo changana hapo kihindi na kiarabu... Masha ALLAH upo vizuri sana...love from Mombasa Kenya 🇰🇪 nime subscribe
*Let us all express ourselves through the power of Love peace and Music.*
Bonge moja la nyimbo utafika wakati wa mungu ni muda sahihi
Buki wewe 🔥🔥💥 mm ni fans wako mzur sana i na sijawah kukupinga kaka daaaah.....cjui nn niseme juu yako lkin naamin cku 1 utakua msanii mkubwa hapa nchin ....allah anatosha na mkubwa ni yeye amin soon utakua mkubwa ♥️♥️🔥🔥🙏🙏
Feeling it inside my blood vessels, bigup brother
Kweli kaka funguo la mapenzi wakumbushe🥰🥰😍
Unajua sana Hadi unakera keep it up ❤♥️♥️🌼🌼🌼
🌟🌟🌟🌟
Love from +254 Nairobi Kakaa,aisee mapenzi nyie
Sasa wewe ndo msanii, unaimba kitu kinagusa nafsi, 😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Mpaka nimelia et.
Beautiful song! Keep it up Buki!❤❤❤
Naaaam.
All the best for you, much ❤ from 🇧🇮
Its your time bro to shine hii ni kazi mzee appriciate
Love from mombasa Kenya ❤
Nilikufatilia TikTok ikabidi nikufate kwenye RUclips Yako congratulations kwa kipaj kaka siyo matako Kila anacho umebarikiwa pambana
Nilipo gundua kijana ana kipaji.namfatilia sanaaa. Kaza Buti kaka una kitu
Hii noma ww unajua sana
Noma saaaaana 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Uhalisi mtupu mapenzi kweli nyoko unajua true story
Keep Going my brother Buki The Best Songs ❤💯💖
Respect 😂😂😂
Buki. We hatar sana kuna sku umma utaelewa tu .big up sana broh bonge moja la ngoma
this song inanikumbusha someone ambaye niliahd kufanya vitu ningi sana but she not here with
BIG UP BRO
Kali iyo bro 🔥🔥🔥🔥🔥
Aky saut nzuri sana ya kuimba kawaida na kusoma Quran mwanzo nkama ulkua muadhini KAZI nzurii🎉
this is what bongo flavor use to be.... music with a powerful story line ... love this
Hongera kaka, wimbo mtamu huuu
Leo nikitana na good music 🎶
Ngoma nzuri sichoki kuizikiza❤❤❤❤
Kazi nzuri Buki keep it up bro
Great work 🎉keep it up😊😊
😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢 No.1 rated artist in Tanzania, hii inatakiwa ipige hata 1B views kabisa
Mungu akusimamie nakipaji chako
Nice songs wallah❤
unajuaa sanaaa
Zinduna kma zinduna kwenye ubora wke❤
😭😭😭😥Unaweza kaka
Kaswida love song❤❤
goodluck my 🇬 💥💥🔥🔥
Ur so talented...👊
Ngoma Kali xana mungu akutangulie kwenye Mambo Yako 2
Hiii nyimbo nikama umeniimbia mim dah yot ulio imba yamenikumim t dah 🙏🙏🙏🙏💯
Bonge la baibuda brother af kuna watu wamechanganyikiwa na komand Sema brother one day niko pale...
Naipenda sana mm kila masaa naiangalia hii Wimborne mzur
Big fans of you bro 💥💥🔥🔥
Unajua sana mungu akusimamie kaka 💔
Hatariiii🔥🔥🌹ngoma kaliiiii❤
Ngoma kali sana kak
Love it❤❤💯
Buki tings 🎉
Mbosso khan mshedede kirungi... Kaweka Sauti kwenye chorus (yanautaaamu)
Daahhh😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭jamnyyyyyyu jamnyyyyyyyyy
My favorite song❤❤❤
Diamond msanii huyu kijana anajua mnoooo
Boa música Moçambique
Buki wewe msanii muda2 mdogo wangu😊
Great audio and visuals kali sana.
Nakupenda bureeee wew kijan
Yaan unanikosh kwel
Mashaalah ❤
Hiii talent vip jaman
Wewe buki weeeh❤🎉
Oya rusaganya anakutafuta na yondu ahahahaha
Wow❤❤❤❤❤🎉🎉 nakupenda bure Mr
Talent 🔥🔥
Doooohh sikha ya kibabe 😢
❤❤❤❤❤❤❤❤ unajuaaaaaaaaa🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Mashallah mistari imeenda shule🎉
Woe❤❤
Noma sana kak
Huu mwimbo upo ktk move ya mkojan nice
Sikupingi ndugu hii ngoma Kali kinyaama
Kazi safi
🎉good
Umetonesha kidonda changu cha moyo fro kenya
❤😃😃✅
jamaa haimbi kama underground, song iko so dope
❤❤❤❤❤❤
Msanii mkubwa✌️👍keep pushing
I can see mbosso brother from far
hiyo ngumi 👊🏽 uyo mwamba kaiskia hahaha 😂😂😂
🔥🔥🔥🔥🔥🔥❤️❤️❤️
Mashaallah na kukubali sana
l love Tha sony😍💯
Big up bro❤ so painful 😢
Daah one day meet you kaka
Umetisha san
Wow❤❤❤❤❤❤❤❤
❤🔥🔥🔥❤😍💯
nice ❤❤❤❤❤
never seen before 👌🏾🔥
I like
Hi
Mashllh jamaa anaimba sio mchezo
You're de best G
Umetonesha kidonda changu cha moyo 🇰🇪
😂😂😂
Braza from Another , hili Ni jiweeeeeeeeee🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥✍🏻
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
So nice brooo