@@omarzubeir3907 wew huoni fatuwa zake zinachanganyika na sunnah na wakati mwingine ana jibu la kwenda na matamanio ya nafsi za watu au huoni sijui lbda anaogopa akiwa anasema kweli taasis zake zitatiwa fitna na bakwata, ndo kinacho muhofisha any way mi namuomba kwa Allah amrudishe katika mstari wa saw yeye na sisi
Ni.kweli Allah amuomgoze
Shekhe huyu sunnah Zina mpokonyoka kila siku ziendavyo ni shekh wa kwenda na matamanio ya watu tuuh, anaelekea kuwa hizbi kabisa.
Kivipi yaani ningeomba kufahamu hapo
@@omarzubeir3907 wew huoni fatuwa zake zinachanganyika na sunnah na wakati mwingine ana jibu la kwenda na matamanio ya nafsi za watu au huoni sijui lbda anaogopa akiwa anasema kweli taasis zake zitatiwa fitna na bakwata, ndo kinacho muhofisha any way mi namuomba kwa Allah amrudishe katika mstari wa saw yeye na sisi