MWANAMKE Mwenye akili(Tabiza za Ajabu seh. III)
HTML-код
- Опубликовано: 28 сен 2024
- Lazima ujifunze kwa waliotangulia,Abigail ni mwanamke wa ajabu!!!!!!
USISAHAU KUBONYEZA "SUBSCRIBE" ILI UWE WA KWANZA KUPATA MASOMO MAPYA. PIA DOWNLOAD APPLICATION INAYOITWA MAOMBI KWENYE SIM YAKO YA MKONONI. NENDA KWENYE PLAY STORE YAKO.
Barikiwa sana pr Mungu akubarik sana kwa kazi yake
Barikiwa sana mchngaji
Kwakwel umen fumbua masikio nilikua sifahamu ilo pastor asante sana
Blessed speach🙏🙏
Kweli hili hubiri ni jiwe..barikiwa kwahiri Pasto
Asante papa kwa mahubiri mazuri ambayo unatufundisha.sasa Nina swali! kwetu siye ba français tuna sema iyo siku ya sun day kwa lugha yetu Dimanche. sasa iyo siku kwetu inamaanisha 7ème jour dela semaine . na wakati unatufundisha ya kwamba siku yasabato nisiku ya 7.
Silva Debaba soma bibilia uta jua ukweli. Sunday siyo siku ya church
Gosp
Pastor Nabarikiwa Sana kwa mahumbiri yako.hawa watu ukiwaambia Sunday ni ☀ day, wanasema Kwan hivyo Saturday ni 🌟 day.ama surturn
nmeshukuru pastor barikiwa,Naitaji upatiso nikupataje?
AMen pst..ubarikiwe..ila siku sahihi ya kuabudu ni gani?
Barikiwe sana Pastor
Mchungaji kwa sasa Niko Qatar ila mimi ni Kenya jambo la kwanza nikirudi Kenya nataka kubatizwa, mungu azidi kunifunulia mafundisho yake
AMEN
Ila mchungaji nina maswali kadhaa, mbona humusherekei Christmas na ni kuzaliwa kwa mkombozi wetu, ebu nielimishe tafadhali, nakama Kuna WhatsApp group nibora zaidi kuwasiliana na kufundishana juu mimi narudi Kenya mwaka sijao tafadhali pastor
mtumishi humenigusa.mim niwamwisho kuzaliwa lakini na beba majukumu kuzidi hata mtoto wa kwanza nabado nakutana na changa moto nyingi
and Saturday
is Sat -day
Ameena
Nabarikiwa Sana na mahubiri Mungu anibadilishe
God bless you
paulo sembs
Mutumishi na nabii wa wa muumba wambingu na inchi nakuomba sauti kunawakati unawapatu wa ndani yakanisa sauti ambayo sisi watazamaji hatusikii maramingi hiyi iko kwamahubiri nyingi unayofundisha.
nimebarikiwa asante
Iyo ni kweli Baba Sunday ni siku ya kwanza ya juma yani juma tunaianza na Sunday.
Nice speech!.. But confused on days definition!!
barikiwa sana pr mbaga
Barikiwa mtumishi wa mungu
Meet me
Asante
Jamani mchungaji naomba nijue kama mnasherehekea krismas
hapana
Alma Beatrice sasa hii siku ya crisma dio aiko kwa bibilia
True everyone is accountable for their own sins.
Sasa sisi tuki abudu Mungu iyo dimanche nimakosa ?
Dinmache Kifaransa
Jamani ndio nagundua hapa kumbe mafunzo ya baraka yakanipita !!
Kacou Philippe ndiye nabii pekee wa kweli wa Mungu katika kizazi hiki. Wengine ni watumishi wa shetani. tembelea www. philippekacou.org
Kouame Regina ok sawa ayo nimaoni yako mwenyewe
Lazaro Malanga .gffhmkgrw yetu grt
mm nmeijua kweli tangu npo darasa la saba wkt huo nikiwa mlokole wa kufa na kupona
lkn kweli nikaijua nilpokuwa form one namshukru mungu nilkaa kwa shangazi nae alikuwa msabatho huyo ndiye akanivuta zaid MUNGU NI MWEMA
AMINA,, ,, TUKAZE MWENDO MPAKA KIELEWEKE
Barikiwa sana mpendwa
Una maanisha ulokore si kweli?
Mauviri mazuri
Amen 🙏
Mchungaji hii ni chungu ila nimeimeza ili nipone. Namshukuru Mungu miaka miwili ameniandalia kdonge hiki. Ubarikiwe. Sema tu ukweli watu wa Mungu tuko majalalani tutasikia haya tutapona
Mungu ashukuriwe kwa ajili ya siku hizi za corona. Tumepata muda mzuri wa kusikiliza mafundisho haya. Tunajifunza ile kweli na tunazidi kuwa huru. Wabarikiwe watu wa Mungu walioamua kubaki kwenye kanisa la kweli.
Nimafaidika sana na huduma ya mahubiri tv. Mbarikiwe
Naitaji ufufunuo yahayo ma lugha mbili tafauti ili na mimi nipate kuwa na ukweli kamili
kabla ya wamishonari bibi yangu halinihambiha walikuwa wanaabudu juwa likizama wanaliha likitoka wanafurahi
To God be the glory 🙏🙏🙏
Kweli tunajua sabato ni Juma Mosi, lakini tunakwenda kanisani Juma pili kwasababu Bwana wetu yesu Kristu alifufuka na ulimwengu ukapata kuokolewa, he? unakubali kwamba yesu ni mungu? Je wamioshonali walio isambaza injili ni wakina nani?
madola classic
Amen
Mahubiri Kiswahili Tz past. Ubarikiw. We san
Amina mchungaji barikiwa
Sasa sina mashaka nikiwa msabato mungu anisaidie nisonge mbele
mchungaji hunanifariji sana
amina pastor
kwa kweli mm waga namuomba Mungu anisaidie na ndg zangu ili siku ile tumulaki Mungu mawinguni kwa maana mwanadamu hata umwambieje hasikii yaani hata km anaona madhara na unamwambia acha lkn hataki sasa kweli kila mtu na ajiokoe nafsi yke
true
Nimerikiwa Kwa Mafundisho
barkiwa mchungaji
Ubalikiwe mtumishi kwama fundisho mazuli