MWANAMKE Mwenye akili(Tabiza za Ajabu seh. III)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 сен 2024
  • Lazima ujifunze kwa waliotangulia,Abigail ni mwanamke wa ajabu!!!!!!
    USISAHAU KUBONYEZA "SUBSCRIBE" ILI UWE WA KWANZA KUPATA MASOMO MAPYA. PIA DOWNLOAD APPLICATION INAYOITWA MAOMBI KWENYE SIM YAKO YA MKONONI. NENDA KWENYE PLAY STORE YAKO.

Комментарии • 62

  • @eustina0
    @eustina0 Год назад

    Barikiwa sana pr Mungu akubarik sana kwa kazi yake

  • @danielmwita1989
    @danielmwita1989 3 года назад

    Barikiwa sana mchngaji

  • @vijanaadventist9274
    @vijanaadventist9274 5 лет назад +1

    Kwakwel umen fumbua masikio nilikua sifahamu ilo pastor asante sana

  • @JokavePatrick
    @JokavePatrick 8 месяцев назад

    Blessed speach🙏🙏

  • @krissafwa6704
    @krissafwa6704 4 года назад

    Kweli hili hubiri ni jiwe..barikiwa kwahiri Pasto

  • @silvadebaba1096
    @silvadebaba1096 6 лет назад

    Asante papa kwa mahubiri mazuri ambayo unatufundisha.sasa Nina swali! kwetu siye ba français tuna sema iyo siku ya sun day kwa lugha yetu Dimanche. sasa iyo siku kwetu inamaanisha 7ème jour dela semaine . na wakati unatufundisha ya kwamba siku yasabato nisiku ya 7.

    • @rjjfhglena2137
      @rjjfhglena2137 6 лет назад

      Silva Debaba soma bibilia uta jua ukweli. Sunday siyo siku ya church

  • @georgembawala6042
    @georgembawala6042 3 года назад

    Gosp

  • @charlesmutinda9448
    @charlesmutinda9448 6 лет назад

    Pastor Nabarikiwa Sana kwa mahumbiri yako.hawa watu ukiwaambia Sunday ni ☀ day, wanasema Kwan hivyo Saturday ni 🌟 day.ama surturn

  • @judithcherono2595
    @judithcherono2595 6 лет назад +1

    nmeshukuru pastor barikiwa,Naitaji upatiso nikupataje?

  • @eunicekarembo7806
    @eunicekarembo7806 3 года назад

    AMen pst..ubarikiwe..ila siku sahihi ya kuabudu ni gani?

  • @ballohhopaschal1098
    @ballohhopaschal1098 6 лет назад

    Barikiwe sana Pastor

  • @selfaakinyi7824
    @selfaakinyi7824 5 лет назад

    Mchungaji kwa sasa Niko Qatar ila mimi ni Kenya jambo la kwanza nikirudi Kenya nataka kubatizwa, mungu azidi kunifunulia mafundisho yake

    • @MahubiriPrMmbaga
      @MahubiriPrMmbaga  5 лет назад

      AMEN

    • @selfaakinyi7824
      @selfaakinyi7824 5 лет назад

      Ila mchungaji nina maswali kadhaa, mbona humusherekei Christmas na ni kuzaliwa kwa mkombozi wetu, ebu nielimishe tafadhali, nakama Kuna WhatsApp group nibora zaidi kuwasiliana na kufundishana juu mimi narudi Kenya mwaka sijao tafadhali pastor

  • @agneskatuma3573
    @agneskatuma3573 6 лет назад +2

    mtumishi humenigusa.mim niwamwisho kuzaliwa lakini na beba majukumu kuzidi hata mtoto wa kwanza nabado nakutana na changa moto nyingi

  • @chancekambale3498
    @chancekambale3498 2 года назад

    and Saturday
    is Sat -day

  • @phoebemumbi2180
    @phoebemumbi2180 6 лет назад +1

    Ameena

  • @wamwemusika5861
    @wamwemusika5861 7 лет назад

    Nabarikiwa Sana na mahubiri Mungu anibadilishe

  • @julijuli7037
    @julijuli7037 6 лет назад

    Mutumishi na nabii wa wa muumba wambingu na inchi nakuomba sauti kunawakati unawapatu wa ndani yakanisa sauti ambayo sisi watazamaji hatusikii maramingi hiyi iko kwamahubiri nyingi unayofundisha.

  • @beritetuyisenge9515
    @beritetuyisenge9515 7 лет назад

    nimebarikiwa asante

  • @zenataashura792
    @zenataashura792 4 года назад

    Iyo ni kweli Baba Sunday ni siku ya kwanza ya juma yani juma tunaianza na Sunday.

  • @babarenee4797
    @babarenee4797 5 лет назад

    Nice speech!.. But confused on days definition!!

  • @joycemashikolo9096
    @joycemashikolo9096 7 лет назад

    barikiwa sana pr mbaga

  • @silvadebaba1096
    @silvadebaba1096 6 лет назад

    Asante

  • @almabeatrice2082
    @almabeatrice2082 6 лет назад +2

    Jamani mchungaji naomba nijue kama mnasherehekea krismas

  • @cassyrex2023
    @cassyrex2023 3 года назад

    True everyone is accountable for their own sins.

  • @silvadebaba1096
    @silvadebaba1096 6 лет назад

    Sasa sisi tuki abudu Mungu iyo dimanche nimakosa ?

  • @lydiaaruba6670
    @lydiaaruba6670 6 лет назад

    Jamani ndio nagundua hapa kumbe mafunzo ya baraka yakanipita !!

  • @kouameregina9021
    @kouameregina9021 6 лет назад

    Kacou Philippe ndiye nabii pekee wa kweli wa Mungu katika kizazi hiki. Wengine ni watumishi wa shetani. tembelea www. philippekacou.org

  • @sadickmponyamili7070
    @sadickmponyamili7070 7 лет назад +5

    mm nmeijua kweli tangu npo darasa la saba wkt huo nikiwa mlokole wa kufa na kupona
    lkn kweli nikaijua nilpokuwa form one namshukru mungu nilkaa kwa shangazi nae alikuwa msabatho huyo ndiye akanivuta zaid MUNGU NI MWEMA

  • @alexmutethiambaabu-x1k
    @alexmutethiambaabu-x1k 7 месяцев назад

    Mauviri mazuri

  • @alicesidi9601
    @alicesidi9601 2 года назад

    Amen 🙏

  • @eutropiangido9684
    @eutropiangido9684 4 года назад

    Mchungaji hii ni chungu ila nimeimeza ili nipone. Namshukuru Mungu miaka miwili ameniandalia kdonge hiki. Ubarikiwe. Sema tu ukweli watu wa Mungu tuko majalalani tutasikia haya tutapona

  • @eutropiangido9684
    @eutropiangido9684 4 года назад

    Mungu ashukuriwe kwa ajili ya siku hizi za corona. Tumepata muda mzuri wa kusikiliza mafundisho haya. Tunajifunza ile kweli na tunazidi kuwa huru. Wabarikiwe watu wa Mungu walioamua kubaki kwenye kanisa la kweli.
    Nimafaidika sana na huduma ya mahubiri tv. Mbarikiwe

  • @silvadebaba1096
    @silvadebaba1096 6 лет назад

    Naitaji ufufunuo yahayo ma lugha mbili tafauti ili na mimi nipate kuwa na ukweli kamili

  • @agneskatuma3573
    @agneskatuma3573 6 лет назад

    kabla ya wamishonari bibi yangu halinihambiha walikuwa wanaabudu juwa likizama wanaliha likitoka wanafurahi

  • @lilianlima8609
    @lilianlima8609 3 года назад

    To God be the glory 🙏🙏🙏

  • @madolaclassic9247
    @madolaclassic9247 5 лет назад

    Kweli tunajua sabato ni Juma Mosi, lakini tunakwenda kanisani Juma pili kwasababu Bwana wetu yesu Kristu alifufuka na ulimwengu ukapata kuokolewa, he? unakubali kwamba yesu ni mungu? Je wamioshonali walio isambaza injili ni wakina nani?

  • @MahubiriPrMmbaga
    @MahubiriPrMmbaga  7 лет назад +4

    Amen

    • @elindosi8510
      @elindosi8510 7 лет назад

      Mahubiri Kiswahili Tz past. Ubarikiw. We san

  • @rachelphanuel2811
    @rachelphanuel2811 5 лет назад

    Amina mchungaji barikiwa

  • @moseskayan3705
    @moseskayan3705 6 лет назад

    Sasa sina mashaka nikiwa msabato mungu anisaidie nisonge mbele

  • @agneskatuma3573
    @agneskatuma3573 6 лет назад

    mchungaji hunanifariji sana

  • @sadickmponyamili7070
    @sadickmponyamili7070 7 лет назад

    amina pastor
    kwa kweli mm waga namuomba Mungu anisaidie na ndg zangu ili siku ile tumulaki Mungu mawinguni kwa maana mwanadamu hata umwambieje hasikii yaani hata km anaona madhara na unamwambia acha lkn hataki sasa kweli kila mtu na ajiokoe nafsi yke

  • @suzankwanndaniel6642
    @suzankwanndaniel6642 7 лет назад

    Nimerikiwa Kwa Mafundisho

  • @japhethsaid4023
    @japhethsaid4023 5 лет назад

    barkiwa mchungaji