Wakati wa kutoka - Pr. Geoffrey Mbwana

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 мар 2015
  • Peace And Hope for Mombasa City 2015
    Pastor Geoffrey Mbwana presenting messages of Peace and Hope at Mary Clip Grounds - Tudor

Комментарии • 38

  • @rajabkafuta3385
    @rajabkafuta3385 7 лет назад +8

    napenda mahubiri ya mchungaji geoffrey mbwana,,Mungu akupe uwezo na nguvu zaidi kueneza injili kote

    • @marymigiro3430
      @marymigiro3430 4 года назад

      Andante nimebarikiwa mungu awabariki

  • @damarisondiek5414
    @damarisondiek5414 5 лет назад +1

    AMEN Yesu Kristo asante kwa funzo umenipa asante ROHO MTAKATIFU kwa kunielekeza kwa pst Geoffrey Asante, pst Geoffrey Asante kwa funzo ulipewana ROHO MTAKATIFU utufundishe nimepata kujifunza mengi na makuu asante

  • @joycemashikolo9096
    @joycemashikolo9096 6 лет назад +3

    Nabarikiwa sana na mafundisho ya pr mbwana MUNGU akubariki sana mtumishi.siku moja tukutane Asubuhi ile njema YESU atakaporudi

  • @geoffreymakendo9842
    @geoffreymakendo9842 8 лет назад +2

    The bible is the only measure of our truth.Godliness with contentment of great value to our Christianity.

  • @silvanadeus3666
    @silvanadeus3666 7 лет назад +3

    i real love this man of God because he teaches the truth of the living God

  • @jonasshirima2376
    @jonasshirima2376 6 лет назад +1

    Yaani unapofundisha sitaki umalize hakika Mungu azidi kukuinua Pastor

  • @henrichykenia402
    @henrichykenia402 5 лет назад +1

    wauh ! it was very amazing preaching pastor may the Almight God bless u!

  • @salimmasatu7637
    @salimmasatu7637 7 лет назад +3

    mchungaji kwa hakika umebarkiwa kwa kipaji cha kuhubiri na kufundisha pia

  • @godsonmacoco6419
    @godsonmacoco6419 3 года назад +2

    Pr Mbwana Mungu Akulinde 🙌

  • @sheilaombongi8086
    @sheilaombongi8086 4 года назад

    Hee mungu ninaomba amani,pastor barkikiwa sana kwa uhubiri nzuri Amina

  • @jacksonprojestus397
    @jacksonprojestus397 6 лет назад +3

    Mungu akubariki

  • @faithsharon761
    @faithsharon761 4 года назад

    mungu azidi kukupa afya njema ili uzidi kuipeleka mbele injil ya milele

  • @jacksonprojestus397
    @jacksonprojestus397 6 лет назад +2

    maisha ni hatari katika uinjilisiti maana ukengeufu mwingi

  • @nibonisyendalima5165
    @nibonisyendalima5165 6 лет назад +2

    Mungu atusaidie

  • @phidoogola8211
    @phidoogola8211 6 лет назад +1

    Ubarikiwe sana mchungaji tunawapenda sana

  • @janewathiru5358
    @janewathiru5358 6 лет назад +3

    Naomba kujua jina la choir na huyo wimbo

    • @jonasshirima2376
      @jonasshirima2376 6 лет назад

      Hakika unanifundisha na ninakulewa vizuri mno Mungu wa Mbinguni akibariki mtumishi

  • @pricillahayako4480
    @pricillahayako4480 Год назад

    Pr. Bwana unahubiri mbona usisunguke makanisa yote uokoe watu wa mungu

  • @philemonimbwambo5539
    @philemonimbwambo5539 6 лет назад +2

    naomba kufaham hiyo kwaya iliyo hudumu hapo ni ya wapi?

  • @2CBNTV
    @2CBNTV  3 года назад

    ruclips.net/p/PLyiNk7qt5y7d_PRU8QVTXGuZE1MSKe9vY

  • @paulmiuta5849
    @paulmiuta5849 2 года назад

    Amen pastor

  • @gothamgothad8565
    @gothamgothad8565 7 лет назад +1

    Glory to God

  • @bejamineshallom4922
    @bejamineshallom4922 8 лет назад +1

    I'm very blessed man of God kwa Ile ukweli umesema, kuhuzu siku ya kuabudu Hilo Ni neno ambalo lilikua likinisumbua sasa hivi nimeelewa,pia kuhuzu ukweli, Ni kwamba watu wa mungu wanajua ukweli lakini wanaokopa kuambia watu, kisa na maana watakula nini

    • @alphoncejuma6758
      @alphoncejuma6758 6 лет назад

      I love PR.Mbwana you have been my role model since your voice strikes my ears GOD bless you,Amen.

    • @kadoaugust6497
      @kadoaugust6497 5 лет назад +1

      Unafundisha vizuri!

  • @elizabethogare2473
    @elizabethogare2473 7 лет назад +1

    Ubalikiwe

  • @sheilaombongi8086
    @sheilaombongi8086 4 года назад

    Neno la mungu nayo ni vaccine kwetu hallelujah

  • @annamnyampaaala2582
    @annamnyampaaala2582 5 лет назад

    Nabarikiwa sana pastor

  • @namwenyechikira8
    @namwenyechikira8 7 лет назад +4

    amen

  • @maureenjovial6083
    @maureenjovial6083 3 года назад

    Amen thank you God

  • @danielreuben9332
    @danielreuben9332 4 года назад +1

    Neno Kuntu

  • @stevenkilian4594
    @stevenkilian4594 7 лет назад

    god bleesed

  • @barakajoseph1816
    @barakajoseph1816 4 года назад

    Hallelujah

  • @neemajoyce3206
    @neemajoyce3206 4 года назад

    Pastor Mbwana Mungu akuongezee Baraka tele lakini USA,UK,Australia na inshi nyingine zilizoendelea mbona tumechanganyikiwa na ubabeli kanisani ikifika sherehe za mapagani pia tunatangaziwa Christmas 🎄 sabbath ikifika Easter 🐣 tunatangaziwa Easter kanisani tufanye nini mbona Babylon ikondani yakanisa?

    • @charlesmiyoro8912
      @charlesmiyoro8912 3 года назад

      Ni dhahiri dada yetu maovu kuonekana kanisani maana mwuovu shetani anapeleka vita vyake pahali panapostahili vita msitari wa mbele, ndio maana hata Christo alipokuwa jangwani baada ya kufunga kwa usiku na mchana arobaini akawa ana njaa shetani akamwambia Kristo yageuze haya mawe yawe chakula kristo akamjibu mtu haishi kwa mkate tu ila neno litokalo kinywani mwa mungu.hivo dada yetu usiwe na mashaka hatujafika mbinguni tu takwewa duniani, hasa makanisani kwani shetani ameghadhabika na yule mama msafi wa ufunuo 12: 1- na atasiaga vizazi vyake mama.

  • @christinemogire4233
    @christinemogire4233 7 лет назад +1

    amen