AMEN Yesu Kristo asante kwa funzo umenipa asante ROHO MTAKATIFU kwa kunielekeza kwa pst Geoffrey Asante, pst Geoffrey Asante kwa funzo ulipewana ROHO MTAKATIFU utufundishe nimepata kujifunza mengi na makuu asante
I'm very blessed man of God kwa Ile ukweli umesema, kuhuzu siku ya kuabudu Hilo Ni neno ambalo lilikua likinisumbua sasa hivi nimeelewa,pia kuhuzu ukweli, Ni kwamba watu wa mungu wanajua ukweli lakini wanaokopa kuambia watu, kisa na maana watakula nini
Pastor Mbwana Mungu akuongezee Baraka tele lakini USA,UK,Australia na inshi nyingine zilizoendelea mbona tumechanganyikiwa na ubabeli kanisani ikifika sherehe za mapagani pia tunatangaziwa Christmas 🎄 sabbath ikifika Easter 🐣 tunatangaziwa Easter kanisani tufanye nini mbona Babylon ikondani yakanisa?
Ni dhahiri dada yetu maovu kuonekana kanisani maana mwuovu shetani anapeleka vita vyake pahali panapostahili vita msitari wa mbele, ndio maana hata Christo alipokuwa jangwani baada ya kufunga kwa usiku na mchana arobaini akawa ana njaa shetani akamwambia Kristo yageuze haya mawe yawe chakula kristo akamjibu mtu haishi kwa mkate tu ila neno litokalo kinywani mwa mungu.hivo dada yetu usiwe na mashaka hatujafika mbinguni tu takwewa duniani, hasa makanisani kwani shetani ameghadhabika na yule mama msafi wa ufunuo 12: 1- na atasiaga vizazi vyake mama.
napenda mahubiri ya mchungaji geoffrey mbwana,,Mungu akupe uwezo na nguvu zaidi kueneza injili kote
Andante nimebarikiwa mungu awabariki
AMEN Yesu Kristo asante kwa funzo umenipa asante ROHO MTAKATIFU kwa kunielekeza kwa pst Geoffrey Asante, pst Geoffrey Asante kwa funzo ulipewana ROHO MTAKATIFU utufundishe nimepata kujifunza mengi na makuu asante
Nabarikiwa sana na mafundisho ya pr mbwana MUNGU akubariki sana mtumishi.siku moja tukutane Asubuhi ile njema YESU atakaporudi
The bible is the only measure of our truth.Godliness with contentment of great value to our Christianity.
i real love this man of God because he teaches the truth of the living God
Yaani unapofundisha sitaki umalize hakika Mungu azidi kukuinua Pastor
wauh ! it was very amazing preaching pastor may the Almight God bless u!
mchungaji kwa hakika umebarkiwa kwa kipaji cha kuhubiri na kufundisha pia
Pr Mbwana Mungu Akulinde 🙌
Hee mungu ninaomba amani,pastor barkikiwa sana kwa uhubiri nzuri Amina
Mungu akubariki
mungu azidi kukupa afya njema ili uzidi kuipeleka mbele injil ya milele
maisha ni hatari katika uinjilisiti maana ukengeufu mwingi
Mungu atusaidie
Ubarikiwe sana mchungaji tunawapenda sana
Naomba kujua jina la choir na huyo wimbo
Hakika unanifundisha na ninakulewa vizuri mno Mungu wa Mbinguni akibariki mtumishi
Pr. Bwana unahubiri mbona usisunguke makanisa yote uokoe watu wa mungu
naomba kufaham hiyo kwaya iliyo hudumu hapo ni ya wapi?
ruclips.net/p/PLyiNk7qt5y7d_PRU8QVTXGuZE1MSKe9vY
Amen pastor
Glory to God
I'm very blessed man of God kwa Ile ukweli umesema, kuhuzu siku ya kuabudu Hilo Ni neno ambalo lilikua likinisumbua sasa hivi nimeelewa,pia kuhuzu ukweli, Ni kwamba watu wa mungu wanajua ukweli lakini wanaokopa kuambia watu, kisa na maana watakula nini
I love PR.Mbwana you have been my role model since your voice strikes my ears GOD bless you,Amen.
Unafundisha vizuri!
Ubalikiwe
Neno la mungu nayo ni vaccine kwetu hallelujah
Nabarikiwa sana pastor
amen
amen
Amen thank you God
Neno Kuntu
god bleesed
Hallelujah
Pastor Mbwana Mungu akuongezee Baraka tele lakini USA,UK,Australia na inshi nyingine zilizoendelea mbona tumechanganyikiwa na ubabeli kanisani ikifika sherehe za mapagani pia tunatangaziwa Christmas 🎄 sabbath ikifika Easter 🐣 tunatangaziwa Easter kanisani tufanye nini mbona Babylon ikondani yakanisa?
Ni dhahiri dada yetu maovu kuonekana kanisani maana mwuovu shetani anapeleka vita vyake pahali panapostahili vita msitari wa mbele, ndio maana hata Christo alipokuwa jangwani baada ya kufunga kwa usiku na mchana arobaini akawa ana njaa shetani akamwambia Kristo yageuze haya mawe yawe chakula kristo akamjibu mtu haishi kwa mkate tu ila neno litokalo kinywani mwa mungu.hivo dada yetu usiwe na mashaka hatujafika mbinguni tu takwewa duniani, hasa makanisani kwani shetani ameghadhabika na yule mama msafi wa ufunuo 12: 1- na atasiaga vizazi vyake mama.
amen