"'NYIE MMEPEWA PESA ZOTE ZA MRADI NA MAJI HAYATOKI HALAFU BILA AIBU MNANIDANGANYA"-RC MAKONDA
HTML-код
- Опубликовано: 22 май 2024
- #JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►RUclips: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/
Hii inaitwa Enterpreting Public Policy into real life of the society. Well done RC.
Uongozi wa Kisiasa ni hesabu za Maisha ya Jamii.
Titiii fo tatiiiii...wananchi wamecharuka kila mkoa unamtaka huyu mwamba....huwez kulala na mama chumbanii bila maaaaaajiiiiiii😂😂😂😂
Mtakatifu paur🙏🙏🙏🙏🙏
Wangefikiria namna ya kuhifadhi maji ili yatumike msimu wa upungufu wa maji yaani kiangazi.
Maji maji yao
huku kwetu bukoba maji ni ya kutosha😅😅😅
Usikatishwe ramaa na wapigaji chapa kazi hakuna unyanyasi hapo .
Sasa swali gani Makonda hapo hela inatoka serikalini, serikali kama haitoi pesa huyo atoe hela mfukoni mwake?
Anavyo wabana hivi ujue data zote anazo kwa hiyo makonda sio mjinga awababnanishe wakati hera serikalini hawajatoa pesa