PATANISHO : GIDI NDOA YA NAIROBI SI NDOA
HTML-код
- Опубликовано: 13 май 2024
- Radio Jambo Kenya | Ongea Usikike | Ni kituo nambari moja Kenya kwa matangazo ya kiswahili. Vipindi vyake vina jumuisha Spoti,Mijadala moto moto na muziki wa Kiafrika
#RadioJamboKenya #patanisho #gidinaghostasubuhi
Subscribe to RadioJambo RUclips - bit.ly/39wwc6u
Mitandao ya Kijamii
Instagram - rb.gy/e154d1
Facebook - rb.gy/09d1b9
Twitter - rb.gy/e23220 - Развлечения
Sharon is a wise lady,anajitambua kabisa big up Sharon👏👏
JAman Gidi Makueni county hatuwapati,mlipotea fanyeni mpango
Sharon ❤❤❤aki utakuja lini Nairobi nimekumiss sana ❤❤❤❤my lovely sister
This is a good stand from the girl child. It is good to be firm. Know your position in life
These two are still young, alafu sharon is very intelligent acha bado akae kwao atapata mtu mature
Hongera Sharon, wembe ni huo huo.
Sharon nimekupenda..hiyo jamaa ni jingaaa
Anaita mamake mkora😮apo me siwezi kaaa waaaaah
Very mature lady, keep it up Sharon
Ati Mama Mkwe Ni Mkoraa😂😂😂 kijanaa Wa Hovyoo sanaaa!!!
Haki Waluhya hunifurahisha kwa hii channel
SHARON ATAKUNYWA NN APEWE..... ANAJITAMBUA SANA
Tuwache kutumia. Wanawake. Wetu kama wafungwa Sharon is very intelligent
Sharoo uko 👍ndoa ndoa ya nrb c ndoa nakumbaliana na ww
Mapema ndio best 😅😅😅😅
Yaani mtu anapenda msichana wa watu lakini hataki kwenda kwao?kweli ndoa ya nairobi sio ndoa
I gues Kuna watu wengi tuko Kwa unform tunafukiria sisi ndio yote??mungu wa mbingu anajua maisha ya Kila mtu. Plz askari wenzangu be kind love our wives
These kids are funny wwako na kipindi.
Sharon achane Tu na Brian 😂😂
Makofi kwa Sharon jamani👏👏😂
Huyo jamaa Hana heshima ako na kaujanja .ndio Maana sharon ajamzalia mtoi .
Wazazi ya Hawa watoto wako wapi ??
Ati watoto ona huyu hii generation imeoza
Sharon ako mote mature than Brayo
Ndugu mjinga sna
Radio Jambo haishiki Kisumu , fanyeni kitu
On Google search radio green
Fun sugu hapa kutoka Qatar 😊
Kazi iko wapi partime
I'm Brian's landlord. I can confirm Sharon was thrown out. 😢
Sasa watoto wanaenda kwa radio 😂😂😂😂😂😂
I think this girl ako na akili kuliko huyu boy.
Second ✋
I want this kind of a girl😂😂😂😂
Giddy unapatanisha watoto,,,kamiti utaiingia sasa
Watu wengine wako na zawadi ya wanawake lkn wanachezea
solo hapa nafwatilia kutoka state of Israel .hizo jina Sharon na Brayo waa
Hawa watu wakomae kwanza before wa marry they are young wanashesea marriage sana
Sharon shikilia tu hapo,,our luhya queen 😂😂😂😂😂😂
Sasa mugaka akae bila bibi kweli😂😂
sikuizi hamuweki option ya kudownload?
Mitabendi ya Radio jambo imepotea huku maeneo ya Oyugis Kabondo Kasipul kwa miezi kadhaa sasa,naombeni mfanye kitu tafadhali
First
How can you marry a 21year old this age my daughter is still in university seriously
You never know Mami labda wako Yuko na wake uko Ako siku hizi ni kubayaa Mami
😂😂😂😂kumbe wewe Brian ni muongo?
Very true 😅😅😅😅😅😅😅😅
Maturity is a key...both need time.Brian you still dogo
She was with a fool anyone who insults my mother I will come for him ngoma
Giving na Ghost gg mnabamba mayooo
Pia all Florences ni watu hawana muelekeo
That is a kisii man. No respect at all
Kumbe umemsikia so arrogant
Kisii me wako aje ?
He can't apologise. He is too much of himself
Hapo mugaka alikosea kubeba hamsini ya samosa😂😂😂,anafaa kuomba msamaha😮pia kumtukana mama mkwe.
Gen z 😂😂😂😂😂hawa warudi shule wasome ama watafute pesa....mapenzi baadaye
They r too young wandering shule kwanza ndio wagrow up.
TOXIC RELATIONSHIP
Boy 21 yrs na dem 20 yrs .. that's a joke
These are Young people who should be in school..
Hii ndo ubaya ya kuzaliwa na wazazi wajinga ambao hawaku soma ...a serious parent cant let such upuzi to happen...
Shauri yenu it's your life
Kama wazazi wako si poaa
Heri ww wazazi wako si wajinga
Hapo akuna ndoa,,,, nia aibu kulipia mwanaume Rent nia aibu 😂😂😂😂😂
Hawa watu wakomae kwanza before wa marry they are young wanashesea marriage sana
Wanachezea ama wanashesea