PATANISHO : NIMEKUPEA MWAKA MOJA URUDI KWENU NDIO UJUE MIMI NDIYE MWANAUMME

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 12 май 2024
  • Radio Jambo Kenya | Ongea Usikike | Ni kituo nambari moja Kenya kwa matangazo ya kiswahili. Vipindi vyake vina jumuisha Spoti,Mijadala moto moto na muziki wa Kiafrika
    #RadioJamboKenya #patanisho #gidinaghostasubuhi
    Subscribe to RadioJambo RUclips - bit.ly/39wwc6u
    Mitandao ya Kijamii
    Instagram - rb.gy/e154d1
    Facebook - rb.gy/09d1b9
    Twitter - rb.gy/e23220
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 72

  • @Peninah-oz6zt
    @Peninah-oz6zt 14 дней назад +13

    If I was that lady, I can tell him to go and collect hizo ngombe na aniwache tu.

  • @marcyasam4368
    @marcyasam4368 14 дней назад +7

    This man Joel ni mkatili sana

  • @mariamfritsi4943
    @mariamfritsi4943 14 дней назад +13

    Huyu mwanamke nae ni dhaifu sana, mtu anakupanda kichwani hivyo, na bado unakubali kurudi kwake, kisa eti katoa ng'ombe.huo ni udhalilishaji kwani kisa ng'ombe, ndio ukawe mtumwa. usijishushe kiasi hicho. Kama mbwai na iwe mbwai bwana usingerudi. 14.05.24.

    • @user-tt7cu2et1x
      @user-tt7cu2et1x 14 дней назад +1

      Ndo mana wanawake siku hiz wanapiga waume zao

    • @alexnyamweya6810
      @alexnyamweya6810 6 дней назад

      Hakuna kitu nzuri kama mwanaume!!!!

    • @mariamfritsi4943
      @mariamfritsi4943 6 дней назад

      @@alexnyamweya6810 ha ha ha kweli kabisa mapenzi ni kwa sababu ya ng'ombe 😅😅😅👍

  • @KevinOduor-xb3kk
    @KevinOduor-xb3kk 14 дней назад +5

    Joel ni mjinga sana .

  • @rosendunge4217
    @rosendunge4217 14 дней назад +5

    😢😢😢yaani hii jinga ya mwanamme anasema ng'ombe ng'ombe as if mnyama ni wamaana kuliko mwanadamu..
    Mi heri niishi single mother kuliko hii type ya mbaba

  • @VISATECHCOMPUTERS-fk9eo
    @VISATECHCOMPUTERS-fk9eo 14 дней назад +7

    hapa kuna unsolved issues mingi na ndio hufanya watu wakirudiana ni kifo hutokea, juu jamaa bado anahasira . huyu jamaa aende kwa kina bibi wakae chini na wazee waongee hasira iishe, hao wakirudiana hivo mmoja atauwa mwenzake.

    • @jeremiahochoo685
      @jeremiahochoo685 14 дней назад +1

      The guy sounds primitive I don’t think you can put sense in his life 😂😂😂

  • @Peninah-oz6zt
    @Peninah-oz6zt 14 дней назад +5

    Weeeeee.😅😅😅 Huyo Joel ni bad news

  • @VerniceOndieki
    @VerniceOndieki 14 дней назад +3

    Aky mm kama vanice siwezi Rudi GIDI nikuwajezea too hapo siwezi Rudi kabisa Wacha uyo mwanaume arudishiwe ng'ombe zake aoe mm Wacha nikae home to 😢😢😢

  • @reginahomutiti3390
    @reginahomutiti3390 14 дней назад +6

    Mm n Regina Aki c wezi Rudi wacha ikae .akujie ngombe zake

  • @b.3940
    @b.3940 14 дней назад +4

    Joel naye alioa bibi huitwa Furnace? Bomba la moshi? Hiyo ni joto kubwa sana. Ni heri angeoa Mercy ama Charity ama pengine Maria mama wa Yesu.

  • @emmaakelo4383
    @emmaakelo4383 13 дней назад +1

    Mara nilitoroka nkalala kwa vibanda😂😂😂😂😂😂😂

  • @belinabaya6977
    @belinabaya6977 14 дней назад +3

    Huyu Joel Mlevi au?

  • @gracekamunya6823
    @gracekamunya6823 14 дней назад +3

    Yaani ng'ombe ilipeleka ng'ombe kwenu inakuimbia kila siku yawaa...mtu ata hataki kujua vile watakaa Kwa nyumba anafikiria tu kutuhusu Sisi maghaidi million 5..we really don't care who is swearing when cha mhimu ni Ghidi acheke siku ianzishe na kicheko hio ingine ya ndoa ni yenu

  • @user-ye7ls7bl1j
    @user-ye7ls7bl1j 14 дней назад +2

    Mwanaume suruari sana.yaani ng'ombe n muhimu kwake kuliko n binadamu kama n mm ungekujia ng'ombe zako n uzioe

  • @EstherMusila-zc6yx
    @EstherMusila-zc6yx 11 дней назад

    Yaani kwa sababu alitoa ng'ombe ndio ana mdhalilisha hivo🤔heri nikae single jamani

  • @staciageorge8150
    @staciageorge8150 14 дней назад +1

    Akujie ng'ombe zake aziii

  • @charitykamau4785
    @charitykamau4785 10 дней назад

    Wakati alioa aliambia wakenya million kumi???

  • @namishatom1108
    @namishatom1108 14 дней назад +2

    Joel wolololo, better l die single,Phanice ume jaribu

  • @faithkwamboka5561
    @faithkwamboka5561 7 дней назад

    Ng'ombe ng'ombe ng'ombe

  • @user-ju9mn7gd4p
    @user-ju9mn7gd4p 14 дней назад +3

    Waluhya nyinyi siku moja tutawaachia radio jambo😂

    • @TabithaMwangi-gi6gf
      @TabithaMwangi-gi6gf 10 дней назад +1

      Bana 90% ya patanisho hukuwa n wao

    • @user-ju9mn7gd4p
      @user-ju9mn7gd4p 10 дней назад

      @@TabithaMwangi-gi6gf wananishangazanga sana kwani hawajui kusolve kesi kivyao

  • @lutomiatheson
    @lutomiatheson 14 дней назад +1

    Aba kuna shida sana

  • @mapemapesa
    @mapemapesa 7 дней назад

    Aende achukue ngombe yake

  • @faithkwamboka5561
    @faithkwamboka5561 7 дней назад

    😂😂😂 ng'ombe, swear before millions of people Mimi siwezi .

  • @vanem2850
    @vanem2850 14 дней назад +1

    😂😂😂😂😂😂😂 hapo kama ni mimi siwezi rudi kwa hii ng'ombe inajiita Joel

  • @paulmakori8722
    @paulmakori8722 14 дней назад

    Radio jambo haishiki apa borabu sub county manga

  • @clairesumba7419
    @clairesumba7419 14 дней назад +1

    Can never be me 😅

  • @belinabaya6977
    @belinabaya6977 14 дней назад +2

    Joel Afai hapo kwenye Radio anaongea hivyo mkiwa wawili inakuaje?

  • @nonimburu3056
    @nonimburu3056 9 дней назад

    Narcissistic behaviour detected.... that woman is in big trouble akirudi huko. Desperation ni mbaya jamani

  • @tabithakamau2608
    @tabithakamau2608 14 дней назад

    Aki venye mimi sipendi ujinga walai, ningekua nishakata simu

  • @wangagirl3508
    @wangagirl3508 14 дней назад +3

    Hizi ni gani surly 😮😮😮kama hawa ndio wanaume wamebaki kenya wacha ikae😂😂😂😂

    • @fiddiggokirimi9630
      @fiddiggokirimi9630 14 дней назад

      I tell'ya. It's a na..maan..

    • @barygarcia3128
      @barygarcia3128 14 дней назад

      Kaa kwenu uozee huko😂😂

    • @wangagirl3508
      @wangagirl3508 14 дней назад

      @@barygarcia3128 koma msenge moja kwani nimekuita kwa comment yangu mumakako wewe

  • @MargaretAwinja-ls7hx
    @MargaretAwinja-ls7hx 14 дней назад

    This woman is it that hana option ingine ama ni dwarft😢😢

  • @missmuchiri7537
    @missmuchiri7537 13 дней назад

    Hapa nikupanga na wazazi warudishe ng'ombe... Joel aoe ng'ombe zake... weuhhhh 😱😅

  • @NeemaNey-rv2op
    @NeemaNey-rv2op 7 дней назад

    Huyu Bibi naye katuaibisha..too weak

  • @lilianatieno4898
    @lilianatieno4898 14 дней назад

    😂😂nijikute mimi nkirudi place kaa hii😂

  • @moreh462
    @moreh462 14 дней назад

    Umaskini mbaya aki

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 14 дней назад

    Mke bado ana mpenda mume wake. Wacha tuwaache warudiane

  • @missmuchiri7537
    @missmuchiri7537 13 дней назад

    Ata gidi ameshangaa anataka kurudi kwanini 😅😅😅😅

  • @rachelmuch5788
    @rachelmuch5788 14 дней назад

    Mwanaume Kiherehere me siezi rudi kwa huyu mtu hawa ndio wale wakitaka kulala na weww lazima wamulike na Touch

  • @gracesolomon2731
    @gracesolomon2731 14 дней назад +1

    What is kutoa ngo,mbe naurumia the lady bona harudi no no

  • @saderajohn3692
    @saderajohn3692 14 дней назад +2

    😂😂😂

  • @rejoycemmbone5049
    @rejoycemmbone5049 14 дней назад

    Waaaahh nawa for you Joel 😂

  • @elimukwadada
    @elimukwadada 14 дней назад

    Wueh 👀🙆🏾‍♀️ hata kwa Dawa 😅😅

  • @catherineNtemba
    @catherineNtemba 14 дней назад

    Waaaaat huyo joel yawa apana taka

  • @sylvia3999
    @sylvia3999 14 дней назад

    Mwambie aende achukue hizo ng'ombe , mwanaume baridi jizi

  • @jacquelinendambuki3196
    @jacquelinendambuki3196 14 дней назад

    🐄 5 😂😂😂😂😂😂😂 hata kama

  • @kennethisiko882
    @kennethisiko882 14 дней назад

    Eeh, ukali wa Joel hauna kifani 😂😂

  • @jacklineatieno6064
    @jacklineatieno6064 14 дней назад

    🤣🤣🤣🤣 huyu mwanaume hapana

  • @rebeccaamadi
    @rebeccaamadi 14 дней назад

    Aki Joel 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂huyu Joe nomulalu

  • @jannet506
    @jannet506 14 дней назад

    if kiburi was a person it could be joel nkt!

  • @teresagitonga8749
    @teresagitonga8749 14 дней назад

    Ngombe kumbe ni important hivyo😂😂

  • @munduwaruiru2624
    @munduwaruiru2624 14 дней назад

    Mwambie aedee ngombe akae nazo Mimi cwezi

  • @user-kp9ll1qu5n
    @user-kp9ll1qu5n 14 дней назад

    Huyu mwanamke amrudishis watoto na ashungulike kama hana mapato hii sio ndoa n utumwa

  • @user-hr5cu5ui2i
    @user-hr5cu5ui2i 14 дней назад

    Weeh huyo jamaa kwangu ni red flag, siezi dhalilishwa kwa ajili ya ng'ombe

  • @marylinmary208
    @marylinmary208 14 дней назад

    Mtu anakupanda kichwani juu ya 🐄🐄🐄🐄 only 😂😂😂😂

  • @denahtingwe5549
    @denahtingwe5549 14 дней назад

    Ka n huyu hapana ati ng'ombe ng'ombe nkt

  • @trishanjoroge3955
    @trishanjoroge3955 14 дней назад +1

    Young lady please stay away

  • @idhatamimi18
    @idhatamimi18 14 дней назад

    Simba sarakasi 😂😂😂😂

  • @marrieann5278
    @marrieann5278 14 дней назад

    Joel ni narcissist hadi kuonvea kwake ana ujeuri sana,kwani kutoa ng'ombe inamaanisha umdharau tu vile unataka ama ju ulitoa ng'ombe una haki ya kumfanyia chochote,Joel rekebisha tabia na uwache kujipiga kifua kwa ng'ombe 4 ni kama ulipeana mamilioni kwa kina Phanice

  • @NancyNekesa-nh6du
    @NancyNekesa-nh6du 14 дней назад

    😂😂😂😂

  • @georgymahi149
    @georgymahi149 13 дней назад

    "NDIFFFFYOooo" Phanese anaenjoy mujama tu. Ng'ombe imetoa Ng'ombe kwa Ng'ombe ingine.