'SIO WOTE WALIO JELA WANA HATIA' / SEHEMU YA MWILI WANAYOTUMIA WAFUNGWA KUFICHA HELA - MSWAHILI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 сен 2024
  • 'SIO WOTE WALIO JELA WANA HATIA' / SEHEMU YA MWILI WANAYOTUMIA WAFUNGWA KUFICHA HELA - MSWAHILI
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 167

  • @tumadhiraasaid4676
    @tumadhiraasaid4676 Год назад +19

    Kila nikikumbuka MTU alo fungwa machoz Yananitoka sana maana chanzo cha kuvunjika ndoa yangu ni Baba wa mtt wangu kufungwa bila hatia mungu akulinde sana kaka Angu

    • @mauamnobwa7412
      @mauamnobwa7412 Год назад

      Duh! Pole Sana tuma Allah akufanyie wepesi.

    • @mamananga2849
      @mamananga2849 Год назад

      Duuuh pole

    • @BigZhumbe
      @BigZhumbe Год назад

      Kakaako au mumeo ama alipofungwa umeshindwa kusubiri ukaolewa kwengine?

    • @tumadhiraasaid4676
      @tumadhiraasaid4676 Год назад +2

      @@BigZhumbe skuolewa na nipo Hadi SASA wala sjapanga kuwa na MTU kindoa na so km nilishindwa kusubilia Sawa ila ni Kati ya changa Moto tu moja wapo

    • @robinsonmakoyo9431
      @robinsonmakoyo9431 Год назад

      Acha unafki😂

  • @myunaniniahmad6463
    @myunaniniahmad6463 Год назад +8

    Walimwengu tumuogope Mungu, tukumbuke kunakujibu maswali mbele ya mungu. Na Mungu hasahau.

  • @johanesnixon5473
    @johanesnixon5473 Год назад +18

    ZEMBWELA YOUR THE BEST Interrogator keep it up BABU😎

  • @lareineminah1353
    @lareineminah1353 Год назад +3

    Dah😭😭😭 unafika home unakuta mkee kisha olewa na anafamiliya ingine💔💔💔 uku umerudi huna kitu😥🏃🏿‍♀🏃🏿‍♀🏃🏿‍♀

  • @emilyjoseph36
    @emilyjoseph36 Год назад

    😭😭😭 nimelia sana nimeumia sana hakika kila nipigapo ombi kwa mungu nitakukumbuka mungu Nisaidie Amina

  • @catherineprosper9520
    @catherineprosper9520 Год назад +4

    Mungu wetu wa Mbinguni ni Mwema sana, nimefurahi kusikia hakuwa na tumaini jengine pasipo Mungu. Namfananisha na Yusufu baina ya ndugu zake au Ayubu na changamoto yake. Mungu ni mwema hakika kuna chakujifunza kupitia kipindi Hiki.
    Brother Zembwela Mungu akutunze na hili ni Deni kwa Mungu hakika litalipwa kama sio Kwako Basi ni kwa vizazi vyako....🙌🙌🙌🙌🙌🙌

  • @abdulkheri7322
    @abdulkheri7322 Год назад +4

    Yan kwel binadamu tumefkia stage ya kudhulum maisha ya mnyonge sababu ya laki tano ya kitanzania kwel🥺😣...pole sana my brother🙏

  • @Michael-ig6oi
    @Michael-ig6oi Год назад +5

    Kazi zuri wasafi kwa kazi zuri ya kuelimisha jamii kwa vipindi polaaa!! Andayeni kipindi kitwacho ndani ya kiza watu wanamengi kwenye kiza walicho pitia

  • @didimhutila8985
    @didimhutila8985 Год назад +3

    Jamaa mwanaume wa kweli yajandoni hukaaga jandoni safi sana!

  • @sabihahamadi2287
    @sabihahamadi2287 Год назад +1

    Mtihani pole mdogo wangu mungu atakulipiya ninaimani haki yako mwenyezi mungu atakulipiya

  • @ashurajengela3926
    @ashurajengela3926 Год назад +10

    Sad story haki yako inakupeleka jela 😓😓 binadamu tukumbuke Kuna aliye tuumba na anaona yote yanayo endelea jamani mbona tumekua na roho ngumu hivi ?!

  • @caashamacalini3887
    @caashamacalini3887 Год назад +2

    Mungu atakulipia hapa hapa duniani ,uyo aliyekufanyie huyo boss mungu atamuonyesha nahawo mahakimu mungu atawahukumu mchana kweupe mlilie mungu Kaka yangu haki yako umedai imekupeleka hela mungu atakulipia

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 Год назад +9

    Hii mipigo ndio hinatufanya tusiludi bongo masikini ndio taulo la kujifutia kakaa jela kwa Akiyake mungu Atakubari ndugu yangu😭🇹🇿🇬🇷

  • @Johnjoo196
    @Johnjoo196 Год назад +6

    Live long mzee wangu ZEMBWELA

  • @melodyjoseph2918
    @melodyjoseph2918 Год назад

    Safi sana suala la sauti limefanyiwa kazi

  • @salmasaid8964
    @salmasaid8964 Год назад +1

    Uzuri malipo ni hapa hapa duniani
    Watalipia wote waliohusika na kukudhurumu haki yako
    Unaweza usijue au kusikia ila watalipa tuu
    Mungu akutangulie champ

  • @alnasymminza2989
    @alnasymminza2989 Год назад

    Ni machungu makali sana nakosa neno la kusema itoshe kusema Mungu asimame nae ndugu yetu hongera sana
    Babu zembwela chuma cha pua kabali yao.

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 Год назад +1

    Daaa, inauma sana. Mwenyezi Mungu ndiye mlipaji. Ipo siku japo itachelewa utalipwa inshaAllah. Pole sana mdogo wangu chozi lako litalipwa hapa hapa duniani.

  • @shamsikiluwasha9541
    @shamsikiluwasha9541 Год назад +2

    Kuna watu wanarudisha wenzo nyuma maisha gani haya jamani kumbukeni mungu yupo

  • @zayumar2955
    @zayumar2955 Год назад +4

    Ila kuna baadhi ya askari 😠😭😭😭Allah Kareem atalipa kwa kila nia ovu ya mtu

  • @thumnathumna5946
    @thumnathumna5946 Год назад

    Mungu atakupa faraja na atakurudishia aki zako na kila muda uliopoteza ukiwa jela..Mshukuru Mungu kwa kukupitisha uko kote ad ulipofikia. Wote walio husika kutendeka maovu Mungu yupo hajawahi kulala anaona kila kitu.🤲.

  • @stevennenelwa3192
    @stevennenelwa3192 Год назад +1

    Zembwela kwa kipindi hchi hongera sn kwa kufichua maovu mengi watu wanameng ya kuifunza jamii jamaa namuombea kwa Mungu haki yake ipo tu

  • @hamadeddymaclayz
    @hamadeddymaclayz Год назад +2

    Ina uma sana aisee daaah mungu amjalie aisee

  • @aishaamwalimu2887
    @aishaamwalimu2887 Год назад

    Pole Sana kaka roho imeniuma, Haki yake mmemzurumu na jela mmempeleka, Mungu awahukumu kwa dhuruma mliyoifanya.

  • @zuleikhaomar4657
    @zuleikhaomar4657 Год назад +5

    Aliemdhulumu huyu kijana Mungu atamlipa na yeye

  • @clintonkhan4961
    @clintonkhan4961 Год назад +1

    Mungu ampe heri huyo kijana nawe Sembwela usidishiwe hekima na wema siku zote

  • @GraceMakenga-zd1vn
    @GraceMakenga-zd1vn 6 месяцев назад

    Jela mbaya sanaaaa😢😢😢😢😢

  • @zanzibarcosmetics6416
    @zanzibarcosmetics6416 Год назад +1

    Duh mtihani wawahi inaumiza kumdidimizi mwanadamu mwenzako alie zaliwa na mwanmke kma mama ako tuwe na huruma jmniii

  • @samphiltz2938
    @samphiltz2938 Год назад +1

    Pole sana, Mungu akulinde na kukurejeshea vyote ulivyopoteza. Mungu akuanzishie maisha yenye afya, amani, upendo na mafanikio makubwa.

  • @didamanyanya4893
    @didamanyanya4893 Год назад

    Kila aloeshikili kumzulum uyu dogo mwenyezi Mungu awalaani uko waliko wateseke waangaike wateketeee kila watachofanya kisifanikiwe katika maisha yao

  • @odaxcontawa
    @odaxcontawa Год назад +2

    Zembwela big up mzee wangu

  • @erickmwakasanga4326
    @erickmwakasanga4326 Год назад +3

    Dah nchi za Africa zina matatizo sana Mungu atuponye kwa kwel

  • @gilliardgodfriend5745
    @gilliardgodfriend5745 5 месяцев назад

    KWANINI UMVUNJE MWENZIO MIGUU HATA KAMA UNA MAMLAKA KWANNI UFANYE UNYAMA😢😢😢

  • @mussaismail6024
    @mussaismail6024 Год назад +2

    Zembwera nakubali sana

  • @mannabu9333
    @mannabu9333 Год назад +3

    Hii nchi inauwonevu sana kwa maskin na mwenyez mungu ameijaalia rasilimali nyingi sana ila ina laana ya uwonevu wa maskini aitaendelea kamwe mpaka kiama kitakapo kuja

  • @yuscoboyquality
    @yuscoboyquality Год назад +21

    Hii michongo ipo mingi mimi nilishafanyiwa ivi ili police waniibie vitu vyangu maana waliniambia nimebaka then nliembaka sikumjua mpk natoka kituoni nlikaa week mbli nlivyotoka simu na pesa zangu zote sikupewa

    • @patricksame1738
      @patricksame1738 Год назад +3

      Kituo gani uliwekwa mwaka gani mkoa gni?

    • @stellah3844
      @stellah3844 Год назад +1

      Duh pole sana

    • @eashaeasha9776
      @eashaeasha9776 Год назад +1

      Kituoni hujapewa vitu je uliwashtaki hao mapolici unaweza kwenda kituo kikubwa kutoa izi ripot

    • @ashurajengela3926
      @ashurajengela3926 Год назад +1

      Kwanini usipewe vitu vyako wakati ulikabidhi ?! Ulichukua hatua gani kuona hupewi vitu vyako ?! Eniwei pole sana Mungu mkubwa hukukaa sana mana Kuna watu wanaozea jela kwa kesi za kusingiziwa 😢

    • @vaskosamweli3556
      @vaskosamweli3556 Год назад +1

      Kiujumla ukiwekwa maabusu unavyotoka sio wote wanaludishiwa vitu vyao kwakua sio kila mtu anajua hakizake na hata ukiona unaonewa utashtak wap?

  • @kilosa2000
    @kilosa2000 Год назад +1

    Yaani laki 5 unamfanyia mtu ubaya kiasi hiki. Haki yake unamtesa kijana wa watu nawe unaona sawa tu. Kumbuka dhulma hulipwa na mungu wakati umeshajisahau. Ipo siku

  • @rayakhaled1037
    @rayakhaled1037 Год назад +2

    maskin Mungu ampe nguvu huyu kaka lkn dunia duara whats goes around come around fimbo
    ya mungu itawapiga hao vijana na huyo jamaa aliomdhulumu huyo kaka

  • @jemsamtz8411
    @jemsamtz8411 Год назад +1

    Da maisha yanatisha poleni sana kaka mungu atakufanyia wepesi

  • @ayoubtv8648
    @ayoubtv8648 Год назад +1

    Hakika kuna binadamu ni wanyama🥹 watu wa aina hii Walaaniwe

  • @mwax9067
    @mwax9067 Год назад

    Huo mfuko wa mfungwa....🙌🙌🙌

  • @eliofootz6519
    @eliofootz6519 Год назад

    Dah aisee ! Huzuniiii

  • @amirikoshuma6022
    @amirikoshuma6022 Год назад +2

    Mungu anawaona ... Doo asee😭😭😭sijawahi kulia Ila hii imeniliza

  • @jokhaali5893
    @jokhaali5893 Год назад

    Pole sana mdogo wangu.

  • @amanabdallah529
    @amanabdallah529 Год назад

    Pole San Kaka

  • @gilliardgodfriend5745
    @gilliardgodfriend5745 5 месяцев назад

    BABALEVO ALISEMA WATU WANAWEKA PESA TUMBONI MKAKATAA😢😢😢😢

  • @remybuyenzi1856
    @remybuyenzi1856 Год назад

    Wallahi nimejikuta machozi ya kinitiririka. Noma sana kabisa

  • @khalsasalim7930
    @khalsasalim7930 Год назад +2

    Jela sio poa

  • @ngalimosalvatory8533
    @ngalimosalvatory8533 Год назад

    Daah! Eti pochi la mfungwa hatari sanaa 😂😂, pole sana broo🙏🙏

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 Год назад

    Pole kaka

  • @laulentchristian6786
    @laulentchristian6786 Год назад

    Polesana brother

  • @raymondjohn6083
    @raymondjohn6083 Год назад +1

    So 😢 Sad

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 Год назад

    Inasikitisha na kuhuzunisha sana ivi mtu unaamuwa kumtendeya mwenzio hayo ili wewe uendelee kula raha?
    Wallah mungu sio mzee mkumba atalipa kwa wote walio shirking kwa namna moja ama nyengine hadi huyo kaka kufikiya qliyoyapitiya

  • @mariamrajabu6438
    @mariamrajabu6438 Год назад +1

    Mungu mkubwa utafanikiwa

  • @elizapetershirima6599
    @elizapetershirima6599 Год назад

    mungu akutangulie ndgu yangu

  • @issasaidi5781
    @issasaidi5781 Год назад

    Inauma sana

  • @damasdaudy7710
    @damasdaudy7710 Год назад

    Pole ndugu maisha ndivyoyalivyo vinadam tupotofaut

  • @matolasalumu2625
    @matolasalumu2625 Год назад

    Reo mkongwe nimekusoma vizuli safii sana

  • @shamsikiluwasha9541
    @shamsikiluwasha9541 Год назад

    Mm namini mungu yupo asiye muamini amini

  • @theophilwisdom2308
    @theophilwisdom2308 Год назад

    mzee umemalizia vema sanaaaa

  • @gladysmushy1498
    @gladysmushy1498 Год назад

    😭😭😭i cried jaman

  • @ladyt1471
    @ladyt1471 Год назад

    Kuna watu wana roho mbaya jamani daah pole sana

  • @amanishiughaaa6345
    @amanishiughaaa6345 Год назад +1

    Ubaya ni deni linaro subiliwa kuripwa kwa namna yeyote ile iwe ww au kizazi chako Ahsant babu zebwera

  • @kichenjekichenje2072
    @kichenjekichenje2072 Год назад +3

    Zembwela bhana,eti "kama naanza kukuelewa"😄😄

    • @aminaali792
      @aminaali792 Год назад

      😅😅yaani kama mazuri 🤦🏽‍♀️💀

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Год назад +1

    💔

  • @freeboytz-279
    @freeboytz-279 Год назад

    Daaah eeeeh mungu nakuomba umusimamie kijana huyo katika safali ya maisha anayo enda kuyafanya🙏🙏🙏Amina🧎

  • @erickmwakasanga4326
    @erickmwakasanga4326 Год назад

    Tunaoneana sana

  • @kdloon2030
    @kdloon2030 Год назад

    Ila nchi hii ni mtihani sana,yaani mtu anarudishwa gerezani na kesi hakim kaisha amuru mtu kua huru.

  • @crissimsigwa8879
    @crissimsigwa8879 Год назад

    Daaah😥😥😥

  • @hajjymohamed1241
    @hajjymohamed1241 Год назад

    Leadin story ... usingemuongoza ingekaa sawa zembwela

  • @mariamrajabu6438
    @mariamrajabu6438 Год назад

    Dah dunia hii

  • @oyay2821
    @oyay2821 Год назад

    Hii serikali ya ccm itakuja pata taabu sana kwa uonevu huu wa wananchi wake

  • @shodristvtv6121
    @shodristvtv6121 Год назад

    it’s so painful 😢

  • @amanidaniford7194
    @amanidaniford7194 Год назад +1

    Nauli ya bus imeshapanda kaka

  • @bakari-si1pw
    @bakari-si1pw Год назад

    Dah kweli hii dunia inamambo sana

  • @robsonwisdom1994
    @robsonwisdom1994 Год назад

    Ila mungu yupo ipo siku 😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @shabanisaleeh4541
    @shabanisaleeh4541 Год назад

    Noma duniani apa kuna mengi

  • @classicmido88
    @classicmido88 Год назад

    Daaa unaumiza kwakweli

  • @kabatelletv4157
    @kabatelletv4157 Год назад

    Dah nooma kweli

  • @aaii8301
    @aaii8301 Год назад +1

    Hata baba angu alika mwezi 6 jena bilakosa lolote boss wake alifanya ivo ili asimlipe elayake lakini malipo ni apa apa duliani baba angu alipo toka jala ofisi ya boss wake iliungua

    • @malak-lz6kx
      @malak-lz6kx Год назад +1

      Sjui kwanini hakuungua na yeye

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 Год назад

    Ila sijui huko kigoma mke yupo ama amerisiwa kutokqna na mda na kutokuwepo mawasiliano

  • @mosseydesantossjr3376
    @mosseydesantossjr3376 Год назад

    The first one

  • @stellah3844
    @stellah3844 Год назад

    Inaumiza 😭😭😭😭😭

  • @kiomyyahya6516
    @kiomyyahya6516 Год назад +2

    Eti kama naanza nakuelewa iv zembwela 🤣🤣🤣

  • @Fofo-511F
    @Fofo-511F Год назад +1

    Malipo ni hapa hapa dunian

  • @yasmeenaal4191
    @yasmeenaal4191 Год назад

    Hilo ni chozi la mnyonge

  • @SadickRashid-ln1fg
    @SadickRashid-ln1fg 4 месяца назад

    Duuuh

  • @majidypapeny1527
    @majidypapeny1527 Год назад +1

    Dah binadamu ss tunaroho ngumu sana km mashetani weusi

  • @noxlosingida2369
    @noxlosingida2369 Год назад

    Duu jamani huyo boss Mungu atamhukum hapa hapa na familia yake maana walijipanga alafu wamemzurumu hela zake jamani

  • @abbyibu5463
    @abbyibu5463 Год назад

    Hadi simu inafichwa huko😳😳

  • @mussaandrew2083
    @mussaandrew2083 Год назад

    😭😭

  • @bahatibahati4213
    @bahatibahati4213 Год назад +1

    Toa namba yake me nimsaidie hiyo hela arudi kwao

  • @shebbylove9463
    @shebbylove9463 Год назад

    😔😥😭😭😭

  • @asmaathmani440
    @asmaathmani440 Год назад

    😪

  • @abdullahshabani7004
    @abdullahshabani7004 Год назад

    😥😪😪😥

  • @nakundwamkubwe7823
    @nakundwamkubwe7823 Год назад +1

    Maskini 😭nimeumia

  • @Adrext
    @Adrext Год назад

    Pochi ya mfungwa😂😂😂😂😂

  • @adamummy4363
    @adamummy4363 Год назад +1

    Kwanza tabia ya askali kumpiga mtuhumiwa ife pumbavu kabisa

  • @nehemiamathias3317
    @nehemiamathias3317 Год назад

    sema hii mmeiga wazee ..

  • @oscarmaulid5906
    @oscarmaulid5906 Год назад

    Kuna watu ni mabanker keeh