'SIO WOTE WALIO JELA WANA HATIA' / SEHEMU YA MWILI WANAYOTUMIA WAFUNGWA KUFICHA HELA - MSWAHILI
HTML-код
- Опубликовано: 8 сен 2024
- 'SIO WOTE WALIO JELA WANA HATIA' / SEHEMU YA MWILI WANAYOTUMIA WAFUNGWA KUFICHA HELA - MSWAHILI
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Kila nikikumbuka MTU alo fungwa machoz Yananitoka sana maana chanzo cha kuvunjika ndoa yangu ni Baba wa mtt wangu kufungwa bila hatia mungu akulinde sana kaka Angu
Duh! Pole Sana tuma Allah akufanyie wepesi.
Duuuh pole
Kakaako au mumeo ama alipofungwa umeshindwa kusubiri ukaolewa kwengine?
@@BigZhumbe skuolewa na nipo Hadi SASA wala sjapanga kuwa na MTU kindoa na so km nilishindwa kusubilia Sawa ila ni Kati ya changa Moto tu moja wapo
Acha unafki😂
Walimwengu tumuogope Mungu, tukumbuke kunakujibu maswali mbele ya mungu. Na Mungu hasahau.
ZEMBWELA YOUR THE BEST Interrogator keep it up BABU😎
Dah😭😭😭 unafika home unakuta mkee kisha olewa na anafamiliya ingine💔💔💔 uku umerudi huna kitu😥🏃🏿♀🏃🏿♀🏃🏿♀
😭😭😭 nimelia sana nimeumia sana hakika kila nipigapo ombi kwa mungu nitakukumbuka mungu Nisaidie Amina
Mungu wetu wa Mbinguni ni Mwema sana, nimefurahi kusikia hakuwa na tumaini jengine pasipo Mungu. Namfananisha na Yusufu baina ya ndugu zake au Ayubu na changamoto yake. Mungu ni mwema hakika kuna chakujifunza kupitia kipindi Hiki.
Brother Zembwela Mungu akutunze na hili ni Deni kwa Mungu hakika litalipwa kama sio Kwako Basi ni kwa vizazi vyako....🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Yan kwel binadamu tumefkia stage ya kudhulum maisha ya mnyonge sababu ya laki tano ya kitanzania kwel🥺😣...pole sana my brother🙏
Kazi zuri wasafi kwa kazi zuri ya kuelimisha jamii kwa vipindi polaaa!! Andayeni kipindi kitwacho ndani ya kiza watu wanamengi kwenye kiza walicho pitia
💯💯💯
Jamaa mwanaume wa kweli yajandoni hukaaga jandoni safi sana!
Mtihani pole mdogo wangu mungu atakulipiya ninaimani haki yako mwenyezi mungu atakulipiya
Sad story haki yako inakupeleka jela 😓😓 binadamu tukumbuke Kuna aliye tuumba na anaona yote yanayo endelea jamani mbona tumekua na roho ngumu hivi ?!
Mungu atakulipia hapa hapa duniani ,uyo aliyekufanyie huyo boss mungu atamuonyesha nahawo mahakimu mungu atawahukumu mchana kweupe mlilie mungu Kaka yangu haki yako umedai imekupeleka hela mungu atakulipia
Hii mipigo ndio hinatufanya tusiludi bongo masikini ndio taulo la kujifutia kakaa jela kwa Akiyake mungu Atakubari ndugu yangu😭🇹🇿🇬🇷
Hivyo hivyoo wasenge sana!
Ameen ameen
Live long mzee wangu ZEMBWELA
Safi sana suala la sauti limefanyiwa kazi
Uzuri malipo ni hapa hapa duniani
Watalipia wote waliohusika na kukudhurumu haki yako
Unaweza usijue au kusikia ila watalipa tuu
Mungu akutangulie champ
Ni machungu makali sana nakosa neno la kusema itoshe kusema Mungu asimame nae ndugu yetu hongera sana
Babu zembwela chuma cha pua kabali yao.
Daaa, inauma sana. Mwenyezi Mungu ndiye mlipaji. Ipo siku japo itachelewa utalipwa inshaAllah. Pole sana mdogo wangu chozi lako litalipwa hapa hapa duniani.
Kuna watu wanarudisha wenzo nyuma maisha gani haya jamani kumbukeni mungu yupo
Ila kuna baadhi ya askari 😠😭😭😭Allah Kareem atalipa kwa kila nia ovu ya mtu
Mungu atakupa faraja na atakurudishia aki zako na kila muda uliopoteza ukiwa jela..Mshukuru Mungu kwa kukupitisha uko kote ad ulipofikia. Wote walio husika kutendeka maovu Mungu yupo hajawahi kulala anaona kila kitu.🤲.
Zembwela kwa kipindi hchi hongera sn kwa kufichua maovu mengi watu wanameng ya kuifunza jamii jamaa namuombea kwa Mungu haki yake ipo tu
Ina uma sana aisee daaah mungu amjalie aisee
Pole Sana kaka roho imeniuma, Haki yake mmemzurumu na jela mmempeleka, Mungu awahukumu kwa dhuruma mliyoifanya.
Aliemdhulumu huyu kijana Mungu atamlipa na yeye
Mungu ampe heri huyo kijana nawe Sembwela usidishiwe hekima na wema siku zote
Jela mbaya sanaaaa😢😢😢😢😢
Duh mtihani wawahi inaumiza kumdidimizi mwanadamu mwenzako alie zaliwa na mwanmke kma mama ako tuwe na huruma jmniii
Pole sana, Mungu akulinde na kukurejeshea vyote ulivyopoteza. Mungu akuanzishie maisha yenye afya, amani, upendo na mafanikio makubwa.
Kila aloeshikili kumzulum uyu dogo mwenyezi Mungu awalaani uko waliko wateseke waangaike wateketeee kila watachofanya kisifanikiwe katika maisha yao
Zembwela big up mzee wangu
Dah nchi za Africa zina matatizo sana Mungu atuponye kwa kwel
Kabisa
KWANINI UMVUNJE MWENZIO MIGUU HATA KAMA UNA MAMLAKA KWANNI UFANYE UNYAMA😢😢😢
Zembwera nakubali sana
Hii nchi inauwonevu sana kwa maskin na mwenyez mungu ameijaalia rasilimali nyingi sana ila ina laana ya uwonevu wa maskini aitaendelea kamwe mpaka kiama kitakapo kuja
Sana uonevu ni mwingi
Hii michongo ipo mingi mimi nilishafanyiwa ivi ili police waniibie vitu vyangu maana waliniambia nimebaka then nliembaka sikumjua mpk natoka kituoni nlikaa week mbli nlivyotoka simu na pesa zangu zote sikupewa
Kituo gani uliwekwa mwaka gani mkoa gni?
Duh pole sana
Kituoni hujapewa vitu je uliwashtaki hao mapolici unaweza kwenda kituo kikubwa kutoa izi ripot
Kwanini usipewe vitu vyako wakati ulikabidhi ?! Ulichukua hatua gani kuona hupewi vitu vyako ?! Eniwei pole sana Mungu mkubwa hukukaa sana mana Kuna watu wanaozea jela kwa kesi za kusingiziwa 😢
Kiujumla ukiwekwa maabusu unavyotoka sio wote wanaludishiwa vitu vyao kwakua sio kila mtu anajua hakizake na hata ukiona unaonewa utashtak wap?
Yaani laki 5 unamfanyia mtu ubaya kiasi hiki. Haki yake unamtesa kijana wa watu nawe unaona sawa tu. Kumbuka dhulma hulipwa na mungu wakati umeshajisahau. Ipo siku
maskin Mungu ampe nguvu huyu kaka lkn dunia duara whats goes around come around fimbo
ya mungu itawapiga hao vijana na huyo jamaa aliomdhulumu huyo kaka
Da maisha yanatisha poleni sana kaka mungu atakufanyia wepesi
Sana Yani watu Mimi nawaogopa mno
Hakika kuna binadamu ni wanyama🥹 watu wa aina hii Walaaniwe
Huo mfuko wa mfungwa....🙌🙌🙌
Dah aisee ! Huzuniiii
Mungu anawaona ... Doo asee😭😭😭sijawahi kulia Ila hii imeniliza
Pole sana mdogo wangu.
Pole San Kaka
BABALEVO ALISEMA WATU WANAWEKA PESA TUMBONI MKAKATAA😢😢😢😢
Wallahi nimejikuta machozi ya kinitiririka. Noma sana kabisa
Jela sio poa
Daah! Eti pochi la mfungwa hatari sanaa 😂😂, pole sana broo🙏🙏
Pole kaka
Polesana brother
So 😢 Sad
Inasikitisha na kuhuzunisha sana ivi mtu unaamuwa kumtendeya mwenzio hayo ili wewe uendelee kula raha?
Wallah mungu sio mzee mkumba atalipa kwa wote walio shirking kwa namna moja ama nyengine hadi huyo kaka kufikiya qliyoyapitiya
Mungu mkubwa utafanikiwa
mungu akutangulie ndgu yangu
Inauma sana
Pole ndugu maisha ndivyoyalivyo vinadam tupotofaut
Reo mkongwe nimekusoma vizuli safii sana
Mm namini mungu yupo asiye muamini amini
Duuuh
mzee umemalizia vema sanaaaa
😭😭😭i cried jaman
Kuna watu wana roho mbaya jamani daah pole sana
Ubaya ni deni linaro subiliwa kuripwa kwa namna yeyote ile iwe ww au kizazi chako Ahsant babu zebwera
Zembwela bhana,eti "kama naanza kukuelewa"😄😄
😅😅yaani kama mazuri 🤦🏽♀️💀
💔
Daaah eeeeh mungu nakuomba umusimamie kijana huyo katika safali ya maisha anayo enda kuyafanya🙏🙏🙏Amina🧎
Tunaoneana sana
Ila nchi hii ni mtihani sana,yaani mtu anarudishwa gerezani na kesi hakim kaisha amuru mtu kua huru.
Daaah😥😥😥
Leadin story ... usingemuongoza ingekaa sawa zembwela
Dah dunia hii
Hii serikali ya ccm itakuja pata taabu sana kwa uonevu huu wa wananchi wake
it’s so painful 😢
Nauli ya bus imeshapanda kaka
Dah kweli hii dunia inamambo sana
Ila mungu yupo ipo siku 😭😭😭😭😭😭😭😭
Noma duniani apa kuna mengi
Daaa unaumiza kwakweli
Dah nooma kweli
Hata baba angu alika mwezi 6 jena bilakosa lolote boss wake alifanya ivo ili asimlipe elayake lakini malipo ni apa apa duliani baba angu alipo toka jala ofisi ya boss wake iliungua
Sjui kwanini hakuungua na yeye
Ila sijui huko kigoma mke yupo ama amerisiwa kutokqna na mda na kutokuwepo mawasiliano
The first one
Inaumiza 😭😭😭😭😭
Eti kama naanza nakuelewa iv zembwela 🤣🤣🤣
Malipo ni hapa hapa dunian
Hilo ni chozi la mnyonge
Duuuh
Dah binadamu ss tunaroho ngumu sana km mashetani weusi
Duu jamani huyo boss Mungu atamhukum hapa hapa na familia yake maana walijipanga alafu wamemzurumu hela zake jamani
Hadi simu inafichwa huko😳😳
😭😭
Toa namba yake me nimsaidie hiyo hela arudi kwao
Mwezimungu akubariki kaka akuongezee utakapotoa
😔😥😭😭😭
😪
😥😪😪😥
Maskini 😭nimeumia
Pochi ya mfungwa😂😂😂😂😂
Kwanza tabia ya askali kumpiga mtuhumiwa ife pumbavu kabisa
sema hii mmeiga wazee ..
Unataka content au wataka reference
Kuna watu ni mabanker keeh