Rashid Salum wkt ulipokua umejikita kwenye mawaidha ilikua mawaidha yako yapo juu sana, nakushauri rudi kwenye daawa mana sasahivi umekua muislam wa kawaida sana wkt ww ni msomi na nisheikh
Shekh Rashid ila kweli umechange kidogo tofauti n mwanzo asaiv hujikiti Sana dini xku ambayo niliona Ile clip ya ukufunzi wa polix nilixkitika kwa kweli
Uliopo vibaya ni wewe, kwanza ujue M/Mungu uliumba binaadamu hayopo sawa na Wala hatutokuwa sawa. Hata ukitizama vidole vyako havipo sawa , na sisi tupo hivihivi . Kama tungelikuwa sawa, tusigeambia tutoe sadaka .
Hamna kitu hapo wanatafuta umaarufu tu na wewe mtangazaji achana na hayo mambo ya dunia,ingia kwenye dini mojakwa moja, huyo mwanamke amechora mapiko waziwazi anamaanisha nini
Nawashukuru kwa maoni yenu.nadhani muda wangu wote nimeutoa kwenye harakati muhimu za kijamii.ila kufanya kazi ni ibada uandishi wa habari ndio kazi yangu ya rizki.ila maoni yenu mazuri na harakati zipo pale pale.shukran.
Mashaallah Allah akujalie mema kwenye shughuli zenu, Inshaallah.
Kukwakua kazi anayofanya hapati zambi basi mashaallah ❤️ mungu amzidishie musianze kuchunguza mtu na mkuhukumu mtu kwa mtazamo
MASHAALLAH SHUKRAN AHSANTE TUPO PAMOJA INSHAALLAH 👍🏼🤝
Maashallah hongera kwa kazi nzuri.
Rashid Salum wkt ulipokua umejikita kwenye mawaidha ilikua mawaidha yako yapo juu sana, nakushauri rudi kwenye daawa mana sasahivi umekua muislam wa kawaida sana wkt ww ni msomi na nisheikh
Dah pole pole ndugu yetu shk rashid hajatoka ktk uislam au da'wa pole pole kaka/Dada.
MashaLLAH huyu mtoto nadhani ndio ngao ya familia ya mzee mwinyi ALLAH ampe afya njema na umri mrefu na amuingoze katika mema na katika kheri
Masha allah mungu atueke hongera ni wachache wtto wa viongoz kujumuika na jamii
Mashaallah asma💕💕❤
SUPER GREAT👍SWEETIE❤" KEEP IT UP👌😆"
Sauti ya baba yake Masha'Allah
Hongeraa kwa huduma hiyo na mm nina bint ni mhitaji
Masha Allah.
Hongera sana Dada
Maashallah Allah akulinde
Acheni kuhukumu watu kila mtu asimame ktk mstari wake anaona sahihi
Pesa Za Wizi Na Ufisadi dhuluma za Watanzania
MaashaaAllah, Wote kwa baba na mama mmojaa?
Kiini macho icho hakuna jipya
Heading yako mbovu kabisa akhui yaani hata dini haikuruhusu kuandika Heading kama hiyo.
Sauti ya babaake
world on fire
Mm tu nimuulize aslm hakula alobakia ilikua hajaolewa ktk wao
Ajikite Kote Kote au mutampa Ajira ndugu zangu.
Kikubwa asiangalie Sana Dunia tuu
Mapaa asma kaona comment yangu kisha ana nitafuta anasema hajapata mme niende mm haki wallah naenda kusoma adhana juu ya mnara wa kisonge.
bro ww hutak mke unataka maslah tu so humstahiki huyo mdada, acha mm nimuowe kwa upendo
Unaisaidia vipi jamiiiii
Sasa na sie tunao jitoa kupeleka misaada au sadaka utatuandikaje???? Wacha kupotosha umma dogo muogope mola wako
Shekh Rashid ila kweli umechange kidogo tofauti n mwanzo asaiv hujikiti Sana dini xku ambayo niliona Ile clip ya ukufunzi wa polix nilixkitika kwa kweli
Pic kali mashallah
Kuna kitu nimekiwaza sisemi je kama Kuna mtu kawaza kitu kama changu nipe like
Wako wazazi wetu walikashifika Kwa kukosa jambohilo
Ndio mujue km mwatuhangaisha tu hamuna lolote mlifanyalo ata tende hatuijui
Wazush tu hao wafanye wamalize waondoke
Ikulu gani anayotoka? Bado anaota kuishi Ikulu tuu miaka 30 baada?
Watu wanatafuta risk ili kuhudumia familia na watu walio wazunguka kwaiyo sheikh muacheni afanye kazi kote kote
nchi mumeifikisha pabaya halaf munajisifu ,munajisifu nini nyinyi ,kuleni kharam tu
Uliopo vibaya ni wewe, kwanza ujue M/Mungu uliumba binaadamu hayopo sawa na Wala hatutokuwa sawa. Hata ukitizama vidole vyako havipo sawa , na sisi tupo hivihivi . Kama tungelikuwa sawa, tusigeambia tutoe sadaka .
Hamna kitu hapo wanatafuta umaarufu tu na wewe mtangazaji achana na hayo mambo ya dunia,ingia kwenye dini mojakwa moja, huyo mwanamke amechora mapiko waziwazi anamaanisha nini
Kwani yupo nunusu nusu kwenye dini au
Na akifanyacho ni ibada na yupo ktk dini hakuna shaka na alifanyalo
Nawashukuru kwa maoni yenu.nadhani muda wangu wote nimeutoa kwenye harakati muhimu za kijamii.ila kufanya kazi ni ibada uandishi wa habari ndio kazi yangu ya rizki.ila maoni yenu mazuri na harakati zipo pale pale.shukran.
Namjin wapo wahitaji tena sanaaa
Taulo muwape ila pia nachupi zakutaiti muwape
Yhgh
Walopita nyuma walikosa elimu kwasababu hiyo