SHIDA ZA JAMII ZAMTOA MTOTO WA MWINYI IKULU.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 сен 2024

Комментарии • 47

  • @aciamwinyi3991
    @aciamwinyi3991 Год назад +4

    Mashaallah Allah akujalie mema kwenye shughuli zenu, Inshaallah.

  • @hassanalihassan5073
    @hassanalihassan5073 Год назад +3

    Kukwakua kazi anayofanya hapati zambi basi mashaallah ❤️ mungu amzidishie musianze kuchunguza mtu na mkuhukumu mtu kwa mtazamo

  • @Samsungjprime-ww9ve
    @Samsungjprime-ww9ve 18 дней назад

    MASHAALLAH SHUKRAN AHSANTE TUPO PAMOJA INSHAALLAH 👍🏼🤝

  • @littlepie5914
    @littlepie5914 Год назад +4

    Maashallah hongera kwa kazi nzuri.

  • @hamadfaki2503
    @hamadfaki2503 Год назад +7

    Rashid Salum wkt ulipokua umejikita kwenye mawaidha ilikua mawaidha yako yapo juu sana, nakushauri rudi kwenye daawa mana sasahivi umekua muislam wa kawaida sana wkt ww ni msomi na nisheikh

    • @businessideas.1350
      @businessideas.1350 Год назад +1

      Dah pole pole ndugu yetu shk rashid hajatoka ktk uislam au da'wa pole pole kaka/Dada.

  • @seifbolanissan1653
    @seifbolanissan1653 Год назад +3

    MashaLLAH huyu mtoto nadhani ndio ngao ya familia ya mzee mwinyi ALLAH ampe afya njema na umri mrefu na amuingoze katika mema na katika kheri

  • @aminaalabri4170
    @aminaalabri4170 Год назад +2

    Masha allah mungu atueke hongera ni wachache wtto wa viongoz kujumuika na jamii

  • @monadinadi5295
    @monadinadi5295 Год назад +3

    Mashaallah asma💕💕❤

  • @bas2823
    @bas2823 Месяц назад

    SUPER GREAT👍SWEETIE❤" KEEP IT UP👌😆"

  • @eyabdimaha3698
    @eyabdimaha3698 Год назад +2

    Sauti ya baba yake Masha'Allah

  • @evampuya-mp9vf
    @evampuya-mp9vf Месяц назад

    Hongeraa kwa huduma hiyo na mm nina bint ni mhitaji

  • @yasminjuma9146
    @yasminjuma9146 Год назад +2

    Masha Allah.

  • @StephanoMosha
    @StephanoMosha Месяц назад

    Hongera sana Dada

  • @hasaabdi7199
    @hasaabdi7199 6 месяцев назад

    Maashallah Allah akulinde

  • @aishaamir-p8p
    @aishaamir-p8p 6 месяцев назад +1

    Acheni kuhukumu watu kila mtu asimame ktk mstari wake anaona sahihi

  • @msemakweli371
    @msemakweli371 Год назад +1

    Pesa Za Wizi Na Ufisadi dhuluma za Watanzania

  • @TahilaRamadhan-hz3pd
    @TahilaRamadhan-hz3pd Год назад +1

    MaashaaAllah, Wote kwa baba na mama mmojaa?

  • @abdallahnassoro2460
    @abdallahnassoro2460 Год назад +1

    Kiini macho icho hakuna jipya

  • @joojombi2341
    @joojombi2341 25 дней назад

    Heading yako mbovu kabisa akhui yaani hata dini haikuruhusu kuandika Heading kama hiyo.

  • @zuwenasleiman3587
    @zuwenasleiman3587 Год назад +1

    Sauti ya babaake

  • @bekabeka-ww2mn
    @bekabeka-ww2mn Год назад

    world on fire

  • @abdallahnassoro2460
    @abdallahnassoro2460 Год назад

    Mm tu nimuulize aslm hakula alobakia ilikua hajaolewa ktk wao

  • @mrjaula7769
    @mrjaula7769 Год назад

    Ajikite Kote Kote au mutampa Ajira ndugu zangu.
    Kikubwa asiangalie Sana Dunia tuu

  • @suleimanrashid3918
    @suleimanrashid3918 Год назад +1

    Mapaa asma kaona comment yangu kisha ana nitafuta anasema hajapata mme niende mm haki wallah naenda kusoma adhana juu ya mnara wa kisonge.

    • @menalikechildren8836
      @menalikechildren8836 Год назад +1

      bro ww hutak mke unataka maslah tu so humstahiki huyo mdada, acha mm nimuowe kwa upendo

  • @user-mo1ui4qm7x
    @user-mo1ui4qm7x Месяц назад

    Unaisaidia vipi jamiiiii

  • @joojombi2341
    @joojombi2341 25 дней назад

    Sasa na sie tunao jitoa kupeleka misaada au sadaka utatuandikaje???? Wacha kupotosha umma dogo muogope mola wako

  • @hamicpina1151
    @hamicpina1151 Год назад

    Shekh Rashid ila kweli umechange kidogo tofauti n mwanzo asaiv hujikiti Sana dini xku ambayo niliona Ile clip ya ukufunzi wa polix nilixkitika kwa kweli

  • @abuubakar7594
    @abuubakar7594 Год назад +1

    Pic kali mashallah

  • @ahmedalkiyum7592
    @ahmedalkiyum7592 Год назад

    Kuna kitu nimekiwaza sisemi je kama Kuna mtu kawaza kitu kama changu nipe like

  • @abdallamohdhiyonineematush408
    @abdallamohdhiyonineematush408 6 месяцев назад

    Wako wazazi wetu walikashifika Kwa kukosa jambohilo

  • @fettymohd4708
    @fettymohd4708 Год назад

    Ndio mujue km mwatuhangaisha tu hamuna lolote mlifanyalo ata tende hatuijui

  • @nassormessi-zk5cz
    @nassormessi-zk5cz Год назад

    Wazush tu hao wafanye wamalize waondoke

  • @ameedamilja7992
    @ameedamilja7992 Год назад +1

    Ikulu gani anayotoka? Bado anaota kuishi Ikulu tuu miaka 30 baada?

  • @hassanalihassan5073
    @hassanalihassan5073 Год назад

    Watu wanatafuta risk ili kuhudumia familia na watu walio wazunguka kwaiyo sheikh muacheni afanye kazi kote kote

  • @jumammanga0297
    @jumammanga0297 Месяц назад

    nchi mumeifikisha pabaya halaf munajisifu ,munajisifu nini nyinyi ,kuleni kharam tu

    • @Mammymuhamed
      @Mammymuhamed 23 дня назад

      Uliopo vibaya ni wewe, kwanza ujue M/Mungu uliumba binaadamu hayopo sawa na Wala hatutokuwa sawa. Hata ukitizama vidole vyako havipo sawa , na sisi tupo hivihivi . Kama tungelikuwa sawa, tusigeambia tutoe sadaka .

  • @madamaisha1641
    @madamaisha1641 Год назад

    Hamna kitu hapo wanatafuta umaarufu tu na wewe mtangazaji achana na hayo mambo ya dunia,ingia kwenye dini mojakwa moja, huyo mwanamke amechora mapiko waziwazi anamaanisha nini

  • @saidrashid-vz6nh
    @saidrashid-vz6nh Год назад +2

    Na akifanyacho ni ibada na yupo ktk dini hakuna shaka na alifanyalo

    • @alfatahtvonline3374
      @alfatahtvonline3374  Год назад +1

      Nawashukuru kwa maoni yenu.nadhani muda wangu wote nimeutoa kwenye harakati muhimu za kijamii.ila kufanya kazi ni ibada uandishi wa habari ndio kazi yangu ya rizki.ila maoni yenu mazuri na harakati zipo pale pale.shukran.

    • @alhamiraj4570
      @alhamiraj4570 Год назад

      Namjin wapo wahitaji tena sanaaa

    • @alhamiraj4570
      @alhamiraj4570 Год назад

      Taulo muwape ila pia nachupi zakutaiti muwape

  • @kitoichiligati1620
    @kitoichiligati1620 Год назад

    Yhgh

  • @abdallamohdhiyonineematush408
    @abdallamohdhiyonineematush408 6 месяцев назад

    Walopita nyuma walikosa elimu kwasababu hiyo