Afazali umeongea wew mimi nilisemaga yule mashavu hajui hiphop kazi kujisifia watu wakanibishia muziki gani mwanzo mwisho anajisifia kama anaimba taarabu amna rapa pale yele ni aisha tuu
@@noelpeter2130 anaskika?😂 Anaskika wapi Mzee Ebu acha zako bana😅 huyu tunamjua tu sisi tunaofatilia zaidi hip hop lakini wengi hawajui, hao marapa wanaojua kuandika Sana wengi bongo hawajui kutengeneza mziki mzuri wengi wanaegemea kuandika tu. Kuna tofauti kubwa Sana kati ya kujua kuandika na kutengeneza ngoma Kali chidi Benz juzi tu hapo katika kuongea ukweli kwenye interview
@@noelpeter2130 baadhi yenu wabongo Bado mpo zama za kina Nas na Jay Z mbaka leo ndo shida, hao wenyewe marekani game ya rap ilishawatema muda Sana lakini walikubali kwamba sio wakati wao Tena lakini huku watu wanafosi Dizasta vina aonekane Bora wakati muziki wake unasikilizwa na watu wachache Sana impact yake Wala sio kubwa kwenye game, angalia Lunya ambae anapigwa vita Kila siku ndo rapa wa kwanza kupata madili makubwa bongo madili ambayo wakina Fid Q walishindwa kuyapata zama zao, kaangalie trending Saivi ngoma yake ndo ngoma pekee ya hip hop inayoshindana na wasanii wa kuimba kwenye chart Iko namba Tano. Hao mnaowasifia wanajua kuandika Sana wapo wapi Saivi? Kubalini tu uwezo wa jamaa kwa Sasa
Toxic ebu wa sameeh🙏🙏🙏 😅😅😅 🔥🔥🔥🙌🙌Me nlisema wanao mshabikia young kunya n mashabiki mandaz hawaijui HIP HOP me mwenyew haniwez atanishinda kwa mashabiki mandaz wanashabikia mavaz anayo vaa eny mashabiki wa young kunya mmeisikia HIP HOP HOP ilivyo na Radha
Lunya is next level, mnao mdisi young lunya ukweli ni kwamba rap zenu hazina nguvu kushindana nayeye, lunya ni star kwa maana iyo mnatafta kiki kupitia yeye ili tujue kua na ninyi mpo, huo ni ushamba, mziki wake ni watofauti na nyie ndomana yupo top level, VIEWS, SUBSCRIBERS hata mauzo toxic huwezi kua kama lunya, japo kakukuta kwenye game! Funga bakuri hujui ku rap, unaongea kwenye beat tu!
Daah Bro Sikutegemea Kama Ichi Kitu ulicho Kifanya Kama Kwako Itakuwa Ni Simple Like That Alafu Ngoma Kali Kinoma Na Umenyoosha bro Hii Ndio Maana Halisi Ya Hip Hop Na Wewe Ndio Rapper So Big Up Sana My G
Real hiphop huyu toxic n noma ubunifu🔥 punchline🔥 Kibwagizo🔥 mashahiri yamepangwa yakapangika,, na anatembea na beat,, Af kwa nnavyomjua toxic ukute hata hajaandika 🔥🔥🔥 Lunya hajib hii akijib nmekaa paleee
Oya wazee walioludia ihh Ngoma kama me tujuane kwa like hapa😊😊😊
Waliorudia
Nimeirudia huyu toxic ety meeh 😁🤣🤣🤣
Tupo hapa apa lunya lbda akaombe msaada Kwa kitengo kidg 😅
Alaf tukisha kupa
Co kurudia tu nimekuj tena cku pili niickilize vzur kubabake
KAMA UNAKUBALI TOXIC KAMMALIZA YOUNG KUNYA ...GUSA LIKE APO 😂😂
Hawezi kumzima afu watu wanafki sana dah
Nimerudia tena kusikiliza😁😁😁, Jana na leo..... Tuliorud leo tena like hapa wazeeee😊
Kaka umetisha ira mbuzi ni kuma2
MWILI MDOGO ILA SOUND YA BUFA📌📌 nipeni likes zangu sasa😂
Alaf upeleke wapi 😂
Ukikaa katikati yao ndo utasikiliza vizuri na kugundua hii distrack nikali kiasi inaonekana kama ya sekunde selathini ❤❤❤
Kabisa.!
Kama umesikiliza zaidi ya mala mbili like hapa 😂😂
Mwanangu huyu toxic hapana😁😁😁😁😁mashavu makubwa
@@mkingaboy550 😂😂 meeh
🔥 🔥 Toxic umetisha.....mashabika wa rap ndo tunacho kitaka game iwe on Air kwa dis track na nyimbo qali
Usijiite mkali wa rap,
Kinachofanya uskike sio kujua bali ni kujuana na watu 2:13 👏👏👏👏 Big Thinker
TOXIC umenena ukwel! Haipingwi MBUZI anazingua parefu💯💪
"Tuwe makini na wanaume wanaosema hawarudii boxer"✌🏾✌🏾
Humu ndani umefanya matusi ile mbaya itanibidi nitulize fuvu ili kumaster haya matusi🔥🔥🔥
😂😂😂😂
Afazali umeongea wew mimi nilisemaga yule mashavu hajui hiphop kazi kujisifia watu wakanibishia muziki gani mwanzo mwisho anajisifia kama anaimba taarabu amna rapa pale yele ni aisha tuu
😂🤣😂🤣😂🤣 aisha mashauzi yule na adija kopa adija kopa hamfikii kwa taarab
"TUWE MAKINI NA MWANAUME ANAESEMA HARUDII BOXER" kmmk😂😂🙌
Kamdhalilisha Asee😂😂😂
@@celvinrobert7972 Nmecheka sana danh😂😂
Hahaa hajawahi tokea mtu wa hivyo duniani.....📌
@@user-ky6ty3ie9b 😁😁😁😁
@DiamondMboss Jamaa anajua
"TUWE MAKINI NA MWANAUME ANAESEMA HARUDII BOXER"😂😅
hii punchline noma sana 🙌
😂😂😂dah so poa
😊😅😅
Sanaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Na siku lunya akimdiss dizasta vina atakua amekwisha kabisa
Uyu toxic tu kamvuruga hivi 🙌😁
Kule hawezi amuulize Raptcha ad Leo kapotea😅😅😅😅
Simshauli hata kidogo bwana mbuzi😅😅
Hakika buda
Vina Next level
Toxic sound ya bufa
Noma hii love from kenya Nairobi
Kinachofanya uskike sio kujua, ila ni kujuana na watu✍️. Aaah noma🔥
Ajuane na watu na yeye tuone kama ataskika
@@Oldskulgemini9991 huyo hajuani na watu Ila anaskika
Unaona utofauti uo
@@noelpeter2130 anaskika?😂 Anaskika wapi Mzee Ebu acha zako bana😅 huyu tunamjua tu sisi tunaofatilia zaidi hip hop lakini wengi hawajui, hao marapa wanaojua kuandika Sana wengi bongo hawajui kutengeneza mziki mzuri wengi wanaegemea kuandika tu. Kuna tofauti kubwa Sana kati ya kujua kuandika na kutengeneza ngoma Kali chidi Benz juzi tu hapo katika kuongea ukweli kwenye interview
@@Oldskulgemini9991 Ukiona hadi umefika kwenye kipengele chake cha kuComment, huko ndo kuskika sasa. Mbona unajifunga ndan ya maelezo😂
@@noelpeter2130 baadhi yenu wabongo Bado mpo zama za kina Nas na Jay Z mbaka leo ndo shida, hao wenyewe marekani game ya rap ilishawatema muda Sana lakini walikubali kwamba sio wakati wao Tena lakini huku watu wanafosi Dizasta vina aonekane Bora wakati muziki wake unasikilizwa na watu wachache Sana impact yake Wala sio kubwa kwenye game, angalia Lunya ambae anapigwa vita Kila siku ndo rapa wa kwanza kupata madili makubwa bongo madili ambayo wakina Fid Q walishindwa kuyapata zama zao, kaangalie trending Saivi ngoma yake ndo ngoma pekee ya hip hop inayoshindana na wasanii wa kuimba kwenye chart Iko namba Tano. Hao mnaowasifia wanajua kuandika Sana wapo wapi Saivi? Kubalini tu uwezo wa jamaa kwa Sasa
Oyaaaaaaaaa toxic Nina buku lako apaaaaa njoo ufateeeeeeeeeeeeee maana nimeirudia hii ngoma Mara 100 "Kama unajiweza nijibu nitoe part 2" 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
😂😂😂 Fid Q ashasema huyu dogo sio mbuzi na huu moto sijui kama ataujibu
Oaaa huyoo Lunya alikuchukulia poah kukutaja mweny session 6 😅😂😄kumbe kauchokoza motoo🔥🔥🔥Toxic mwanang tumsubr ajibuu 🤫Part two tunamnyoosha kam dakk 5 hv💪💪💪
Rap imezaliwa Upya🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻
Pamoja sana toxic ya kwangu inakuja saa soon🔥🔥🔥
Ningeskiliza bila kukomment ningeonekana mnafiki , nice work really anaboa
Hii ndo rap Sasa,,,,unaupiga mwingi G🔥🔥🔥
Toxic ebu wa sameeh🙏🙏🙏 😅😅😅 🔥🔥🔥🙌🙌Me nlisema wanao mshabikia young kunya n mashabiki mandaz hawaijui HIP HOP me mwenyew haniwez atanishinda kwa mashabiki mandaz wanashabikia mavaz anayo vaa eny mashabiki wa young kunya mmeisikia HIP HOP HOP ilivyo na Radha
Kitambo naanza fatilia ngoma zako aseee fire
Mwanaume anajisifu kama kapaka Meka up si ujinga kaka umemwambia ukwel
Kwanza kamdisi mwanetu killer
From Kenya ila nakubali sound ya bufa!! Young Kunya mpelekenii chooni sio studio🔥🔥🔥
Lunya is next level, mnao mdisi young lunya ukweli ni kwamba rap zenu hazina nguvu kushindana nayeye, lunya ni star kwa maana iyo mnatafta kiki kupitia yeye ili tujue kua na ninyi mpo, huo ni ushamba, mziki wake ni watofauti na nyie ndomana yupo top level, VIEWS, SUBSCRIBERS hata mauzo toxic huwezi kua kama lunya, japo kakukuta kwenye game! Funga bakuri hujui ku rap, unaongea kwenye beat tu!
Oyaaaah huyu mnyama 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Usingemjibu msenge huyo
Mtu akiona umenyamaza sana anadhani umemugwaya....pia kamtaja toxi lwenye hii session 6
Mwisho Wa leliiiiiiiiiiiii😂😂😂Unajua mpka unajuaaaa kaka 🙌🙌🙌🙌
Toxic mpoteze kabisa uyu boyaaa
Moto umeungua🔥
Kwli fuvu❤ a town tunakubal
Kali sana bro.
Mbuzi kagoma kwenda
😂😂😂duh kaka si lunya ndo namsikia humu 😂😂 sema fresh 🔥🔥🔥🔥
Unyama ni mwingi sana yani unajua sana 💯
Captain wareys from zenji nungwi dah asante kwa kutusaidia alikuwa anabowa sana mbana puwa
Aaaah kumamake upewe mauwa yako
Nakubali kaka
🔥 💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥
Mimi nilisha sema toxic ni better sas hapo alete kam kweli yeye mwamba
nisaaa meeeeh😁😁 uyu jamaa anajua
Daah Bro Sikutegemea Kama Ichi Kitu ulicho Kifanya Kama Kwako Itakuwa Ni Simple Like That Alafu Ngoma Kali Kinoma Na Umenyoosha bro Hii Ndio Maana Halisi Ya Hip Hop Na Wewe Ndio Rapper So Big Up Sana My G
lets da rap game take over...... mbuzi ingia studio idd ya kuchinja ipo njiani na toxic fuvu ndo amepewa kisu. .
We ndoume uwa sa a mshua 👊
😂😂😂😂 MAHAKAMA YA MBUZI
Umetisha dadek
THE TOXIC ripuaaa 😂😂😂 meehh
mwanaume wa kweli huwa harudii kosa tuwe makini na mwanaume anayesema harudii boksa😂🔥🔥🚀
Hahahah
We Ni Moto Toka Dakika Kumi Za Maangamizi Mm Ni Nyoosha Mikono
Noma sana mzee🔥
Ndo Mambo tunayoyapenda haya
Mbuzi mwanangu sana ila kwa hili nmempa kombe toxic kabla ya part2😂😂😂😂
Real hiphop huyu toxic n noma ubunifu🔥 punchline🔥 Kibwagizo🔥 mashahiri yamepangwa yakapangika,, na anatembea na beat,, Af kwa nnavyomjua toxic ukute hata hajaandika 🔥🔥🔥
Lunya hajib hii akijib nmekaa paleee
Mbuzi mbuzi mbuzi mbuzi mbuzi 😂😂😂 me nimekuita mara 5
Mkanyagie hajui kweli
Kweli mwana anajisifu sana
Oooyaaaahhh noma sana Fuvu punch zote kali hamna Ooomaaaiiii
Mbona nakupenda na mbuzi na mpenda
Mbuzi kayakanyaga chezea Toxic weye alaa mtu wa maana kabisa kutoka temeke
*Let us all express ourselves through the power of Love peace and Music.*
Umetisha san Bob! Mtwange mtoto mdogo uyo!
Achia ngoma la mapenzi ...Mfano wa loves never die, Nitakinai and jinai ila liwe na dakika 4 kuendelea kaka...Ila hii Diss kali
Nimekuja kuangalia msiba wa mwanetu lunya hii toxic🥲🥲
Mbuzi anawatesa ndmn mnam dis everyday, Young lunya endlea kuwapiga umo umo mpk wakae chini
Noma.Noma .Nomaaaaaa sanaaa lunya kaa rada...one love Toxic hili dude noma, Meeeèeh
Tuwe makini na mwanaume ambaye harudii boxaa😂😂😂😂
Qmmk 😂😂
Anajinyea brake hakuna
Jamaa unajua sn tangu Kibasila kk
Amini kakaa Kidevu apaa
Oyaa kidevu vp kk
Frexh
Kibasila pale nje na kingo
Nakujua mzee wakukalisha .....af wasafi walikupa kago kitengo ukamkalisha
Kina toxi ndio wazee wa freestyle!! Kina cado kitengo niky mmbishi na nk…✊🏻
True Diss... meeh anazingua sana.
Mhhhhh ☠️☠️☠️ daaah mbuzi wamchongo afu mbovu, toxic nipo nawe brother 🔥🔥🔥
From Uganda 🇺🇬 Int'l Congo DRC 🇨🇩 To Tanzania 🇹🇿 Big up 🔥🔥🔥🔥🔥😂 big
Lunya Mshamba Tu.....Nakubalii TOXIC Salute 🫡
Maharaja ya kokein, rapa anajiita wa kimataifa kisa nyimbo zake znapgwa mikocheni
Mamae akijibu mnitag😊😅
Toxic unajua sana sema unatuboa mashabiki zako unachelewa kututolea ngoma mpya....
Drama amepiga beat kali kwanz shout kwake toxic unyama mwingi
Mamae..🔥🔥🔥
Uyo young lunya hamna kitu pale
Toxic best Freestyle na pia Muandishi,,, Big up
Yan umeongea facts kama slim shedy. Safi mkali
Demu wake anamsifia saangapii... Au ndo akisemaa meeh amemalizaa😅😅😅
Hii yamoto sana mpaka inaunguza!😆😆😆
We kuma unajua. Kaza mkali
🔥🔥 Dem wangu alichopenda ulivyosuka kwenye session 6
Mtolee Part 2 umzike kabisa
@toxic sound ya bufa msamehe kwanza baba utaua 😂😂😂
Toxic fuvu 🔥🔥🔥🔥
We do it our way 🔥🔥🔥🙌🙌🎵wanangu wa noor hadi magongo
Mbuzi kagoma kwenda😂😂meeeeeeeeeh
Fuvu 🔥🔥🔥🔥🙌💣
nimecheka sana ulivyosema mbuzi wa kweli angekua na sura kama yak nan angekula
Wala hutumii nguvu asee👏👏
Kenya wapiii like njoenii muone bongo mbuzi na toxic kwenye ulingoo
Mombasa tumeiskiza.. Nlipoona meeh nlijuwa Young Lunya
Toxic sio poaaaa... 🔥🔥🔥 Umeuaaaa mkaliii
Tuwe makini na wanaume wanaosema hawarudii boxer..... Noma
Hujachana Kaka umeongea ukwelii Humu😂😂
Mchaneee Maana mbuziii mngeseee sanaaa🔥🔥🔥🔥🔥
Sioo poaa mtoko wakoooo🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Tuwe makini na mtu anaesema harudii boxer😅😅😅
Ebanaee😂😂😂
Huyu atengweeeee