TOXIC - Meeh

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 1,3 тыс.

  • @user-mi3wf1zo7v
    @user-mi3wf1zo7v Месяц назад +399

    Oya wazee walioludia ihh Ngoma kama me tujuane kwa like hapa😊😊😊

    • @SportsRaha
      @SportsRaha Месяц назад

      Waliorudia

    • @wakudatamjanja
      @wakudatamjanja Месяц назад +2

      Nimeirudia huyu toxic ety meeh 😁🤣🤣🤣

    • @cpson665
      @cpson665 Месяц назад +1

      Tupo hapa apa lunya lbda akaombe msaada Kwa kitengo kidg 😅

    • @Lu_keng
      @Lu_keng Месяц назад +1

      Alaf tukisha kupa

    • @Heisfeisalmwema
      @Heisfeisalmwema Месяц назад +3

      Co kurudia tu nimekuj tena cku pili niickilize vzur kubabake

  • @kizzy_xprole
    @kizzy_xprole Месяц назад +245

    KAMA UNAKUBALI TOXIC KAMMALIZA YOUNG KUNYA ...GUSA LIKE APO 😂😂

  • @wazi7719
    @wazi7719 Месяц назад +105

    Nimerudia tena kusikiliza😁😁😁, Jana na leo..... Tuliorud leo tena like hapa wazeeee😊

  • @SalminRahis-kd9sv
    @SalminRahis-kd9sv Месяц назад +12

    Kaka umetisha ira mbuzi ni kuma2

  • @ofby4zistboy445
    @ofby4zistboy445 Месяц назад +199

    MWILI MDOGO ILA SOUND YA BUFA📌📌 nipeni likes zangu sasa😂

  • @meckpi8965
    @meckpi8965 Месяц назад +49

    Ukikaa katikati yao ndo utasikiliza vizuri na kugundua hii distrack nikali kiasi inaonekana kama ya sekunde selathini ❤❤❤

  • @user-fb6yi6ln7k
    @user-fb6yi6ln7k Месяц назад +198

    Kama umesikiliza zaidi ya mala mbili like hapa 😂😂

    • @mkingaboy550
      @mkingaboy550 Месяц назад +1

      Mwanangu huyu toxic hapana😁😁😁😁😁mashavu makubwa

    • @user-fb6yi6ln7k
      @user-fb6yi6ln7k Месяц назад

      @@mkingaboy550 😂😂 meeh

  • @IvanKihwelo
    @IvanKihwelo Месяц назад +33

    🔥 🔥 Toxic umetisha.....mashabika wa rap ndo tunacho kitaka game iwe on Air kwa dis track na nyimbo qali

  • @emmanueltimba1011
    @emmanueltimba1011 Месяц назад +27

    Usijiite mkali wa rap,
    Kinachofanya uskike sio kujua bali ni kujuana na watu 2:13 👏👏👏👏 Big Thinker

  • @leocruiserkamanda
    @leocruiserkamanda Месяц назад +65

    TOXIC umenena ukwel! Haipingwi MBUZI anazingua parefu💯💪

  • @rashiidrashiid-ib7jg
    @rashiidrashiid-ib7jg Месяц назад +24

    "Tuwe makini na wanaume wanaosema hawarudii boxer"✌🏾✌🏾
    Humu ndani umefanya matusi ile mbaya itanibidi nitulize fuvu ili kumaster haya matusi🔥🔥🔥

  • @ibrahkartel9778
    @ibrahkartel9778 Месяц назад +21

    Afazali umeongea wew mimi nilisemaga yule mashavu hajui hiphop kazi kujisifia watu wakanibishia muziki gani mwanzo mwisho anajisifia kama anaimba taarabu amna rapa pale yele ni aisha tuu

    • @snapreal9814
      @snapreal9814 Месяц назад +1

      😂🤣😂🤣😂🤣 aisha mashauzi yule na adija kopa adija kopa hamfikii kwa taarab

  • @samsoniboniphace6439
    @samsoniboniphace6439 Месяц назад +64

    "TUWE MAKINI NA MWANAUME ANAESEMA HARUDII BOXER" kmmk😂😂🙌

  • @daudkadulu4760
    @daudkadulu4760 Месяц назад +27

    "TUWE MAKINI NA MWANAUME ANAESEMA HARUDII BOXER"😂😅
    hii punchline noma sana 🙌

  • @roybazigu765
    @roybazigu765 Месяц назад +23

    Na siku lunya akimdiss dizasta vina atakua amekwisha kabisa
    Uyu toxic tu kamvuruga hivi 🙌😁

  • @Makaveli-1960
    @Makaveli-1960 Месяц назад +21

    Toxic sound ya bufa
    Noma hii love from kenya Nairobi

  • @noelpeter2130
    @noelpeter2130 Месяц назад +117

    Kinachofanya uskike sio kujua, ila ni kujuana na watu✍️. Aaah noma🔥

    • @Oldskulgemini9991
      @Oldskulgemini9991 Месяц назад

      Ajuane na watu na yeye tuone kama ataskika

    • @noelpeter2130
      @noelpeter2130 Месяц назад +4

      @@Oldskulgemini9991 huyo hajuani na watu Ila anaskika
      Unaona utofauti uo

    • @Oldskulgemini9991
      @Oldskulgemini9991 Месяц назад

      @@noelpeter2130 anaskika?😂 Anaskika wapi Mzee Ebu acha zako bana😅 huyu tunamjua tu sisi tunaofatilia zaidi hip hop lakini wengi hawajui, hao marapa wanaojua kuandika Sana wengi bongo hawajui kutengeneza mziki mzuri wengi wanaegemea kuandika tu. Kuna tofauti kubwa Sana kati ya kujua kuandika na kutengeneza ngoma Kali chidi Benz juzi tu hapo katika kuongea ukweli kwenye interview

    • @noelpeter2130
      @noelpeter2130 Месяц назад +4

      @@Oldskulgemini9991 Ukiona hadi umefika kwenye kipengele chake cha kuComment, huko ndo kuskika sasa. Mbona unajifunga ndan ya maelezo😂

    • @Oldskulgemini9991
      @Oldskulgemini9991 Месяц назад

      @@noelpeter2130 baadhi yenu wabongo Bado mpo zama za kina Nas na Jay Z mbaka leo ndo shida, hao wenyewe marekani game ya rap ilishawatema muda Sana lakini walikubali kwamba sio wakati wao Tena lakini huku watu wanafosi Dizasta vina aonekane Bora wakati muziki wake unasikilizwa na watu wachache Sana impact yake Wala sio kubwa kwenye game, angalia Lunya ambae anapigwa vita Kila siku ndo rapa wa kwanza kupata madili makubwa bongo madili ambayo wakina Fid Q walishindwa kuyapata zama zao, kaangalie trending Saivi ngoma yake ndo ngoma pekee ya hip hop inayoshindana na wasanii wa kuimba kwenye chart Iko namba Tano. Hao mnaowasifia wanajua kuandika Sana wapo wapi Saivi? Kubalini tu uwezo wa jamaa kwa Sasa

  • @kulwamadodo9648
    @kulwamadodo9648 Месяц назад +6

    Oyaaaaaaaaa toxic Nina buku lako apaaaaa njoo ufateeeeeeeeeeeeee maana nimeirudia hii ngoma Mara 100 "Kama unajiweza nijibu nitoe part 2" 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @soudyruge-fi9xv
    @soudyruge-fi9xv Месяц назад +24

    😂😂😂 Fid Q ashasema huyu dogo sio mbuzi na huu moto sijui kama ataujibu

  • @yohancabbaye7456
    @yohancabbaye7456 Месяц назад +14

    Oaaa huyoo Lunya alikuchukulia poah kukutaja mweny session 6 😅😂😄kumbe kauchokoza motoo🔥🔥🔥Toxic mwanang tumsubr ajibuu 🤫Part two tunamnyoosha kam dakk 5 hv💪💪💪

  • @francisgoliama1421
    @francisgoliama1421 Месяц назад +23

    Rap imezaliwa Upya🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻

  • @Thedonrboysuper_tz
    @Thedonrboysuper_tz Месяц назад +35

    Pamoja sana toxic ya kwangu inakuja saa soon🔥🔥🔥

    • @Lillyac85
      @Lillyac85 Месяц назад +1

      Ningeskiliza bila kukomment ningeonekana mnafiki , nice work really anaboa

  • @Theone12673
    @Theone12673 Месяц назад +9

    Hii ndo rap Sasa,,,,unaupiga mwingi G🔥🔥🔥

  • @StarGwanta
    @StarGwanta Месяц назад +11

    Toxic ebu wa sameeh🙏🙏🙏 😅😅😅 🔥🔥🔥🙌🙌Me nlisema wanao mshabikia young kunya n mashabiki mandaz hawaijui HIP HOP me mwenyew haniwez atanishinda kwa mashabiki mandaz wanashabikia mavaz anayo vaa eny mashabiki wa young kunya mmeisikia HIP HOP HOP ilivyo na Radha

  • @JunMbawala-iq9gi
    @JunMbawala-iq9gi Месяц назад +7

    Kitambo naanza fatilia ngoma zako aseee fire

  • @ErastoJoseph-tr3ui
    @ErastoJoseph-tr3ui Месяц назад +30

    Mwanaume anajisifu kama kapaka Meka up si ujinga kaka umemwambia ukwel
    Kwanza kamdisi mwanetu killer

  • @Its_dennispearls
    @Its_dennispearls Месяц назад +9

    From Kenya ila nakubali sound ya bufa!! Young Kunya mpelekenii chooni sio studio🔥🔥🔥

  • @Sonboy_melody
    @Sonboy_melody 7 дней назад +1

    Lunya is next level, mnao mdisi young lunya ukweli ni kwamba rap zenu hazina nguvu kushindana nayeye, lunya ni star kwa maana iyo mnatafta kiki kupitia yeye ili tujue kua na ninyi mpo, huo ni ushamba, mziki wake ni watofauti na nyie ndomana yupo top level, VIEWS, SUBSCRIBERS hata mauzo toxic huwezi kua kama lunya, japo kakukuta kwenye game! Funga bakuri hujui ku rap, unaongea kwenye beat tu!

  • @richardmloha1762
    @richardmloha1762 Месяц назад +15

    Oyaaaah huyu mnyama 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @Paplick9
    @Paplick9 Месяц назад +51

    Usingemjibu msenge huyo

    • @danielngove
      @danielngove Месяц назад +4

      Mtu akiona umenyamaza sana anadhani umemugwaya....pia kamtaja toxi lwenye hii session 6

  • @Alphatonyb
    @Alphatonyb Месяц назад +5

    Mwisho Wa leliiiiiiiiiiiii😂😂😂Unajua mpka unajuaaaa kaka 🙌🙌🙌🙌

  • @slavemaster0867
    @slavemaster0867 Месяц назад +12

    Toxic mpoteze kabisa uyu boyaaa

  • @mjroyaltz8322
    @mjroyaltz8322 Месяц назад +24

    Moto umeungua🔥

  • @SmokeyKings-gv9gq
    @SmokeyKings-gv9gq Месяц назад +17

    Kwli fuvu❤ a town tunakubal

  • @brownmamba254
    @brownmamba254 Месяц назад +12

    Kali sana bro.

  • @FaustineJonasi
    @FaustineJonasi Месяц назад +13

    Mbuzi kagoma kwenda

  • @RubenYoram-gu7gm
    @RubenYoram-gu7gm Месяц назад +15

    😂😂😂duh kaka si lunya ndo namsikia humu 😂😂 sema fresh 🔥🔥🔥🔥

  • @chidi_don
    @chidi_don Месяц назад +10

    Unyama ni mwingi sana yani unajua sana 💯

  • @khamissuleiman3253
    @khamissuleiman3253 22 дня назад +1

    Captain wareys from zenji nungwi dah asante kwa kutusaidia alikuwa anabowa sana mbana puwa

  • @rashidiabdi
    @rashidiabdi Месяц назад +10

    Aaaah kumamake upewe mauwa yako

  • @user-mx2sw8vp3t
    @user-mx2sw8vp3t Месяц назад +25

    Nakubali kaka

  • @salomethomas6469
    @salomethomas6469 Месяц назад +5

    🔥 💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥
    Mimi nilisha sema toxic ni better sas hapo alete kam kweli yeye mwamba

  • @kingshiggy6062
    @kingshiggy6062 Месяц назад +4

    nisaaa meeeeh😁😁 uyu jamaa anajua

  • @johnstoneadventureofficial219
    @johnstoneadventureofficial219 Месяц назад +3

    Daah Bro Sikutegemea Kama Ichi Kitu ulicho Kifanya Kama Kwako Itakuwa Ni Simple Like That Alafu Ngoma Kali Kinoma Na Umenyoosha bro Hii Ndio Maana Halisi Ya Hip Hop Na Wewe Ndio Rapper So Big Up Sana My G

  • @ratconblackie5321
    @ratconblackie5321 Месяц назад +17

    lets da rap game take over...... mbuzi ingia studio idd ya kuchinja ipo njiani na toxic fuvu ndo amepewa kisu. .

  • @smartyusufu1670
    @smartyusufu1670 Месяц назад +17

    THE TOXIC ripuaaa 😂😂😂 meehh

  • @dennisnyakilambo3992
    @dennisnyakilambo3992 Месяц назад +10

    mwanaume wa kweli huwa harudii kosa tuwe makini na mwanaume anayesema harudii boksa😂🔥🔥🚀

  • @OswardOdan
    @OswardOdan Месяц назад +2

    We Ni Moto Toka Dakika Kumi Za Maangamizi Mm Ni Nyoosha Mikono

  • @tbreakerboysir5031
    @tbreakerboysir5031 Месяц назад +8

    Noma sana mzee🔥

  • @AugustinMuswabantu
    @AugustinMuswabantu Месяц назад +43

    Ndo Mambo tunayoyapenda haya

  • @ringsnflashestv8067
    @ringsnflashestv8067 Месяц назад +5

    Mbuzi mwanangu sana ila kwa hili nmempa kombe toxic kabla ya part2😂😂😂😂

  • @bilekrinton6724
    @bilekrinton6724 Месяц назад +1

    Real hiphop huyu toxic n noma ubunifu🔥 punchline🔥 Kibwagizo🔥 mashahiri yamepangwa yakapangika,, na anatembea na beat,, Af kwa nnavyomjua toxic ukute hata hajaandika 🔥🔥🔥
    Lunya hajib hii akijib nmekaa paleee

  • @AbdulNgumbe
    @AbdulNgumbe Месяц назад +7

    Mbuzi mbuzi mbuzi mbuzi mbuzi 😂😂😂 me nimekuita mara 5

  • @samsonjailos9143
    @samsonjailos9143 Месяц назад +8

    Mkanyagie hajui kweli

  • @ZainaNasibu
    @ZainaNasibu Месяц назад +4

    Kweli mwana anajisifu sana

  • @Alwatan_moh
    @Alwatan_moh Месяц назад +3

    Oooyaaaahhh noma sana Fuvu punch zote kali hamna Ooomaaaiiii

  • @EuphboyKiller-rd6xl
    @EuphboyKiller-rd6xl Месяц назад +4

    Mbona nakupenda na mbuzi na mpenda

  • @arafathswaleh
    @arafathswaleh Месяц назад +4

    Mbuzi kayakanyaga chezea Toxic weye alaa mtu wa maana kabisa kutoka temeke

  • @arabgandaempire
    @arabgandaempire Месяц назад +1

    *Let us all express ourselves through the power of Love peace and Music.*

  • @nasibuomary7981
    @nasibuomary7981 Месяц назад +1

    Umetisha san Bob! Mtwange mtoto mdogo uyo!

  • @JosephJackson-jv1so
    @JosephJackson-jv1so Месяц назад +5

    Achia ngoma la mapenzi ...Mfano wa loves never die, Nitakinai and jinai ila liwe na dakika 4 kuendelea kaka...Ila hii Diss kali

  • @franklinaugustino2452
    @franklinaugustino2452 Месяц назад +4

    Nimekuja kuangalia msiba wa mwanetu lunya hii toxic🥲🥲

  • @professor_munir
    @professor_munir Месяц назад +1

    Mbuzi anawatesa ndmn mnam dis everyday, Young lunya endlea kuwapiga umo umo mpk wakae chini

  • @RajabMussa-qj2om
    @RajabMussa-qj2om Месяц назад +1

    Noma.Noma .Nomaaaaaa sanaaa lunya kaa rada...one love Toxic hili dude noma, Meeeèeh

  • @dreamz16349
    @dreamz16349 Месяц назад +7

    Tuwe makini na mwanaume ambaye harudii boxaa😂😂😂😂

  • @NgolyoNgolyo-uv9tj
    @NgolyoNgolyo-uv9tj Месяц назад +30

    Jamaa unajua sn tangu Kibasila kk

  • @fredykiluka6606
    @fredykiluka6606 23 дня назад

    Nakujua mzee wakukalisha .....af wasafi walikupa kago kitengo ukamkalisha

  • @flovamanmusic3663
    @flovamanmusic3663 9 дней назад

    Kina toxi ndio wazee wa freestyle!! Kina cado kitengo niky mmbishi na nk…✊🏻

  • @basicstech7265
    @basicstech7265 Месяц назад +2

    True Diss... meeh anazingua sana.

  • @Orgenemizzyy
    @Orgenemizzyy Месяц назад +11

    Mhhhhh ☠️☠️☠️ daaah mbuzi wamchongo afu mbovu, toxic nipo nawe brother 🔥🔥🔥

  • @epmzmusifiwar6694
    @epmzmusifiwar6694 Месяц назад +1

    From Uganda 🇺🇬 Int'l Congo DRC 🇨🇩 To Tanzania 🇹🇿 Big up 🔥🔥🔥🔥🔥😂 big

  • @sanawiyamuhsin7279
    @sanawiyamuhsin7279 Месяц назад +2

    Lunya Mshamba Tu.....Nakubalii TOXIC Salute 🫡

  • @juliuskafula-ee3yb
    @juliuskafula-ee3yb Месяц назад +3

    Maharaja ya kokein, rapa anajiita wa kimataifa kisa nyimbo zake znapgwa mikocheni

  • @jrxavihernandez7319
    @jrxavihernandez7319 Месяц назад +8

    Mamae akijibu mnitag😊😅

  • @alphanlukombe3774
    @alphanlukombe3774 Месяц назад +2

    Toxic unajua sana sema unatuboa mashabiki zako unachelewa kututolea ngoma mpya....

  • @ntullyjanga33
    @ntullyjanga33 Месяц назад +1

    Drama amepiga beat kali kwanz shout kwake toxic unyama mwingi

  • @erickmanucho4092
    @erickmanucho4092 Месяц назад +4

    Mamae..🔥🔥🔥

  • @TrilllionTheGhost
    @TrilllionTheGhost Месяц назад +23

    Uyo young lunya hamna kitu pale

  • @chibodee447
    @chibodee447 Месяц назад +2

    Toxic best Freestyle na pia Muandishi,,, Big up

  • @hugolinedickson
    @hugolinedickson 5 дней назад

    Yan umeongea facts kama slim shedy. Safi mkali

  • @zachariajohn6628
    @zachariajohn6628 Месяц назад +9

    Demu wake anamsifia saangapii... Au ndo akisemaa meeh amemalizaa😅😅😅

  • @DENDEGOABDUL
    @DENDEGOABDUL Месяц назад +3

    Hii yamoto sana mpaka inaunguza!😆😆😆

  • @hugolinedickson
    @hugolinedickson 5 дней назад

    We kuma unajua. Kaza mkali

  • @SidniAlly
    @SidniAlly Месяц назад +2

    🔥🔥 Dem wangu alichopenda ulivyosuka kwenye session 6

  • @Young_nyuki
    @Young_nyuki Месяц назад +28

    Mtolee Part 2 umzike kabisa

    • @Hahahha102
      @Hahahha102 Месяц назад +5

      @toxic sound ya bufa msamehe kwanza baba utaua 😂😂😂

  • @francesconzundah8759
    @francesconzundah8759 Месяц назад +5

    Toxic fuvu 🔥🔥🔥🔥

  • @mbwanamohamed3090
    @mbwanamohamed3090 18 дней назад

    We do it our way 🔥🔥🔥🙌🙌🎵wanangu wa noor hadi magongo

  • @redmistmusiq
    @redmistmusiq Месяц назад +2

    Mbuzi kagoma kwenda😂😂meeeeeeeeeh

  • @AssaniMboko
    @AssaniMboko Месяц назад +3

    Fuvu 🔥🔥🔥🔥🙌💣

  • @idrisahmed1220
    @idrisahmed1220 22 дня назад

    nimecheka sana ulivyosema mbuzi wa kweli angekua na sura kama yak nan angekula

  • @allyachia5258
    @allyachia5258 Месяц назад +1

    Wala hutumii nguvu asee👏👏

  • @samarayzaCatun
    @samarayzaCatun Месяц назад +4

    Kenya wapiii like njoenii muone bongo mbuzi na toxic kwenye ulingoo

  • @mariamomar1572
    @mariamomar1572 Месяц назад +4

    Mombasa tumeiskiza.. Nlipoona meeh nlijuwa Young Lunya

  • @Iamlilcruz
    @Iamlilcruz Месяц назад +1

    Toxic sio poaaaa... 🔥🔥🔥 Umeuaaaa mkaliii

  • @chichamusiq1498
    @chichamusiq1498 27 дней назад

    Tuwe makini na wanaume wanaosema hawarudii boxer..... Noma

  • @jazimumnalidi2099
    @jazimumnalidi2099 Месяц назад +4

    Hujachana Kaka umeongea ukwelii Humu😂😂

  • @Young9ine9
    @Young9ine9 Месяц назад +6

    Mchaneee Maana mbuziii mngeseee sanaaa🔥🔥🔥🔥🔥

  • @brezjohmc
    @brezjohmc Месяц назад +1

    Sioo poaa mtoko wakoooo🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @jevuofficial5266
    @jevuofficial5266 Месяц назад +6

    Tuwe makini na mtu anaesema harudii boxer😅😅😅

  • @NahadiSaidi-mg7wi
    @NahadiSaidi-mg7wi Месяц назад +2

    Huyu atengweeeee