YOUNG LUNYA NA WAKAZI KIMEUMANA LIVE TIMES FM

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 фев 2025

Комментарии • 80

  • @demask3423
    @demask3423 7 месяцев назад +1

    GOAT kwangu ni;-
    Fid q
    Mwana FA
    Prof Jay
    Afande
    One the incredible
    Roma
    Wengine wote ni Sungura tuu

  • @EllyMhoja
    @EllyMhoja 7 месяцев назад +1

    nakubali young lunya✌

  • @SwahiliAmbasador954
    @SwahiliAmbasador954 7 месяцев назад +3

    Mwambieni Lunya apige kazi wakimkataa hao wasanii wenzake sisi tulio waajili ndio tunamtaka Lunya na sio hao wasanii wenzake piga kazi mwamba mimi nakukubali sana na uku mtaani una fan base yakutosha❤🎉🎉

  • @donlee9992
    @donlee9992 6 месяцев назад +1

    Motoo sana

  • @DellizzyntackuendaNtackuenda
    @DellizzyntackuendaNtackuenda 7 месяцев назад +1

    Lunha mbuzi

  • @PaulNgoroi-xv3eq
    @PaulNgoroi-xv3eq 7 месяцев назад +1

    Mbuz humuwezi bebelu sababu kumbuka msingi ambazo umekufanya uonekan Leo Hapo kunamabroo ambao hutakiw kuwa diss lespect mfano kama nyigi danyik Uuuunju mexcortizy fresh like unh kamusi mbwa mzee mbeya boy chuma lugombo kadigo kwaiyo angalia unachokiongea unapo stay on media

  • @mohamedilukwaya2713
    @mohamedilukwaya2713 7 месяцев назад +4

    They not like us team mbuzi
    Yan me napenda mambuzi wote duniani
    .LUNYA🐐
    .Ronaldo🐐
    .kendrik🐐

  • @godsson5954
    @godsson5954 7 месяцев назад +7

    hiki kizazi hakina talent, case closed

  • @djfunk255
    @djfunk255 7 месяцев назад +11

    That's true, hauezi kua km wao na wao hawawezi kua km wewe.

  • @dkensmopainvevo3683
    @dkensmopainvevo3683 7 месяцев назад +2

    Shout out to country wiz🎉

  • @mwalitv4555
    @mwalitv4555 3 месяца назад

    Dada wakazi bwanaaaa...

  • @Issamuemede
    @Issamuemede 7 месяцев назад +3

    Mi kwangu si kutarajiya kama the got of all time anashindwa ku free style in punch line

  • @shukranisibale1739
    @shukranisibale1739 7 месяцев назад +8

    Kwa wakazi namtetea Lunya wakazi hata kuimba hajui

    • @phinaphina3201
      @phinaphina3201 7 месяцев назад

      😂😂😂

    • @samwelmasssawe1767
      @samwelmasssawe1767 7 месяцев назад +2

      Wakazi ana rap haimbi. Umesikiliza Beberu declaration? wewe ndio hujui muziki

    • @shukranisibale1739
      @shukranisibale1739 7 месяцев назад

      Tunajua hajui chochote aliabisha sauti za busala beat ilimuacha kijana hujui muziki ww kwa rap sio kuimba

    • @mbenamdudu7856
      @mbenamdudu7856 7 месяцев назад

      Aimbi wakazi ni tapa au mwana hip hop ila anaongea fact sana

  • @shadrackdebora8436
    @shadrackdebora8436 7 месяцев назад +1

    You are best Lunya, be you as you men...

  • @josephatSwai
    @josephatSwai 7 месяцев назад +3

    Mbona lunya mkali asee wakazii maneno tuu mengii

  • @JoshuaKitave
    @JoshuaKitave 7 месяцев назад +1

    Wakazi mrembo tu wewe achana na rapa wa kisasa young lunya

  • @AugustinMuswabantu
    @AugustinMuswabantu 7 месяцев назад +5

    Akuna rapper apa

  • @mohanmashine3518
    @mohanmashine3518 7 месяцев назад +1

    sasa hapo wakazi umekosea nn kengee wew

  • @SwahiliAmbasador954
    @SwahiliAmbasador954 7 месяцев назад +4

    Kiukweli mimi sio shabiki wa hip hop nyimbo za Lunya nazifahamu lakin huyo wakazi siijui ata nyimbo yake moja

    • @emmanurichares6589
      @emmanurichares6589 7 месяцев назад

      kweli wewe sio shabiki 😂

    • @Cheusimedia
      @Cheusimedia 7 месяцев назад

      Ni kweli kama hujui hip hop ni sawa kutokumjua wakazi relax tunaomjua wakazi ni fire

    • @SwahiliAmbasador954
      @SwahiliAmbasador954 7 месяцев назад

      @@Cheusimedia ivi huyo wakazi alisha wahi kuwa ata top nini huyo

  • @mohanmashine3518
    @mohanmashine3518 7 месяцев назад +1

    alafu na wew jr huna misingi ni mbeyaa tu km anaakili mbona alifeli form 4

  • @LESMANBOE
    @LESMANBOE 7 месяцев назад +1

    Mbuziii🎤🎧🔥🔥🔥

  • @omarypetro3207
    @omarypetro3207 7 месяцев назад +1

    Lunya on 🔥🔥🔥

  • @JacksonSambo-wg1rt
    @JacksonSambo-wg1rt 7 месяцев назад +1

    Lunya hawakuwezi miaka mia

  • @samwelamon7672
    @samwelamon7672 7 месяцев назад +1

    Kuna watu wanaitwa KICHWA KUMZIDI that's WABIRO WAKAZI , time ya mwenzio haijalishi anaimba nini wewe inakujaa CHUKI inakutesa,, even wewe hujui kuchana niwakawaida sana kujificha kwenye kimvuli cha wachanaji wa TAMADUNI MUSIC na mwamvuli wote wa ukanda ule sijui kikosi kazi an all dat, ndio inakurembeshea wewe kujiita mcee,, ila mwenyewe mwenyewe na kingereza chako na majigambo yako WAKAZI WEWE SIO MCEE MKALI WA KUMDISS DOGO HATA KIDOGO,, Chuki inakutesa,, nimda wake, haijalishi anaimba nini,,, Ana hit JAIVA na sauti lake baya akiimba matusi eti MTOTO KAUTAKA utafwananisha na anachoimba LUNYA..? ushamba flan kutaka kujiona unaijua sana RAP, Cake ya taifa ni kubwa sana changamka Ukate kipande chako,, time unayotumia kusema lunya anakata kubwa unatushangaza..!wakati na wewe ni mcee fanya nawewe KAMA WASEMAVYO KIKOSI KAZI

  • @MaliaLazaro
    @MaliaLazaro 7 месяцев назад +3

    Kwa iyo story yako tu nimekukubal my boy

  • @RafaelKaswahili
    @RafaelKaswahili 7 месяцев назад +11

    Mbora wa mda ote kwenye kizazi cha lunya ni Dizasta

    • @Oldskulgemini9991
      @Oldskulgemini9991 7 месяцев назад +1

      Hivi kwanini Huwa mnapenda kuwataja watu ambao hata hawana hit song hata Moja ndo mnasema Bora? Dizasta anajua kuandika sawa lakini kujua kuandika hakutoshi kufanya uwe rapa Bora, ishu ngoma zako unazotoa zinafika wapi?

    • @iFly-t9b
      @iFly-t9b 7 месяцев назад +1

      ​​@@Oldskulgemini9991Huo ni mtazamo wako ambao it's not true kwenye level za hip hop.. hip hop sio hit song, it's about misingi l, being real and deliver the real msg to society

    • @Oldskulgemini9991
      @Oldskulgemini9991 7 месяцев назад

      @@iFly-t9b Bado upo nyuma Sana ya muda Mzee, Enzi za misingi zilikuwa miaka ya 90 mbaka miaka ya elfu mbili, Duniani hakuna rapa anaesifiwa kwa Sasa kwa sababu eti anafata misingi, hell no! Watu wanataka hit songs, hip hop ni aina ya muziki huwezi kunambia eti havihitaji hit song😅 kama ni hivyo hip-hop marekani ingekuwa imeshakufa kama ilivyo bongo huku asengekuwa Lunya hii Leo nani angekuwa anajadili kuhusu hip hop bongo? Marapa wote Duniani kwa Sasa wanafanya muziki wa biashara wanatengeneza hit song, hii kupenda kishikilia misimamo iliyopitwa na wakati ndo inafanya marapa wetu kutojulikana nje ya bongo, imagine utamsikilizisha nani ngoma za Dizasta vina nje ya bongo akazielewa kama humu humu tu ndani Hana wasikilizaji wa kutosha!😃 Mtu unaimba rap ya miaka ya tisini huko Enzi za kina B.I.G unategemea utatoboa mwaka 2024? utasota Sana, na utakuwa unapoteza muda tu sababu unafanya kitu kisichokupa faida ya maana kwenye kipato chako

    • @RafaelKaswahili
      @RafaelKaswahili 7 месяцев назад

      @@Oldskulgemini9991 mtazamo zaifu kama miguu ya dogo janja
      Kama hana hit song umemjuaje?

    • @Oldskulgemini9991
      @Oldskulgemini9991 7 месяцев назад

      @@RafaelKaswahili kwani kumjua msanii ni mbaka awe na hit song?😃 Sasa mbona unaniaibisha Mzee, basi naomba nitajie hit song Moja ya Dizasta

  • @NoelChambo
    @NoelChambo 7 месяцев назад +2

    LUNYA NDIYO KING WA RAP KWA SASA, HATE NDIYO INAWASUMBUA WATU.😂

  • @emmanuelnkwabi8610
    @emmanuelnkwabi8610 7 месяцев назад +1

    Bhana eeeeh lunya ovyo tu kelele nyingi habadiliki

    • @DEEJAYCLIQUE
      @DEEJAYCLIQUE 7 месяцев назад

      KINAITWA KIZAZI KIPYA KAMA WEWE NI ZAMAN ACHENI NA VIJANA WASEPE

  • @emmanuelnkwabi8610
    @emmanuelnkwabi8610 7 месяцев назад +1

    Uwiiiiii umezingua shule wapi ww ata lugha ovyo tu hahahaha

  • @josephatSwai
    @josephatSwai 7 месяцев назад +1

    Kwanza wakazii ni mshua bwana amuchee lunya mzee kale Marathi huko boya ww

  • @AbilahSalumu-qx1cb
    @AbilahSalumu-qx1cb 7 месяцев назад +2

    Woote Mnajuwa Jay moe Yupo Mabegani 😅😂

  • @saluuhans
    @saluuhans 7 месяцев назад +3

    Hizo ndio dalili zakuwa msanii mkubwa lazima litokee kundi kubwa likupinge sana na ukiweza tu kumaintain nakuwa bora zaidi basi unakuwa msanii mkubwa zaidi mfano mzuri ni kwa #diamond_platinumz

  • @Kushnade
    @Kushnade 7 месяцев назад +2

    Wasio mjua wakazi watapatanae tabu ila uyo jamaa ni kiherehere

    • @JohnMilanzi-r6t
      @JohnMilanzi-r6t 7 месяцев назад +1

      Wakazi alimpa Sana stress kingzillah

  • @stonestz8815
    @stonestz8815 7 месяцев назад +5

    Kuna rapa anamashavu kama chura...😂 sema umezingua ku-freestyle huwezi ila kutoa mistari kwenye ngoma yoyote imekushinda 😂 GOAT rudi bandani

  • @JacksonSambo-wg1rt
    @JacksonSambo-wg1rt 7 месяцев назад +1

    Kwann kila siku lunya? Na sio wengine

  • @ChochoteTv
    @ChochoteTv 7 месяцев назад +2

    🎉

  • @josephatSwai
    @josephatSwai 7 месяцев назад +1

    Yule kule ni mtangazajia au ni msikindikizaji wakuu

  • @jangfuajabir1404
    @jangfuajabir1404 7 месяцев назад +2

    Swali kuhusu young killar akapoaaaaa😅watapata Zerooooo

  • @meshackdauda4315
    @meshackdauda4315 7 месяцев назад +2

    Heat song ya wakaz ni ipi au NI mshauri Tu yeye 😂😂😂

    • @husseinkombo-3447
      @husseinkombo-3447 7 месяцев назад

      Uyu jamaa anajuaga maisha ya watu tu ila yy sijui anafanyaga nn

    • @mohanmashine3518
      @mohanmashine3518 7 месяцев назад

      nilichogundua huhusu huyu mbuzi cjui paka ni kweli hana uwezo kufanya music ya maana coz hita hii interview kuna maswil msingi yamemshinda kiukwel hiki anachofanya ndo uwez wake.

  • @SidniAlly
    @SidniAlly 7 месяцев назад +1

    😅😅😅400

  • @MaulidiHimidi
    @MaulidiHimidi 7 месяцев назад +2

    Dogo unafanya sanaa, hufanyi hiphop

  • @KapistoloBwetete
    @KapistoloBwetete 7 месяцев назад +1

    WAKAZI KAKOSEA WAPI? IKO REALLY..

  • @meshackdauda4315
    @meshackdauda4315 7 месяцев назад +1

    Wakaz Hana LOLOTE NI maneno tupu

  • @mackjr5291
    @mackjr5291 7 месяцев назад +1

    Hahaaa

  • @Jordan-ov4yc
    @Jordan-ov4yc 7 месяцев назад +3

    Anaesema wakazi ajui kuchana uyo niwa mwaka 2000

    • @meshackdauda4315
      @meshackdauda4315 7 месяцев назад

      Heat song Yake ipi jombaaa I 😂

    • @omarypetro3207
      @omarypetro3207 7 месяцев назад

      Hip hop damu hapa ila wakazi ni MAMA kama ma mama wengine 😂😂😂 maneno kibao kila siku hana tofauti na KHADIJA KOPA - Kujisifia mbona hata yeye anajisifia tu.

    • @Jordan-ov4yc
      @Jordan-ov4yc 7 месяцев назад

      @@meshackdauda4315 😇😇 npe heat song ya dizasta

    • @Jordan-ov4yc
      @Jordan-ov4yc 7 месяцев назад

      So kilamtu anak2 akpendacho na sababu zake

  • @Kacho-x1h
    @Kacho-x1h 7 месяцев назад +1

    Dogo ananyimbo 400 dah hatari dana😂😂😂