Mwambieni Lunya apige kazi wakimkataa hao wasanii wenzake sisi tulio waajili ndio tunamtaka Lunya na sio hao wasanii wenzake piga kazi mwamba mimi nakukubali sana na uku mtaani una fan base yakutosha❤🎉🎉
Mbuz humuwezi bebelu sababu kumbuka msingi ambazo umekufanya uonekan Leo Hapo kunamabroo ambao hutakiw kuwa diss lespect mfano kama nyigi danyik Uuuunju mexcortizy fresh like unh kamusi mbwa mzee mbeya boy chuma lugombo kadigo kwaiyo angalia unachokiongea unapo stay on media
Kuna watu wanaitwa KICHWA KUMZIDI that's WABIRO WAKAZI , time ya mwenzio haijalishi anaimba nini wewe inakujaa CHUKI inakutesa,, even wewe hujui kuchana niwakawaida sana kujificha kwenye kimvuli cha wachanaji wa TAMADUNI MUSIC na mwamvuli wote wa ukanda ule sijui kikosi kazi an all dat, ndio inakurembeshea wewe kujiita mcee,, ila mwenyewe mwenyewe na kingereza chako na majigambo yako WAKAZI WEWE SIO MCEE MKALI WA KUMDISS DOGO HATA KIDOGO,, Chuki inakutesa,, nimda wake, haijalishi anaimba nini,,, Ana hit JAIVA na sauti lake baya akiimba matusi eti MTOTO KAUTAKA utafwananisha na anachoimba LUNYA..? ushamba flan kutaka kujiona unaijua sana RAP, Cake ya taifa ni kubwa sana changamka Ukate kipande chako,, time unayotumia kusema lunya anakata kubwa unatushangaza..!wakati na wewe ni mcee fanya nawewe KAMA WASEMAVYO KIKOSI KAZI
Hivi kwanini Huwa mnapenda kuwataja watu ambao hata hawana hit song hata Moja ndo mnasema Bora? Dizasta anajua kuandika sawa lakini kujua kuandika hakutoshi kufanya uwe rapa Bora, ishu ngoma zako unazotoa zinafika wapi?
@@Oldskulgemini9991Huo ni mtazamo wako ambao it's not true kwenye level za hip hop.. hip hop sio hit song, it's about misingi l, being real and deliver the real msg to society
@@iFly-t9b Bado upo nyuma Sana ya muda Mzee, Enzi za misingi zilikuwa miaka ya 90 mbaka miaka ya elfu mbili, Duniani hakuna rapa anaesifiwa kwa Sasa kwa sababu eti anafata misingi, hell no! Watu wanataka hit songs, hip hop ni aina ya muziki huwezi kunambia eti havihitaji hit song😅 kama ni hivyo hip-hop marekani ingekuwa imeshakufa kama ilivyo bongo huku asengekuwa Lunya hii Leo nani angekuwa anajadili kuhusu hip hop bongo? Marapa wote Duniani kwa Sasa wanafanya muziki wa biashara wanatengeneza hit song, hii kupenda kishikilia misimamo iliyopitwa na wakati ndo inafanya marapa wetu kutojulikana nje ya bongo, imagine utamsikilizisha nani ngoma za Dizasta vina nje ya bongo akazielewa kama humu humu tu ndani Hana wasikilizaji wa kutosha!😃 Mtu unaimba rap ya miaka ya tisini huko Enzi za kina B.I.G unategemea utatoboa mwaka 2024? utasota Sana, na utakuwa unapoteza muda tu sababu unafanya kitu kisichokupa faida ya maana kwenye kipato chako
Hizo ndio dalili zakuwa msanii mkubwa lazima litokee kundi kubwa likupinge sana na ukiweza tu kumaintain nakuwa bora zaidi basi unakuwa msanii mkubwa zaidi mfano mzuri ni kwa #diamond_platinumz
nilichogundua huhusu huyu mbuzi cjui paka ni kweli hana uwezo kufanya music ya maana coz hita hii interview kuna maswil msingi yamemshinda kiukwel hiki anachofanya ndo uwez wake.
Hip hop damu hapa ila wakazi ni MAMA kama ma mama wengine 😂😂😂 maneno kibao kila siku hana tofauti na KHADIJA KOPA - Kujisifia mbona hata yeye anajisifia tu.
GOAT kwangu ni;-
Fid q
Mwana FA
Prof Jay
Afande
One the incredible
Roma
Wengine wote ni Sungura tuu
nakubali young lunya✌
Mwambieni Lunya apige kazi wakimkataa hao wasanii wenzake sisi tulio waajili ndio tunamtaka Lunya na sio hao wasanii wenzake piga kazi mwamba mimi nakukubali sana na uku mtaani una fan base yakutosha❤🎉🎉
Motoo sana
Lunha mbuzi
Mbuz humuwezi bebelu sababu kumbuka msingi ambazo umekufanya uonekan Leo Hapo kunamabroo ambao hutakiw kuwa diss lespect mfano kama nyigi danyik Uuuunju mexcortizy fresh like unh kamusi mbwa mzee mbeya boy chuma lugombo kadigo kwaiyo angalia unachokiongea unapo stay on media
They not like us team mbuzi
Yan me napenda mambuzi wote duniani
.LUNYA🐐
.Ronaldo🐐
.kendrik🐐
hiki kizazi hakina talent, case closed
Mtu wa maana kabisa ww
Kuna dizasta vina
That's true, hauezi kua km wao na wao hawawezi kua km wewe.
Shout out to country wiz🎉
Dada wakazi bwanaaaa...
Mi kwangu si kutarajiya kama the got of all time anashindwa ku free style in punch line
Kwa wakazi namtetea Lunya wakazi hata kuimba hajui
😂😂😂
Wakazi ana rap haimbi. Umesikiliza Beberu declaration? wewe ndio hujui muziki
Tunajua hajui chochote aliabisha sauti za busala beat ilimuacha kijana hujui muziki ww kwa rap sio kuimba
Aimbi wakazi ni tapa au mwana hip hop ila anaongea fact sana
You are best Lunya, be you as you men...
Mbona lunya mkali asee wakazii maneno tuu mengii
Wakazi mrembo tu wewe achana na rapa wa kisasa young lunya
Akuna rapper apa
sasa hapo wakazi umekosea nn kengee wew
Kiukweli mimi sio shabiki wa hip hop nyimbo za Lunya nazifahamu lakin huyo wakazi siijui ata nyimbo yake moja
kweli wewe sio shabiki 😂
Ni kweli kama hujui hip hop ni sawa kutokumjua wakazi relax tunaomjua wakazi ni fire
@@Cheusimedia ivi huyo wakazi alisha wahi kuwa ata top nini huyo
alafu na wew jr huna misingi ni mbeyaa tu km anaakili mbona alifeli form 4
Mbuziii🎤🎧🔥🔥🔥
Lunya on 🔥🔥🔥
Lunya hawakuwezi miaka mia
Kuna watu wanaitwa KICHWA KUMZIDI that's WABIRO WAKAZI , time ya mwenzio haijalishi anaimba nini wewe inakujaa CHUKI inakutesa,, even wewe hujui kuchana niwakawaida sana kujificha kwenye kimvuli cha wachanaji wa TAMADUNI MUSIC na mwamvuli wote wa ukanda ule sijui kikosi kazi an all dat, ndio inakurembeshea wewe kujiita mcee,, ila mwenyewe mwenyewe na kingereza chako na majigambo yako WAKAZI WEWE SIO MCEE MKALI WA KUMDISS DOGO HATA KIDOGO,, Chuki inakutesa,, nimda wake, haijalishi anaimba nini,,, Ana hit JAIVA na sauti lake baya akiimba matusi eti MTOTO KAUTAKA utafwananisha na anachoimba LUNYA..? ushamba flan kutaka kujiona unaijua sana RAP, Cake ya taifa ni kubwa sana changamka Ukate kipande chako,, time unayotumia kusema lunya anakata kubwa unatushangaza..!wakati na wewe ni mcee fanya nawewe KAMA WASEMAVYO KIKOSI KAZI
Kwa iyo story yako tu nimekukubal my boy
Mbora wa mda ote kwenye kizazi cha lunya ni Dizasta
Hivi kwanini Huwa mnapenda kuwataja watu ambao hata hawana hit song hata Moja ndo mnasema Bora? Dizasta anajua kuandika sawa lakini kujua kuandika hakutoshi kufanya uwe rapa Bora, ishu ngoma zako unazotoa zinafika wapi?
@@Oldskulgemini9991Huo ni mtazamo wako ambao it's not true kwenye level za hip hop.. hip hop sio hit song, it's about misingi l, being real and deliver the real msg to society
@@iFly-t9b Bado upo nyuma Sana ya muda Mzee, Enzi za misingi zilikuwa miaka ya 90 mbaka miaka ya elfu mbili, Duniani hakuna rapa anaesifiwa kwa Sasa kwa sababu eti anafata misingi, hell no! Watu wanataka hit songs, hip hop ni aina ya muziki huwezi kunambia eti havihitaji hit song😅 kama ni hivyo hip-hop marekani ingekuwa imeshakufa kama ilivyo bongo huku asengekuwa Lunya hii Leo nani angekuwa anajadili kuhusu hip hop bongo? Marapa wote Duniani kwa Sasa wanafanya muziki wa biashara wanatengeneza hit song, hii kupenda kishikilia misimamo iliyopitwa na wakati ndo inafanya marapa wetu kutojulikana nje ya bongo, imagine utamsikilizisha nani ngoma za Dizasta vina nje ya bongo akazielewa kama humu humu tu ndani Hana wasikilizaji wa kutosha!😃 Mtu unaimba rap ya miaka ya tisini huko Enzi za kina B.I.G unategemea utatoboa mwaka 2024? utasota Sana, na utakuwa unapoteza muda tu sababu unafanya kitu kisichokupa faida ya maana kwenye kipato chako
@@Oldskulgemini9991 mtazamo zaifu kama miguu ya dogo janja
Kama hana hit song umemjuaje?
@@RafaelKaswahili kwani kumjua msanii ni mbaka awe na hit song?😃 Sasa mbona unaniaibisha Mzee, basi naomba nitajie hit song Moja ya Dizasta
LUNYA NDIYO KING WA RAP KWA SASA, HATE NDIYO INAWASUMBUA WATU.😂
Wanaelew ndo maana Wana diss
Bhana eeeeh lunya ovyo tu kelele nyingi habadiliki
KINAITWA KIZAZI KIPYA KAMA WEWE NI ZAMAN ACHENI NA VIJANA WASEPE
Uwiiiiii umezingua shule wapi ww ata lugha ovyo tu hahahaha
Kwanza wakazii ni mshua bwana amuchee lunya mzee kale Marathi huko boya ww
Woote Mnajuwa Jay moe Yupo Mabegani 😅😂
Hizo ndio dalili zakuwa msanii mkubwa lazima litokee kundi kubwa likupinge sana na ukiweza tu kumaintain nakuwa bora zaidi basi unakuwa msanii mkubwa zaidi mfano mzuri ni kwa #diamond_platinumz
Wasio mjua wakazi watapatanae tabu ila uyo jamaa ni kiherehere
Wakazi alimpa Sana stress kingzillah
Kuna rapa anamashavu kama chura...😂 sema umezingua ku-freestyle huwezi ila kutoa mistari kwenye ngoma yoyote imekushinda 😂 GOAT rudi bandani
Kwann kila siku lunya? Na sio wengine
🎉
Yule kule ni mtangazajia au ni msikindikizaji wakuu
Swali kuhusu young killar akapoaaaaa😅watapata Zerooooo
Heat song ya wakaz ni ipi au NI mshauri Tu yeye 😂😂😂
Uyu jamaa anajuaga maisha ya watu tu ila yy sijui anafanyaga nn
nilichogundua huhusu huyu mbuzi cjui paka ni kweli hana uwezo kufanya music ya maana coz hita hii interview kuna maswil msingi yamemshinda kiukwel hiki anachofanya ndo uwez wake.
😅😅😅400
Dogo unafanya sanaa, hufanyi hiphop
Ahah duhh mbona 😂😂
Appreciated 🙏🙏
WAKAZI KAKOSEA WAPI? IKO REALLY..
Wakaz Hana LOLOTE NI maneno tupu
Hahaaa
Anaesema wakazi ajui kuchana uyo niwa mwaka 2000
Heat song Yake ipi jombaaa I 😂
Hip hop damu hapa ila wakazi ni MAMA kama ma mama wengine 😂😂😂 maneno kibao kila siku hana tofauti na KHADIJA KOPA - Kujisifia mbona hata yeye anajisifia tu.
@@meshackdauda4315 😇😇 npe heat song ya dizasta
So kilamtu anak2 akpendacho na sababu zake
Dogo ananyimbo 400 dah hatari dana😂😂😂