MAARIFA ADAI KUWA, YOUNG LUNYA BADO ANAHITAJI KUKUA | SIO RAPA MKALI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 фев 2025

Комментарии • 54

  • @Stevekapugi
    @Stevekapugi 7 месяцев назад +3

    🎉🎉🎉🎉🎉namkubali sana maarifa🎉🎉🎉🎉

  • @mellobaby4647
    @mellobaby4647 7 месяцев назад +1

    Bhna tuseme ukweli MARIFAA nomaa

  • @kaya.o5483
    @kaya.o5483 6 месяцев назад +1

    Wasafi acheni unafiki. Dogo hana uwezo mukubwa munajaribu kumukuza ila maarifa ni mukubwa sanaaaa kaziba pengu

  • @macochal4423
    @macochal4423 7 месяцев назад +3

    hahahahaha ila maarifa eti ndo utaftaji mambo yatakuwa sawa ..........respect sana mamen the big thinker umeongea bonge facts yan and all ov dem are de truth..

  • @NurdiniMasudi-sp8mz
    @NurdiniMasudi-sp8mz 7 месяцев назад +6

    tufikie hatua tuseme ukweli Aisee maarifa umetisha ..good Explanation

  • @halidhakim883
    @halidhakim883 5 месяцев назад

    Hana mboga uyooo wacheni una fikii wasafii

  • @ShizoMsosa
    @ShizoMsosa 6 месяцев назад +2

    Maarifa mkali kuliko runya huo ndio ukweli

  • @fauboy7503
    @fauboy7503 7 месяцев назад +11

    Icho kidemu ni ki hater cha maarifa..😂

  • @babawaubatizo1938
    @babawaubatizo1938 7 месяцев назад +1

    Sio kila rapper anaweza kufanya freestyle, na kwa hii interview waandaaji mmezingua. Ilitakiwa na maarifa mumpe beat nyingine afanye afanye freestyle. Ingawaje namuamin sana maarifa kuliko Lunya lkn mmekosea sana kumfanya maarifa ndio amuongelee lunya katika kwa upande wa makosa. Hawa wote ndio watu walioushikilia huu mziki wa hip hop kwa sasa, inafaa wakae pamoja na tupate vitu vizur kutoka kwao, wote wawili.

  • @tirathegreat8839
    @tirathegreat8839 6 месяцев назад

    Maarifa the Big thinker

  • @snaidertv1857
    @snaidertv1857 7 месяцев назад +5

    Wote ulio wataja walikuwa najua kufreestye walikuwa wanajua had kuandika mistari

  • @geeasap825
    @geeasap825 7 месяцев назад +1

    Uyo demu anapagawa na style ya young Lunya kwa sababu fan base kubwa ya Lunya ni madem, anasema mistari haina mashiko kwa sababu she's too soft kusikiliza punch lines hana uwezo wa kuprocess lines anazotema maarifa ila kuprocess soft ass lines za lunya anaweza maana ni taarabu style ya lunya

    • @barakayusuph4617
      @barakayusuph4617 7 месяцев назад

      anapenda nyimbo za young lunya kwa sababu yeye ni dem pia😂

  • @BithooBizzo
    @BithooBizzo 6 месяцев назад

    Uyo dem hajui hphp

  • @FrankFidelis-bh3qs
    @FrankFidelis-bh3qs 7 месяцев назад +2

    Nilimweleza sana mbuzi na angetumia kuchan katika ile biti wange mwibia kweli mistari mbuzi kashawasoma vijana 😂😂😂😂 ila mbuzi ana uwa kinoma 😅😅

  • @zachaamaster5378
    @zachaamaster5378 4 месяца назад

    Lunya sio msanii matako to kama matako wengine

  • @ramanine47
    @ramanine47 7 месяцев назад +2

    Mkn❤🎉

  • @richlord22634
    @richlord22634 7 месяцев назад +2

    Kwahyo Maarifa ndio anamulekeza Lunya nn afanye, ananichekesha sana😂😂😂, maarifa n mwana hip hop sio rapa, rapa lazima awe na flow za rap kama Lunya, alafu pia hip hop ya kizazi cha sasa haihitaji tu mwana hip hop inahitaji rapa, mtu yeyote anaeweza kutunga verse za kihip-hop anaweza kuwa mwana hip hop lakini kuwa rapa inahitaji uwe na flow za rap... Sasa Maarifa anaweza kutunga lakini hawezi kurap, kwenye nyimbo zake anaongea tu kama Mrisho Mpoto flow za rap hana, zero kabisa yani...
    Chengine Mbona Lunya alishaweka wazi ileile siku ambayo alikataa kufreestyle kuwa ameandika nyimbo nyingi tayari, zengine hajazi-release anahofia aka freestyle mistari ya moja ya nyimbo zake ambazo atakuja kuzirelease maana kaandika nyimbo nyingi hadi zengine hakumbuki utunzi wake aliandikaje.

  • @taaborafm
    @taaborafm 7 месяцев назад +2

    Maarifa ni muuaji wa kimya kimya he is a genious huyo lunya mwambieni aridi shule tena maybe somo la rap hakulielewa funs needs contents not swaggs only and being proud your self all over the moment mwambieni ukweli mkimpamba basi hatokuwa na muda mrefu kwenye game

  • @GivenMwatebela
    @GivenMwatebela 7 месяцев назад +6

    Alichofanya Maarifa ni kuonesha uwezo wa Ku rap kwenye beat iliyomshinda Mbuzi

  • @Lins_I
    @Lins_I 7 месяцев назад

    Ndio maana hajautuna @YoungLunya bado anakua acha kumuekea class anaenda kwa kasi yake

  • @Vichuda_Tz
    @Vichuda_Tz 7 месяцев назад

    Huyo anapga trap then hyo Beat Ni Ya HipHop So Msilaumu sana

  • @AziziAlly-xc6nm
    @AziziAlly-xc6nm 7 месяцев назад

    Nakumbuka freestyle ile walioifanya ndani ya treni akiwa lunya yeye maarifa na kontawa aliwakalisha wote wawili lakn leo anajifanya anamuweza😂😂😂

  • @josephexaud4994
    @josephexaud4994 7 месяцев назад +2

    also ukiwa kwa media dada yangu ni better ukaficha upendo wako kwa lunya
    huwez mwambia artist it's better to be silent
    umenkwaza sana ety dis haina fact basi kama ni rahisi fanya wewe

  • @muddytv1513
    @muddytv1513 7 месяцев назад +4

    Maarifa is real meaning UMETISHA.....he must grown up lunya

  • @MaulidiHimidi
    @MaulidiHimidi 7 месяцев назад

    Maarifa keeps staight on the point,

  • @jay-bblueband7140
    @jay-bblueband7140 7 месяцев назад +2

    Wakitoka malehem wot waliokufa wakal anafwat lunya

  • @Yubyplanet
    @Yubyplanet 7 месяцев назад

    Namkubal sana maarifa

  • @zachaamaster5378
    @zachaamaster5378 4 месяца назад

    #maarifa ni ntu nanusu

  • @Mcsceo
    @Mcsceo 7 месяцев назад

    Acheni kuwa proko uchafu huu mariifa maariifs hivi unamzungumzia 🐐 upate mirage😂

  • @etizzleboy8992
    @etizzleboy8992 6 месяцев назад

    huyu dem hajielewi aisee

  • @donlee9992
    @donlee9992 7 месяцев назад

    Mbuz kachemka😂😂

  • @manenoramadhan1432
    @manenoramadhan1432 7 месяцев назад

    Hip hop ni mmoja tu aliebak ni chidbenz sasa hizo elim mnazotaka huyo maarifa bado mdg sana

  • @emmanuelnkwabi8610
    @emmanuelnkwabi8610 7 месяцев назад +2

    Mtu mwelewe amejibu vitu vyenye mashiko

  • @maukilah8680
    @maukilah8680 7 месяцев назад +5

    Naomba like Zangu

  • @donlinechanell4760
    @donlinechanell4760 7 месяцев назад +2

    Et mistari ya next project😂😂 umeambiwa free style sio project mashavu yale

  • @martynbarrack210
    @martynbarrack210 7 месяцев назад

    Alijiona mbuzi kwakushirikishwa kwa hennessy kumbe

  • @tonotvonline3070
    @tonotvonline3070 6 месяцев назад

    ...Hichoo kidem MATAKOO yakee😂😂kinaujuaa mzikii kwel ??
    Mwanang maarfa hyo demu akikushobokea Tia DOLE🖕🖕

  • @MackameHassani
    @MackameHassani 7 месяцев назад

    Huyu nae pimbi tuu simuelewagi mm

  • @taojuma3277
    @taojuma3277 7 месяцев назад +2

    Huyu demu mtangazaj bwabwa tuu

  • @maliganyakanuda
    @maliganyakanuda 7 месяцев назад

    Uhakika kabisa

  • @Shokolokobango9385
    @Shokolokobango9385 7 месяцев назад

    Naona unju hatakiw kupewa airtime wakat ndo freestyler mkali

  • @Mrlucas-ic6ks
    @Mrlucas-ic6ks 7 месяцев назад

    watangazie

  • @emmanuelnkwabi8610
    @emmanuelnkwabi8610 7 месяцев назад +2

    Maarifa akili nyingi mpumbavu hana jambo kashindwa kupita na mdundo

  • @mohamedmtenjera1990
    @mohamedmtenjera1990 7 месяцев назад

    Lunya pesa mbele san

  • @careenRenatus
    @careenRenatus 7 месяцев назад +2

    Alitia aibu mbuzi,

  • @hamilmody1940
    @hamilmody1940 7 месяцев назад

    Uyo mtangazaji dem kum* kwel mtu kashindwa afu unasema so km kashindwa kafanyaje sasa anamtetea au basha ake