hahahahaha ila maarifa eti ndo utaftaji mambo yatakuwa sawa ..........respect sana mamen the big thinker umeongea bonge facts yan and all ov dem are de truth..
Sio kila rapper anaweza kufanya freestyle, na kwa hii interview waandaaji mmezingua. Ilitakiwa na maarifa mumpe beat nyingine afanye afanye freestyle. Ingawaje namuamin sana maarifa kuliko Lunya lkn mmekosea sana kumfanya maarifa ndio amuongelee lunya katika kwa upande wa makosa. Hawa wote ndio watu walioushikilia huu mziki wa hip hop kwa sasa, inafaa wakae pamoja na tupate vitu vizur kutoka kwao, wote wawili.
Uyo demu anapagawa na style ya young Lunya kwa sababu fan base kubwa ya Lunya ni madem, anasema mistari haina mashiko kwa sababu she's too soft kusikiliza punch lines hana uwezo wa kuprocess lines anazotema maarifa ila kuprocess soft ass lines za lunya anaweza maana ni taarabu style ya lunya
Kwahyo Maarifa ndio anamulekeza Lunya nn afanye, ananichekesha sana😂😂😂, maarifa n mwana hip hop sio rapa, rapa lazima awe na flow za rap kama Lunya, alafu pia hip hop ya kizazi cha sasa haihitaji tu mwana hip hop inahitaji rapa, mtu yeyote anaeweza kutunga verse za kihip-hop anaweza kuwa mwana hip hop lakini kuwa rapa inahitaji uwe na flow za rap... Sasa Maarifa anaweza kutunga lakini hawezi kurap, kwenye nyimbo zake anaongea tu kama Mrisho Mpoto flow za rap hana, zero kabisa yani... Chengine Mbona Lunya alishaweka wazi ileile siku ambayo alikataa kufreestyle kuwa ameandika nyimbo nyingi tayari, zengine hajazi-release anahofia aka freestyle mistari ya moja ya nyimbo zake ambazo atakuja kuzirelease maana kaandika nyimbo nyingi hadi zengine hakumbuki utunzi wake aliandikaje.
Maarifa ni muuaji wa kimya kimya he is a genious huyo lunya mwambieni aridi shule tena maybe somo la rap hakulielewa funs needs contents not swaggs only and being proud your self all over the moment mwambieni ukweli mkimpamba basi hatokuwa na muda mrefu kwenye game
also ukiwa kwa media dada yangu ni better ukaficha upendo wako kwa lunya huwez mwambia artist it's better to be silent umenkwaza sana ety dis haina fact basi kama ni rahisi fanya wewe
🎉🎉🎉🎉🎉namkubali sana maarifa🎉🎉🎉🎉
Bhna tuseme ukweli MARIFAA nomaa
Wasafi acheni unafiki. Dogo hana uwezo mukubwa munajaribu kumukuza ila maarifa ni mukubwa sanaaaa kaziba pengu
hahahahaha ila maarifa eti ndo utaftaji mambo yatakuwa sawa ..........respect sana mamen the big thinker umeongea bonge facts yan and all ov dem are de truth..
tufikie hatua tuseme ukweli Aisee maarifa umetisha ..good Explanation
Hana mboga uyooo wacheni una fikii wasafii
Maarifa mkali kuliko runya huo ndio ukweli
Icho kidemu ni ki hater cha maarifa..😂
Kumbe na wewe umeona
Truth
Sio kila rapper anaweza kufanya freestyle, na kwa hii interview waandaaji mmezingua. Ilitakiwa na maarifa mumpe beat nyingine afanye afanye freestyle. Ingawaje namuamin sana maarifa kuliko Lunya lkn mmekosea sana kumfanya maarifa ndio amuongelee lunya katika kwa upande wa makosa. Hawa wote ndio watu walioushikilia huu mziki wa hip hop kwa sasa, inafaa wakae pamoja na tupate vitu vizur kutoka kwao, wote wawili.
Bro Mc lazima ujue mitindo huru
Maarifa the Big thinker
Wote ulio wataja walikuwa najua kufreestye walikuwa wanajua had kuandika mistari
Uyo demu anapagawa na style ya young Lunya kwa sababu fan base kubwa ya Lunya ni madem, anasema mistari haina mashiko kwa sababu she's too soft kusikiliza punch lines hana uwezo wa kuprocess lines anazotema maarifa ila kuprocess soft ass lines za lunya anaweza maana ni taarabu style ya lunya
anapenda nyimbo za young lunya kwa sababu yeye ni dem pia😂
Uyo dem hajui hphp
Nilimweleza sana mbuzi na angetumia kuchan katika ile biti wange mwibia kweli mistari mbuzi kashawasoma vijana 😂😂😂😂 ila mbuzi ana uwa kinoma 😅😅
Huna topic
Lunya sio msanii matako to kama matako wengine
Mkn❤🎉
Kwahyo Maarifa ndio anamulekeza Lunya nn afanye, ananichekesha sana😂😂😂, maarifa n mwana hip hop sio rapa, rapa lazima awe na flow za rap kama Lunya, alafu pia hip hop ya kizazi cha sasa haihitaji tu mwana hip hop inahitaji rapa, mtu yeyote anaeweza kutunga verse za kihip-hop anaweza kuwa mwana hip hop lakini kuwa rapa inahitaji uwe na flow za rap... Sasa Maarifa anaweza kutunga lakini hawezi kurap, kwenye nyimbo zake anaongea tu kama Mrisho Mpoto flow za rap hana, zero kabisa yani...
Chengine Mbona Lunya alishaweka wazi ileile siku ambayo alikataa kufreestyle kuwa ameandika nyimbo nyingi tayari, zengine hajazi-release anahofia aka freestyle mistari ya moja ya nyimbo zake ambazo atakuja kuzirelease maana kaandika nyimbo nyingi hadi zengine hakumbuki utunzi wake aliandikaje.
Wewe akili hauna
Maarifa ni muuaji wa kimya kimya he is a genious huyo lunya mwambieni aridi shule tena maybe somo la rap hakulielewa funs needs contents not swaggs only and being proud your self all over the moment mwambieni ukweli mkimpamba basi hatokuwa na muda mrefu kwenye game
Alichofanya Maarifa ni kuonesha uwezo wa Ku rap kwenye beat iliyomshinda Mbuzi
Ndio maana hajautuna @YoungLunya bado anakua acha kumuekea class anaenda kwa kasi yake
Huyo anapga trap then hyo Beat Ni Ya HipHop So Msilaumu sana
Nakumbuka freestyle ile walioifanya ndani ya treni akiwa lunya yeye maarifa na kontawa aliwakalisha wote wawili lakn leo anajifanya anamuweza😂😂😂
also ukiwa kwa media dada yangu ni better ukaficha upendo wako kwa lunya
huwez mwambia artist it's better to be silent
umenkwaza sana ety dis haina fact basi kama ni rahisi fanya wewe
Maarifa is real meaning UMETISHA.....he must grown up lunya
Maarifa keeps staight on the point,
Wakitoka malehem wot waliokufa wakal anafwat lunya
Namkubal sana maarifa
#maarifa ni ntu nanusu
Acheni kuwa proko uchafu huu mariifa maariifs hivi unamzungumzia 🐐 upate mirage😂
huyu dem hajielewi aisee
Mbuz kachemka😂😂
Hip hop ni mmoja tu aliebak ni chidbenz sasa hizo elim mnazotaka huyo maarifa bado mdg sana
Mtu mwelewe amejibu vitu vyenye mashiko
Naomba like Zangu
Go get a job
Et mistari ya next project😂😂 umeambiwa free style sio project mashavu yale
Alijiona mbuzi kwakushirikishwa kwa hennessy kumbe
...Hichoo kidem MATAKOO yakee😂😂kinaujuaa mzikii kwel ??
Mwanang maarfa hyo demu akikushobokea Tia DOLE🖕🖕
Huyu nae pimbi tuu simuelewagi mm
Huyu demu mtangazaj bwabwa tuu
Uhakika kabisa
Naona unju hatakiw kupewa airtime wakat ndo freestyler mkali
watangazie
Maarifa akili nyingi mpumbavu hana jambo kashindwa kupita na mdundo
Lunya pesa mbele san
Alitia aibu mbuzi,
Uyo mtangazaji dem kum* kwel mtu kashindwa afu unasema so km kashindwa kafanyaje sasa anamtetea au basha ake
Choko san