Binafs mm kama mkulima mhamasishaji wa mazao ya kimkakati kanda ya ziwa ninaona faraja kubwa kutokana na jitihada za serikari kuhakikisha mkulima ananufaika kwa kadiri ya alivyo wekeza .......angalizo ndugu wakulima msiwekeze kama amja fata yafatayo 1. Shamba 2. Kusafisha 3. Pima afya ya udongo na pata Miche Bora au mbegu bora 4. Panda kwa wakati 5. Palilia kwa wakati 6. Lishia kwa wakati .....hakikisha kabla ya kuwekeza unakua na tahalifa sahihi kutoka kwa mtu sahihi kuhusu zao unalo enda kuwekeza .....mm nahamasisha mazao aya 1. Palachichi haina ya Hass 2. Cocoa 3.vanilla 4. Kahawa 5.migomba 6. Makademia nutis......
Aya ndyo Mambo sasa sijui tulichelewa wap chakula sasa dar kishuke bei mchele supa kilo iwe buku au buku jero freesh
Binafs mm kama mkulima mhamasishaji wa mazao ya kimkakati kanda ya ziwa ninaona faraja kubwa kutokana na jitihada za serikari kuhakikisha mkulima ananufaika kwa kadiri ya alivyo wekeza .......angalizo ndugu wakulima msiwekeze kama amja fata yafatayo 1. Shamba 2. Kusafisha 3. Pima afya ya udongo na pata Miche Bora au mbegu bora 4. Panda kwa wakati 5. Palilia kwa wakati 6. Lishia kwa wakati .....hakikisha kabla ya kuwekeza unakua na tahalifa sahihi kutoka kwa mtu sahihi kuhusu zao unalo enda kuwekeza .....mm nahamasisha mazao aya 1. Palachichi haina ya Hass 2. Cocoa 3.vanilla 4. Kahawa 5.migomba 6. Makademia nutis......
Mpango mzuri sana huu kumuinua mkulima kwa kumpatia soko la uhakika
I love this! Good job Tanzania
Henu tubadilike mashamba ya ndizi bado tunalima kienyeji harafu tunakuwa na mipango bila kujua uzalishaji upoje ???
Pole. Sisi wakulima tunawaelewa sana.
Boss uko sahii
KAZI IENDELEE 🇹🇿