MPYA SGR YAFUNGUA FURSA ZA UWEKEZAJI NA KUBAINISHA MAENEO YA UWEKEZAJI . KATIKA NJIA YA RELI YA SGR

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 окт 2024
  • #KaziIendelee

Комментарии • 26

  • @mybrevisai2508
    @mybrevisai2508 3 года назад +24

    Kila nikiona vipindi vya SGR roho inauma sana nikimkumbuka JPM

  • @beaugosseadam6831
    @beaugosseadam6831 3 года назад +9

    JPM angeizindua, ila basi tuu. Mungu anasiri kubwa. Pumzika kwa amani JPM. Maono yako yataishi daima. Uliipenda Nchi yako na uliwapenda watanzania wenzako, kwahio sio vizuri ufuatwe na damu. Bila hivyo tungeanza kupitia umoja baada ya mwengine kwa wanaokuzihaki. Tumeisha wajua!

  • @mgasathedon1579
    @mgasathedon1579 3 года назад +8

    Nilitegemea siku ikiisha JPM ataipanda Treni hii naumia

  • @marconzilankoma7581
    @marconzilankoma7581 3 года назад +11

    Mungu ibaraki Tanzania na watu wake 🇹🇿
    R. I. P JPM

  • @mgasathedon1579
    @mgasathedon1579 3 года назад +5

    Nilitegemea siku ikiisha JPM ataipanda Treni hii naumia

  • @hamilamahuvi5956
    @hamilamahuvi5956 3 года назад +9

    Beni Mwana... Yuko wapi

  • @kiazikitamu3985
    @kiazikitamu3985 3 года назад +3

    Kweli dunia haina mwenyewe hivi vitu ni vya muda tu kwetu kila mtu ataviacha ikiwa aliyeanzisha leo hayupo , Rest in Power Magufuli roho inauma sana sana.

  • @temkezatv4381
    @temkezatv4381 3 года назад +3

    Tanzania kwanza mengine baadae MP kassimu majaliwa nambari one nchi inamfaa na inamtosha viatu vya JPM vimemfiti

  • @stephenojijo1349
    @stephenojijo1349 3 года назад +3

    I cry for JPM,may God give you another Magufuli my brothers in Tanzania.
    I will come and take a ride to Dar.
    RIP JPM

  • @munaahmed8499
    @munaahmed8499 3 года назад +2

    Allah akurehem Rais wetu hakika ww ni wa pekee Tanzania tutakukumbuka milele kila nikitizamn bara bara reli ya umeme Madaraja bara bara za juu mpak hapa kwenye kwenye Rel na umeme wa kufua ndio nazid kuumia walah naumia had nawaza jmn hivi kweli tutampata kam huyu ktk nchi yetu Tanzania?

  • @othmanalnabhany3208
    @othmanalnabhany3208 3 года назад +2

    Ndio hayupo tena Jpm muombeeni dua aliepo tu

  • @simkotec3091
    @simkotec3091 3 года назад +3

    Tanzania kama ulaya

  • @muddymkamba352
    @muddymkamba352 3 года назад +2

    Mngetuonyesha utengenezaji wa vichwa vya treni na mabehewa yake huko kiwandani,

  • @mohamedyhamed9523
    @mohamedyhamed9523 3 года назад +1

    Nakumuka safa ya viongozi wote watekelezaji Rais, Makamu wa Rais na Wazili mkuu Hawa wa Tanzania tunawapa pongezi nyingi

  • @cosmasdaud9088
    @cosmasdaud9088 3 года назад +2

    Mdogo mdogo Mambo yanapendeza

  • @BarakaKitale
    @BarakaKitale 3 года назад

    Mshakuwa mavuvuzera sasa mradi unawashida kweli bongo nyoso

  • @mtesigwalulale2942
    @mtesigwalulale2942 3 года назад

    Mnafikiria kuwekeza.na.wachina.au.itkuwa.uchafu.mtupu.jpm.hakufikiria.kuwekeza.kwa.wakoloni.wa.kichina

  • @idrixalumany5902
    @idrixalumany5902 3 года назад

    Hatarrriiii