JPM angeizindua, ila basi tuu. Mungu anasiri kubwa. Pumzika kwa amani JPM. Maono yako yataishi daima. Uliipenda Nchi yako na uliwapenda watanzania wenzako, kwahio sio vizuri ufuatwe na damu. Bila hivyo tungeanza kupitia umoja baada ya mwengine kwa wanaokuzihaki. Tumeisha wajua!
Kweli dunia haina mwenyewe hivi vitu ni vya muda tu kwetu kila mtu ataviacha ikiwa aliyeanzisha leo hayupo , Rest in Power Magufuli roho inauma sana sana.
Allah akurehem Rais wetu hakika ww ni wa pekee Tanzania tutakukumbuka milele kila nikitizamn bara bara reli ya umeme Madaraja bara bara za juu mpak hapa kwenye kwenye Rel na umeme wa kufua ndio nazid kuumia walah naumia had nawaza jmn hivi kweli tutampata kam huyu ktk nchi yetu Tanzania?
Kila nikiona vipindi vya SGR roho inauma sana nikimkumbuka JPM
JPM angeizindua, ila basi tuu. Mungu anasiri kubwa. Pumzika kwa amani JPM. Maono yako yataishi daima. Uliipenda Nchi yako na uliwapenda watanzania wenzako, kwahio sio vizuri ufuatwe na damu. Bila hivyo tungeanza kupitia umoja baada ya mwengine kwa wanaokuzihaki. Tumeisha wajua!
Nilitegemea siku ikiisha JPM ataipanda Treni hii naumia
Mungu ibaraki Tanzania na watu wake 🇹🇿
R. I. P JPM
Nilitegemea siku ikiisha JPM ataipanda Treni hii naumia
Beni Mwana... Yuko wapi
Yupo waaaapi😭
Yupo likizo
Hata mimi nimemmiss sana
Kuna kipindi kingine cha mambo ya miradi wameenda kuanzisha
@@mosesnyelo1380 Asante kwa taarifa
Kweli dunia haina mwenyewe hivi vitu ni vya muda tu kwetu kila mtu ataviacha ikiwa aliyeanzisha leo hayupo , Rest in Power Magufuli roho inauma sana sana.
Tanzania kwanza mengine baadae MP kassimu majaliwa nambari one nchi inamfaa na inamtosha viatu vya JPM vimemfiti
I cry for JPM,may God give you another Magufuli my brothers in Tanzania.
I will come and take a ride to Dar.
RIP JPM
Allah akurehem Rais wetu hakika ww ni wa pekee Tanzania tutakukumbuka milele kila nikitizamn bara bara reli ya umeme Madaraja bara bara za juu mpak hapa kwenye kwenye Rel na umeme wa kufua ndio nazid kuumia walah naumia had nawaza jmn hivi kweli tutampata kam huyu ktk nchi yetu Tanzania?
Ndio hayupo tena Jpm muombeeni dua aliepo tu
Tanzania kama ulaya
Mngetuonyesha utengenezaji wa vichwa vya treni na mabehewa yake huko kiwandani,
Kwani wanatengeneza TZ
Huko huko nje
Nakumuka safa ya viongozi wote watekelezaji Rais, Makamu wa Rais na Wazili mkuu Hawa wa Tanzania tunawapa pongezi nyingi
Mdogo mdogo Mambo yanapendeza
Mshakuwa mavuvuzera sasa mradi unawashida kweli bongo nyoso
Mnafikiria kuwekeza.na.wachina.au.itkuwa.uchafu.mtupu.jpm.hakufikiria.kuwekeza.kwa.wakoloni.wa.kichina
Hatarrriiii