Kwa Ujasiri Mtoto Amjibu Askofu Mkuu Ruwaich/Maswali ya papo kwa papo/Shuhudia kilichotokea.
HTML-код
- Опубликовано: 18 дек 2021
- Adhimisho hili la Misa takatifu Dominika ya Nne ya Majilio, inaenda sanjari na Uwekaji wa Jiwe la Msingi wa Nyumba ya Mapadri na Utoaji wa Sakramenti ya Kimaipara kwa Waimarishwa wa Parokia ya Watakatifu wote Nzuguni Jimbo Kuu Katoliki la Dodoma | Misa itaongozwa na Askofu mkuu wa Jimbo kuu Katoliki la Dar es salaam Mhashamu Jude Thaddaeus Ruwa'ichi akiambatana na Askofu Msaidizi wa Jimbo kuu Katoliki la Dar es salaam Mhashamu Stephano Musomba
ORIGIONAL SOURCE:TUMAINI MEDIA
#BreezOnlineTv #Kipaimara #Dodoma
Breez Online Tv
S.L.P 38655
Dar Es Salaam Tanzania
Phone No: +255 756494796
Barua pepe: izackbreez11@gmail.com
Mitandao Mingine ya Kijamii:
Facebook: breez online Tv
Facebook Link: / breez-online. .
Instagram:Breez Online Tv
Nilihudhuria hii misa nikiwa kikazi Dodoma, walijitahidi sana watoto waimarishwa....Mungu awabariki wanaparokia ya Watakatifu wote Nzuguni🙏🙏🙏
Amina
Proud to be RC
Natamani mwanangu aje awe na katekesi nzuri hivi dahh
Mungu awabariki watoto hawa kutetea imani hadi kufa!
Najivunia kuwa mkristo tena mkatolic.🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
safi sana
Kazi nzuri walimu wa dini
Hongereni sana makatekista
Wameiva kweli kweli
ilikuwa wapi hii mkuu boresha kidogo, na walikuwa wanafanya maandalizi ya sacrament ipi kati ya kipaimara au komnio?
Soma vizuri kwenye description ndugu yangu
Hii ilikuwa jpil tar 19/Dec/2021 parokiani Nzuguni jimbo kuu la Dodoma
Alitoa sakrament ya kipaimara pia
Askofu anaumwa kolona?
Acheni kuparamia vya wazungu.
Mungu wa watu weusi anatulinda na kutuponya magonjwa yote tofauti na huyu wa hofu za viitwavyo kolona.
Kwanini usikae mbali badala ya kuja kuweka komenti za kitoto
Unasoma la ngapi saiz?
@@flova7022 🤣 la mwanzo.
@@rwenenahomechannel1634 Basi ngoja nkupe katekesi ya elimu dunia na afya: kuvaa barakoa hiyo sio kuumwa korona...Ila mtu akiwa na maradhi ya mfumo upumuaji Fulani ndio hua anavaa barakoa N-95 ili asiambukize wengine ..mfano mtu mwenye kifua kikuu sugu anavyosafirishwa lazma avae...lakn...barakoaa hizo za kawaida husaidia Tu kuepusha dropplets kusambaaa ( matemate) ambayo pia ni njia ya maambuzi ya korona
Huna akili