Kwa Ujasiri Mtoto Amjibu Askofu Mkuu Ruwaich/Maswali ya papo kwa papo/Shuhudia kilichotokea.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 фев 2025

Комментарии • 21

  • @mariachuri7123
    @mariachuri7123 3 года назад +3

    Nilihudhuria hii misa nikiwa kikazi Dodoma, walijitahidi sana watoto waimarishwa....Mungu awabariki wanaparokia ya Watakatifu wote Nzuguni🙏🙏🙏

  • @flova7022
    @flova7022 Год назад

    Natamani mwanangu aje awe na katekesi nzuri hivi dahh

  • @flova7022
    @flova7022 Год назад

    Proud to be RC

  • @dativateddy3903
    @dativateddy3903 3 года назад +2

    Mungu awabariki watoto hawa kutetea imani hadi kufa!

  • @charlesmugisha6529
    @charlesmugisha6529 3 года назад +1

    Najivunia kuwa mkristo tena mkatolic.🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @freddykulwa8190
    @freddykulwa8190 Год назад

    Amina

  • @dannielmbilinyi6392
    @dannielmbilinyi6392 3 года назад

    safi sana

  • @martinanjimbi
    @martinanjimbi 3 года назад

    Kazi nzuri walimu wa dini

  • @JanethMbunda-o7m
    @JanethMbunda-o7m 3 месяца назад

    Wamejitahd kwakweli MUNGU aendelee kuwakuza kwenye iman katoliki

  • @charlesmartine3467
    @charlesmartine3467 3 года назад

    Wameiva kweli kweli

  • @kattopeter7280
    @kattopeter7280 3 года назад

    ilikuwa wapi hii mkuu boresha kidogo, na walikuwa wanafanya maandalizi ya sacrament ipi kati ya kipaimara au komnio?

    • @breezonlinetv
      @breezonlinetv  3 года назад

      Soma vizuri kwenye description ndugu yangu

    • @edwardpastory812
      @edwardpastory812 3 года назад

      Hii ilikuwa jpil tar 19/Dec/2021 parokiani Nzuguni jimbo kuu la Dodoma

    • @edwardpastory812
      @edwardpastory812 3 года назад

      Alitoa sakrament ya kipaimara pia

  • @rwenenahomechannel1634
    @rwenenahomechannel1634 3 года назад

    Askofu anaumwa kolona?
    Acheni kuparamia vya wazungu.
    Mungu wa watu weusi anatulinda na kutuponya magonjwa yote tofauti na huyu wa hofu za viitwavyo kolona.

    • @munguhashindwijambo2681
      @munguhashindwijambo2681 3 года назад +2

      Kwanini usikae mbali badala ya kuja kuweka komenti za kitoto

    • @flova7022
      @flova7022 Год назад

      Unasoma la ngapi saiz?

    • @rwenenahomechannel1634
      @rwenenahomechannel1634 Год назад

      @@flova7022 🤣 la mwanzo.

    • @flova7022
      @flova7022 Год назад

      @@rwenenahomechannel1634 Basi ngoja nkupe katekesi ya elimu dunia na afya: kuvaa barakoa hiyo sio kuumwa korona...Ila mtu akiwa na maradhi ya mfumo upumuaji Fulani ndio hua anavaa barakoa N-95 ili asiambukize wengine ..mfano mtu mwenye kifua kikuu sugu anavyosafirishwa lazma avae...lakn...barakoaa hizo za kawaida husaidia Tu kuepusha dropplets kusambaaa ( matemate) ambayo pia ni njia ya maambuzi ya korona

    • @anoldshirima3291
      @anoldshirima3291 Год назад

      Huna akili