Kwa Ujasiri Mtoto Amjibu Askofu Mkuu Ruwaich/Maswali ya papo kwa papo/Shuhudia kilichotokea.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 дек 2021
  • Adhimisho hili la Misa takatifu Dominika ya Nne ya Majilio, inaenda sanjari na Uwekaji wa Jiwe la Msingi wa Nyumba ya Mapadri na Utoaji wa Sakramenti ya Kimaipara kwa Waimarishwa wa Parokia ya Watakatifu wote Nzuguni Jimbo Kuu Katoliki la Dodoma | Misa itaongozwa na Askofu mkuu wa Jimbo kuu Katoliki la Dar es salaam Mhashamu Jude Thaddaeus Ruwa'ichi akiambatana na Askofu Msaidizi wa Jimbo kuu Katoliki la Dar es salaam Mhashamu Stephano Musomba
    ORIGIONAL SOURCE:TUMAINI MEDIA
    #BreezOnlineTv​​​​​​​​​​​​​ #Kipaimara #Dodoma
    Breez Online Tv
    S.L.P 38655
    Dar Es Salaam Tanzania
    Phone No: +255 756494796
    Barua pepe: izackbreez11@gmail.com
    Mitandao Mingine ya Kijamii:
    Facebook: breez online Tv
    Facebook Link: / breez-online. .
    Instagram:Breez Online Tv

Комментарии • 20

  • @mariachuri7123
    @mariachuri7123 2 года назад +2

    Nilihudhuria hii misa nikiwa kikazi Dodoma, walijitahidi sana watoto waimarishwa....Mungu awabariki wanaparokia ya Watakatifu wote Nzuguni🙏🙏🙏

  • @freddykulwa8190
    @freddykulwa8190 Год назад

    Amina

  • @flova7022
    @flova7022 Год назад

    Proud to be RC

  • @flova7022
    @flova7022 Год назад

    Natamani mwanangu aje awe na katekesi nzuri hivi dahh

  • @dativateddy3903
    @dativateddy3903 2 года назад +2

    Mungu awabariki watoto hawa kutetea imani hadi kufa!

  • @charlesmugisha6529
    @charlesmugisha6529 2 года назад +1

    Najivunia kuwa mkristo tena mkatolic.🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @dannielmbilinyi6392
    @dannielmbilinyi6392 2 года назад

    safi sana

  • @martinanjimbi5700
    @martinanjimbi5700 2 года назад

    Kazi nzuri walimu wa dini

  • @charlesmartine3467
    @charlesmartine3467 2 года назад

    Wameiva kweli kweli

  • @kattopeter7280
    @kattopeter7280 2 года назад

    ilikuwa wapi hii mkuu boresha kidogo, na walikuwa wanafanya maandalizi ya sacrament ipi kati ya kipaimara au komnio?

    • @breezonlinetv
      @breezonlinetv  2 года назад

      Soma vizuri kwenye description ndugu yangu

    • @edwardpastory812
      @edwardpastory812 2 года назад

      Hii ilikuwa jpil tar 19/Dec/2021 parokiani Nzuguni jimbo kuu la Dodoma

    • @edwardpastory812
      @edwardpastory812 2 года назад

      Alitoa sakrament ya kipaimara pia

  • @rwenenahomechannel1634
    @rwenenahomechannel1634 2 года назад

    Askofu anaumwa kolona?
    Acheni kuparamia vya wazungu.
    Mungu wa watu weusi anatulinda na kutuponya magonjwa yote tofauti na huyu wa hofu za viitwavyo kolona.

    • @munguhashindwijambo2681
      @munguhashindwijambo2681 2 года назад +2

      Kwanini usikae mbali badala ya kuja kuweka komenti za kitoto

    • @flova7022
      @flova7022 Год назад

      Unasoma la ngapi saiz?

    • @rwenenahomechannel1634
      @rwenenahomechannel1634 Год назад

      @@flova7022 🤣 la mwanzo.

    • @flova7022
      @flova7022 Год назад

      @@rwenenahomechannel1634 Basi ngoja nkupe katekesi ya elimu dunia na afya: kuvaa barakoa hiyo sio kuumwa korona...Ila mtu akiwa na maradhi ya mfumo upumuaji Fulani ndio hua anavaa barakoa N-95 ili asiambukize wengine ..mfano mtu mwenye kifua kikuu sugu anavyosafirishwa lazma avae...lakn...barakoaa hizo za kawaida husaidia Tu kuepusha dropplets kusambaaa ( matemate) ambayo pia ni njia ya maambuzi ya korona

    • @anoldshirima3291
      @anoldshirima3291 8 месяцев назад

      Huna akili