Rehema Matembo Ft Bonny Mwaitege _Wa kazi gani_ (Official Music Video)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 фев 2025

Комментарии • 76

  • @JasonMureke-u6o
    @JasonMureke-u6o 10 дней назад +1

    Oooh Hallelujah Hallelujah Amen, kwa kweli kazi ya Mungu kwa kweli aina makosa kwa kweli Oooh Hallelujah, nice song l say,👍🙏👏👏👏🕺🕺🕺🕺🕺🕺🕺🕺

  • @rehemamatembo
    @rehemamatembo  16 дней назад +13

    Bwana Yesu asifiwe. Nimewaletea wimbo wa baraka ndugu zangu. Karibuni kutazama, kusikiliza, na kujifunza kutokana na wimbo unavyosema. Asante

    • @GraceKutoka
      @GraceKutoka 16 дней назад +1

      Ameni wimbo huu ni wabaraka sana barikiwa momy❤

    • @RAIVONMWAKALANJE
      @RAIVONMWAKALANJE 15 дней назад +1

      Good my friend ❤❤❤❤❤

    • @silvanusotienoawiti7709
      @silvanusotienoawiti7709 15 дней назад +1

      Amazing song nimebarikiwa tena naenda kutowa song like this for my original laugauge luo

    • @kassebomusic21
      @kassebomusic21 14 дней назад +1

      Ameee

  • @STEPHENNIMITUKURU
    @STEPHENNIMITUKURU 10 дней назад +1

    Powerful Spirit filled song with a deep message! Thank you so much Rehema.

  • @AthanasKomba
    @AthanasKomba 12 дней назад +1

    Barikiwa sana Mtumishi Mwenyezi MUNGU azidi kukubariki na kukuinua ili ufike Viwango vya juu zaidi na zaidi hongera sana wimbo mzuri

  • @alexandermwabishi861
    @alexandermwabishi861 12 дней назад +2

    Dah,kazi nzuri na Mungu awatie nguvu ya kuguza mioyo za watu🙏🙏🙏

  • @MorganKamenchu
    @MorganKamenchu 10 дней назад +1

    Kazi safi sana mungu azidi kuwainua maana tunabarikiwa sana kupitia hizi nyimbo zenu❤❤

  • @HadassahGladys
    @HadassahGladys 12 дней назад +1

    Hongera. Hongera. Sauti. Tamu. Glory be to. God. Powerful. Message 🎉

  • @kassimJackson-x2z
    @kassimJackson-x2z 12 дней назад +1

    Wow wimbo mzuri san mungu awabalik san watumishi

  • @SafariMulidwa-2
    @SafariMulidwa-2 13 дней назад +1

    ❤❤❤❤❤❤

  • @josephmuthoka-zd8dq
    @josephmuthoka-zd8dq 11 дней назад +2

    God bless you man of God and this blessed lady ..more grace 🔥🔥

  • @JuliaWafula-oz2wy
    @JuliaWafula-oz2wy 13 дней назад +1

    Hallelujah nimebarikiwa julia operation 9 village Uganda 🇺🇬 kenya 🇰🇪

  • @RAIVONMWAKALANJE
    @RAIVONMWAKALANJE 15 дней назад +3

    Kenya ichi yangu mzuri sana Mungu awabariki naomba like na comment apaaa ilitubalikiwe kwa pamoja na hihi huduma Ubalikwe sana mtumishi uzidi kupata kibali kila mara ❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @lukasmgogogospel2060
    @lukasmgogogospel2060 7 дней назад

    Barikiwa kiwa sana mtumishi ujumbe mzur sana umenibariki sanaa ❤🎉

  • @isayamziwanda4768
    @isayamziwanda4768 12 дней назад +1

    Hongera sana Mtumishi wa Mungu

  • @pastoramosnabulegospelarti9555
    @pastoramosnabulegospelarti9555 4 дня назад

    Kazi mzuri 👏👏 dada🎉🎉

  • @MaureenMalusha
    @MaureenMalusha 14 дней назад

    Ameeen wimbo huu umenibariki sana mbarikiwe waimbaji ❤

  • @BensonMabokoBukachi
    @BensonMabokoBukachi 12 дней назад +1

    Ukweli kabisa

  • @msaniiezekielkamoyani
    @msaniiezekielkamoyani 14 дней назад +1

    ❤❤🎉🎉 nabarikiwa nikiwa all the way Bungoma county

  • @DanielRioba-js5ll
    @DanielRioba-js5ll 11 дней назад

    Wimbo huu mpya unafunzo sana

  • @lukehaprimary2574
    @lukehaprimary2574 14 дней назад +2

    😊mwaitege mungu akubaliki

  • @janetkalu3870
    @janetkalu3870 14 дней назад +1

    Kazi safii kabisa dadaa Mungu akuinue katika kiwango chengine

  • @bagazakind
    @bagazakind 4 дня назад

    Peleka injili mbele papa

  • @sirjoseph921
    @sirjoseph921 9 дней назад

    Namuona fadhili panja , keep going 🔥

  • @isaya9613
    @isaya9613 14 дней назад +2

    Kweli kabisa usimdharau mtu

  • @eduramofficial
    @eduramofficial 14 дней назад +1

    Congratulations 🎉🎉🎉

  • @mariamyusto
    @mariamyusto 15 дней назад +1

    Aisee umeuwaa wimbo muzuri Sana ❤❤🎉

  • @carolmoraa7386
    @carolmoraa7386 15 дней назад +1

    Ndio ndio ndio Kweli kabisa hallelujah and Amen ❤❤❤❤❤

  • @felisteramani7534
    @felisteramani7534 15 дней назад +2

    Kazi zuri sana ❤️

  • @RehemaKomba-d6t
    @RehemaKomba-d6t 15 дней назад +1

    Amen mtumishi barikiwa sana na ujumbe mzuri

  • @barakamhenga6195
    @barakamhenga6195 15 дней назад +1

    Mungu akubariki kwa kuendelea kutukumbusha maana sisi tu wanadamu

  • @marymahundi9304
    @marymahundi9304 16 дней назад

    Asante kwa kutukumbusha usimdhalau mtu yoyote hujui kesho yake barikiwa sana

  • @MaryMurithi-h1d
    @MaryMurithi-h1d 15 дней назад +1

    Kazi nzuri dada Mungu akutumie Zaidi Na Zaidi kueneza ijili

  • @GeorgeGoyayi-vt8ys
    @GeorgeGoyayi-vt8ys 16 дней назад +1

    Heee heeee heee hahahaha hahaha haha hatriii aiseee kwelii unajua thamani ya MTU IPO ndanii na SIO nje aisee daaa bonge la nyimbo dada Angu Rehema matemboo Sasa tunakufatilia Barikiwa sana dada Barikiwa sana dada sana Tena sana mwambie bonyy kua George anakusalimia nitamfata muda si mrefuu hahaha

  • @hezronsamson2406
    @hezronsamson2406 15 дней назад +1

    Ongera Kwa ujumbe mzuri sana Mungu akurinde uzidi kukua kiroho

  • @TanzaniaTanzania-f9y
    @TanzaniaTanzania-f9y 16 дней назад +1

    Hongera sana dada vipi umerudi morogoro naomba unipigie ukirudi uganda

  • @AnethMtafya
    @AnethMtafya 16 дней назад +1

    Good song ❤❤❤❤❤

  • @JAPETHMUTONYE
    @JAPETHMUTONYE 14 дней назад +1

    𝐀𝐦𝐢𝐧𝐚

  • @AzarieH
    @AzarieH 12 дней назад +1

    Good song

  • @maliyusiosika9457
    @maliyusiosika9457 11 дней назад

    Uyo unae mudharau Amina kubwa mtumishu

  • @oscartamba8405
    @oscartamba8405 16 дней назад +2

    Huu wimbo umenibariki sana..
    Hongera sana Madam

  • @ezekielkisavingomma7465
    @ezekielkisavingomma7465 15 дней назад +1

    Amen 🎉🎉🎉🎉

  • @pastormussa579
    @pastormussa579 16 дней назад +1

    Good❤

  • @JamesSogita
    @JamesSogita 16 дней назад +1

    Hongera nyingi Sana kwa Kazi nzuri kabisa mungu huviinua vinyonge na vilivyodharauli na kuviketisha mahali palipoinuka balikiwa

  • @Teresiakubania
    @Teresiakubania 16 дней назад +2

    Hongera mtumishi,kazi nzuri

  • @slyviamariammariam-7262
    @slyviamariammariam-7262 13 дней назад +1

    Ameeeen

  • @amenyemwakajinga6678
    @amenyemwakajinga6678 16 дней назад +1

    Anointing song and good meseji

  • @benardkulumbana3204
    @benardkulumbana3204 16 дней назад +1

    Muzuuri kabbisa

  • @mrnickmusician7139
    @mrnickmusician7139 14 дней назад +2

    Amen

  • @yusuphnestory4090
    @yusuphnestory4090 16 дней назад +1

    Nikwel dhaman yetu Mungu anaijua barikiwa sana 🎉

  • @RizikiOmari-gq7qt
    @RizikiOmari-gq7qt 7 дней назад

    Amen 😢😢😢amen😊

  • @elshamahwashira
    @elshamahwashira 16 дней назад +1

    Ujumbe mkubwa sana neema Zaidi mtumishi wa Mungu

  • @VunjaUkimyatv
    @VunjaUkimyatv 16 дней назад +1

    Kz Nzuli Sanaa Hongera 🥰🔥

  • @heritiersolo7395
    @heritiersolo7395 16 дней назад +2

    Wow powerful message

  • @dannyboas1409
    @dannyboas1409 16 дней назад +2

    MUNGU WA MBINGUNI AKUBARIKI SANA DADA

  • @samwayesuofficial9210
    @samwayesuofficial9210 15 дней назад +1

    Amina

  • @witnessmbise2886
    @witnessmbise2886 16 дней назад +2

    Hahahaha jamani nimebadlika hahaha hahhahahahahha

  • @damarismummy6291
    @damarismummy6291 16 дней назад +2

    Nice song

  • @tonymoses5658
    @tonymoses5658 14 дней назад +1

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤

  • @gracegasper8833
    @gracegasper8833 15 дней назад +1

    🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤