AHMED ALLY: MAYELE HAKUUZWA NA YANGA | HATUJAPATA HASARA KUMUUZA INONGA | KUHUSU NIDHAMU YAKE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 24 июн 2024
  • СпортСпорт

Комментарии • 49

  • @salimmbilu4524
    @salimmbilu4524 3 дня назад +1

    Ahmed uko sawa

  • @HalimaMaulidi-sv7le
    @HalimaMaulidi-sv7le 5 дней назад +2

    Semaji la wasemaji handsome boy wetu huyooo wanaonuna wacha wanune tupa kuleeeee!

  • @MusaAli-gl1ue
    @MusaAli-gl1ue 5 дней назад +2

    Inawaumaaa wakisikia sauti ya Ahmed

  • @mubaraalichiku6089
    @mubaraalichiku6089 3 дня назад

    Ahmed Ali Nakuheshimu lakini msenge, aseme ukweli mbwa koko ww

  • @mwanangusana
    @mwanangusana 5 дней назад +1

    😂😂😂😂 oruma maswal yote yameyayuka baada .......bila d 2 huwez kuelewa

  • @mwanangusana
    @mwanangusana 5 дней назад +2

    😂😂😂 alomuona oruma anajichekesha akicheka kinafiki 😂😂😂😂,

  • @HajiJuma-oy1jy
    @HajiJuma-oy1jy 22 минуты назад

    Huna mamlaka yakusema bei lkn mamlaka yakuisemea Yanga unayo

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l 5 дней назад

    SIMBA NGUVU MOJA ❤❤❤🎉🎉🎉

  • @user-lj8jp9dc9l
    @user-lj8jp9dc9l 5 дней назад

    Wee jibu la inonga ya mayele hayakuhusu. Hivi huo fara walimchaguaje kuwa msemaji.

  • @IssaAbdallah-rt2sh
    @IssaAbdallah-rt2sh 3 дня назад

    Ats nini utajua mambo ya mayele kweli

  • @gabrielgwawu4026
    @gabrielgwawu4026 5 дней назад

    Chizi chizi tu. Na badoooo.!! YANGA BINGWAAAAAA TENA NA TENAAA

  • @HalidiKilale-d2n
    @HalidiKilale-d2n 5 дней назад

    Semaji la visemaji Sauti ya jogoo akiwika Hadi vijiji vya jirani wanaskia sauti.

  • @IssaAbdallah-rt2sh
    @IssaAbdallah-rt2sh 3 дня назад

    Sasa kwani yanga walimuuza mayele hata jambo la kweli yanga hamlitaki washamba sana nyinyi gongo wazi

  • @LovelyOmbreSky-pu4jt
    @LovelyOmbreSky-pu4jt 5 дней назад

    Huyu msemaji ni komediani sana sasa watu wanakuliza yeye analeta mzaa kweli simba mjitahidi kutafuta wasemaji Wenyeweredi

  • @mwikamwika4851
    @mwikamwika4851 5 дней назад +1

    Huyu ni msemaji sahihi kwa klabu yetu. Msemaji huwa hakurupuki

  • @JuhudiKasanga-yq5ks
    @JuhudiKasanga-yq5ks 3 дня назад

    Mda wa madunduka huu kutamba ligi ikianza mateso mpaka mda wadirisha dogo wanaamkaga tena

  • @adrophinamwanguse1510
    @adrophinamwanguse1510 5 дней назад

    Semajiii wakeereeee wenye vifukunyuku

  • @EzekiaMichael-jn5np
    @EzekiaMichael-jn5np 4 дня назад

    Inonga marehem duuuu

  • @user-xm5xg1tt6d
    @user-xm5xg1tt6d 5 дней назад

    Mayele alikua yanga kwa mkopo

  • @mwanangusana
    @mwanangusana 5 дней назад

    Huyu msemaji 😂😂😂😂

  • @user-mg1yl2rl8s
    @user-mg1yl2rl8s 5 дней назад

    Mkataba umeisha unasemaje mmemuuza...hii klabu ni uongo uongo tuuu

  • @AbrahamanHussein
    @AbrahamanHussein 5 дней назад

    Huyo ahemed ni mpumbavu kazoea kuwadanganya makolo anawaina wote

  • @khajihamisi5054
    @khajihamisi5054 5 дней назад

    Waandishi na ninyi wachambuzi,kfk hilo jibu lake huyo comedian(siyo msemaji wa simba)muulizeni swali dogo tu, ambalo halihitaji elimu ya chuo kikuu. ATS ya Mayele ilitoka klabu gani wakati anakwenda Plamidy?

  • @user-ce3tx7mr8v
    @user-ce3tx7mr8v 5 дней назад +1

    MAYELE ALIUZWA NA SIMBA BASI

  • @AmaniKasekwa-uw8hp
    @AmaniKasekwa-uw8hp 5 дней назад

    Wewe ndio semaji la caf simba nguvu moja

    • @robertphilip385
      @robertphilip385 5 дней назад

      Nguvu Moja huku mkiteseka nyeee ni Hoya Hoya kweli

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 5 дней назад

    Sasa wewe unauliza bei YA mchezaji ili wewe iweje? Acha kuichokonoa Simba

  • @twahakabajemi9716
    @twahakabajemi9716 4 дня назад

    Kama yanga hawa kumuuza wewe inakuathiri nini?

  • @GOLDIANEDRICK-sm6xk
    @GOLDIANEDRICK-sm6xk 5 дней назад +2

    Wewe ahmedy ally ni matako kabisa Sasa una mamlaka Gani ya kusema mayere hakuuzwa na yanga wakati hukushiriki kumsajiri hapo umenihudhi pakubwa