DOCTOR MO ATOBOA SIRI ZA WACHEZAJI WALIO SAJILIWA NA SIMBA WAPYA| AMPONGEZA MAGOLI SIMBA IMERUDI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • KWA HABARI NA MATANGAZO
    TUPIGIE SASA
    0753393036 CALL
    0625466848 WHATSAPP

Комментарии • 28

  • @mwasunga
    @mwasunga 3 месяца назад +2

    Kwan gamond anavyo Kuja alisajili mchezaj gan zaid zaid yakuwakuta

  • @TomasiklistophaMwinuka
    @TomasiklistophaMwinuka 3 месяца назад +1

    Bos hanuniw Mo dwji sarurt kwake turuddishie furaha ilipotea

  • @charleslinhege690
    @charleslinhege690 3 месяца назад +1

    Kindly Dr MO IAM an old Simba member since 1986 i tried to reach the chairman Mr MO but in vain. So kindly convey this message to him without fail I know that you can do it.
    That Simba should recruit IBENGE IBENGE IBENGE as head coach and his assistant be MGUNDA MGUNDA MGUNDA MGUNDA the two can make a perfect workable combination that will clinch all local trophies including CAF Cups. They have both reputable and proved best history. Simba shouldn't repeat same mistakes that made Simba change about 8 coaches in three years "shame"
    So kindly insure that the message is delivered to the boss and of course you have to solicit about it

  • @SalvatoryMtunga
    @SalvatoryMtunga 3 месяца назад +1

    Huyo siku huzi hamgusi Mangungu, chezea mangungu weee.😊

  • @EstherMulinga
    @EstherMulinga 3 месяца назад

    Mangungu sio kocha mzr tabu ipo palepale yanga wanavyuma balaa

  • @YusufSasamalo-uz4ii
    @YusufSasamalo-uz4ii 3 месяца назад

    Team psychologist,nae ni muhimu kwa sasa

  • @RockyMbwana
    @RockyMbwana 3 месяца назад +1

    Nyie wenye akili hebu acheni kununua mechi tuone ubora wenu

  • @barakajamalis776
    @barakajamalis776 3 месяца назад

    Hawawez Acha kununua mechi,

  • @ismailchilonga2878
    @ismailchilonga2878 3 месяца назад

    Mbona mnaitaja saaana wydad nawaambia tena na tena na tena wydad msimu huuu Hawapo club bingwa wala shirikisho Africa labda mwakani kwenye ligi wamemaliza wa 6

  • @alfoncekasanyi6584
    @alfoncekasanyi6584 3 месяца назад

    Utopolo mnadandia habari za Simba maana hakuna sehemu habari zenu zinaandikwa.Pamoja na kuwa mabingwa lakini bariiiidi Kama alivyosema JK

  • @adamlubawa1281
    @adamlubawa1281 3 месяца назад

    Huyu jamaaa poyoyo kweli yaaani
    Ameamua kusifu kwa kuogopa asije kosa msamaha

  • @AbisinaRashidi-c8d
    @AbisinaRashidi-c8d 3 месяца назад

    Yanga wenye akili wawili tu kocha wanyoko kwani .mgunda siyupo

  • @paulmwandambo7799
    @paulmwandambo7799 3 месяца назад

    Kusifia mnajua sana, ila wakianza kutokota hamkawii kuwatukana

  • @maulidmusa8902
    @maulidmusa8902 3 месяца назад

    Inakuhusu? Kulikoni uwashwe?

  • @JosephTibu
    @JosephTibu 3 месяца назад

    SIMBA NGUVU MOJA 🎉🎉🎉🎉🎉❤❤

  • @JosephTibu
    @JosephTibu 3 месяца назад

    SIMBA NGUVU MOJA🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤

  • @avitusmichael5
    @avitusmichael5 3 месяца назад

    MANGUNGU oyeeeeee

  • @JahaSaid
    @JahaSaid 3 месяца назад +3

    Akili hamna kocha anakuja tayali mmeisha muandalia usajili bila kijua mahitaji ya kocha,tatizo lipo pale pale,akijua kusema Hawa wachezaji sio wa ubingwa mtamlaumu

    • @kassidpandu866
      @kassidpandu866 3 месяца назад +1

      weee ndie huna Akili mbona simba wana kocha ni Mgunda na Matola wee ujui?

    • @modestusndunguru7183
      @modestusndunguru7183 3 месяца назад +1

      We umaeanza kujua mpira mwaka 2000.....lalale tu..wa 2000...nani alikuambia simba haina kocha...... halafu kocha ni mfanyakazi tu kama wengine hawezi ndio maana anaweza fukuzwa timu ikabaki...yeye hawezi kuwapangia waajiri...kama hawezi anasepa..dogo.. mpira usikaririshwe

    • @modestusndunguru7183
      @modestusndunguru7183 3 месяца назад +1

      Ulisikia wapi kocha akiajiriwa na wachezaji wasepe awaajiri yeye..nitajie timu ambayo duniani iliajiri kocha na wachezaji wote...alliowakuta wakafukuzwa..kununua wachezaji sio kazi ya kocha...ndio maana kuna kamati za usajiri za timu na wataalamu 😅😅😅..rudi shule

    • @deogratiouswipson8448
      @deogratiouswipson8448 3 месяца назад

      Chizi mwenda wazimu wew mgunda na matola n nan pale

    • @AllyAmini-ny9pv
      @AllyAmini-ny9pv 3 месяца назад +1

      Hata nabi mbona alisajiliwa kikosi na Hers