DULLA MAKABILA AHOJIWA POLISI SAA ZAIDI YA 7, AFUNGUKA BAADA YA KUTOKA, MANARA HAJAMFUNGULIA KESI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 23 янв 2024

Комментарии • 117

  • @Zenny89
    @Zenny89 5 месяцев назад +5

    Wasitudanganye…Mzungu kashtakiii🤣🤣 Jeshi la Polisi haliwezi kukuita Kama mtu hajasema kitu

  • @beachgizaarea5370
    @beachgizaarea5370 5 месяцев назад +7

    Mbona hii taarifa siielewi mimi au pekeangu jamani

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 5 месяцев назад +4

    ABDALLAH tuliza KIPAGO, mke ulikua nae ukashindwa kumlea, umemuacha na mwingine KAOA, hivyo kausha ..!

  • @ChenchiKing
    @ChenchiKing 5 месяцев назад +5

    Kumb Semaji Amekubal Vijemb Kisa Wimbo Eti Matumiz Mabaya Ya Mtandao Duuh.....

  • @Dapeopletz7
    @Dapeopletz7 5 месяцев назад +11

    Atakaekua wa mwisho kutoka Duniani asisahau kuzima Taa

  • @guccij6236
    @guccij6236 5 месяцев назад +3

    Mziki wa bongo bila kiki ni mgum sanaa

  • @user-xc7qj7ze7m
    @user-xc7qj7ze7m 5 месяцев назад +6

    Dulla tulia mwanangu maisha bado yanakuitaji kumbuka una mama na watoto wanakutegemea

    • @annamwakibinga527
      @annamwakibinga527 5 месяцев назад

      Dulla tulia fanya kazi achana na hayo mambo ya Manara

  • @adamlubawa1281
    @adamlubawa1281 5 месяцев назад +3

    DULLA MSHAMBA SANA UMEMWACHA MWANAMKE KWA TARAKA 3 SASA ALITARAJIA KUWA ASIOLEWE
    NI MPUUUZI KAMA KAWAIDA

    • @user-vo4lb5ik8h
      @user-vo4lb5ik8h 5 месяцев назад +1

      Nikweli jamani afanye mambo yake

  • @shokbarka7308
    @shokbarka7308 5 месяцев назад +2

    naona limbukeni wa mapenzi kwani kuachana vita binadamu mnapenda sifa kesho kwa Allah mutajibu kwasababu hata vitabu vinasema owaneni kwa wema achananeni kwa wema lakini muisalamu unapiga

  • @constanciapeter2497
    @constanciapeter2497 5 месяцев назад +5

    Nyimbo ina shida basi BASATA ndio wa kumwita Dulla

    • @judyngowi391
      @judyngowi391 5 месяцев назад

      Kweli wakumuita ni Basata sio polisi

  • @vincej9275
    @vincej9275 5 месяцев назад +1

    Bwana wakili kazi nzuri kwa kulinda Dulla asisema mengi ya kuleta shida baadaya. Very good job lawyer for protecting your client not to say incriminating things that can be used against him.

  • @comm611
    @comm611 5 месяцев назад +1

    Dulla ukisha mpa Tanaka 3 kwisha maneno yanini wimbo wama vumbo wanini umetupa wangine waka okota tuliya

  • @user-wx8vc8uy4p
    @user-wx8vc8uy4p 5 месяцев назад

    Dulla hajimanala kazingua sana kwann akakuxhitaki kisawimbo kama nidemu sameshachukua napia ww dulla mpotezee kama nimadem wapo kibao kikubw🙏utapata mwingine za idi yek napia naww haji manala ajiangalie sana

  • @aud548
    @aud548 5 месяцев назад +3

    Mwanasheria unashindwaje kumcontrol mteja wako aseee

  • @aishafrancis7714
    @aishafrancis7714 5 месяцев назад +3

    Manara manara manara nakuita mara3,umemchokoza mtoto wa uswazi subiri mwimbo mpya😂😂😂😂😂

    • @p.kasongot979
      @p.kasongot979 5 месяцев назад

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @Immahjr
    @Immahjr 5 месяцев назад +1

    Sasa jeshi la police na wimbo wapi na wapi, mbna manara mwenyew anawazungumzia watu vbaya haitwi au yeye yupo sawa😂😂

  • @RazakiMmalinda-rl3ej
    @RazakiMmalinda-rl3ej 5 месяцев назад

    King of singeli huna baya tajir🙌🙌✊

  • @peterkichochi7510
    @peterkichochi7510 5 месяцев назад

    Bora angesema magombo anayo yeye, tungemuona mkweli😅😅😅😅

  • @user-yu9hn2cq3y
    @user-yu9hn2cq3y 5 месяцев назад +1

    😂😂😂 nimefurahi kuona Dulla kaachiwa sisi watoto wa uswazi manara hutuwezi ..wapi makabila achia vitu tutembee navyo

  • @salmamakweta1198
    @salmamakweta1198 5 месяцев назад

    Wewe wakili mshamba sana, diamond mwenyewe anajibu maswali wewe hutaki huyo anderground ajibu,

  • @Aishajsaid
    @Aishajsaid 5 месяцев назад +13

    Dulla achia ngoma wamechokoza vita vyamawe nyumba yao yavigee leta ngoma mr makabila tupo nawew anavyotaka tunataka😂😂😂

    • @user-yu9hn2cq3y
      @user-yu9hn2cq3y 5 месяцев назад

      😂😂😂 yani tunataka alafu tunataka tena hatupoi makabila 🔥🔥🔥

    • @user-vr5bi8rb8y
      @user-vr5bi8rb8y 5 месяцев назад

      Mpige na kitu kizito Dullah,maan hiyo ni Cha mtoto😅😅😅wamelikoroga na walinywe

  • @user-kf6wy8gs1s
    @user-kf6wy8gs1s 5 месяцев назад

    Nyie mwanamke mnamjua au mnasikia tu nun'ga embe mnalijua au mnasikia tu

  • @ChejoBuchejo-mm8bb
    @ChejoBuchejo-mm8bb 5 месяцев назад

    Mbongo akiona mnyonge saizi ake pa kupatia ugali atakausha mpaka kooo,,,,amani ATA mzungumzaji ukute kwake hakuna ,,,,,wabongo bwana ndo Mana mvua hazinyeshi na zikinyesha ni balaa tupu

  • @user-ms1xg1fp4v
    @user-ms1xg1fp4v 5 месяцев назад +1

    Babu manara kachukua X wa msela sasa kazi anayo

  • @user-vx1pw5dq7k
    @user-vx1pw5dq7k 5 месяцев назад +1

    Uyu zaylisa uyu ndo chazo tunakusubli hio ndoa aifiki miez 6

  • @user-mw5xs2wx8n
    @user-mw5xs2wx8n 5 месяцев назад +1

    Bado hajasema mzungu yani mpk aseme na atasema tu

  • @salmamakweta1198
    @salmamakweta1198 5 месяцев назад

    We huwezi shindana na manara wewe kwa manara nikakitu kadogo sana

  • @marselinarweyemamu4034
    @marselinarweyemamu4034 5 месяцев назад +2

    Dulla oyeee

  • @user-gq6cz7mm3r
    @user-gq6cz7mm3r 5 месяцев назад

    Hapo haji anaringia ulemavu,mi naona ifike mahala polisi waangalie waalifu,haya wayaache tu na haki sawa hakuna cha mlemavu wala asiye mlemavu Manara ananyanyasa watu kwa kigezo

  • @ZACHARIACHARLES-gw8qi
    @ZACHARIACHARLES-gw8qi 5 месяцев назад

    Dulla tupia Ngoma ingine mwanangu

  • @PendoPaul-jq9kb
    @PendoPaul-jq9kb 5 месяцев назад

    Dullah firahiii weng tumeburudika

  • @SalimAbdallah-tg1yo
    @SalimAbdallah-tg1yo 5 месяцев назад +2

    Dula 5 mzungu 0😂😂😂

  • @OmanOman-bx5du
    @OmanOman-bx5du 5 месяцев назад +1

    Toa nyingine. Wwe msani. Unaimba unachojisikia. Isipokua. Usimtukane mtu

  • @priscakwannhamfungimipakam9231
    @priscakwannhamfungimipakam9231 5 месяцев назад

    Mzungu kashindwa ameamua kukimbilia police

  • @user-vw2ux5sh4x
    @user-vw2ux5sh4x 5 месяцев назад

    Nyimbo tuuu wamepanik pambana Dula tupo washabiki tutacheza mziki hujataja jina mtuuu

  • @Dulla_kite
    @Dulla_kite 5 месяцев назад

    🔥🔥🔥

  • @issayaibrahim8490
    @issayaibrahim8490 5 месяцев назад +1

    Mbona makabila na haji mnampa kick huyo mwanamke mwanaume kamili huwa hagombei mwanamke acheni hizo mnatutia aibu

  • @BONGOINMOTION
    @BONGOINMOTION 5 месяцев назад

    Kuna mwamba cjui kapigwa jicho

  • @baaliyanuun416
    @baaliyanuun416 5 месяцев назад

    Dulla achia furahi namba 2 kaka hiii fursa itumie vizur 😂😂😂

  • @PendoPaul-jq9kb
    @PendoPaul-jq9kb 5 месяцев назад

    Leta mlstar mwingine mm mwenyewe huu wimbo nimemuimbia x wang

  • @mwarabuofficial5241
    @mwarabuofficial5241 5 месяцев назад

    Huu mziki wa bongo kufika mbali tumuachie Mondy tu... Maana figisu ni nyingi mno! 😂

  • @yellowbemoda2312
    @yellowbemoda2312 5 месяцев назад

    Tafuteni hela vijana Mara kweli waku mnyanganya jamaa mwanamke?

  • @julianamasato5655
    @julianamasato5655 5 месяцев назад +1

    Dullah achia nyingine post nyingi nyingi mpaka wakojoe ham ziwaishe

  • @djhajiztz
    @djhajiztz 5 месяцев назад

    dullah

  • @oirishgervas6603
    @oirishgervas6603 5 месяцев назад

    Badala ya dulla nkamaten mimi dadeq nipo vzr oyaaaaa ohoooo

  • @nanceaidan6622
    @nanceaidan6622 5 месяцев назад

    Walimkimbiza haji afunge ndoa hakuna kesi yeyote hapo😂 imeisha hio

  • @jamilajamal1584
    @jamilajamal1584 5 месяцев назад +1

    Mmh🤔🤔

  • @djhajiztz
    @djhajiztz 5 месяцев назад

    Dula mchome kisu manara

  • @user-lg1gz5cr8f
    @user-lg1gz5cr8f 5 месяцев назад +1

    Yaaan mambo yakitoto kabisa manara siajali yake hivi uzwazi huyo manara hakuwah kuishi harafu ni age go

    • @salumjumaruhaga2513
      @salumjumaruhaga2513 5 месяцев назад +1

      Shida ni kwamba uyo jamaa alioa mke ambae sii taip yake halafu anaanza kumdhalilisha nwanamke uyo dula atulize mshono

  • @stellahwilfred5762
    @stellahwilfred5762 5 месяцев назад

    Wanahifia kwahiyo walimuweka ili wafunge ndoa kwa amani😅😅😅

  • @sniper93999
    @sniper93999 5 месяцев назад

    yaan nafkiri ni kile kipande kinachosema (MZUNGU) ndio imeleta shida

  • @user-tm3jl4yx9f
    @user-tm3jl4yx9f 5 месяцев назад +1

    Dulla kiki hzo

  • @fatmaalnabhani3609
    @fatmaalnabhani3609 5 месяцев назад +1

    Dula baba si kwa macheni hayo kwenda nayo polisi 😂😂 na yule gorilla ni wa nini nae?

  • @user-kf6wy8gs1s
    @user-kf6wy8gs1s 5 месяцев назад

    Mwanamke mwenyewe yuko wapi

  • @user-wx8vc8uy4p
    @user-wx8vc8uy4p 5 месяцев назад

    Dulla tunajua kuwa hajimanala ndo aliekushtaki kisa ule wimbo fulah kwann usiwe muwaz

  • @suleimanrashid3918
    @suleimanrashid3918 5 месяцев назад

    Dulla sisi mabaharia wenzio tupo na ww mpaka fungungwe hatukuachi mkono baharia wetu shulia apo apo kaka tupo pamoja

  • @Az__2012
    @Az__2012 5 месяцев назад

    Mzungu snitch tu

  • @rerisamba
    @rerisamba 5 месяцев назад

    Aoe huyo Masha love basi aachane na Zaiylisa

  • @user-ll9dw3wy3m
    @user-ll9dw3wy3m 5 месяцев назад

    goma tamu lile achana na mbawa zk ss tunangoja video ss

  • @SefuHabibu-sn8cx
    @SefuHabibu-sn8cx 5 месяцев назад

    Huyu jamaa anaongea vitu havieleweki kamba wimbo wenyewe basata polisi wanausikaje kama uje ishu ya jinai chini ya kapeti tutayajua tu

  • @samirelhiad1243
    @samirelhiad1243 5 месяцев назад +2

    Ukiachwa achika dogo acha Haji ale nchi na twiga wake kwa amani coz unamyima raha kwa post zako za kishamba shamba🤨🤨🤨

  • @shabanikitula645
    @shabanikitula645 5 месяцев назад

    Manara kachukua genda eka anahangaika limwanamke lenyewe limezeeka kwa p2

  • @marselinarweyemamu4034
    @marselinarweyemamu4034 5 месяцев назад +1

    Mananla anajiona Mungu mtu

  • @othumanomari1589
    @othumanomari1589 5 месяцев назад

    Bagen bagen police

  • @user-tm3jl4yx9f
    @user-tm3jl4yx9f 5 месяцев назад +1

    Hana lolote njaa inamsumbua

  • @zaharanakim289
    @zaharanakim289 5 месяцев назад +1

    Manara mma wewe

  • @marrialmary3510
    @marrialmary3510 5 месяцев назад

    😂😂😂😂😂nimecheka mieee

  • @user-ie8ov2yn5b
    @user-ie8ov2yn5b 5 месяцев назад

    Huyo mzungu wa bandia aache sifa

  • @sniper93999
    @sniper93999 5 месяцев назад

    huyu Wakili hamna kitu halaf pia Ethics hamna 😂

  • @user-xi6le4lg9b
    @user-xi6le4lg9b 5 месяцев назад

    Dula weka wimbo mwingine tena,,,Hadi wamuite na mzungu,,,mzungu kachokoza penyewe sasa,,Dulla wewe ni mwambaaa sitegemei kuwa utashindwa na mzungu,,halafu mzungu ameona kwenye mpira haongelewi sasa kaamua kuingia kwenye madanga

  • @user-ds6me1eh7n
    @user-ds6me1eh7n 5 месяцев назад

    Bongo bana😂😂😂

  • @basiaarsh3835
    @basiaarsh3835 5 месяцев назад

    Hakuna wakili hapa

  • @user-mx5dc3xx3o
    @user-mx5dc3xx3o 5 месяцев назад

    Oya dulla embu achana na huyo twiga wa mbagala.... Unazidi kumpa kiki piga kimya tu kama vp fanya mishe zako....

  • @bonabonala5559
    @bonabonala5559 5 месяцев назад

    dulla huna akili kama dudu baya akili zenu zimejaa ujinga wanawake wanawasumbua

  • @mohamedibakari5065
    @mohamedibakari5065 5 месяцев назад

    Tupo naww dula achia ngoma watoto wa uswazi tunakuunga mkono

  • @BakarySalim-xn7po
    @BakarySalim-xn7po 5 месяцев назад

    Manara ana nguvu sana

  • @katabaroonlinetv9688
    @katabaroonlinetv9688 5 месяцев назад +1

    Jamani hivi Tanzania kuna mzungu 😂😂😂😂

  • @user-sz7xu9ut3m
    @user-sz7xu9ut3m 5 месяцев назад

    Makabila washa moto wamejichanganya hao

  • @djhajiztz
    @djhajiztz 5 месяцев назад

    furahi

  • @MtumbaOG
    @MtumbaOG 5 месяцев назад

    Picha ndo ilileta shida aliyoipost

  • @fatumakiwera7145
    @fatumakiwera7145 5 месяцев назад +4

    Nyie mnaoungana na dula hamjielewi, yy kaachwa akubal kuachika tu, watu wasile maisha yao kisa yy, alitumwa na Nan atoe talaka tatu aende uko

    • @najmasalim-rg6ow
      @najmasalim-rg6ow 5 месяцев назад

      We ndo zamwamwa moto wa Hamdallah! Jitu zima kaomba huruma za waja mwenyew tuache bhan tufurahi 😂sio yy wakwanza kumwimba x ake! Hamdallah ni msanii mwacheni aende na upepo sio huyo ni Hamdallah sio Abdallah.tuacheni tufurahi bhan

    • @fatumakiwera7145
      @fatumakiwera7145 5 месяцев назад

      @@najmasalim-rg6ow zamwamwa ww na huyo unaemtetea nenda akakuoe ww Basi ili uimbe muimbe vizur

    • @alexsuleiman3795
      @alexsuleiman3795 5 месяцев назад

      acha kumtetea mzungu wako

    • @najmasalim-rg6ow
      @najmasalim-rg6ow 5 месяцев назад

      @@fatumakiwera7145 we fatuu! Wahuni atuoi sie nimwendo wa nyimbo tuu😂😂 mshaurin Babu akitulize

  • @fadhilifantastic5032
    @fadhilifantastic5032 5 месяцев назад

    Isingekuwa Wakili hapo.. Dullah alikuwa atengeneze jinai nyingine 😂😂

  • @user-fi6po8is4k
    @user-fi6po8is4k 5 месяцев назад

    Manara ni mtu mzima halafu ule ni wimbo hakutajwa jina

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l 5 месяцев назад +1

    lusha iyo picha ya video ya yule mwanamke

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 5 месяцев назад +1

    Ujinga mtupu

  • @callicevallice7383
    @callicevallice7383 5 месяцев назад

    Haji aache ujinga, vita za mitandaoni zinaendaje polisi.

  • @guccij6236
    @guccij6236 5 месяцев назад +5

    Mziki wa bongo bila kiki ni mgum sanaa

  • @jindamjukuu8440
    @jindamjukuu8440 5 месяцев назад

    Kwani polisi wamegeuka basata? Acheni miyayusho huyu kashitakiwa na manara Ila imesemekana kakatazwa kusema kua manara kamshitaki iko hivi dulla anamnyima Raha manara ktk ndoa yke nimemaliza

    • @stellamartin5106
      @stellamartin5106 5 месяцев назад +1

      Kelele za chura azimzuhii tembo kunywa maji