naona limbukeni wa mapenzi kwani kuachana vita binadamu mnapenda sifa kesho kwa Allah mutajibu kwasababu hata vitabu vinasema owaneni kwa wema achananeni kwa wema lakini muisalamu unapiga
Bwana wakili kazi nzuri kwa kulinda Dulla asisema mengi ya kuleta shida baadaya. Very good job lawyer for protecting your client not to say incriminating things that can be used against him.
Dulla hajimanala kazingua sana kwann akakuxhitaki kisawimbo kama nidemu sameshachukua napia ww dulla mpotezee kama nimadem wapo kibao kikubw🙏utapata mwingine za idi yek napia naww haji manala ajiangalie sana
Mbongo akiona mnyonge saizi ake pa kupatia ugali atakausha mpaka kooo,,,,amani ATA mzungumzaji ukute kwake hakuna ,,,,,wabongo bwana ndo Mana mvua hazinyeshi na zikinyesha ni balaa tupu
Hapo haji anaringia ulemavu,mi naona ifike mahala polisi waangalie waalifu,haya wayaache tu na haki sawa hakuna cha mlemavu wala asiye mlemavu Manara ananyanyasa watu kwa kigezo
Dula weka wimbo mwingine tena,,,Hadi wamuite na mzungu,,,mzungu kachokoza penyewe sasa,,Dulla wewe ni mwambaaa sitegemei kuwa utashindwa na mzungu,,halafu mzungu ameona kwenye mpira haongelewi sasa kaamua kuingia kwenye madanga
Wasitudanganye…Mzungu kashtakiii🤣🤣 Jeshi la Polisi haliwezi kukuita Kama mtu hajasema kitu
Mbona hii taarifa siielewi mimi au pekeangu jamani
ABDALLAH tuliza KIPAGO, mke ulikua nae ukashindwa kumlea, umemuacha na mwingine KAOA, hivyo kausha ..!
Kumb Semaji Amekubal Vijemb Kisa Wimbo Eti Matumiz Mabaya Ya Mtandao Duuh.....
Atakaekua wa mwisho kutoka Duniani asisahau kuzima Taa
We jaamaa umenichekesha sanaa😂😂😂
@@user-io6vz6ub9rmim mwenyewe nimecheka kwa sauti kweli
😂
😂
😂😂😂 mwehu wew
Mziki wa bongo bila kiki ni mgum sanaa
Dulla tulia mwanangu maisha bado yanakuitaji kumbuka una mama na watoto wanakutegemea
Dulla tulia fanya kazi achana na hayo mambo ya Manara
DULLA MSHAMBA SANA UMEMWACHA MWANAMKE KWA TARAKA 3 SASA ALITARAJIA KUWA ASIOLEWE
NI MPUUUZI KAMA KAWAIDA
Nikweli jamani afanye mambo yake
naona limbukeni wa mapenzi kwani kuachana vita binadamu mnapenda sifa kesho kwa Allah mutajibu kwasababu hata vitabu vinasema owaneni kwa wema achananeni kwa wema lakini muisalamu unapiga
Nyimbo ina shida basi BASATA ndio wa kumwita Dulla
Kweli wakumuita ni Basata sio polisi
Bwana wakili kazi nzuri kwa kulinda Dulla asisema mengi ya kuleta shida baadaya. Very good job lawyer for protecting your client not to say incriminating things that can be used against him.
Kabisa Dulla alishapanic
Yah Bora alipo muondoa kasha paniki
Dulla ukisha mpa Tanaka 3 kwisha maneno yanini wimbo wama vumbo wanini umetupa wangine waka okota tuliya
Dulla hajimanala kazingua sana kwann akakuxhitaki kisawimbo kama nidemu sameshachukua napia ww dulla mpotezee kama nimadem wapo kibao kikubw🙏utapata mwingine za idi yek napia naww haji manala ajiangalie sana
Mwanasheria unashindwaje kumcontrol mteja wako aseee
Manara manara manara nakuita mara3,umemchokoza mtoto wa uswazi subiri mwimbo mpya😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Sasa jeshi la police na wimbo wapi na wapi, mbna manara mwenyew anawazungumzia watu vbaya haitwi au yeye yupo sawa😂😂
King of singeli huna baya tajir🙌🙌✊
Bora angesema magombo anayo yeye, tungemuona mkweli😅😅😅😅
😂😂😂 nimefurahi kuona Dulla kaachiwa sisi watoto wa uswazi manara hutuwezi ..wapi makabila achia vitu tutembee navyo
Wewe wakili mshamba sana, diamond mwenyewe anajibu maswali wewe hutaki huyo anderground ajibu,
Dulla achia ngoma wamechokoza vita vyamawe nyumba yao yavigee leta ngoma mr makabila tupo nawew anavyotaka tunataka😂😂😂
😂😂😂 yani tunataka alafu tunataka tena hatupoi makabila 🔥🔥🔥
Mpige na kitu kizito Dullah,maan hiyo ni Cha mtoto😅😅😅wamelikoroga na walinywe
Nyie mwanamke mnamjua au mnasikia tu nun'ga embe mnalijua au mnasikia tu
Mbongo akiona mnyonge saizi ake pa kupatia ugali atakausha mpaka kooo,,,,amani ATA mzungumzaji ukute kwake hakuna ,,,,,wabongo bwana ndo Mana mvua hazinyeshi na zikinyesha ni balaa tupu
Babu manara kachukua X wa msela sasa kazi anayo
Uyu zaylisa uyu ndo chazo tunakusubli hio ndoa aifiki miez 6
Bado hajasema mzungu yani mpk aseme na atasema tu
We huwezi shindana na manara wewe kwa manara nikakitu kadogo sana
Dulla oyeee
Hapo haji anaringia ulemavu,mi naona ifike mahala polisi waangalie waalifu,haya wayaache tu na haki sawa hakuna cha mlemavu wala asiye mlemavu Manara ananyanyasa watu kwa kigezo
Dulla tupia Ngoma ingine mwanangu
Dullah firahiii weng tumeburudika
Dula 5 mzungu 0😂😂😂
Toa nyingine. Wwe msani. Unaimba unachojisikia. Isipokua. Usimtukane mtu
Mzungu kashindwa ameamua kukimbilia police
Nyimbo tuuu wamepanik pambana Dula tupo washabiki tutacheza mziki hujataja jina mtuuu
🔥🔥🔥
Mbona makabila na haji mnampa kick huyo mwanamke mwanaume kamili huwa hagombei mwanamke acheni hizo mnatutia aibu
Kuna mwamba cjui kapigwa jicho
Dulla achia furahi namba 2 kaka hiii fursa itumie vizur 😂😂😂
Leta mlstar mwingine mm mwenyewe huu wimbo nimemuimbia x wang
Huu mziki wa bongo kufika mbali tumuachie Mondy tu... Maana figisu ni nyingi mno! 😂
Tafuteni hela vijana Mara kweli waku mnyanganya jamaa mwanamke?
Dullah achia nyingine post nyingi nyingi mpaka wakojoe ham ziwaishe
dullah
Badala ya dulla nkamaten mimi dadeq nipo vzr oyaaaaa ohoooo
Walimkimbiza haji afunge ndoa hakuna kesi yeyote hapo😂 imeisha hio
Mmh🤔🤔
Dula mchome kisu manara
Yaaan mambo yakitoto kabisa manara siajali yake hivi uzwazi huyo manara hakuwah kuishi harafu ni age go
Shida ni kwamba uyo jamaa alioa mke ambae sii taip yake halafu anaanza kumdhalilisha nwanamke uyo dula atulize mshono
Wanahifia kwahiyo walimuweka ili wafunge ndoa kwa amani😅😅😅
yaan nafkiri ni kile kipande kinachosema (MZUNGU) ndio imeleta shida
Dulla kiki hzo
Dula baba si kwa macheni hayo kwenda nayo polisi 😂😂 na yule gorilla ni wa nini nae?
Mwanamke mwenyewe yuko wapi
Dulla tunajua kuwa hajimanala ndo aliekushtaki kisa ule wimbo fulah kwann usiwe muwaz
Dulla sisi mabaharia wenzio tupo na ww mpaka fungungwe hatukuachi mkono baharia wetu shulia apo apo kaka tupo pamoja
Mzungu snitch tu
Aoe huyo Masha love basi aachane na Zaiylisa
goma tamu lile achana na mbawa zk ss tunangoja video ss
Huyu jamaa anaongea vitu havieleweki kamba wimbo wenyewe basata polisi wanausikaje kama uje ishu ya jinai chini ya kapeti tutayajua tu
Ukiachwa achika dogo acha Haji ale nchi na twiga wake kwa amani coz unamyima raha kwa post zako za kishamba shamba🤨🤨🤨
Jamani nikweli
Manara kachukua genda eka anahangaika limwanamke lenyewe limezeeka kwa p2
Mananla anajiona Mungu mtu
Bagen bagen police
Hana lolote njaa inamsumbua
Manara mma wewe
😂😂😂😂😂nimecheka mieee
Huyo mzungu wa bandia aache sifa
huyu Wakili hamna kitu halaf pia Ethics hamna 😂
Dula weka wimbo mwingine tena,,,Hadi wamuite na mzungu,,,mzungu kachokoza penyewe sasa,,Dulla wewe ni mwambaaa sitegemei kuwa utashindwa na mzungu,,halafu mzungu ameona kwenye mpira haongelewi sasa kaamua kuingia kwenye madanga
Bongo bana😂😂😂
Hakuna wakili hapa
Oya dulla embu achana na huyo twiga wa mbagala.... Unazidi kumpa kiki piga kimya tu kama vp fanya mishe zako....
dulla huna akili kama dudu baya akili zenu zimejaa ujinga wanawake wanawasumbua
Tupo naww dula achia ngoma watoto wa uswazi tunakuunga mkono
Manara ana nguvu sana
Jamani hivi Tanzania kuna mzungu 😂😂😂😂
Yupo bongo zozo
Makabila washa moto wamejichanganya hao
furahi
Picha ndo ilileta shida aliyoipost
Nyie mnaoungana na dula hamjielewi, yy kaachwa akubal kuachika tu, watu wasile maisha yao kisa yy, alitumwa na Nan atoe talaka tatu aende uko
We ndo zamwamwa moto wa Hamdallah! Jitu zima kaomba huruma za waja mwenyew tuache bhan tufurahi 😂sio yy wakwanza kumwimba x ake! Hamdallah ni msanii mwacheni aende na upepo sio huyo ni Hamdallah sio Abdallah.tuacheni tufurahi bhan
@@najmasalim-rg6ow zamwamwa ww na huyo unaemtetea nenda akakuoe ww Basi ili uimbe muimbe vizur
acha kumtetea mzungu wako
@@fatumakiwera7145 we fatuu! Wahuni atuoi sie nimwendo wa nyimbo tuu😂😂 mshaurin Babu akitulize
Isingekuwa Wakili hapo.. Dullah alikuwa atengeneze jinai nyingine 😂😂
😂😂😂
Huyo mzungu anasemaje ana jipya kwan mbaya tu
Manara ni mtu mzima halafu ule ni wimbo hakutajwa jina
Anazingua mnoo
lusha iyo picha ya video ya yule mwanamke
Ujinga mtupu
Haji aache ujinga, vita za mitandaoni zinaendaje polisi.
Mziki wa bongo bila kiki ni mgum sanaa
Kwani polisi wamegeuka basata? Acheni miyayusho huyu kashitakiwa na manara Ila imesemekana kakatazwa kusema kua manara kamshitaki iko hivi dulla anamnyima Raha manara ktk ndoa yke nimemaliza
Kelele za chura azimzuhii tembo kunywa maji