NAMPENDA Sana kaka haji BUGATIIIIII mtoto WA kariakooo. Mwanaume hyu hapa. Wanaumee eeee hyu ndo gentleman ANAEJUA KUTUNZA MKE. NASEMA MJIFUNZEEE TUKEREEEE HAJI TUKEREEEE 😂😂😂😂
Manara umekuwa mpumbavu Sana alafu we mzee ujue au ndio unazeeka vibaya? Yani siamini mtu mzima mzee Kama wewe kulumbana namtoto mdogo Kama dula umeshapata tuliza komwe mzee
All of all hakuna mtu asiyependa pesa sema tu hatujapata pa kuzipatia mwenzetu Zay kapata pa kuzipata papala zetu hazina mashiko kula raha Zay mie mwenyewe nakutamania
Kwakweli kuna watu na viatu haya zaii kaona hatujapata umaarufu wa mitandaoni weziwe walivanjia hivo saii wako wapi zaii nakuonea huruma sijui nikwambie utakuja kuchekwa hadi na kuku km umefuata pesa hiyo pesa sio kitu.mbele ya utu zai zai zaii tamaa mbele mauti njuma.
Kaka yangu Haji Hivi unaoa mke wako au mke wa.mitandaoni.Dulla aliwahi kuwa mume halali wa Zari hawezi kumchafua Kwa vyovyote vile .My Dear Zai Dulla hawezi kuondoka kwenye historia ya maisha yako hata kama uliishi nae muda mfupi Sana bado kuna wakati alikuwa na mema ya kwake ndio maana ukakubali kumvulia nguo huyo anaekuoa sasa naye ni binadamu anamapungufu yake .Hao waliotoka sio wabaya Sana wala wewe sio mwema Sana .Muhimu mfundishe Haji kunyamaza kama mnania kweli ya kuwa mume na mke labda kama mnafanya movie haina shida .
Mamalako nguruwe ni wewe na familia yko uwenaheshima na watu kama huyo dulla angekua rijali ndoa ngapi zimemshinda , mfiraji mkubwa.manara kuchukua mzigo imekua mwanzo wa fitna 😒😒😒😒@@p.kasongot979
NAMPENDA SANA HAJI ANAJUA KULEA MWANAMKE❤❤ ANAJIAMINI. 😂😂WAKEREWAKEREE HAJI, BNADAM WAWEZWA NA KIFO TU. UKIOA SHIDA, UKIWA NA HELA TABU. FANYA UNAYOJSKIA KAKA
Uzee nao unawehua,tumsamehe bule😂😂 yani kwa umri wake na anavyojitapa utazani ndo katolewa bikra ya barehe vile 😅😅... uckute kitandani uyu analia ka kunguru kwaaaa kwaaaa🤣🤣 weee demu kashapelekwa Reba na kidume huko mwenzako unabweka bweka.. we na dulla wote mmepumulia kifua zaylissa 😅
Mm hayo mahusiano haya nihusu ila kunakitu nimegundua Diamond hawez kuwa na rafiki fala fala Haji ana akili flan iv mpaka uielewe ningum Hongera SIMBA lama SIMBA dangote
❤❤❤Uyo mdada anampenda saana haji❤❤❤❤❤❤❤❤❤ mungu awarinde❤❤❤🎉
Super ster wakwana kumsaidia nakuomba kaka manara msaidie dula makabila mdogo wako.mengine hayo yawekeni pembeni msiwe maadui muwe marafiki🙏🤲🤲
Mimi uwa simjui huyu kaka likini akipenda uwa anafanyia mwanamke awe nafuraha mashallah congratulations kwake
Anajua ku tunza kwa kweli
Wote watulieeee Sasa! Mungu awatunze mpate watoto
Kweli mzee hazeeki maini
Pumbavu kabsa
Ujinga huu kazi nikutaja watu tu siuendelee namaisha Yako
Sasa mtu asiimbe mbna wajishuku
Mhhhhh uyu kweliii mzunguu
Ila Zay mzuri màa Shaa Allah
NAMPENDA Sana kaka haji BUGATIIIIII mtoto WA kariakooo. Mwanaume hyu hapa. Wanaumee eeee hyu ndo gentleman ANAEJUA KUTUNZA MKE. NASEMA MJIFUNZEEE
TUKEREEEE HAJI TUKEREEEE 😂😂😂😂
Huyu Ana royal wedding kila mwaka 😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂
Tumechokaaaaaaaaaaaaaa🙌
Kalale
Haikuhusu
Pole kwa kuzimia Dubai, Rushyana umemkomesha manara mpaka amezimia ni hatareee
Tuombe mungu huyu mtoto wa kike asije kuzingua mbele ya safari maana mambo anayofanyiwa ni makubwa mnooo
Fanya babaa nkuaminia......❤❤❤❤❤
Mpe Dulla maua Yake kakutungia wimbo ulitoa idea mpe50m
😂😂😂😂😂😂
Eti mara zai hayupo romantic na mahusiano aya nenda ww uwe romantic waache wanajua wao
So true Haji Manara, kuwa maarufu halafu huna hela ni upuuzi.
Ni muhimu wasanii wakaelewa thamani yao na kutajirika nayo.
Mzee kijana huyo kuoa na kuacha kila siku😂😂😂
HILOOOO dume Zima wivu
@@mbanga6759 wivu wa kumsema mtu anae oa na kuacha?
@@mbanga6759 nione wivu kwa kahaba hilo lililo olewa likaachika😂😂😂
Congratulations for that
Mungu awasaidie jmn🙏🏾🙏🏾
Mungu awasaidie ❤❤
Nawapenda nampenda manara anavyojikubali
Aishukuru yanga na simba
@@RiddoRiddo-jj1bxni akili yake na nikazi yake
❤❤❤
Kwa kweli kabisa
Uuuweeeeh uuuweeeeh the white Guy has said ...dulla in trouble 🔥🔥
Zai anaonekana kabisa hayupo romantic na hayo mahusiano,amefata hela na umaarufu.
That’s true 😂
Mmmmh wacheni roho mbaya mtoto ashanza kuleta shavu😅😂
Kwani hamuoni ashanza kunona
Lazima anone c anayapata anayoyahitaji? Tunachokitaka awe na mapenz ya kweli acje akamvuruga baba wa watu .mwenzake anajimaliza kabisa
Acha umbea hayakuusu fanya yakwako acha yeye zai afate pesa weww kafate romantic
Manara umekuwa mpumbavu Sana alafu we mzee ujue au ndio unazeeka vibaya? Yani siamini mtu mzima mzee Kama wewe kulumbana namtoto mdogo Kama dula umeshapata tuliza komwe mzee
Mara unajua kutafuta hela,Ila ni mshamba wa mahusiano!!!
Hatafuti Hela anapewa Hela na kunitumia. Huyu SI public figure ni rubish pit
Umeongea point sana, tumieni fursa kwa majina yenu
All of all hakuna mtu asiyependa pesa sema tu hatujapata pa kuzipatia mwenzetu Zay kapata pa kuzipata papala zetu hazina mashiko kula raha Zay mie mwenyewe nakutamania
Hovyooo kabisa unaakili za maisha ila huna akili ya mahusiano mtumzima
Mtu mzima kakuzaliya Nani wewe nawivu wako
Mwacheni, Kila mtu ana Raha zake, enjoy haji na your wife zai
Mzee Roho yako ipo Simba milele daima!
Tuwe wakweli huyu jamaa angekuwa hana pesa huyu zai ange mpenda kweli😂😂😂😂😂
Haaaha🤣🤣
Zai henga😊❤
Acha izo mambo umesoma dini alakin unapenda sifa sn soo maisha hayo badilika
Kwakweli kuna watu na viatu haya zaii kaona hatujapata umaarufu wa mitandaoni weziwe walivanjia hivo saii wako wapi zaii nakuonea huruma sijui nikwambie utakuja kuchekwa hadi na kuku km umefuata pesa hiyo pesa sio kitu.mbele ya utu zai zai zaii tamaa mbele mauti njuma.
Dula Hana Adabu
First one from kwenye give my like 50
Wenye kuomba like saahii mwaziomba kizungu 😂😂😂😂
Dream on dreamer
Huyu jamaa anamatatizo sana
Tena sana medulla oblongata kichwani haiko vzr, mtu mzima hovyooooo
Bado anaulumbukeni manara 😂
Mungu hamfichi mnafki manara utapigwa na kitu kizito na huyo zailisa wee ngoja nimekaa pale hapo kafata hela tuu
Kaka yangu Haji Hivi unaoa mke wako au mke wa.mitandaoni.Dulla aliwahi kuwa mume halali wa Zari hawezi kumchafua Kwa vyovyote vile .My Dear Zai Dulla hawezi kuondoka kwenye historia ya maisha yako hata kama uliishi nae muda mfupi Sana bado kuna wakati alikuwa na mema ya kwake ndio maana ukakubali kumvulia nguo huyo anaekuoa sasa naye ni binadamu anamapungufu yake .Hao waliotoka sio wabaya Sana wala wewe sio mwema Sana .Muhimu mfundishe Haji kunyamaza kama mnania kweli ya kuwa mume na mke labda kama mnafanya movie haina shida .
Ila manara ni Rais wa Harusi kashachukua taji tayari 😂😂
Manara atajuta nipo pareeeeee 😢mtaikumbuka hii txt anatamba buree
Demu mwenyewe yupo Tinder😅
Mwacheni mwanangu jamani hana baya
Sasa hapa kama ndoa imepita😂
Ukimwangalia Zai hisia zake hazipo kabisaa hapo zipo Kwa pita huku kitazamo wangu.hapo ni Hela tu kafata na umaarufu.
Ifike wakat dada zetu muwe na aibu na hofu ya Mungu APA kadada umefuata mkwanja akuna upendo apo
Body language inaonyesha. Mdada gani hawezi ishi hata kwa mwezi bila mwanamme 😅
Ndo mana alifungiwa
Zai Kam nyoka walh 😂😂uwii
Papa misifa 😂
Piga maisha mwanangu wakati wako raha tele tabu ya nn. Halfu mnamsakama mlitaka asioe huyo kazaliwa pwani mbona kawaida tu.
Makelele ya nini? Si aoe tu. Kujibishana na watoto wadogo ndo nn
Nipo bega kwa bega na manara mpaka mapenzi yatakapomuua😂😂
😂😂😂😂😂😂kufagary anakufa dereva ataryyyyyyy🙌🙌🙌🙌
@@aaminaasljbgbvf745 mpaka yamuue nipo nyuma yake😂
Manara huwa anajiamini balaa
Mdogo wangu zailisa naomba utulie kwauyo mbaba wanaume wanaita utulivu
Ongeya madogo mzee usha acika marangapi usha pitia ndoa ngapi tusha kuzoea
Huyu albino amajikutaga Jay Z .nguruwe tuu😢😢😢😂😂😂
Mamalako nguruwe ni wewe na familia yko uwenaheshima na watu kama huyo dulla angekua rijali ndoa ngapi zimemshinda , mfiraji mkubwa.manara kuchukua mzigo imekua mwanzo wa fitna 😒😒😒😒@@p.kasongot979
NAMPENDA SANA HAJI
ANAJUA KULEA MWANAMKE❤❤
ANAJIAMINI. 😂😂WAKEREWAKEREE HAJI, BNADAM WAWEZWA NA KIFO TU. UKIOA SHIDA, UKIWA NA HELA TABU. FANYA UNAYOJSKIA KAKA
Haukawiag kuzimia mzungu😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Usitishiwe na maneno ya watu manara anaejileta mdunge kijiti😂😂😂😂😂
Uzee nao unawehua,tumsamehe bule😂😂 yani kwa umri wake na anavyojitapa utazani ndo katolewa bikra ya barehe vile 😅😅... uckute kitandani uyu analia ka kunguru kwaaaa kwaaaa🤣🤣 weee demu kashapelekwa Reba na kidume huko mwenzako unabweka bweka.. we na dulla wote mmepumulia kifua zaylissa 😅
Mbona mapovu yakutoka😂😂😂😂
@@mjaweathman6519 cpendi kujitapa kumezidi,yani demu kashapigishwa misambasoti na wahuni kibao tu..yeye anatutambia
Ety😂😂😂😂😂😂
Mbona kidevu cha zay ka kimepinda upande ivi jamani au ni macho yangu ila sio kwa ubaya 😢
Jaman u romantic huo ukoje Sacha wapendane Tu namungu awadumishe
Uyu mwanaamke watu wataendelea kumshona we endelea kupiga polojo😅
Mshamba halafu unajifanya mtt wa kariakoo
Manara tulia na mke wako zayilissa yangine tuachie mungu
KUMBE MANARA PUMBAVU KIASI HIKI ?? UNGENYAMAZA. HAPO KUWONGEYA UMETOWA POINT3
Aji anajua kutuza mke jamani zai kapendeza jamani
Eti mm siwakuchezea nguchiru ww
Zaiylisa basi umlee mzee wawatu usimgeuge baba wawatu wewe
Kweli amtunze maskn kaka wa watu
Mm hayo mahusiano haya nihusu ila kunakitu nimegundua Diamond hawez kuwa na rafiki fala fala Haji ana akili flan iv mpaka uielewe ningum Hongera SIMBA lama SIMBA dangote
😂😂 bongo sihami ntasafiri ntaenda inchi za watu mawazo yakinizid narud home tz nakuja kukuta vitu kama hivi. Unyama sana. 😂😂😂 Dah we Noma kweli
Kadi jamani
Manara anaakili sana na mwanamke atakae weza kudumu nae asiwe mwanamke wa show off bila kuchakarika,
Iwe ya mwisho sas zay kuolewa dah😁
Yani watu mapovu yanawatokaaa😂...Mwenzenu anaingizaaa pesaaa huyo msioneee anajechetua hp
Alhajj feki huyu,ufala tu ndio wake,ujinga ujinga tu mshamba wa mapenzi we
Lione
H😂😂😂
Mmmh ety Boyfriend, kumbe bado wew ni Boyfriend 😅😅😅😅 iyo ni uongooo bhn😂😂😂
Proud man
Ww manara ushakuwa mtu mzima masherehe ya nn ww ndo umeenda Makkah ww
Bugati nikweli ww brand yako unaitumia uzur na mafanikio yako yanaonekana kwamaana sasa hauna njaa kabisa tunakuona unavaa nguo mzuri unatembelea gari zuri. hongera kwa kutumia fursa vizur
Manara mshamba wa k ww
Sana mpuzi
Kakadishe fery mombasa ufanye hio wedding yenu kama uko vizur hajj
USTADH MANARA HUYO NI MCHUMBA AU 😢MVISHE MTANDIO ATAPENDEZA VIZURI
Muwache kijana wawatu unamtishia nn wakati site maiti watarajiwa kaatulia achana na kijana wawatu
Haya fanya tena sherehe Hao walikuja juzi wakakuchangia pia hawatakuja juzi GSM wamekukimbia😂😂
Manara kawanyosha mpaka mnavirugwa akili mbwaa nyie😂😂😂
@@uwimana6533 kajinyoosha yeye ana la kujibu mbele ya Allah Na yeye uzuri alijua hilo
Zai ni njaa tu ndo zinamsumbuwa tu hana mapezi na kaka etu anaonekana tu
Wanaume watanzania achaninysmaze maana kaka yangu pia nimwanaume pumbavu
Manara mbinafs kajiwekea maji ya kunywa pekeyake
Mmetuchosha
Ufala tu mzee hata heshim huna
Makabila angekua naheshima ndoa imemshinda. Acha manara audumie mzigo ,😂😂
Mzungu aoa kila mwaka hana adabu
@@officialmichemiche1869 mzungu anapesa dulla makabila ndoa imemshinda kisa pesa 😀😀😀😀
Mwenyewe mke anajiona malkia 😂😂maviakuku twasubiry mabom tuuusisi😂😂😂
Mzigo umechukulia , wivu wanini 😂😂
Njaa inatabu sanaa kitamkuta kitu
@@farahali6041 ndokusubirie hata dulla makabila, ndoa imemshinda 😀😀😀
Sio vya kupiga hizo ni pesa na maneno mengi IGA kutafuta fedha
Huyu jamaa anajiona kila kitu anajua
Mjinga sana
Sana hana adabu jitu zima hovyo
@@officialmichemiche1869 kabisa nashindwa kumuelewa
em muachani bwana kila mtu namoyo wake ata wee
ukipenda lazma uwe chizi
Anamsema wemasepetu kwenye huo umaarufu au?
Nimewahi akitoka zaylisa 😂😂
😂
Wewe umeshinda ushajiwahia 😂😂😮😮
Zai anatabasamu kila Bugati anaposisitiza kuwa royal wedding itakiwa kubwa sana kuliko ile ya kuvishana pete
Tumechoka ujinga wa watu Hawa. Nilikijua tu huyu ni mlozi jamii Islam kutambia ulozi ni dhambi mbaya mno, muogope Allah kijana
Watu warongo jama ni moyo wa mtu ni ki chaka
NIKUAMBIE TUU KITU UYO MWANAMKE AYUPO APO KABISA ANA MUWAZA BEBY WAKE WEWE JIMALIZE AKIPATA ANACHOKITAKA ANASEPA ZAKE
Unawezah mtu mzima lakini ukawa huna akili unalana ya mkeo wa kwanza kamuombe msaamaha mkeo ili udumu kwenye ndoa mbwa wewe