HAJI MANARA AMPA MAKAVU LIVE DULLA MAKABILA "MIMI SIO WAKUNICHEZEA .

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • #bongo24 #manara #dullamakabila

Комментарии • 179

  • @salhamrishoi4943
    @salhamrishoi4943 8 месяцев назад +1

    ❤❤❤Uyo mdada anampenda saana haji❤❤❤❤❤❤❤❤❤ mungu awarinde❤❤❤🎉

  • @JumaShimende
    @JumaShimende 8 месяцев назад +3

    Super ster wakwana kumsaidia nakuomba kaka manara msaidie dula makabila mdogo wako.mengine hayo yawekeni pembeni msiwe maadui muwe marafiki🙏🤲🤲

  • @UmmyMohamed-h9z
    @UmmyMohamed-h9z 8 месяцев назад +9

    Mimi uwa simjui huyu kaka likini akipenda uwa anafanyia mwanamke awe nafuraha mashallah congratulations kwake

  • @shangwefisima3993
    @shangwefisima3993 8 месяцев назад +1

    Wote watulieeee Sasa! Mungu awatunze mpate watoto

  • @MuhidiniLebba
    @MuhidiniLebba 8 месяцев назад +5

    Kweli mzee hazeeki maini
    Pumbavu kabsa

    • @biggieVandar4ytz
      @biggieVandar4ytz 8 месяцев назад

      Ujinga huu kazi nikutaja watu tu siuendelee namaisha Yako

    • @biggieVandar4ytz
      @biggieVandar4ytz 8 месяцев назад

      Sasa mtu asiimbe mbna wajishuku

  • @stellamnyangulu2672
    @stellamnyangulu2672 8 месяцев назад

    Mhhhhh uyu kweliii mzunguu

  • @ArafaZakir
    @ArafaZakir 8 месяцев назад +4

    Ila Zay mzuri màa Shaa Allah

  • @AzaAzamhmod
    @AzaAzamhmod 8 месяцев назад +1

    NAMPENDA Sana kaka haji BUGATIIIIII mtoto WA kariakooo. Mwanaume hyu hapa. Wanaumee eeee hyu ndo gentleman ANAEJUA KUTUNZA MKE. NASEMA MJIFUNZEEE
    TUKEREEEE HAJI TUKEREEEE 😂😂😂😂

  • @samirakikoti
    @samirakikoti 8 месяцев назад +13

    Huyu Ana royal wedding kila mwaka 😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 8 месяцев назад

      😂😂😂😂

  • @diyaosman6268
    @diyaosman6268 8 месяцев назад +3

    Tumechokaaaaaaaaaaaaaa🙌

  • @rehemamlenga4937
    @rehemamlenga4937 8 месяцев назад

    Pole kwa kuzimia Dubai, Rushyana umemkomesha manara mpaka amezimia ni hatareee

  • @Chemba67
    @Chemba67 8 месяцев назад +3

    Tuombe mungu huyu mtoto wa kike asije kuzingua mbele ya safari maana mambo anayofanyiwa ni makubwa mnooo

  • @muh4225
    @muh4225 8 месяцев назад +1

    Fanya babaa nkuaminia......❤❤❤❤❤

  • @aediayumgo8546
    @aediayumgo8546 8 месяцев назад +4

    Mpe Dulla maua Yake kakutungia wimbo ulitoa idea mpe50m

    • @farahali6041
      @farahali6041 8 месяцев назад

      😂😂😂😂😂😂

  • @HawaJumanne-q9z
    @HawaJumanne-q9z 8 месяцев назад +3

    Eti mara zai hayupo romantic na mahusiano aya nenda ww uwe romantic waache wanajua wao

  • @IshmaelLuyagaza
    @IshmaelLuyagaza 8 месяцев назад

    So true Haji Manara, kuwa maarufu halafu huna hela ni upuuzi.
    Ni muhimu wasanii wakaelewa thamani yao na kutajirika nayo.

  • @ramadhanmahongole9293
    @ramadhanmahongole9293 8 месяцев назад +6

    Mzee kijana huyo kuoa na kuacha kila siku😂😂😂

    • @mbanga6759
      @mbanga6759 8 месяцев назад

      HILOOOO dume Zima wivu

    • @ramadhanmahongole9293
      @ramadhanmahongole9293 8 месяцев назад

      @@mbanga6759 wivu wa kumsema mtu anae oa na kuacha?

    • @ramadhanmahongole9293
      @ramadhanmahongole9293 8 месяцев назад

      @@mbanga6759 nione wivu kwa kahaba hilo lililo olewa likaachika😂😂😂

  • @MonicaJulius-l1m
    @MonicaJulius-l1m 8 месяцев назад +2

    Congratulations for that

  • @chany9950
    @chany9950 8 месяцев назад +1

    Mungu awasaidie jmn🙏🏾🙏🏾

  • @juliethhenrymasanja940
    @juliethhenrymasanja940 8 месяцев назад +1

    Mungu awasaidie ❤❤

  • @alfredinafelix836
    @alfredinafelix836 8 месяцев назад +8

    Nawapenda nampenda manara anavyojikubali

  • @risperladee5718
    @risperladee5718 8 месяцев назад

    Uuuweeeeh uuuweeeeh the white Guy has said ...dulla in trouble 🔥🔥

  • @AshaMchinji
    @AshaMchinji 8 месяцев назад +26

    Zai anaonekana kabisa hayupo romantic na hayo mahusiano,amefata hela na umaarufu.

    • @issachibangu6075
      @issachibangu6075 8 месяцев назад +1

      That’s true 😂

    • @awadhisarai4331
      @awadhisarai4331 8 месяцев назад +1

      Mmmmh wacheni roho mbaya mtoto ashanza kuleta shavu😅😂

    • @awadhisarai4331
      @awadhisarai4331 8 месяцев назад +1

      Kwani hamuoni ashanza kunona

    • @AshaMchinji
      @AshaMchinji 8 месяцев назад +1

      Lazima anone c anayapata anayoyahitaji? Tunachokitaka awe na mapenz ya kweli acje akamvuruga baba wa watu .mwenzake anajimaliza kabisa

    • @yusuphmwanza507
      @yusuphmwanza507 8 месяцев назад +2

      Acha umbea hayakuusu fanya yakwako acha yeye zai afate pesa weww kafate romantic

  • @onesmomwakasege5215
    @onesmomwakasege5215 8 месяцев назад +3

    Manara umekuwa mpumbavu Sana alafu we mzee ujue au ndio unazeeka vibaya? Yani siamini mtu mzima mzee Kama wewe kulumbana namtoto mdogo Kama dula umeshapata tuliza komwe mzee

  • @MichaelMagige
    @MichaelMagige 8 месяцев назад +5

    Mara unajua kutafuta hela,Ila ni mshamba wa mahusiano!!!

    • @abbiecox1
      @abbiecox1 8 месяцев назад

      Hatafuti Hela anapewa Hela na kunitumia. Huyu SI public figure ni rubish pit

  • @salimakida95
    @salimakida95 8 месяцев назад +3

    Umeongea point sana, tumieni fursa kwa majina yenu

  • @ZuberiMhando-k7e
    @ZuberiMhando-k7e 8 месяцев назад

    All of all hakuna mtu asiyependa pesa sema tu hatujapata pa kuzipatia mwenzetu Zay kapata pa kuzipata papala zetu hazina mashiko kula raha Zay mie mwenyewe nakutamania

  • @hemedyawadhi2935
    @hemedyawadhi2935 8 месяцев назад +12

    Hovyooo kabisa unaakili za maisha ila huna akili ya mahusiano mtumzima

    • @mbanga6759
      @mbanga6759 8 месяцев назад +2

      Mtu mzima kakuzaliya Nani wewe nawivu wako

  • @shadiwaigwa9230
    @shadiwaigwa9230 8 месяцев назад +11

    Mwacheni, Kila mtu ana Raha zake, enjoy haji na your wife zai

  • @shangwefisima3993
    @shangwefisima3993 8 месяцев назад +2

    Mzee Roho yako ipo Simba milele daima!

  • @BeliBeli-n9h
    @BeliBeli-n9h 8 месяцев назад +1

    Tuwe wakweli huyu jamaa angekuwa hana pesa huyu zai ange mpenda kweli😂😂😂😂😂

  • @muh4225
    @muh4225 8 месяцев назад +1

    Zai henga😊❤

  • @HappyForestTrees-gc6hs
    @HappyForestTrees-gc6hs 8 месяцев назад +1

    Acha izo mambo umesoma dini alakin unapenda sifa sn soo maisha hayo badilika

  • @SharifaMwalim-y7k
    @SharifaMwalim-y7k 8 месяцев назад +2

    Kwakweli kuna watu na viatu haya zaii kaona hatujapata umaarufu wa mitandaoni weziwe walivanjia hivo saii wako wapi zaii nakuonea huruma sijui nikwambie utakuja kuchekwa hadi na kuku km umefuata pesa hiyo pesa sio kitu.mbele ya utu zai zai zaii tamaa mbele mauti njuma.

  • @ChristinaOnditi-el3xo
    @ChristinaOnditi-el3xo 8 месяцев назад

    Dula Hana Adabu

  • @LOTOWILSON
    @LOTOWILSON 8 месяцев назад +3

    First one from kwenye give my like 50

  • @yusuphrashidi-dr1kb
    @yusuphrashidi-dr1kb 8 месяцев назад +4

    Huyu jamaa anamatatizo sana

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 8 месяцев назад

      Tena sana medulla oblongata kichwani haiko vzr, mtu mzima hovyooooo

    • @officialmichemiche1869
      @officialmichemiche1869 8 месяцев назад

      Bado anaulumbukeni manara 😂

  • @AshuraAbduly
    @AshuraAbduly 8 месяцев назад

    Mungu hamfichi mnafki manara utapigwa na kitu kizito na huyo zailisa wee ngoja nimekaa pale hapo kafata hela tuu

  • @EdnaLugano
    @EdnaLugano 8 месяцев назад +1

    Kaka yangu Haji Hivi unaoa mke wako au mke wa.mitandaoni.Dulla aliwahi kuwa mume halali wa Zari hawezi kumchafua Kwa vyovyote vile .My Dear Zai Dulla hawezi kuondoka kwenye historia ya maisha yako hata kama uliishi nae muda mfupi Sana bado kuna wakati alikuwa na mema ya kwake ndio maana ukakubali kumvulia nguo huyo anaekuoa sasa naye ni binadamu anamapungufu yake .Hao waliotoka sio wabaya Sana wala wewe sio mwema Sana .Muhimu mfundishe Haji kunyamaza kama mnania kweli ya kuwa mume na mke labda kama mnafanya movie haina shida .

  • @Zaitoon72
    @Zaitoon72 8 месяцев назад +2

    Ila manara ni Rais wa Harusi kashachukua taji tayari 😂😂

  • @AminaMgenzi
    @AminaMgenzi 8 месяцев назад +1

    Manara atajuta nipo pareeeeee 😢mtaikumbuka hii txt anatamba buree

  • @nurdinkisaria9476
    @nurdinkisaria9476 8 месяцев назад

    Demu mwenyewe yupo Tinder😅

  • @ashamahadi5281
    @ashamahadi5281 8 месяцев назад +3

    Mwacheni mwanangu jamani hana baya

  • @alhabsi6430
    @alhabsi6430 8 месяцев назад

    Sasa hapa kama ndoa imepita😂

  • @JumaShimende
    @JumaShimende 8 месяцев назад

    Ukimwangalia Zai hisia zake hazipo kabisaa hapo zipo Kwa pita huku kitazamo wangu.hapo ni Hela tu kafata na umaarufu.

  • @josephsevelinibeho1223
    @josephsevelinibeho1223 8 месяцев назад +1

    Ifike wakat dada zetu muwe na aibu na hofu ya Mungu APA kadada umefuata mkwanja akuna upendo apo

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 8 месяцев назад

      Body language inaonyesha. Mdada gani hawezi ishi hata kwa mwezi bila mwanamme 😅

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 8 месяцев назад +1

    Ndo mana alifungiwa

  • @maryan2482
    @maryan2482 8 месяцев назад

    Zai Kam nyoka walh 😂😂uwii

  • @EzzyK438
    @EzzyK438 8 месяцев назад

    Papa misifa 😂

  • @ashamahadi5281
    @ashamahadi5281 8 месяцев назад +4

    Piga maisha mwanangu wakati wako raha tele tabu ya nn. Halfu mnamsakama mlitaka asioe huyo kazaliwa pwani mbona kawaida tu.

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 8 месяцев назад

      Makelele ya nini? Si aoe tu. Kujibishana na watoto wadogo ndo nn

  • @ShangweSylus-nf6we
    @ShangweSylus-nf6we 8 месяцев назад +2

    Nipo bega kwa bega na manara mpaka mapenzi yatakapomuua😂😂

    • @aaminaasljbgbvf745
      @aaminaasljbgbvf745 8 месяцев назад +1

      😂😂😂😂😂😂kufagary anakufa dereva ataryyyyyyy🙌🙌🙌🙌

    • @ShangweSylus-nf6we
      @ShangweSylus-nf6we 8 месяцев назад

      @@aaminaasljbgbvf745 mpaka yamuue nipo nyuma yake😂

  • @stanastana3199
    @stanastana3199 8 месяцев назад +1

    Manara huwa anajiamini balaa

  • @maernov4257
    @maernov4257 8 месяцев назад

    Mdogo wangu zailisa naomba utulie kwauyo mbaba wanaume wanaita utulivu

  • @niyonkurufadhoulillah4916
    @niyonkurufadhoulillah4916 8 месяцев назад +5

    Ongeya madogo mzee usha acika marangapi usha pitia ndoa ngapi tusha kuzoea

    • @p.kasongot979
      @p.kasongot979 8 месяцев назад

      Huyu albino amajikutaga Jay Z .nguruwe tuu😢😢😢😂😂😂

    • @uwimana6533
      @uwimana6533 8 месяцев назад

      Mamalako nguruwe ni wewe na familia yko uwenaheshima na watu kama huyo dulla angekua rijali ndoa ngapi zimemshinda , mfiraji mkubwa.manara kuchukua mzigo imekua mwanzo wa fitna 😒😒😒😒​@@p.kasongot979

  • @AzaAzamhmod
    @AzaAzamhmod 8 месяцев назад

    NAMPENDA SANA HAJI
    ANAJUA KULEA MWANAMKE❤❤
    ANAJIAMINI. 😂😂WAKEREWAKEREE HAJI, BNADAM WAWEZWA NA KIFO TU. UKIOA SHIDA, UKIWA NA HELA TABU. FANYA UNAYOJSKIA KAKA

  • @LizerCurtain
    @LizerCurtain 8 месяцев назад +3

    Haukawiag kuzimia mzungu😂

    • @mjaweathman6519
      @mjaweathman6519 8 месяцев назад

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @mjaweathman6519
    @mjaweathman6519 8 месяцев назад

    Usitishiwe na maneno ya watu manara anaejileta mdunge kijiti😂😂😂😂😂

  • @tiffanyakramJr822
    @tiffanyakramJr822 8 месяцев назад +2

    Uzee nao unawehua,tumsamehe bule😂😂 yani kwa umri wake na anavyojitapa utazani ndo katolewa bikra ya barehe vile 😅😅... uckute kitandani uyu analia ka kunguru kwaaaa kwaaaa🤣🤣 weee demu kashapelekwa Reba na kidume huko mwenzako unabweka bweka.. we na dulla wote mmepumulia kifua zaylissa 😅

    • @mjaweathman6519
      @mjaweathman6519 8 месяцев назад

      Mbona mapovu yakutoka😂😂😂😂

    • @tiffanyakramJr822
      @tiffanyakramJr822 8 месяцев назад

      @@mjaweathman6519 cpendi kujitapa kumezidi,yani demu kashapigishwa misambasoti na wahuni kibao tu..yeye anatutambia

    • @GroliaLymo
      @GroliaLymo 8 месяцев назад

      Ety😂😂😂😂😂😂

  • @mwajumalubunga1534
    @mwajumalubunga1534 8 месяцев назад

    Mbona kidevu cha zay ka kimepinda upande ivi jamani au ni macho yangu ila sio kwa ubaya 😢

  • @Naju645
    @Naju645 8 месяцев назад

    Jaman u romantic huo ukoje Sacha wapendane Tu namungu awadumishe

  • @alvinmalle9624
    @alvinmalle9624 8 месяцев назад +2

    Uyu mwanaamke watu wataendelea kumshona we endelea kupiga polojo😅

  • @abdulhalimahmed1576
    @abdulhalimahmed1576 8 месяцев назад

    Mshamba halafu unajifanya mtt wa kariakoo

  • @JeannetteManirambona-o6m
    @JeannetteManirambona-o6m 8 месяцев назад

    Manara tulia na mke wako zayilissa yangine tuachie mungu

  • @nsabimanadominique3907
    @nsabimanadominique3907 8 месяцев назад +1

    KUMBE MANARA PUMBAVU KIASI HIKI ?? UNGENYAMAZA. HAPO KUWONGEYA UMETOWA POINT3

  • @RehemaHemedi-zj8wq
    @RehemaHemedi-zj8wq 8 месяцев назад

    Aji anajua kutuza mke jamani zai kapendeza jamani

  • @husseinngala7503
    @husseinngala7503 8 месяцев назад

    Eti mm siwakuchezea nguchiru ww

  • @rerisamba
    @rerisamba 8 месяцев назад +1

    Zaiylisa basi umlee mzee wawatu usimgeuge baba wawatu wewe

    • @yasminjuma9146
      @yasminjuma9146 8 месяцев назад +1

      Kweli amtunze maskn kaka wa watu

  • @gaspergasper9830
    @gaspergasper9830 8 месяцев назад

    Mm hayo mahusiano haya nihusu ila kunakitu nimegundua Diamond hawez kuwa na rafiki fala fala Haji ana akili flan iv mpaka uielewe ningum Hongera SIMBA lama SIMBA dangote

  • @mtalimaaloyce7860
    @mtalimaaloyce7860 8 месяцев назад

    😂😂 bongo sihami ntasafiri ntaenda inchi za watu mawazo yakinizid narud home tz nakuja kukuta vitu kama hivi. Unyama sana. 😂😂😂 Dah we Noma kweli

  • @joycemuhoja4729
    @joycemuhoja4729 8 месяцев назад

    Kadi jamani

  • @aminathaabubakarmasoud565
    @aminathaabubakarmasoud565 8 месяцев назад

    Manara anaakili sana na mwanamke atakae weza kudumu nae asiwe mwanamke wa show off bila kuchakarika,

  • @EvonaMartine
    @EvonaMartine 8 месяцев назад

    Iwe ya mwisho sas zay kuolewa dah😁

  • @jamillahjuma5483
    @jamillahjuma5483 8 месяцев назад

    Yani watu mapovu yanawatokaaa😂...Mwenzenu anaingizaaa pesaaa huyo msioneee anajechetua hp

  • @aliisaid854
    @aliisaid854 8 месяцев назад

    Alhajj feki huyu,ufala tu ndio wake,ujinga ujinga tu mshamba wa mapenzi we

  • @agriparose3942
    @agriparose3942 8 месяцев назад +3

    Lione

  • @EvonaMartine
    @EvonaMartine 8 месяцев назад

    Mmmh ety Boyfriend, kumbe bado wew ni Boyfriend 😅😅😅😅 iyo ni uongooo bhn😂😂😂

  • @ZaidSeifSuleiman-q9w
    @ZaidSeifSuleiman-q9w 8 месяцев назад

    Proud man

  • @ضيفهمحمد-ل2ي
    @ضيفهمحمد-ل2ي 8 месяцев назад

    Ww manara ushakuwa mtu mzima masherehe ya nn ww ndo umeenda Makkah ww

  • @seiftaji7838
    @seiftaji7838 8 месяцев назад

    Bugati nikweli ww brand yako unaitumia uzur na mafanikio yako yanaonekana kwamaana sasa hauna njaa kabisa tunakuona unavaa nguo mzuri unatembelea gari zuri. hongera kwa kutumia fursa vizur

  • @AZHAD26-gl9xf
    @AZHAD26-gl9xf 8 месяцев назад +1

    Manara mshamba wa k ww

  • @dulax2457
    @dulax2457 8 месяцев назад

    Kakadishe fery mombasa ufanye hio wedding yenu kama uko vizur hajj

  • @salumhassanallymkurdistan7006
    @salumhassanallymkurdistan7006 8 месяцев назад

    USTADH MANARA HUYO NI MCHUMBA AU 😢MVISHE MTANDIO ATAPENDEZA VIZURI

  • @iddisalimu5028
    @iddisalimu5028 8 месяцев назад

    Muwache kijana wawatu unamtishia nn wakati site maiti watarajiwa kaatulia achana na kijana wawatu

  • @SalimAbdallah-tg1yo
    @SalimAbdallah-tg1yo 8 месяцев назад

    Haya fanya tena sherehe Hao walikuja juzi wakakuchangia pia hawatakuja juzi GSM wamekukimbia😂😂

    • @uwimana6533
      @uwimana6533 8 месяцев назад

      Manara kawanyosha mpaka mnavirugwa akili mbwaa nyie😂😂😂

    • @SalimAbdallah-tg1yo
      @SalimAbdallah-tg1yo 8 месяцев назад

      @@uwimana6533 kajinyoosha yeye ana la kujibu mbele ya Allah Na yeye uzuri alijua hilo

  • @MaryamOmar-lh8kr
    @MaryamOmar-lh8kr 8 месяцев назад

    Zai ni njaa tu ndo zinamsumbuwa tu hana mapezi na kaka etu anaonekana tu

  • @aaminaasljbgbvf745
    @aaminaasljbgbvf745 8 месяцев назад

    Wanaume watanzania achaninysmaze maana kaka yangu pia nimwanaume pumbavu

  • @sungisungi6589
    @sungisungi6589 8 месяцев назад

    Manara mbinafs kajiwekea maji ya kunywa pekeyake

  • @michaelnehemia4932
    @michaelnehemia4932 8 месяцев назад +3

    Mmetuchosha

  • @johnmshenga-ce8wp
    @johnmshenga-ce8wp 8 месяцев назад +3

    Ufala tu mzee hata heshim huna

    • @uwimana6533
      @uwimana6533 8 месяцев назад

      Makabila angekua naheshima ndoa imemshinda. Acha manara audumie mzigo ,😂😂

    • @officialmichemiche1869
      @officialmichemiche1869 8 месяцев назад

      Mzungu aoa kila mwaka hana adabu

    • @uwimana6533
      @uwimana6533 8 месяцев назад

      @@officialmichemiche1869 mzungu anapesa dulla makabila ndoa imemshinda kisa pesa 😀😀😀😀

  • @aaminaasljbgbvf745
    @aaminaasljbgbvf745 8 месяцев назад

    Mwenyewe mke anajiona malkia 😂😂maviakuku twasubiry mabom tuuusisi😂😂😂

    • @uwimana6533
      @uwimana6533 8 месяцев назад

      Mzigo umechukulia , wivu wanini 😂😂

    • @farahali6041
      @farahali6041 8 месяцев назад

      Njaa inatabu sanaa kitamkuta kitu

    • @uwimana6533
      @uwimana6533 8 месяцев назад

      @@farahali6041 ndokusubirie hata dulla makabila, ndoa imemshinda 😀😀😀

  • @GamanielKatani-nw8ll
    @GamanielKatani-nw8ll 8 месяцев назад

    Sio vya kupiga hizo ni pesa na maneno mengi IGA kutafuta fedha

  • @Khalidniya380
    @Khalidniya380 8 месяцев назад +9

    Huyu jamaa anajiona kila kitu anajua
    Mjinga sana

  • @Elizaclemess
    @Elizaclemess 8 месяцев назад

    em muachani bwana kila mtu namoyo wake ata wee
    ukipenda lazma uwe chizi

  • @rithanaftal8616
    @rithanaftal8616 8 месяцев назад

    Anamsema wemasepetu kwenye huo umaarufu au?

  • @samirakikoti
    @samirakikoti 8 месяцев назад

    Nimewahi akitoka zaylisa 😂😂

  • @stamillusatila9084
    @stamillusatila9084 8 месяцев назад

    Zai anatabasamu kila Bugati anaposisitiza kuwa royal wedding itakiwa kubwa sana kuliko ile ya kuvishana pete

  • @abbiecox1
    @abbiecox1 8 месяцев назад

    Tumechoka ujinga wa watu Hawa. Nilikijua tu huyu ni mlozi jamii Islam kutambia ulozi ni dhambi mbaya mno, muogope Allah kijana

  • @SelinaMdoe-jv1pu
    @SelinaMdoe-jv1pu 8 месяцев назад

    Watu warongo jama ni moyo wa mtu ni ki chaka

  • @psj1564
    @psj1564 8 месяцев назад

    NIKUAMBIE TUU KITU UYO MWANAMKE AYUPO APO KABISA ANA MUWAZA BEBY WAKE WEWE JIMALIZE AKIPATA ANACHOKITAKA ANASEPA ZAKE

  • @فاطمه-و9ض2ق
    @فاطمه-و9ض2ق 8 месяцев назад

    Unawezah mtu mzima lakini ukawa huna akili unalana ya mkeo wa kwanza kamuombe msaamaha mkeo ili udumu kwenye ndoa mbwa wewe