ICU CHUMBA CHA UMBEA | EXCLUSIVE : JUMA LOKOLE AONGEA A-Z URAFIKI WAKE NA MAREHEMU DIDA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 окт 2024

Комментарии • 100

  • @ashaally6993
    @ashaally6993 3 дня назад +37

    Nimelia jamani mpaka basi...ewe m.mungu tunakuomba uwasamee makosa yao waliotutangilia na sisi utupe mwisho mwema yarabby 😢🤲

  • @nellymtambo8432
    @nellymtambo8432 2 дня назад +26

    Sijawahi ona Star kafa akazungumziwa mazuri kiasi hiki kama Dida alafu hata hakua mtu wa Kiki wala kufanya fanya mambo ya hovyo pamoja na ustar wake Dida nenda Mama ukapumzike kwa Amani ❤😘

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 Час назад +3

    Mim juzi nimemrehem marehe dida na nimemuandika kwenye orodha ya watu wangu wakaljbu ninaowaombea dua..mim mwenyewe dida kaniuma sana japokuwa sijawahi kumuona live zaidi yakumuona kwa tv tu...kikubwa mungu dida amuweke mahala pema pepon amin..dida inaonyesha aliishi na juma kwa upendo na kwawema

  • @ashurajengela3926
    @ashurajengela3926 3 дня назад +15

    Pole sana juma Mungu akutie nguvu 😢 na ukipata nafasi ya kulia lia sana ikiwezekana piga yowe utoe uchungu huu pole sana juma

  • @neemakalugila7674
    @neemakalugila7674 2 дня назад +16

    Pole Juma, much love from Holland 🇳🇱

  • @nunuuali5316
    @nunuuali5316 2 дня назад +10

    Pole sana J,kazi ya Mungu haina makosa. Sio rahisi ila ndo hivyo maana nyinyi ndo wakumfariji Samira kwahio mkishindwa kukubaliana na hilo Samira yeye ataweza je kuvumilia? Ombeni sana Mungu awape subra

  • @chibandamwende3676
    @chibandamwende3676 2 дня назад +6

    Yaaaaaaaani Juma na Idris Kitaaaaa yaani poleni sana🇰🇪🇩🇪

  • @rajabrwambow9660
    @rajabrwambow9660 2 дня назад +7

    Pole sana Juma Mwenyez Mungu akupe nguvu kijana inshallah

  • @XaveriaClifford
    @XaveriaClifford 3 дня назад +10

    Kikubwa ni kumuombea Dua uko alipo😢 Rafik anauma sana jamani sikia t Kwa mwenzio haya mambo💔 Rest easy dida

  • @RachelEmid-jq6eo
    @RachelEmid-jq6eo 3 дня назад +7

    Daaaa pole sana juma wangu Mungu akutie nguvu 😢😢💔💔💔

  • @jaharaoman6478
    @jaharaoman6478 2 дня назад +7

    Mngemwacha kwanza Juma jamani

  • @JudythAsiko
    @JudythAsiko 2 дня назад +6

    Pumzika Dida😢😢,May God strengthen you Juma and entire family 🫂🙏

  • @kristajaneth3562
    @kristajaneth3562 3 дня назад +8

    Poole juma mwaya 😢😢

  • @IrakozeJuliette-so1iu
    @IrakozeJuliette-so1iu 2 дня назад +7

    Pole sana tuta mukumbuka daima😭😭😭😭

  • @mwajumalubunga1534
    @mwajumalubunga1534 2 дня назад +2

    Pole sana Juma kumbe unahuruma na upendo ❤ Ohoo pole juma R.I.P Dida tuna kupenda daima 😭😭😭

  • @claudiangowi9628
    @claudiangowi9628 2 дня назад +8

    Inauma sana juma unavyolia na mimi nashindwa kujizuia😢😢😢

  • @ritapiusnicolaus7068
    @ritapiusnicolaus7068 2 часа назад +1

    Apumzike kwa Amani dida🙏pole sana lokole

  • @TatuHusseni-hs7mu
    @TatuHusseni-hs7mu Час назад

    Pole sana juma nimaumivu makali san najua unapia ila tumuombee to dua na sis Allah atupe mwisho mwema Amin 🙏🙏

  • @hopejohnson7352
    @hopejohnson7352 2 дня назад +6

    Kiukwel kama mm ambae hata sijawahi kumuona ila mpaka leo naumia mnoooo sembuse juma aliekua anafanya nae kazi wanaonana kila siku na walizoeana waliishi kama ndugu jaman daah r I p dida mungu ampunguzie adhabu ya kabri 😢😢😢😢

  • @witnesrobson
    @witnesrobson 2 дня назад +9

    Pole Juma 💔🥲😭

  • @preetynasoro
    @preetynasoro 3 часа назад

    Polee sanaa uncle lokole Allah akutie nguvu inshallah utakaa sawa

  • @witnesrobson
    @witnesrobson 2 дня назад +14

    Pole Juma so sad pole Juma yani wewe na dida mlikuwa kama mapacha pole sana🥲

  • @JacklineMalau
    @JacklineMalau 50 минут назад

    😢😢poleeee juma jmn muombee tu dida apumzike kwa amani

  • @minazsaid2470
    @minazsaid2470 3 дня назад +6

    Mungu akutie nguvu Juma safari yetu sote hii ila kutangulia mmoja wenu kunauma ni mazoea 😢

  • @chunanachu2529
    @chunanachu2529 3 дня назад +3

    Pole Sana juma

  • @Saripa234-u7g
    @Saripa234-u7g 2 часа назад

    Juma Umeongea pwenti nzuri cn mashahallah ila nikweli dunia isitudanganye kiukweli

  • @Zainabumsafiri
    @Zainabumsafiri 2 часа назад

    Inallilah wainaillah rajiun pole sna juma tafuta sehem ukae ulie sna utoe uchung wote then muombee dua sna allah akupe subra kwa ktk kipind hich kigum

  • @aminasaid4174
    @aminasaid4174 2 дня назад +1

    Nimefurah sana mtoto kukaa na warda ❤

  • @ashireydaimu3148
    @ashireydaimu3148 3 дня назад +4

    Poleni sana

  • @mariamsadiki9160
    @mariamsadiki9160 2 дня назад +1

    Pole sanaaa jumaaa

  • @louisemsaka5829
    @louisemsaka5829 2 дня назад +3

    Pole sn

  • @LatifaHashim-rn1ip
    @LatifaHashim-rn1ip 3 часа назад

    Duuh aisee 🙌 maisha

  • @adrophinamwanguse1510
    @adrophinamwanguse1510 3 часа назад

    Pole Juma mungu akutie nguvu

  • @zenabibiye
    @zenabibiye 22 часа назад

    Pole sanaa juma lokole

  • @chunahbeivy3761
    @chunahbeivy3761 Час назад

    Jamani mtu akifiwa anaumia sanaaa 😢polee

  • @muniraally6066
    @muniraally6066 3 дня назад +3

    Mungu akujalie subra inshallah 🙏 kifo ni fumbo kubwa na awasameh mait wote waliotngulia mbele ya haki na awasameh makosa yao

  • @RoseGeofrey
    @RoseGeofrey День назад

    pole sana juma natamani niwe karibu nikufariji😢😢😢❤

  • @husnajuma845
    @husnajuma845 2 дня назад +3

    Plol sana juma dah!kazi ya mungu Haina makosa.

  • @aminamwivita7690
    @aminamwivita7690 2 дня назад +3

    Be strong 💪 juma sorry

  • @NahimanaAisatah
    @NahimanaAisatah 2 дня назад +3

    So sad wallahi 😢😢😢😢

  • @AmanaHussein
    @AmanaHussein 4 часа назад

    Pole sana juma😭

  • @UmmyTwaha-e7k
    @UmmyTwaha-e7k 2 дня назад +1

    Pole juma

  • @rukiamhaka123
    @rukiamhaka123 3 дня назад +5

    Polejuma

  • @RamuniMussa
    @RamuniMussa 3 часа назад

    Najuwa ulivo umia poleee mdg wangu

  • @sir_ENOCKMACHA
    @sir_ENOCKMACHA 2 дня назад

    Pole sana kaka dah

  • @linnerphilip4260
    @linnerphilip4260 2 дня назад +1

    Hadi nmeli dida😂😮😮😮

  • @ElzaMungure
    @ElzaMungure 2 часа назад

    Dida mungu akupe kaul dhabiti uko kuliko malaika wa kher wakawe naw pumzk kwa aman mamy

  • @kabonakabona8121
    @kabonakabona8121 День назад

    😭😭😭😭pole sanaa Juma

  • @HASSANBAKARI-q9c
    @HASSANBAKARI-q9c Час назад

    Mwambieni uyo juma,,anachokifanya yeye ndo alitakiwa kukifanya kumbuka,mana ndo walibond vibaya,,

  • @wemaMichael-fr4th
    @wemaMichael-fr4th 3 часа назад

    daaa makubwa haya jamani warda umejicreem rangi yote ile nzur leo umejichubua loooh

  • @vumiliamgendi148
    @vumiliamgendi148 День назад

    Pole mdogo wangu juma kiukweli hata mimi nimejikuta nalia

  • @chichiereyh
    @chichiereyh 2 дня назад

    Mama ni Mama Mama Hana mfano hakifa hakuna atakaekupenda kama Yeye 💔 😩🥺 kifo kifo kifo hakina huruma😢

  • @cdeleo9336
    @cdeleo9336 56 минут назад

    Dida kaondoka kama utani. Rest in peace dada

  • @zuhurasalumu5914
    @zuhurasalumu5914 2 часа назад

    Allah ammpe kauli thabit

  • @adrophinamwanguse1510
    @adrophinamwanguse1510 3 часа назад

    Du, yani wafu wangekuwa wanaludi Alafu Dida amukute Juma Anália hivi asinge kubari Kufa tena maana Juma anateseka Juma muombee tu Dida Kweli ulimpenda dada Yako pole Juma pole juma

  • @fidelitekarigirwamuyangwa973
    @fidelitekarigirwamuyangwa973 2 дня назад +1

    Pole

  • @fantacyfour8040
    @fantacyfour8040 10 часов назад

    Hii interview unanifnya nilie pole juma lokole pole

  • @QueenQueen-i4k
    @QueenQueen-i4k Час назад

    😢😢

  • @linadaniel1375
    @linadaniel1375 3 часа назад

    Pole juma😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @HappyHiker-nz9vg
    @HappyHiker-nz9vg 3 часа назад

    Subhanallah 😢😢😢😢

  • @leaherasto929
    @leaherasto929 2 дня назад

    Juma umeniliza

  • @mc_mrope
    @mc_mrope 3 дня назад +1

    Poleni sana sana sana!

  • @vumiliamgendi148
    @vumiliamgendi148 День назад +1

    Nanyie msimhoji hoji sana jamani mnamkumbusha muacheni kwanza asahau jamani

  • @tumakaduma1106
    @tumakaduma1106 2 дня назад

    Pole sana juma 😢 rest in peace dida

  • @FelistersMejumaa-xi2ge
    @FelistersMejumaa-xi2ge 2 часа назад

    Kama umejifunza mengi Juma basi ndio uwache umbea na chuki kwa wengine hasa mtu kama Hamissa mbona wamchukia huyo dada ? Sasa kifo cha dida kiwe kama funzo kwako acha kbda ndugu yngu 😢😢😢

  • @NadiaNdayisaba-k8c
    @NadiaNdayisaba-k8c 3 часа назад

    Innalillah wainalillah rajuin 😭

  • @CutenessSanga-ys7dc
    @CutenessSanga-ys7dc 2 дня назад

    😢😢😢😢😢😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭juma wangu mim jamaniiiii

  • @MsNajma-j7e
    @MsNajma-j7e День назад

    Kazi ya mungu haina makosa nassi turiopo tuombe mwisho mwema na Allah amlemu mbere yake nyuma yetu

  • @hollymore4904
    @hollymore4904 2 часа назад

    hivyo vidole vipi? wnaume hatuongei na ishara... duh

  • @allymatilda7519
    @allymatilda7519 2 дня назад

    Nimeliaa jamani daah😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @fatumamroki2716
    @fatumamroki2716 3 часа назад

    Warda warda wardaa umeongea point

  • @noraazan9124
    @noraazan9124 2 дня назад

    Si mumuache huyu Juma lokole apumue jamani.

  • @ngowibeatrice1701
    @ngowibeatrice1701 2 дня назад +1

    DIDA PUMZIKA KWA AMANI

  • @JenifaNassoro-i3v
    @JenifaNassoro-i3v 3 дня назад +4

    Mnaniumiza nalia tu huku

  • @AmiryBawenii
    @AmiryBawenii 2 дня назад +1

    Allah ampe kaulithabit

  • @nilastephen8265
    @nilastephen8265 2 дня назад

    Juma ana maumivu jamani pole juma. Kumbuka alikuwa camera action yale machozi ya kumbuka ya kinafki

  • @ashnaom2270
    @ashnaom2270 2 дня назад

    Mmh pole msiba usikie kwa mgine tu so uwe nyumban kwako au kwa mtu wako wakaribu

  • @chany9950
    @chany9950 2 дня назад

    Pore 🙏🏾

    • @masalakulwa7601
      @masalakulwa7601 4 часа назад

      Ni Pole..sio pore😏

    • @chany9950
      @chany9950 3 часа назад

      @@masalakulwa7601 🤣🤣👍🏾👍🏾asanee🤣🤣

  • @mrfashion1687
    @mrfashion1687 День назад

    Sifa tunazopeana binadamu baada ya kufa tungekua mbali sana, ila pole jitahidi na ujikaze kama GEORGE BANTU, yule jamaa kajikaza sana

  • @aminamwivita7690
    @aminamwivita7690 2 дня назад

    Sorry juma

  • @ibrahimfarha3853
    @ibrahimfarha3853 2 часа назад

    😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @OfficialA83640
    @OfficialA83640 2 дня назад

    Warda haya ungekuwa unampa mafunzo ndugu yako tangu yupo hai lkn ona mlivyomfanya mtoto anatembea uchi mitandaoni picha za uchi tele aisee Samira anatakiwa afunzwe dini hd arudi kuvaa stara sterehe ziishe mtoto bado mdogo lkn kamuharibu kumpost uchi Astaghafilullah Mungu amsamehe huko alipo In'shaallah

  • @mwajumalubunga1534
    @mwajumalubunga1534 2 дня назад +1

    Pole sana Juma kumbe unahuruma na upendo ❤ Ohoo pole juma R.I.P Dida tuna kupenda daima 😭😭

  • @HASSANBAKARI-q9c
    @HASSANBAKARI-q9c Час назад

    Mwambieni uyo juma,,anachokifanya yeye ndo alitakiwa kukifanya kumbuka,mana ndo walibond vibaya,,

  • @aishatest4451
    @aishatest4451 2 дня назад

    pole sana juma😢😢😢😢

  • @esthermramba9395
    @esthermramba9395 2 дня назад +1

    Pole sana Juma

  • @rachelcheyo-p5z
    @rachelcheyo-p5z 2 дня назад +1

    Pole sana juma

  • @nourrubeya7188
    @nourrubeya7188 День назад

    Pole sana Juma

  • @leaherasto929
    @leaherasto929 2 дня назад

    Pole sana Juma