Sijawahi ona Star kafa akazungumziwa mazuri kiasi hiki kama Dida alafu hata hakua mtu wa Kiki wala kufanya fanya mambo ya hovyo pamoja na ustar wake Dida nenda Mama ukapumzike kwa Amani ❤😘
Mim juzi nimemrehem marehe dida na nimemuandika kwenye orodha ya watu wangu wakaljbu ninaowaombea dua..mim mwenyewe dida kaniuma sana japokuwa sijawahi kumuona live zaidi yakumuona kwa tv tu...kikubwa mungu dida amuweke mahala pema pepon amin..dida inaonyesha aliishi na juma kwa upendo na kwawema
Pole sana J,kazi ya Mungu haina makosa. Sio rahisi ila ndo hivyo maana nyinyi ndo wakumfariji Samira kwahio mkishindwa kukubaliana na hilo Samira yeye ataweza je kuvumilia? Ombeni sana Mungu awape subra
Kiukwel kama mm ambae hata sijawahi kumuona ila mpaka leo naumia mnoooo sembuse juma aliekua anafanya nae kazi wanaonana kila siku na walizoeana waliishi kama ndugu jaman daah r I p dida mungu ampunguzie adhabu ya kabri 😢😢😢😢
Du, yani wafu wangekuwa wanaludi Alafu Dida amukute Juma Anália hivi asinge kubari Kufa tena maana Juma anateseka Juma muombee tu Dida Kweli ulimpenda dada Yako pole Juma pole juma
Kama umejifunza mengi Juma basi ndio uwache umbea na chuki kwa wengine hasa mtu kama Hamissa mbona wamchukia huyo dada ? Sasa kifo cha dida kiwe kama funzo kwako acha kbda ndugu yngu 😢😢😢
Warda haya ungekuwa unampa mafunzo ndugu yako tangu yupo hai lkn ona mlivyomfanya mtoto anatembea uchi mitandaoni picha za uchi tele aisee Samira anatakiwa afunzwe dini hd arudi kuvaa stara sterehe ziishe mtoto bado mdogo lkn kamuharibu kumpost uchi Astaghafilullah Mungu amsamehe huko alipo In'shaallah
Nimelia jamani mpaka basi...ewe m.mungu tunakuomba uwasamee makosa yao waliotutangilia na sisi utupe mwisho mwema yarabby 😢🤲
Amin 🙏🙏
Sijawahi ona Star kafa akazungumziwa mazuri kiasi hiki kama Dida alafu hata hakua mtu wa Kiki wala kufanya fanya mambo ya hovyo pamoja na ustar wake Dida nenda Mama ukapumzike kwa Amani ❤😘
Yule dada ikuwa namsimamo. Sn yule. Dada
alikua sio mtu wakuyumbishwa
Mim juzi nimemrehem marehe dida na nimemuandika kwenye orodha ya watu wangu wakaljbu ninaowaombea dua..mim mwenyewe dida kaniuma sana japokuwa sijawahi kumuona live zaidi yakumuona kwa tv tu...kikubwa mungu dida amuweke mahala pema pepon amin..dida inaonyesha aliishi na juma kwa upendo na kwawema
Pole sana juma Mungu akutie nguvu 😢 na ukipata nafasi ya kulia lia sana ikiwezekana piga yowe utoe uchungu huu pole sana juma
Pole Juma, much love from Holland 🇳🇱
Pole sana J,kazi ya Mungu haina makosa. Sio rahisi ila ndo hivyo maana nyinyi ndo wakumfariji Samira kwahio mkishindwa kukubaliana na hilo Samira yeye ataweza je kuvumilia? Ombeni sana Mungu awape subra
Yaaaaaaaani Juma na Idris Kitaaaaa yaani poleni sana🇰🇪🇩🇪
Pole sana Juma Mwenyez Mungu akupe nguvu kijana inshallah
Kikubwa ni kumuombea Dua uko alipo😢 Rafik anauma sana jamani sikia t Kwa mwenzio haya mambo💔 Rest easy dida
Daaaa pole sana juma wangu Mungu akutie nguvu 😢😢💔💔💔
Mngemwacha kwanza Juma jamani
Pumzika Dida😢😢,May God strengthen you Juma and entire family 🫂🙏
Poole juma mwaya 😢😢
Pole sana tuta mukumbuka daima😭😭😭😭
Pole sana Juma kumbe unahuruma na upendo ❤ Ohoo pole juma R.I.P Dida tuna kupenda daima 😭😭😭
Inauma sana juma unavyolia na mimi nashindwa kujizuia😢😢😢
Apumzike kwa Amani dida🙏pole sana lokole
Pole sana juma nimaumivu makali san najua unapia ila tumuombee to dua na sis Allah atupe mwisho mwema Amin 🙏🙏
Kiukwel kama mm ambae hata sijawahi kumuona ila mpaka leo naumia mnoooo sembuse juma aliekua anafanya nae kazi wanaonana kila siku na walizoeana waliishi kama ndugu jaman daah r I p dida mungu ampunguzie adhabu ya kabri 😢😢😢😢
Pole Juma 💔🥲😭
Polee sanaa uncle lokole Allah akutie nguvu inshallah utakaa sawa
Pole Juma so sad pole Juma yani wewe na dida mlikuwa kama mapacha pole sana🥲
😢😢poleeee juma jmn muombee tu dida apumzike kwa amani
Mungu akutie nguvu Juma safari yetu sote hii ila kutangulia mmoja wenu kunauma ni mazoea 😢
Pole Sana juma
Juma Umeongea pwenti nzuri cn mashahallah ila nikweli dunia isitudanganye kiukweli
Inallilah wainaillah rajiun pole sna juma tafuta sehem ukae ulie sna utoe uchung wote then muombee dua sna allah akupe subra kwa ktk kipind hich kigum
Nimefurah sana mtoto kukaa na warda ❤
Poleni sana
Pole sanaaa jumaaa
Pole sn
Duuh aisee 🙌 maisha
Pole Juma mungu akutie nguvu
Pole sanaa juma lokole
Jamani mtu akifiwa anaumia sanaaa 😢polee
Mungu akujalie subra inshallah 🙏 kifo ni fumbo kubwa na awasameh mait wote waliotngulia mbele ya haki na awasameh makosa yao
pole sana juma natamani niwe karibu nikufariji😢😢😢❤
Plol sana juma dah!kazi ya mungu Haina makosa.
Be strong 💪 juma sorry
So sad wallahi 😢😢😢😢
Pole sana juma😭
Pole juma
Polejuma
Najuwa ulivo umia poleee mdg wangu
Pole sana kaka dah
Hadi nmeli dida😂😮😮😮
Dida mungu akupe kaul dhabiti uko kuliko malaika wa kher wakawe naw pumzk kwa aman mamy
😭😭😭😭pole sanaa Juma
Mwambieni uyo juma,,anachokifanya yeye ndo alitakiwa kukifanya kumbuka,mana ndo walibond vibaya,,
daaa makubwa haya jamani warda umejicreem rangi yote ile nzur leo umejichubua loooh
Pole mdogo wangu juma kiukweli hata mimi nimejikuta nalia
Mama ni Mama Mama Hana mfano hakifa hakuna atakaekupenda kama Yeye 💔 😩🥺 kifo kifo kifo hakina huruma😢
Dida kaondoka kama utani. Rest in peace dada
Allah ammpe kauli thabit
Du, yani wafu wangekuwa wanaludi Alafu Dida amukute Juma Anália hivi asinge kubari Kufa tena maana Juma anateseka Juma muombee tu Dida Kweli ulimpenda dada Yako pole Juma pole juma
Pole
Hii interview unanifnya nilie pole juma lokole pole
😢😢
Pole juma😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Subhanallah 😢😢😢😢
Juma umeniliza
Poleni sana sana sana!
Nanyie msimhoji hoji sana jamani mnamkumbusha muacheni kwanza asahau jamani
mshaaaanza
Pole sana juma 😢 rest in peace dida
Kama umejifunza mengi Juma basi ndio uwache umbea na chuki kwa wengine hasa mtu kama Hamissa mbona wamchukia huyo dada ? Sasa kifo cha dida kiwe kama funzo kwako acha kbda ndugu yngu 😢😢😢
Innalillah wainalillah rajuin 😭
😢😢😢😢😢😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭juma wangu mim jamaniiiii
Kazi ya mungu haina makosa nassi turiopo tuombe mwisho mwema na Allah amlemu mbere yake nyuma yetu
hivyo vidole vipi? wnaume hatuongei na ishara... duh
Nimeliaa jamani daah😭😭😭😭😭😭😭😭
Warda warda wardaa umeongea point
Si mumuache huyu Juma lokole apumue jamani.
DIDA PUMZIKA KWA AMANI
Mnaniumiza nalia tu huku
Even me
Allah ampe kaulithabit
Juma ana maumivu jamani pole juma. Kumbuka alikuwa camera action yale machozi ya kumbuka ya kinafki
waja bwana
Mmh pole msiba usikie kwa mgine tu so uwe nyumban kwako au kwa mtu wako wakaribu
Pore 🙏🏾
Ni Pole..sio pore😏
@@masalakulwa7601 🤣🤣👍🏾👍🏾asanee🤣🤣
Sifa tunazopeana binadamu baada ya kufa tungekua mbali sana, ila pole jitahidi na ujikaze kama GEORGE BANTU, yule jamaa kajikaza sana
Sorry juma
😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Warda haya ungekuwa unampa mafunzo ndugu yako tangu yupo hai lkn ona mlivyomfanya mtoto anatembea uchi mitandaoni picha za uchi tele aisee Samira anatakiwa afunzwe dini hd arudi kuvaa stara sterehe ziishe mtoto bado mdogo lkn kamuharibu kumpost uchi Astaghafilullah Mungu amsamehe huko alipo In'shaallah
wewe tena
Pole sana Juma kumbe unahuruma na upendo ❤ Ohoo pole juma R.I.P Dida tuna kupenda daima 😭😭
Mwambieni uyo juma,,anachokifanya yeye ndo alitakiwa kukifanya kumbuka,mana ndo walibond vibaya,,
pole sana juma😢😢😢😢
Pole sana Juma
Pole sana juma
Pole sana Juma
Pole sana Juma