Uko kuslay ukiwa umesukaaa kuna ulazima wa kuosha na kam kuna kuosha kwahy 2takuwa 2nakaz ya kusuka siku mbili nanafumua 2naplay 2naosha tena tunasuka am sijaelew mpnz
Samahan naomb ili swali unijibu plz kama umesuka kam ivo au mnyooshoo ukafanya iyo treatment je unaosha ukiwa ivoivo umesuka au unaacha ivoiv nywele zikifumuka ndy nioshee maan umesema unaweza kufany mar 3 kwa wiki je kam umesuka mnyoosho au mabutu unaweza kufanya ivo na usioshe ukaziacha ivoivo mpk nywele zitakapofumuka ndy nioshe na shampuu
Has Sarah unaeda OSHA nywele bila kusuka Ni lazima usuke?? Af Kama hauna hayo mafuta unaeza eka tu maji ya kitunguu pekee ama?? Af nywele yangu ya mbele imekatika kabisa niabie nitafanya nn do ikue
Hakuna m2 ninayeteseka kam mimi jamanii nywele toka mwez wa kumi mpk sasa hazikui na hazin dawa wala nini na nina kila bidhaaa yaan sijui ndy kutokuwa na asili ya nywele na mbele na nyuma sina nywele na sijawah suka mitindo zaid ya mkono ila mbele zimegoma kuota na nyuma na hazina dawa sielew nifanyaje jmnii nisaidie mpk nakata tamaa 😭😭🙌
Has Sarah unaeda OSHA nywele bila kusuka Ni lazima usuke?? Af Kama hauna hayo mafuta unaeza eka tu maji ya kitunguu pekee ama?? Af nywele yangu ya mbele imekatika kabisa niabie nitafanya nn do ikue
Has Sarah unaeda OSHA nywele bila kusuka Ni lazima usuke?? Af Kama hauna hayo mafuta unaeza eka tu maji ya kitunguu pekee ama?? Af nywele yangu ya mbele imekatika kabisa niabie nitafanya nn do ikue
Kitungu nakikubari sana kinasaidiy kwasimiy 100 asanta ❤❤🎉
Uko kuslay ukiwa umesukaaa kuna ulazima wa kuosha na kam kuna kuosha kwahy 2takuwa 2nakaz ya kusuka siku mbili nanafumua 2naplay 2naosha tena tunasuka am sijaelew mpnz
Nice dear l will try it nipitie guys
❤️❤️❤️❤️❤️
Ikibaki unaweza kutumia tena siku nyingine au ni lazima iwe hapo kwa hapo .
harufu yake itakua kali,,, bora utengeneze chache
Aki mmi nmejaribu mpka nmegive up...cjui mmi ndo sielewi au ni vpi aki
dada yangu kitu nikiboko yanywele zilizo shindikana namim pya natumiy sana tuuu
Thank madam
Ur welcome❤️
@@Sarah1.Kaz ya karafu ni nn??
Aiyezi nuka
Kwa ambao hamn nywele hii inawafaa zaid, cc wengine tuna nywele za asili hatupaki kitu n zinakuwa tu😂
@@mongeramatondo1320 well said❤️
oh my God thx my sister 😂❤❤❤❤❤❤❤
Vp
Thanks madam
Your welcome dear♥️
Ooooo sawa mamy kwahio naoshakwanza ndonapakaaa
Nitumie no yako ya kawaida basi dada tuwetunawasilianaa
Ndiyooo
Thanks
Naweza kutumia mafuta mengne tofaut na hayo unayo tumia hapo kuchanganya?
Hae Sarah naonba ujibu hili swali what if umeshukwa lines za braid,Ni lazima uoshe ama unaeza spray tu then uoshe the following day?
Unaweza spray cyo lazima kuosha siku hyohyo…..
@@Sarah1. nywele hiezi TOA harufu mbaya dear?
Lazima utumie io mafuta ama unaeza tumia yoyote tu
Salama murembo nivitugani unaezatumia kuondoa weupe wamyweri
Habari
hata kama nywele zinakatika katita inatibu sindy
Inakuza na kujaza… kukatika n ukavu wa nywele…. Paka shea butter na leave in conditioner
Km sina hayo mafuta au nikikosa hiyo karafuu nifanyeje d
Unaeza tumia mafuta yeyote ya nywele ama
Samahan naomb ili swali unijibu plz kama umesuka kam ivo au mnyooshoo ukafanya iyo treatment je unaosha ukiwa ivoivo umesuka au unaacha ivoiv nywele zikifumuka ndy nioshee maan umesema unaweza kufany mar 3 kwa wiki je kam umesuka mnyoosho au mabutu unaweza kufanya ivo na usioshe ukaziacha ivoivo mpk nywele zitakapofumuka ndy nioshe na shampuu
Ndiyo dear unaosha ukiwa umesuka
Na kwa mwenye nywele za dawa anatumia ?
Naomba unisaidie nywele zangu mm ni nyekundu sana na sijui nifanyaje
vp kma huna mafuta ya Castro huwez eka mengine
Ndiyo dear
Kama maji yamelala naruhusiwa kutumia
Hey unatumiya kwa mud ngan
Vp unaweza weka mafuta yanayitwa nice
❤
😢naxhkul fana Dada angu❤❤
Naeza tumia mafta yyte siz
Has Sarah unaeda OSHA nywele bila kusuka Ni lazima usuke?? Af Kama hauna hayo mafuta unaeza eka tu maji ya kitunguu pekee ama?? Af nywele yangu ya mbele imekatika kabisa niabie nitafanya nn do ikue
Mim nywele yangu zina katika sana nahiyo mafuta nitayatowa wapi huk
Unaishi wap dear
@@Sarah1. Nipo shinyangaaaa
Kama yangu
Hakuna m2 ninayeteseka kam mimi jamanii nywele toka mwez wa kumi mpk sasa hazikui na hazin dawa wala nini na nina kila bidhaaa yaan sijui ndy kutokuwa na asili ya nywele na mbele na nyuma sina nywele na sijawah suka mitindo zaid ya mkono ila mbele zimegoma kuota na nyuma na hazina dawa sielew nifanyaje jmnii nisaidie mpk nakata tamaa 😭😭🙌
Oky nchek WhatsApp 0652167088
@@Sarah1. na mm pia
Kwan lazm uoshe siku iyoiyoo baada ya kuslay na hayo maji au unaweza ukaacha siku ukifumua ndy unaosha ama
Unaweza ukaacha dear hayana madhara♥️
Mm nywere zangu hazikuwi
Samahan hayo maj ni ya moto au bard
Mafuta za nywele
No baada ya mda gani unaona matokeo
Ukishapaka hauziosh
Hello! napaswa kuipaka kwenye nyele marangapi kwa wiki?
Amesema mara 2,3,4
Naweza kuweka mafuta yoyote kwenye yangu kam sina hayo mafuta
Kwenye nywele yangu
jambo ninaitaji unipenambazako nitakuulizakidongo njuyanywele
Shukuran kwa somo hili ila mim nywel zang ni nywepes san je nitumie nn ili ziwe zito
Me nywele zangu ni nyekundu na zmedumaa
Ni za dawa?
Na nywele ambazo ya nyuma inakatika
❤L
Je nikiweka zikakaaa Kwa huo muda naweza ziosha ama
Yes my dear
Mm nikiwa na mafuta. Nikakosa kalafuu
Naweza kuweka mafta yoyote kama cn hayo casto oil na nywele yenye dawa naweza fanya hivyo?
Dada sara je? Unaweza weka kitunguuu na yai naweza nikatumia
Watak mchuzi ndipo bado chumvi to
Mimi nafanya hivyo lakini nywele yangu inakatika
Je kama umeshevu ndounataka kusuka inakuwaje naweza kupakaaa au vipiii
Yes unaweza paka
Naomba unijibu sister nimeweka dawa juzi je naweza kutumia?
subiri ziote..... then utapulizia hayo maj kwenye ngozi
@@Sarah1. Hooh Nilikua nywelee azitakatika mana sitaki zikatike sister
Lazima ikue kitunguu ya purple ama ata ya white unaweza saidia
White pia inafaa dear❤️
@@Sarah1. Asante 🥰
kama hauna hayo mafuta unaweza kutumi yoyote yale?
yes
Je ukiwa na mafuta ya nazi je kuchanganyia yanafaa
Piya naomba number yako ili nipate kufasiriwa zaidi
Kalafuu ni nini?
cloves
je kam nyele zina dawa
zangu zenyewe zina dawa
Natakiwa nizioshe baada ya muda gani baada ya kuspey hayo maji?
Dk thelathin dear
Uzioshi
Kama nywele inadawa naweza nikatumi huo mchanganyiko
Kama huna mafuta crato itakuwaje
Unatumia mafuta gani
Mimi natumiy Moringa oil ayo nisaw ama
Zinaweza kukua kwa ck ngap
Sasa ka uko nanywele ndogo
Kwan ni lazma niweke hyo karafuu ya unga
Mko sure kuhusu hii nijaribu?
mimi naomba namba zako niwe nakuja tunafanya ote ivo namm nywele yangu ikue
Ja ma ni ni me ipe nda ngoja nijali bu
Vp kama hautaeka mafuta yoyote
Zitakauka alafau zitakatika
Ok asante
Maji inafaa kuwa moto au baridi?
ya kawaida
Vip nazenye dawa nazo naweka au
Unaeza tumia one month pekee
Mafuta waeza Eka yoyote ama
Na mm Sina mafuta aki na clove's
Ni sawa dear
Mi na swali sarah
Sijaon unazngumzia kunyoosh apo au baada ya kupak vtunguu na karafu(majii) huoshiii
Unaweza kubak nayo hata uciku mmoja kama hutojal harufu yake lakin dk 30 zinatosha daer
kama huna hayo mafuta uweke mafuta gan sasa
Ayo maji ya barid to napsha yenyewe tu au na xabun
Huwez tumia mafuta ya Kula ama ya chelehan maana ndo natumia
Je unatakiwa kupaka ukiwa umefumua nywele??
Wakati wowote
Inatakiwa uoshe namajt au nasabun
maji tuu.....
@@Sarah1. Okay asant
@@Sarah1. Jaman da Sarah nimefanya namm kama ulivyo elekeza Marshall nyele imeota imeota kwakas nyeusitiiii semann inakatika sijuw shidann
@ElizabethVicent-c3v tafuta shea butter mamy
@@Sarah1. Hay kipenz Chang
Kaluba
Kama uko nanywele ndogo
Nimekubali naamini namm kesho nafanya hivyo
Alafu makuta yakupikiya
na mfut y naz je???
Ukwel nimetengeneza jamani nimekuza nwel
Unaosha na shampoo au
Kama hauna hayo mafuta waezatumia mafuta yoyote
ndiyo dear
@@Sarah1. Asante
Na krafuu ukiwa hauna
@@AmaniSabit tumia hvohvo .... karafuu n kwaajili ya kukata harufuu
Nina weza kutumia mafuta ya nazi
Na kama una mafuta
Tumia dear❤️
Naomba kuuliza sasa hayo maji unayamaliza kwa siku 1 ao?na unaweka mara ngapi kwa siku?
Hapana dear utaweka asubuh na jion inategemea Kiasi ulichotengeneza
Ok mamy asante
Na baadae ya kuziosha unazikausha na nn
Unasuka tu mabutu kawaida dear
Kama haya mafuta Siya juwi
castor oil
Jambo ninalazima yakujuwa dawa
Vp kwa upande ambao tuna nywelee zenye dawa
Unatumia dear
Kwenye ngoziii tuuu
Baada ya kupaka maji hayo utaziosha?
Yes dear baaada ya dk 30…. Kama utaweza kukaa nayo n sawa ila kitunguu kina harufu…
Na nikiweka mafuta ya nazi
Sawadear
Km hayo mafuta sin je siwezi tumia mengine?
ndiyo dear, unaweza
Alafu ukiweka olive oil nivibaya?
N Sawa kabisa ♥️
na mafut ya nazi je???
Thanks
❤
❤️❤️
Has Sarah unaeda OSHA nywele bila kusuka Ni lazima usuke?? Af Kama hauna hayo mafuta unaeza eka tu maji ya kitunguu pekee ama?? Af nywele yangu ya mbele imekatika kabisa niabie nitafanya nn do ikue
Unaweza kuosha, bila kusuka❤️ hapana ukitumia maji tafuta mafuta unayoyapenda nywele ziwe lainiii…
Kwahio hadinisuke ndonipakeee
Has Sarah unaeda OSHA nywele bila kusuka Ni lazima usuke?? Af Kama hauna hayo mafuta unaeza eka tu maji ya kitunguu pekee ama?? Af nywele yangu ya mbele imekatika kabisa niabie nitafanya nn do ikue
Asante Sana Somo Zuri Sana.