MAAJABU YA KITUNGUU KWENYE NYWELE🙌

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024

Комментарии • 171

  • @user-nv1uk7bi4e
    @user-nv1uk7bi4e Месяц назад +6

    Kitungu nakikubari sana kinasaidiy kwasimiy 100 asanta ❤❤🎉

  • @logobonking1561
    @logobonking1561 Год назад +5

    Uko kuslay ukiwa umesukaaa kuna ulazima wa kuosha na kam kuna kuosha kwahy 2takuwa 2nakaz ya kusuka siku mbili nanafumua 2naplay 2naosha tena tunasuka am sijaelew mpnz

  • @I-am-ashley6
    @I-am-ashley6 Месяц назад +3

    Nice dear l will try it nipitie guys

    • @Sarah1.
      @Sarah1.  Месяц назад +1

      ❤️❤️❤️❤️❤️

  • @ELIZABETH-uz6dv
    @ELIZABETH-uz6dv Месяц назад +5

    Ikibaki unaweza kutumia tena siku nyingine au ni lazima iwe hapo kwa hapo .

    • @Sarah1.
      @Sarah1.  Месяц назад

      harufu yake itakua kali,,, bora utengeneze chache

  • @JudyWakesho-og3fs
    @JudyWakesho-og3fs Год назад +7

    Aki mmi nmejaribu mpka nmegive up...cjui mmi ndo sielewi au ni vpi aki

    • @user-nv1uk7bi4e
      @user-nv1uk7bi4e Месяц назад

      dada yangu kitu nikiboko yanywele zilizo shindikana namim pya natumiy sana tuuu

  • @MarianivensNivenspeter-vl4cj
    @MarianivensNivenspeter-vl4cj Год назад +4

    Thank madam

  • @CatherineWaithaka-x3c
    @CatherineWaithaka-x3c 5 дней назад

    Aiyezi nuka

  • @mongeramatondo1320
    @mongeramatondo1320 18 дней назад +2

    Kwa ambao hamn nywele hii inawafaa zaid, cc wengine tuna nywele za asili hatupaki kitu n zinakuwa tu😂

    • @Sarah1.
      @Sarah1.  18 дней назад

      @@mongeramatondo1320 well said❤️

  • @user-jn2cx4uw3x
    @user-jn2cx4uw3x 2 месяца назад +3

    oh my God thx my sister 😂❤❤❤❤❤❤❤

  • @saumuhamadi3285
    @saumuhamadi3285 Год назад +2

    Thanks madam

    • @Sarah1.
      @Sarah1.  Год назад

      Your welcome dear♥️

    • @user-ix7ds3tg3b
      @user-ix7ds3tg3b Год назад +1

      Ooooo sawa mamy kwahio naoshakwanza ndonapakaaa

    • @user-ix7ds3tg3b
      @user-ix7ds3tg3b Год назад

      Nitumie no yako ya kawaida basi dada tuwetunawasilianaa

    • @Sarah1.
      @Sarah1.  Год назад

      Ndiyooo

  • @NancyAwuor-v4e
    @NancyAwuor-v4e Месяц назад +1

    Thanks

  • @ZainabuShilima
    @ZainabuShilima 15 дней назад +1

    Naweza kutumia mafuta mengne tofaut na hayo unayo tumia hapo kuchanganya?

  • @hellenbakhoya3578
    @hellenbakhoya3578 Год назад +4

    Hae Sarah naonba ujibu hili swali what if umeshukwa lines za braid,Ni lazima uoshe ama unaeza spray tu then uoshe the following day?

    • @Sarah1.
      @Sarah1.  Год назад

      Unaweza spray cyo lazima kuosha siku hyohyo…..

    • @hellenbakhoya3578
      @hellenbakhoya3578 Год назад

      @@Sarah1. nywele hiezi TOA harufu mbaya dear?

    • @LucyWambua-xo8vt
      @LucyWambua-xo8vt 19 дней назад

      Lazima utumie io mafuta ama unaeza tumia yoyote tu

  • @UwayezuCharite
    @UwayezuCharite Месяц назад +1

    Salama murembo nivitugani unaezatumia kuondoa weupe wamyweri

  • @MariamMishaki
    @MariamMishaki 5 дней назад +1

    Habari
    hata kama nywele zinakatika katita inatibu sindy

    • @Sarah1.
      @Sarah1.  5 дней назад

      Inakuza na kujaza… kukatika n ukavu wa nywele…. Paka shea butter na leave in conditioner

  • @BernadetteJoseph-zj4rh
    @BernadetteJoseph-zj4rh 2 месяца назад +3

    Km sina hayo mafuta au nikikosa hiyo karafuu nifanyeje d

  • @ElizabethMutunge
    @ElizabethMutunge 5 дней назад

    Unaeza tumia mafuta yeyote ya nywele ama

  • @logobonking1561
    @logobonking1561 Год назад +2

    Samahan naomb ili swali unijibu plz kama umesuka kam ivo au mnyooshoo ukafanya iyo treatment je unaosha ukiwa ivoivo umesuka au unaacha ivoiv nywele zikifumuka ndy nioshee maan umesema unaweza kufany mar 3 kwa wiki je kam umesuka mnyoosho au mabutu unaweza kufanya ivo na usioshe ukaziacha ivoivo mpk nywele zitakapofumuka ndy nioshe na shampuu

  • @shabarben
    @shabarben 22 дня назад

    Naomba unisaidie nywele zangu mm ni nyekundu sana na sijui nifanyaje

  • @stellaarcadios5377
    @stellaarcadios5377 Год назад +5

    vp kma huna mafuta ya Castro huwez eka mengine

  • @batistadaud6
    @batistadaud6 5 дней назад

    Hey unatumiya kwa mud ngan

  • @FrancoiseNahimana-u8v
    @FrancoiseNahimana-u8v 25 дней назад

    Vp unaweza weka mafuta yanayitwa nice

  • @user-bd6ku6je1f
    @user-bd6ku6je1f 2 месяца назад +2

  • @MagrethSigala
    @MagrethSigala Месяц назад +1

    😢naxhkul fana Dada angu❤❤

  • @ShanizJumah
    @ShanizJumah 8 дней назад

    Naeza tumia mafta yyte siz

  • @FaithMawia-ps8uf
    @FaithMawia-ps8uf Год назад +1

    Has Sarah unaeda OSHA nywele bila kusuka Ni lazima usuke?? Af Kama hauna hayo mafuta unaeza eka tu maji ya kitunguu pekee ama?? Af nywele yangu ya mbele imekatika kabisa niabie nitafanya nn do ikue

  • @dinabilemanga1703
    @dinabilemanga1703 Год назад +3

    Mim nywele yangu zina katika sana nahiyo mafuta nitayatowa wapi huk

  • @mwendenaomi33
    @mwendenaomi33 22 дня назад +1

    Kama yangu

  • @logobonking1561
    @logobonking1561 Год назад +3

    Hakuna m2 ninayeteseka kam mimi jamanii nywele toka mwez wa kumi mpk sasa hazikui na hazin dawa wala nini na nina kila bidhaaa yaan sijui ndy kutokuwa na asili ya nywele na mbele na nyuma sina nywele na sijawah suka mitindo zaid ya mkono ila mbele zimegoma kuota na nyuma na hazina dawa sielew nifanyaje jmnii nisaidie mpk nakata tamaa 😭😭🙌

  • @logobonking1561
    @logobonking1561 Год назад +2

    Kwan lazm uoshe siku iyoiyoo baada ya kuslay na hayo maji au unaweza ukaacha siku ukifumua ndy unaosha ama

    • @Sarah1.
      @Sarah1.  Год назад

      Unaweza ukaacha dear hayana madhara♥️

  • @LatifaRashid-b4c
    @LatifaRashid-b4c 25 дней назад

    Mm nywere zangu hazikuwi

  • @fatnashemliwa-jq9ez
    @fatnashemliwa-jq9ez День назад

    Samahan hayo maj ni ya moto au bard

  • @mwendenaomi33
    @mwendenaomi33 22 дня назад +1

    Mafuta za nywele

  • @RehemaJohn-v4e
    @RehemaJohn-v4e 6 месяцев назад +2

    No baada ya mda gani unaona matokeo

  • @Leticia-r8c
    @Leticia-r8c 7 месяцев назад +2

    Ukishapaka hauziosh

  • @LydiaHangi-z7m
    @LydiaHangi-z7m Месяц назад +1

    Hello! napaswa kuipaka kwenye nyele marangapi kwa wiki?

  • @SalumKhamis-n6x
    @SalumKhamis-n6x Год назад +20

    Naweza kuweka mafuta yoyote kwenye yangu kam sina hayo mafuta

  • @AishaRashed-m5o
    @AishaRashed-m5o Месяц назад

    Shukuran kwa somo hili ila mim nywel zang ni nywepes san je nitumie nn ili ziwe zito

  • @angelinefrancis
    @angelinefrancis Год назад +2

    Me nywele zangu ni nyekundu na zmedumaa

  • @user-rg3jw3dl9t
    @user-rg3jw3dl9t 6 месяцев назад +3

    Na nywele ambazo ya nyuma inakatika

  • @GraceLinda-z7f
    @GraceLinda-z7f 13 дней назад

    ❤L

  • @vailethnehemia5292
    @vailethnehemia5292 Год назад +2

    Je nikiweka zikakaaa Kwa huo muda naweza ziosha ama

  • @ElizabethMichael-u8b
    @ElizabethMichael-u8b Месяц назад

    Mm nikiwa na mafuta. Nikakosa kalafuu

  • @LinaRobert-p8g
    @LinaRobert-p8g Месяц назад

    Naweza kuweka mafta yoyote kama cn hayo casto oil na nywele yenye dawa naweza fanya hivyo?

  • @HopeMathias-ci1ol
    @HopeMathias-ci1ol 8 месяцев назад +2

    Dada sara je? Unaweza weka kitunguuu na yai naweza nikatumia

  • @maryobedi6807
    @maryobedi6807 Месяц назад

    Mimi nafanya hivyo lakini nywele yangu inakatika

  • @user-ix7ds3tg3b
    @user-ix7ds3tg3b Год назад +1

    Je kama umeshevu ndounataka kusuka inakuwaje naweza kupakaaa au vipiii

    • @Sarah1.
      @Sarah1.  Год назад

      Yes unaweza paka

  • @OnorinaKiza
    @OnorinaKiza Месяц назад +1

    Naomba unijibu sister nimeweka dawa juzi je naweza kutumia?

    • @Sarah1.
      @Sarah1.  Месяц назад +1

      subiri ziote..... then utapulizia hayo maj kwenye ngozi

    • @OnorinaKiza
      @OnorinaKiza Месяц назад

      @@Sarah1. Hooh Nilikua nywelee azitakatika mana sitaki zikatike sister

  • @hassanmakokha274
    @hassanmakokha274 Год назад +2

    Lazima ikue kitunguu ya purple ama ata ya white unaweza saidia

  • @jellymagoha
    @jellymagoha 4 месяца назад +1

    kama hauna hayo mafuta unaweza kutumi yoyote yale?

  • @HawahAbdallah
    @HawahAbdallah 13 дней назад

    Je ukiwa na mafuta ya nazi je kuchanganyia yanafaa

  • @LydiaHangi-z7m
    @LydiaHangi-z7m Месяц назад +1

    Piya naomba number yako ili nipate kufasiriwa zaidi

  • @estherwanja3804
    @estherwanja3804 Месяц назад +1

    Kalafuu ni nini?

  • @MamaAliyah-j7b
    @MamaAliyah-j7b Месяц назад +1

    je kam nyele zina dawa

    • @Sarah1.
      @Sarah1.  Месяц назад

      zangu zenyewe zina dawa

  • @ceciliashirima7063
    @ceciliashirima7063 Год назад +3

    Natakiwa nizioshe baada ya muda gani baada ya kuspey hayo maji?

    • @Sarah1.
      @Sarah1.  Год назад

      Dk thelathin dear

  • @BarbieKiay
    @BarbieKiay 7 месяцев назад +1

    Uzioshi

  • @HeriethKalinga
    @HeriethKalinga Месяц назад

    Kama nywele inadawa naweza nikatumi huo mchanganyiko

  • @dinabilemanga1703
    @dinabilemanga1703 Год назад +3

    Kama huna mafuta crato itakuwaje

  • @AnithaDominic
    @AnithaDominic 6 месяцев назад

    Zinaweza kukua kwa ck ngap

  • @Malikiya-z9o
    @Malikiya-z9o 17 дней назад +1

    Sasa ka uko nanywele ndogo

  • @MaryMboje-wd6kx
    @MaryMboje-wd6kx Месяц назад

    Kwan ni lazma niweke hyo karafuu ya unga

  • @macrinafuraha-zg3mi
    @macrinafuraha-zg3mi Месяц назад

    Mko sure kuhusu hii nijaribu?

  • @gracekeneth-w1g
    @gracekeneth-w1g 6 месяцев назад

    mimi naomba namba zako niwe nakuja tunafanya ote ivo namm nywele yangu ikue

  • @ShadiaAswadi
    @ShadiaAswadi 28 дней назад

    Ja ma ni ni me ipe nda ngoja nijali bu

  • @BidallaKhamisi
    @BidallaKhamisi Год назад +2

    Vp kama hautaeka mafuta yoyote

  • @estherwanja3804
    @estherwanja3804 Месяц назад +1

    Maji inafaa kuwa moto au baridi?

  • @JonesiaVenantiGervas
    @JonesiaVenantiGervas Месяц назад

    Vip nazenye dawa nazo naweka au

  • @Geena_e
    @Geena_e 9 месяцев назад

    Unaeza tumia one month pekee

  • @RoseJemima
    @RoseJemima 27 дней назад

    Mafuta waeza Eka yoyote ama

  • @MarthaNyanchera-jz6vq
    @MarthaNyanchera-jz6vq Год назад +1

    Na mm Sina mafuta aki na clove's

    • @Sarah1.
      @Sarah1.  Год назад

      Ni sawa dear

    • @veronicamagoma76
      @veronicamagoma76 Год назад +1

      Mi na swali sarah
      Sijaon unazngumzia kunyoosh apo au baada ya kupak vtunguu na karafu(majii) huoshiii

    • @Sarah1.
      @Sarah1.  Год назад

      Unaweza kubak nayo hata uciku mmoja kama hutojal harufu yake lakin dk 30 zinatosha daer

  • @almishiathumani
    @almishiathumani Месяц назад

    kama huna hayo mafuta uweke mafuta gan sasa

  • @user-gm2vn1pr2c
    @user-gm2vn1pr2c Год назад +1

    Ayo maji ya barid to napsha yenyewe tu au na xabun

    • @user-gm2vn1pr2c
      @user-gm2vn1pr2c Год назад +1

      Huwez tumia mafuta ya Kula ama ya chelehan maana ndo natumia

  • @FATMAHKELLY
    @FATMAHKELLY Год назад +2

    Je unatakiwa kupaka ukiwa umefumua nywele??

  • @ElizabethVicent-c3v
    @ElizabethVicent-c3v 17 дней назад +1

    Inatakiwa uoshe namajt au nasabun

    • @Sarah1.
      @Sarah1.  17 дней назад

      maji tuu.....

    • @ElizabethVicent-c3v
      @ElizabethVicent-c3v 16 дней назад

      @@Sarah1. Okay asant

    • @ElizabethVicent-c3v
      @ElizabethVicent-c3v 15 дней назад +1

      @@Sarah1. Jaman da Sarah nimefanya namm kama ulivyo elekeza Marshall nyele imeota imeota kwakas nyeusitiiii semann inakatika sijuw shidann

    • @Sarah1.
      @Sarah1.  15 дней назад

      @ElizabethVicent-c3v tafuta shea butter mamy

    • @ElizabethVicent-c3v
      @ElizabethVicent-c3v 15 дней назад

      @@Sarah1. Hay kipenz Chang

  • @KalubaDavid
    @KalubaDavid Месяц назад

    Kaluba

  • @Malikiya-z9o
    @Malikiya-z9o 17 дней назад

    Kama uko nanywele ndogo

  • @dorisloitare-xi9bg
    @dorisloitare-xi9bg 9 месяцев назад

    Nimekubali naamini namm kesho nafanya hivyo

  • @Naziri17
    @Naziri17 Год назад +1

    Alafu makuta yakupikiya

  • @RajabuShah
    @RajabuShah Месяц назад

    na mfut y naz je???

  • @user-ms5di7wy1o
    @user-ms5di7wy1o Месяц назад

    Ukwel nimetengeneza jamani nimekuza nwel

  • @AmaniSabit
    @AmaniSabit 2 месяца назад +1

    Kama hauna hayo mafuta waezatumia mafuta yoyote

    • @Sarah1.
      @Sarah1.  2 месяца назад

      ndiyo dear

    • @AmaniSabit
      @AmaniSabit 2 месяца назад

      @@Sarah1. Asante

    • @AmaniSabit
      @AmaniSabit 2 месяца назад +1

      Na krafuu ukiwa hauna

    • @Sarah1.
      @Sarah1.  2 месяца назад

      @@AmaniSabit tumia hvohvo .... karafuu n kwaajili ya kukata harufuu

  • @ScolastikaMahundi
    @ScolastikaMahundi 2 дня назад

    Nina weza kutumia mafuta ya nazi

  • @naominjenga1660
    @naominjenga1660 Год назад +2

    Na kama una mafuta

    • @Sarah1.
      @Sarah1.  Год назад

      Tumia dear❤️

  • @wemibrah2495
    @wemibrah2495 Год назад +3

    Naomba kuuliza sasa hayo maji unayamaliza kwa siku 1 ao?na unaweka mara ngapi kwa siku?

    • @Sarah1.
      @Sarah1.  Год назад

      Hapana dear utaweka asubuh na jion inategemea Kiasi ulichotengeneza

    • @wemibrah2495
      @wemibrah2495 Год назад

      Ok mamy asante

  • @DianaDominick-e8l
    @DianaDominick-e8l Год назад +2

    Na baadae ya kuziosha unazikausha na nn

    • @Sarah1.
      @Sarah1.  Год назад

      Unasuka tu mabutu kawaida dear

  • @FrancineLuciaAssani
    @FrancineLuciaAssani 3 месяца назад +1

    Kama haya mafuta Siya juwi

    • @Sarah1.
      @Sarah1.  3 месяца назад

      castor oil

    • @FurahBazirake
      @FurahBazirake 2 месяца назад

      Jambo ninalazima yakujuwa dawa

  • @magrethjeremiah-6853
    @magrethjeremiah-6853 Год назад +2

    Vp kwa upande ambao tuna nywelee zenye dawa

    • @Sarah1.
      @Sarah1.  Год назад

      Unatumia dear

    • @Sarah1.
      @Sarah1.  Год назад

      Kwenye ngoziii tuuu

  • @user-lc5on5qf9r
    @user-lc5on5qf9r Год назад +1

    Baada ya kupaka maji hayo utaziosha?

    • @Sarah1.
      @Sarah1.  Год назад

      Yes dear baaada ya dk 30…. Kama utaweza kukaa nayo n sawa ila kitunguu kina harufu…

  • @khadijatwaha7684
    @khadijatwaha7684 Год назад +1

    Na nikiweka mafuta ya nazi

  • @BernadetteJoseph-zj4rh
    @BernadetteJoseph-zj4rh 3 месяца назад +1

    Km hayo mafuta sin je siwezi tumia mengine?

    • @Sarah1.
      @Sarah1.  3 месяца назад

      ndiyo dear, unaweza

  • @JulienneMapenzi-lq2tq
    @JulienneMapenzi-lq2tq Год назад +2

    Alafu ukiweka olive oil nivibaya?

    • @Sarah1.
      @Sarah1.  Год назад

      N Sawa kabisa ♥️

  • @RajabuShah
    @RajabuShah Месяц назад

    na mafut ya nazi je???

  • @RuthNafula-eo7mc
    @RuthNafula-eo7mc Месяц назад

    Thanks

  • @user-bd6ku6je1f
    @user-bd6ku6je1f 2 месяца назад +1

    • @Sarah1.
      @Sarah1.  2 месяца назад

      ❤️❤️

  • @FaithMawia-ps8uf
    @FaithMawia-ps8uf Год назад +1

    Has Sarah unaeda OSHA nywele bila kusuka Ni lazima usuke?? Af Kama hauna hayo mafuta unaeza eka tu maji ya kitunguu pekee ama?? Af nywele yangu ya mbele imekatika kabisa niabie nitafanya nn do ikue

    • @Sarah1.
      @Sarah1.  Год назад

      Unaweza kuosha, bila kusuka❤️ hapana ukitumia maji tafuta mafuta unayoyapenda nywele ziwe lainiii…

    • @user-ix7ds3tg3b
      @user-ix7ds3tg3b Год назад

      Kwahio hadinisuke ndonipakeee

  • @FaithMawia-ps8uf
    @FaithMawia-ps8uf Год назад +2

    Has Sarah unaeda OSHA nywele bila kusuka Ni lazima usuke?? Af Kama hauna hayo mafuta unaeza eka tu maji ya kitunguu pekee ama?? Af nywele yangu ya mbele imekatika kabisa niabie nitafanya nn do ikue

    • @ShukuruMadda.
      @ShukuruMadda. 2 месяца назад +1

      Asante Sana Somo Zuri Sana.