Bony Mwaitege -Neema Imenibeba '' (Official Music Audio)
HTML-код
- Опубликовано: 27 сен 2024
- Hellow ndugu zangu ulimwenguni kote, ule wimbo wetu wa Nikwaneema sasa tumeufanya kwa upya na naamini utakubariki sanaa,
#neemaimenibeba
Kwa Neema ya Mungu kazi zangu zote sasa zitapatikana katika channel yangu hii, nikuombe sana kuungana na mimi kwa hatua nyingine mpya kabisa.Mafuta ambayo Mungu ameyaweka ndani yangu ni wakati mwingine wa kukuvusha ...
Pia unaweza kuwasiliana namimi moja kwa moja kwa simu namba:-+255 753 582 739.
Bony Mwaitege -Neema Imenibeba
MUNGU AKUBARIKI SANA.
Neema inatosha.hivi nilivyio mimi.....ubarikiwe saaana mtumishi.
Wonderful song God bless you man of God ❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
Amen
Nyimbo nzuri sana🎉🎉🎉🎉❤❤
Asante
Wonderful ❤❤🎉🎉
Baba kazi ipo juu Sana ubarikiwe sana
I'm from kenya but working Dubai l love this song Neema ya mungu pia imenipepa❤🙏🙏
Kabisaa tunabebwa na neema ya Mungu ubarikiwe saaana 🙏 ndugu yangu
neema imenibebe mtumishi wa mungu ❤❤🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Naupenda muziki ♥️wa kiafrika japo siuelewi, mimi ni wa Angola🇦🇴 tu, ni mwafrika tu


Welcome Tanzania 🇹🇿
❤❤❤🔥🔥🔥
Powerful❤❤❤❤
Amina, nmebebwa na neema ya mwenyezi Mungu.. Mungu azidi kukuinua mtumishi wa mungu bonny..nyimbo zako za sai na ata za kitambo uwa zinatuhudumia na tunabarikiwa zaidi.. 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪
Asante sana ndugu yangu
@@bonimwaitege4073 barikiwa sana
Ni kwanema yake kweli. Na mimi ni mdhaifu sana lakini nema yake Mungu ndio inanisaidia. Ni Ubuntu bw Imana kweli. Sinobesha.
Hakika nimebebwa na neema ya mungu tu
Ubarikiwe Bony mwaitege
Loving this song ❤️
Wonderful song ❤❤
Thanks
Love your song aki sna
Hivyi nilivyo ni NEEMA ya MUNGU
❤❤❤❤❤❤❤❤❤ keep it up Man of God 🙏🙏🙏
I'm soo blessed by this song thanks and be blessed in the name of Jésus Pastor bony mwaitege❤
Thank you so much
Being lifted,and lited very nice
Uko SAWA Bonny tunakupenda sana.nawale vijana wanachezeanga poa usiwaache kabisa
Hata mm neema imenibeba
Kwer kaka balikiwa na bwana neema ya mungu imetubeba sana wimbo hakika unabaliki sana balikiwa sana
Neema ya mungu imenibeba katika jina la yesu 🙏🙏🤚
Primeiro comentário 🎉
Ameeen
Loving this song, Amen.
Amen
Kufika leo hii ni neema ya mungu tu❤❤
Amen
Kweli kabisa nimebebwa na Neema ya Mungu, Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu
ime nibeba
Amazing,,, man of God let that grace be with you always
I am a living testimony of God's Grace, thankyou mtumishi ❤
Amina🙏🙏🙏🙏🙏😥
Merci mon artiste
Legend wetu kwenye Gospel heshima kwako Mtumishi
🙌🙌🙌🙌🙌🙏🙏🙏🙏🙏👏👏👏👏
Amen 🙏
Mungu akubarikii sana mtumishi aendelee kukutumia tena na tena
Thanks God
Neema imbebe mtumishi wa MUNGU @Bony mwaitege na ivunje Sheria kwa jina la YESU 🙏🙏🙏 anaimba nyimbo zinazobariki na kuinua mioyo yetu🙏🙏 umbali huu YESU ni Ebenezer 🙏🙏🙏 lets support 🙏🙏🙏🙏🙏
Asante sana ndugu yangu
Amen Asante sana ndugu yangu
@@bonimwaitege4073❤❤
Amen amen
I really appreciate you mtumishi bony mwaitege
Amina
Neema imenibeba
Ahsante mtumishi
wonderful song👍
Neema
Nilishukuru kujuimuika nawe Nairobi Kwa Mchungaji Mukiadi wa Mukiadi......ulitamuka Baraka za vipaji vya uimbaji wa nyimbo za injili
Amen
Neema imenibeba hakika
Much love from Kenya ❤
Hakika nyimbo zako zinabariki na kumtukuza MUNGU wetu
Haleluya
Amen
You're the best ❤❤
Thanks
Kenyans in the house chapa likes... Neema imetubeba
Much blessing....ni kwa neema tu
Amen
Mume bado sina lakini kwanema nitamuona
Amen Amen Amen ashukuliwe Mungu mwenye katuletea neema ❤ ubarikiwe mtumishi wa Mungu yote hayo ni kwa Neema
Asante sana
Nikwa neema ya Mungu tuu❤❤❤
❤aminaaaa
My favourite song 🎵
Thanks
Bony wewe ni wa kigoma niamin unaimba vizuri kama waha
Ulakoze chane
Barikiwa sana
Watching and supporting from Kenya, Kitui county. Hallelujah oh sana
Thanks
Very nice 👍
Nice song mtumishi
ubarikiwe xana kwa kutumia sauti nzuri kutangaza neema ya mungu mungu azid kukupa sauti yenye uwezo daima
Asante sana
🙏🙏🙏🙏
❤tumefurahi sana kutoka Burundi
Mulakoze chaane
I'm blessed ❤❤❤
Wapi like za wakenya wenzangu ❤❤❤
Nice, neema ya mungu tu imenibeba
Ameen Ameen
Barikiwa mtumishi wa bwana
Nice
Ameeeen Amen
Congratulations hii nayo ni Kali🔥🔥🔥🔥🔥💖💖🎊🎊🎊.you are blessed
Ahsante sana
Asante
MUNGU AKUBARIKI SANA
Amen
Can the song be elaborated in English for me!
Balikiwa sana Mtumishi wa Mungu kwa wimbo huu.
Amen
Good job@ Boni
Bonge la remix wimbo NI KWA NEEMA.😄😄😄
Amen
when are you visiting kenya again
Kwa Neema Ya MUNGU Tuuu 1:51 1:53
Amen
Okay
Amen 🙏🙏🙏
Amen amen
Wema wa Mungu umenibeba
Amen
Very nice 👍
Courage vraiment pas de soucis 🇹🇿🇹🇿🇨🇩🇨🇩
God bless you, am blessed with your songs 🙏🙏🙏
Amen
Mungu akubariki sana , jinalabwa nayesu lisifiwe , Amina Amina ❤❤❤,🇨🇬🇨🇬🇨🇬🙏🙏🙏
Amina ndugu yangu
Good song.
Amina kwakweli neema inatutocha,
Am in Uganda how I like ur songs may u be blessed amen
Alleluya,❤
This is a hit 😊😊😊of another version. Kudos blessed man of God
🙏🙏🙏 high level man of God
Baba mungu akubariki kupitia wimbo,, neema tu RDC
The only wealth I have all my life is being a Christian. I'm pride!
Good morning. bro
Je me rappelle une chose