🇰🇪🇰🇪🇰🇪 1.salute 2.Napepea 3.acha nishukru mungu wangu 🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲 4.Ni Kwa nguvu zake. My people from mother land Kenya like tukisonga na injili safari bado🙏
Kuna kipindi unapita hata ndugu wanasema huna namna but MUNGU ana namna ya kukutoa hapo ulipo yusufu alipouzwa ndugu walisema hamna namna Ndoto Zeke zingeweza kutimia lakini kule kule walikoona hamna namna Mungu alifanya namna akawa waziri na Ndoto zikatia KUNA NAMNA MUNGU ATA FANYA KWENYE HIO HALI AMBAYO INAONEKA HAMNA NAMNA. I LOVE YOU ALL bone vs batuti.
Deus sempre a de surpreender os incrédulos para exaltar aqueles que o temem mesmo estando na humilhação hoje Deus vai permitir que não moram os nossos inimigos ou os que nos humilharam para ver como Deus nos honrou cá na terra aleluia aleluia sorte e estar na presença do pai celestial ❤❤❤aberto aleluia linda jóia do cordeiro de Deus que tira o pecado do mundo Mungu baba está com os que se tornaram seus filhos em nome de Jesus Cristo João 1 V12
Apostle Aniset butati for sure l myself I like your songs when the depression is high and situation too l come to your page to listen . one day lord will make a way for me 🙏
Kuna kipindi unapita hata ndugu wanasema huna namna but MUNGU ana namna ya kukutoa hapo ulipo yusufu alipouzwa ndugu walisema hamna namna Ndoto Zeke zingeweza kutimia lakini kule kule walikoona hamna namna Mungu alifanya namna akawa waziri na Ndoto zikatia KUNA NAMNA MUNGU ATA FANYA KWENYE HIO HALI AMBAYO INAONEKA HAMNA NAMNA. I LOVE YOU ALL bone vs batuti.
Ukisha tazama zote rudi hapa uniambie ipi nyimbo yako pendwa
🇰🇪🇰🇪🇰🇪
1.salute
2.Napepea
3.acha nishukru mungu wangu 🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲
4.Ni Kwa nguvu zake.
My people from mother land Kenya like tukisonga na injili safari bado🙏
🙏🙏🙏
Yako na bonny mwaitega
@@officialandy_keAsante🙏
Wakati wako ukifika,I watch everyday.
Huu mwimbu WA Aniset Butati unanikumbusha bahati sana kupitia maisha yangu Kuna watu walinikatia tamaa kimaisha sasa wananipigia Saluti🫡🫡
Hawa ni waimbaji wakubwa Africa wa nyimbo za kiswahili...
Kuna kipindi unapita hata ndugu wanasema huna namna but MUNGU ana namna ya kukutoa hapo ulipo yusufu alipouzwa ndugu walisema hamna namna Ndoto Zeke zingeweza kutimia lakini kule kule walikoona hamna namna Mungu alifanya namna akawa waziri na Ndoto zikatia KUNA NAMNA MUNGU ATA FANYA KWENYE HIO HALI AMBAYO INAONEKA HAMNA NAMNA. I LOVE YOU ALL bone vs batuti.
🙏🙏
Kabisaa
Amen
Hata wazazi hata weza weka mpaka kwa katikati ya wenginge wakasema Una nanna lakini kwa halla uko number moja🙏🏾
❤
Make it downloadable
jaman MUNGU muwwzesha wa yote hazidi kuwainua wote mmeimba vizuli nawapend sana nyimbo zote zipo sawa 👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏
Nampenda nyimbo zako mwaitege❤❤
🙏🙏🙏🙏🙏🙏♥️♥️♥️♥️am much blessed with the mix keep up glowing dear 😊❤
Amen, Zambe azwa lukumu.
Ngai naza bana 4 oyo baboyanga,papa nabango ayebisa bango ke ngayi na bwakabango pobaza bandiki.
Nihiii Yako na babu mwaitege mimi namuita babu sababu anastahili.....
Sasa hapa Bukavu tunawapenda saaana tupo congo
Unyumuimbaji anaitwanani kwasababu napendaka ni télé charge nyimbozake
Collabo na bony mwaitege huu wimbo naupenda mnoo
Nikijiona nmefika mwisho nikiuskiza huo wimbo najihisi kuinuliwa kiimani,,,,wakati wa mungu
Amina baba nikwanguvu zake mungu 🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤
Alilopanga mungu litatimia. Kwenye maisha yako Litatimia 😍 🥰
🙏🙏🙏
Usinikumbushe yaliyopita❤❤❤
Waliniita mlala hoi ila Sasa mungu amesimama nami.
Hakika usimwache mungu.
Kwa Nini kuimba mafanikiyo tu!!
Hawatakujibu.. hao
Mung awazindiz nguvu kwakazi zenu zauimbaji nyimb zaijili nawapenda sana kbx❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Much love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
All of them are good ❤️ message matters alot💯
❤❤❤❤zuli sana
Mchumba angu kupewa rafiki yangu 😢😂😂😂😂😂
Wakati wangu ukifika Wimbo umenfarji sana god bless you 🙏🏻
Mungu awainue zaidi ya hapa 🙏🙏🙏
Aminaa zote niushuda wangu na amini wataulizwa na nashukulu Mungu🙏🙏🙏🙏
Aah butati your wifee is pretty treasure herrr😊😊
Nyimbo zote zinabariki 🙏🙏🙏
Ila na ile nyimbo ya usinikumbushe, mambo yazamani, ikopowa sana
Watakuheshimu ndiyo umetishaaa! Maana hata mimi wameanza kuniheshimu hakika!❤❤❤🎉🎉🎉
Bless 🙌
Wow inaniguza moyo kweli mungu n mkuu mbarikiwe na aweke kwa viwango vya juu zaidi
Nikwa nguvu zake🥰🥰🥰
Ameeen mtumishi
Alilopanga Mungu litatimia imenigusa sana
Zote zinabariki ❤❤❤
Amejibu maombi ndo kali
Nyimbo zote zko saw aky mungu awainue viwango vya juu
Hiyo wimbo ni poa sana
Huu ni ushuhuda wangu kwa hakika, nangojea Mungu ajidhihirishe tu wakati wake
Amen zote zinabariki so mubarikiwe nyote🙏🙏🙏
amen wonderful song may God bless you 💪💪💪
Tuko shambani kweli ya yesu, mbarikiwe nyote
I really love your songs may almighty grant you more. Wisdom for these arts a men
Watakuheshimu yanibariki sana
Yanii huna baya zote zina ongeza iimanii❤❤😊
Analo panga mungu lazima litime.
Hinyimbo, uliipatia ikopowa sana, Mungu akubaliki sana,
Hongera sanaaa watumishi wa mungu, Continue shinning in jesus name🙏🙏
AMEN nyimbo zote barikiwa sana mtumishi wa MUNGU endelea kumtumikia Bwana
Nyimbo zote ziko sawa kabisa 🙏
Nice nice ❤❤0
Yaani zote ziko tu sawa,ujumbe mzito sana
Zote ujumbe tofauti kwa kila majira unayoipitia nakubali zote kabisa
Watakuheshimu huu wimbo unanikumbusha mbali sana
Nyimbo zako zone zinanibariki
Kweli kabisa
Deus é tão fiel para quem confia Nele aleluia 🙌 Deus abençoe vocês e todos que amam Ao nosso Deus em nome de Jesus Cristo ❤
🙏🙏🙏🙏 naamini ntainuliwa na mungu zaidi wakati wangu ukifika🙏🙏🙏🙏🙏
That's a good mix
Naupenda sana wimbo huu
Zote zabariki
Nyimbo nzuri sana zainua moyo
Ya kwanza
Nyimbo hizi zabariki Sana Sana
Nyimbo zote ukishirikisha huwa unafanya kweli ww ndio mwimbaji bora wa kila mwaka
Mwaitege ,usimwache Mungu
All so powerful be blessed from kenya wapi wenzangu
Why don't you allow us to download??! please! Mumefanya nimebuy Wifi
Hata nikipitia magumu bado nitaendelea kumsifu coz nimapito
Hongera mtumishi wa Mungu
Deus sempre a de surpreender os incrédulos para exaltar aqueles que o temem mesmo estando na humilhação hoje Deus vai permitir que não moram os nossos inimigos ou os que nos humilharam para ver como Deus nos honrou cá na terra aleluia aleluia sorte e estar na presença do pai celestial ❤❤❤aberto aleluia linda jóia do cordeiro de Deus que tira o pecado do mundo Mungu baba está com os que se tornaram seus filhos em nome de Jesus Cristo João 1 V12
Amina 🙏🙏 wapi link ya download ❤😊
Umebariki moyo wangu
Imebaki story
❤❤
Bonny mwaitenge ft butati
Wale wale watakupigiya saluti
Hiyo ya Mjomba bony ni balaa 🔥🔥🔥
But zote ni za baraka sana ni nzuri sana hujawahi kuniangusha
Nina sababu ya kushuru amen 🙏
Amen 🙏
Naomba link ya kudownload please
Amen🎉🎉🎉🎉🎉😊😮😅
Yeah 👏👏👏👏👏👏
Safi sana
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏❤️❤️🌹❤️❤️❤️
Amina sana
Zote ninzuri sanaa
Achilia link ya audio
Ameeen ameeen
Niceeee
Watabaki wanashanga
🎉🎉🎉
Mungu muweza wayote(Wale Wale) huu wimbo mmeimba maneno yamepangika ,ujumbe umefika.
🤲🤲🤲 amen
🇰🇪🇰🇪🤲🤲🤲
Apostle Aniset butati for sure l myself I like your songs when the depression is high and situation too l come to your page to listen . one day lord will make a way for me 🙏
Wale wale walisema sitaeza wale wale walisema sitaeza watanipigia salute 🤲 in mighty name 🤲
🙏🙏🙏🙏🙏🙏♥️♥️♥️♥️am much blessed with the mix keep up glowing dear 😊❤
Kuna kipindi unapita hata ndugu wanasema huna namna but MUNGU ana namna ya kukutoa hapo ulipo yusufu alipouzwa ndugu walisema hamna namna Ndoto Zeke zingeweza kutimia lakini kule kule walikoona hamna namna Mungu alifanya namna akawa waziri na Ndoto zikatia KUNA NAMNA MUNGU ATA FANYA KWENYE HIO HALI AMBAYO INAONEKA HAMNA NAMNA. I LOVE YOU ALL bone vs batuti.
Deus é tão fiel para quem confia Nele aleluia 🙌 Deus abençoe vocês e todos que amam Ao nosso Deus em nome de Jesus Cristo ❤
Nyimbo nzuri zainua moyo
Deus é tão fiel para quem confia Nele aleluia 🙌 Deus abençoe vocês e todos que amam Ao nosso Deus em nome de Jesus Cristo ❤