Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
une nifurayisha
🙈🙈
Dada nywele yangu nkichana inakatika nifanyeje ili isikatike
nywele zako ni kavu.... zipake live in conditioner na shea butter 🥰
Okay I will try
❤ umenifurahisha sana
I'm gonna try
Asante sana kipenzi ❤
Ready to try
Asante ngoja nijaribu nione
Asante sana
Asantee dada Sarah💜💜💜
Wow
Okey
Nitafanya❤
asante dada na mimi nitajalib Mana nyele yangu zimekatika bala
Ahsante
Asante sana 🙏🙏🙏
Wow ❤
Nitajaribu❤
Asant sana dada sarah
Ok thanks for watching
So much sister 😊
Asante sana 👌
❤️
Very nice
Shukran❤❤
wow nitajaribu kuanya na mm km itanisaidia lkn nywele zngu zinamba nifanye nn ili mba uweze kuisha
Asante❤😊
I like it
Thank you love
Asante Sana ,sasa kama ikoamo produi
❤❤❤❤Sarah napend video zako maana zinanipa somo❤❤❤
❤️❤️❤️❤️
Ce bien pr vo recette mous voulons écoute oussi en français
❤❤❤❤❤❤ Asante
Nywele zenyedawa zinawekwa
Bonsoir
Axante xan❤❤❤❤
Asante
Ukweli
❤
Asnte❤❤
Santiii sana
Nikipaka naweza osha! Sara
ndiyo dear
🎉🎉 Sorry nikitumia mafuta ya nazi ni vibaya
Une nifurayisha
Safi
Kwahyo kamahamuna mafta Aina izo mbili nitafanya je
Asantee❤ address
Ok l'll try, thanks
Welcome 😊
Hii saaa ni kunuka vitunguu kwa mwili mzima
😅😅😅😅
Je nywele zikuwa nyepes je
Asant
Sasa mbona vestiline Ni aina nyingi je unaweza ukatumiya yoyote?
Will you use that what only will bathing
Thank you ❤
Nisawa cc
Kwahyo hazikatiki
Jamn mm natak nianze kusuka je ni maguta gani yanakuza haraka 😢😢😢
Nitajalibu nikiona mabadiliko nitawajulisha
Dada nauliza hicho kitunguu kisipo isha nikilalisha siku yapili naeza kutumia😊
kihifdhi kwenye freezer
❤❤❤❤
Am intrested
Jmb dd vitunguu vinasaidia pia ku mmba?
Sasa wenye nywele fup tunafanyaje
Dada kam hauna Vaseline waeza tumia mafuta yoyote yenye yanakaa ka Vaseline ama nilazma Vaseline
Nimejarib
C'est vrai
Onaweka mazi nyakituguro peke
Nakama nywele zangu hazina urefu wa kusokota
unaweza tumia
Tu peux faire un vidéo pour moi s'il vous plaît merci❤❤❤❤
Mhh kitunguu kna nuka jaman inakuaje sas😂
unavumilia dk 30 then unaosha na shampooo nzuriii inatoka harufu yote
Can it be used on painted hair
yes🥰
Ukisha pakaa una osha au
Sasa nita sukuriya nyuma uniwambie
Nywele zenye dawa zinafaa?
Yaan nishaga muuliza sana uwa ajibu ndo shida
jamannnn inafaaa kabisaaa.... usipake kwenye nywel paka kwenye ngozi ya kichwa
Etiii dada nikitumia kitunguu naosha kabla au baada??
Ziwe safi kabla na baada ukimaliza unaosha
@@Sarah1. sasa umesema ninavyo osha baada ya kiweka kitunguu nioshe bila shampoo vipi harafu ya kitunguu haiwezi kubaki kwenye nywele zangu??
Unatumia maji mengi alafu upake mafuta inabak sku moja ya pili uko sawaaa
Nataka nianze ratiba hii, lakini mm ni mjazito harufu ya kitunguu naichukia sana dada*
Basi mm niko na siku ya pili
M nina swali vipi kama ngozi ikiwa inawasha inasaidia
N lazima vesiline
Nani alijaribu ikawork??
Dadd
Ha
Hii iko poa🎉🎉🎉🎉😮😮😮
Kama nyele zikiwa dog
Na ukipaka nywele yako itakua kubwa ama nikunyoosha tu
Na hii pia inasaidia nywele zijae kama izo zako ama zina lainika tuu
zinajaaa kabisaa
@@Sarah1. asante dada
Inafaa nywele zenye dawa
Asante saana je naweza kutumia na nimesuka
yes
Na ukiosha kila cku kuna ubaya?
hapana dear
Ety kam kwa nywel fup inafaa 1:56 1:58
Mbona Mie hupaka haziwi ndefu
Inasaidia nakuondoa miwasho ya mmba
vaseline yeyote ama kuna special vile
Na nisipo onza nywele nikae naiyo kituu kuna shida??
hakuna shida yeyote
Nauliza ukiwa unanywele yenye umesha paka dawa inaruhusu kupaka
🙏♥️♥️♥️♥️
Kam nyele n no dod
Unaweza kumaliza kuweka hii kwenye nywele na ukaosha nyumbani na ukajifunga makonga bila kwenda saluni
ndiyo, ila usisahau kupaka mafuta yako vzuri
Ndio
Kama ,zina dawa je
Donne moi votre nimero svp
Why don't you use English
i can ..... but most people here in my country speak swahili language..... sorry 🥰
Kama huna vaselini
shea butter
Ukipak unaoxha
ndiyoo
Je nikipaka nisioshe kuna shida
Hamna shida dear
Naitaj kujaza nywele
Naomb jb dada
Mimi mwenyewe sioshag ila natumiea kitunguu maj tu Zina kakamaa
une nifurayisha
🙈🙈
Dada nywele yangu nkichana inakatika nifanyeje ili isikatike
nywele zako ni kavu.... zipake live in conditioner na shea butter 🥰
Okay I will try
❤ umenifurahisha sana
I'm gonna try
Asante sana kipenzi ❤
Ready to try
Asante ngoja nijaribu nione
Asante sana
Asantee dada Sarah💜💜💜
Wow
Okey
Nitafanya❤
asante dada na mimi nitajalib Mana nyele yangu zimekatika bala
Ahsante
Asante sana 🙏🙏🙏
Wow ❤
Nitajaribu❤
Asant sana dada sarah
Ok thanks for watching
So much sister 😊
Asante sana 👌
❤️
Very nice
Shukran❤❤
wow nitajaribu kuanya na mm km itanisaidia lkn nywele zngu zinamba nifanye nn ili mba uweze kuisha
Asante❤😊
I like it
Thank you love
Asante Sana ,sasa kama ikoamo produi
❤❤❤❤Sarah napend video zako maana zinanipa somo❤❤❤
❤️❤️❤️❤️
Ce bien pr vo recette mous voulons écoute oussi en français
❤❤❤❤❤❤ Asante
Nywele zenyedawa zinawekwa
Bonsoir
Axante xan❤❤❤❤
Asante
Ukweli
❤
Asnte❤❤
Santiii sana
Nikipaka naweza osha! Sara
ndiyo dear
🎉🎉 Sorry nikitumia mafuta ya nazi ni vibaya
Une nifurayisha
Safi
Kwahyo kamahamuna mafta Aina izo mbili nitafanya je
Asantee❤ address
Ok l'll try, thanks
Welcome 😊
Hii saaa ni kunuka vitunguu kwa mwili mzima
😅😅😅😅
Je nywele zikuwa nyepes je
Asant
Sasa mbona vestiline Ni aina nyingi je unaweza ukatumiya yoyote?
Will you use that what only will bathing
Thank you ❤
Nisawa cc
Kwahyo hazikatiki
Jamn mm natak nianze kusuka je ni maguta gani yanakuza haraka 😢😢😢
Nitajalibu nikiona mabadiliko nitawajulisha
Dada nauliza hicho kitunguu kisipo isha nikilalisha siku yapili naeza kutumia😊
kihifdhi kwenye freezer
❤❤❤❤
Am intrested
❤️❤️❤️❤️
Jmb dd vitunguu vinasaidia pia ku mmba?
Sasa wenye nywele fup tunafanyaje
Dada kam hauna Vaseline waeza tumia mafuta yoyote yenye yanakaa ka Vaseline ama nilazma Vaseline
Nimejarib
C'est vrai
Onaweka mazi nyakituguro peke
Nakama nywele zangu hazina urefu wa kusokota
unaweza tumia
Tu peux faire un vidéo pour moi s'il vous plaît merci❤❤❤❤
Mhh kitunguu kna nuka jaman inakuaje sas😂
unavumilia dk 30 then unaosha na shampooo nzuriii inatoka harufu yote
❤
Can it be used on painted hair
yes🥰
Ukisha pakaa una osha au
Sasa nita sukuriya nyuma uniwambie
Nywele zenye dawa zinafaa?
Yaan nishaga muuliza sana uwa ajibu ndo shida
jamannnn inafaaa kabisaaa.... usipake kwenye nywel paka kwenye ngozi ya kichwa
Etiii dada nikitumia kitunguu naosha kabla au baada??
Ziwe safi kabla na baada ukimaliza unaosha
@@Sarah1. sasa umesema ninavyo osha baada ya kiweka kitunguu nioshe bila shampoo vipi harafu ya kitunguu haiwezi kubaki kwenye nywele zangu??
Unatumia maji mengi alafu upake mafuta inabak sku moja ya pili uko sawaaa
Nataka nianze ratiba hii, lakini mm ni mjazito harufu ya kitunguu naichukia sana dada*
Basi mm niko na siku ya pili
M nina swali vipi kama ngozi ikiwa inawasha inasaidia
N lazima vesiline
Nani alijaribu ikawork??
Dadd
Ha
Hii iko poa🎉🎉🎉🎉😮😮😮
Kama nyele zikiwa dog
Na ukipaka nywele yako itakua kubwa ama nikunyoosha tu
Na hii pia inasaidia nywele zijae kama izo zako ama zina lainika tuu
zinajaaa kabisaa
@@Sarah1. asante dada
Inafaa nywele zenye dawa
Asante saana je naweza kutumia na nimesuka
yes
Na ukiosha kila cku kuna ubaya?
hapana dear
Ety kam kwa nywel fup inafaa 1:56 1:58
Mbona Mie hupaka haziwi ndefu
Inasaidia nakuondoa miwasho ya mmba
vaseline yeyote ama kuna special vile
Na nisipo onza nywele nikae naiyo kituu kuna shida??
hakuna shida yeyote
Nauliza ukiwa unanywele yenye umesha paka dawa inaruhusu kupaka
🙏♥️♥️♥️♥️
Kam nyele n no dod
Unaweza kumaliza kuweka hii kwenye nywele na ukaosha nyumbani na ukajifunga makonga bila kwenda saluni
ndiyo, ila usisahau kupaka mafuta yako vzuri
Ndio
Kama ,zina dawa je
Donne moi votre nimero svp
Why don't you use English
i can ..... but most people here in my country speak swahili language..... sorry 🥰
Kama huna vaselini
shea butter
Ukipak unaoxha
ndiyoo
Je nikipaka nisioshe kuna shida
Hamna shida dear
Naitaj kujaza nywele
Naomb jb dada
Mimi mwenyewe sioshag ila natumiea kitunguu maj tu Zina kakamaa
Asante sana