🔴LIVE: RIPOTI YA LEO SIMULIZI YA PHILIPO SEHEMU YA 2 - MACH 19 /2024

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 сен 2024
  • 🔴LIVE: RIPOTI YA LEO SIMULIZI YA PHILIPO SEHEMU YA 2 - MACH 19 /2024
    Blogger 📻 93.7 Dsm | 93.9 Moshi | 103.7 Arusha | 94.1 Iringa | 91.3 Mwanza | 88.9 Tanga | 92.5 Dodoma | 95.5 Moro | 102.9 Kigoma | 103.3 Mbeya | 93.7 ZNZ 📻
    -
    Follow Us On:
    INSTAGRAM:
    efmtanzania
    TWITTER:
    efmtanzania
    FACEBOOK:
    efmtanzania

Комментарии • 30

  • @abdulsalim1069
    @abdulsalim1069 5 месяцев назад +2

    Nakuxhukuru xan da Vero maaana unatupa somo kila iitwapo leo mungu akubariki xan 🙏🙏

  • @roseurio4983
    @roseurio4983 5 месяцев назад +3

    Naitwa Rose ni kmr dada Vero unasimlia vizr sana jamni barikiwa ...kwenye uduma hizi Kuna vita sana mungu akushindie Filipo

  • @user-uu6ei1ys3k
    @user-uu6ei1ys3k 5 месяцев назад +4

    YAJAYO YANAUDHUNISHA😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @hopejohnson7352
    @hopejohnson7352 5 месяцев назад +4

    Hii madhabahu alioalikwa filipho kwenda kufundisha watumishi haikua madhabahu ya mungu ninavoona ilikua na makandokando hapakua na mungu🙊🙊

  • @gracesuguta
    @gracesuguta 5 месяцев назад +3

    Jamani VERO nahisi Philipo anaingizwa kwa mchungaji wa ROSE 😂😂😂😂😂😂

  • @angeljoseph8103
    @angeljoseph8103 5 месяцев назад

    Dada Vero mimi naitwa Angel mimi msikilizaji sana wasimulizi napenda unavyosimulia unasauti nzuri sana tena sana

  • @MajaliwaElias-ho1et
    @MajaliwaElias-ho1et 5 месяцев назад

    I love you Efm

  • @user-jy3ss8pl8l
    @user-jy3ss8pl8l 5 месяцев назад

    Jamna philipho ajawahi pana hata nafuu kidg kweny maisha yake ,,,Mungu amtie nguvu philipho

  • @alexassey2968
    @alexassey2968 5 месяцев назад +2

    Na kupata

  • @user-lh8bx3rz1s
    @user-lh8bx3rz1s 5 месяцев назад +1

    Ila da veronica jmn uku hoi mm khaaaa eti.k cm changu kimechakaa duuuuh unajuwa unjuwa tena na tena ❤

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 5 месяцев назад +4

    Aisee tunakoelekea ataingizwa kwa shetani asante kwa simulizi

  • @stellamwapinga6944
    @stellamwapinga6944 5 месяцев назад

    Hao wapo sana philipo Mimi nakuelewa ni maneno ya kichawi

  • @user-oy5oj6hh2q
    @user-oy5oj6hh2q 5 месяцев назад +1

    Hii kama nimewahii kumsikia anasimulia ila sjuiii ngoja tuendelee

  • @lizymwakyusa8798
    @lizymwakyusa8798 5 месяцев назад

    Naitwa Evi rickyson mziray baba vero kanisa la kaka filipo lipo wapi.

  • @user-hs7qb3hd6g
    @user-hs7qb3hd6g 5 месяцев назад +1

    Nataman n mimi siku n mim niletehee simuliz kwenu

  • @stellamwapinga6944
    @stellamwapinga6944 5 месяцев назад +1

    Utupu wa kiroho ni hatarii mno

  • @Fatima1234-wl1nu
    @Fatima1234-wl1nu 5 месяцев назад

    eehe filipo unaenda kudondokea kwa fire masoni jamani maisha haya mungu akutangulie

  • @SalaAntony
    @SalaAntony 4 месяца назад

    Jaman mbona majang😂

  • @ochudady
    @ochudady 5 месяцев назад

    Dada Veronica naomba niulizie na vip wanavyo tuambia wanatoa misukure ivi nikweli

  • @user-gb2zy1ym8x
    @user-gb2zy1ym8x 5 месяцев назад

    😢

  • @banguha
    @banguha 5 месяцев назад +1

    Ila watumish tulio nao siku hiz Mungu atusaidie sijui tunaponaje

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 5 месяцев назад +1

      Ndo inatisha hata kumjua aliye WA Mungu kweli

    • @banguha
      @banguha 5 месяцев назад +2

      @@MsAggie5 ndugu mm hata nachoka najiuliza cjui niache kwenda kanisan nisali nyumbani? Mm hata sielew hasa jij letu la dar limechafuka sana kila mtumish anataka mafanikio ya haraka Yan kwa dalili ninazoona sion hata huduma iliyo sahihi wengi ni mazingaombwe Mungu wa Mbingun atusaidie jmni

    • @dayana5513story
      @dayana5513story 5 месяцев назад +1

      ​@@banguhamimi Ninasali home nashukuru Mungu kwa kila jambo

    • @vickysteven1172
      @vickysteven1172 5 месяцев назад

      ​@dayana5513story😅

    • @banguha
      @banguha 5 месяцев назад

      @@dayana5513story ila Mungu amesema rukusanyike bado tunatakiwa kusikiliza mafundisho amesema wakusanyikapo wawil watatu yeye yupo mm naona cha msingi tulud magotin kumuuliza Mungu tusitawaliwe na hisia na miujiza

  • @jacklinemassawe9028
    @jacklinemassawe9028 5 месяцев назад

    Hii story inataka kafanana na moja da vero alitusimuliga yule kaka alitoka gerezani akawa mtumishi akatumiwa nauli kwenda dar kumbe ni kwenda kusafirisha madawa ya kulevya 😂😂😂

  • @user-rw8gc1is6m
    @user-rw8gc1is6m 5 месяцев назад

    Mazabau za nguvu za giza

  • @janemalongo5417
    @janemalongo5417 5 месяцев назад

    😢