RIPOTI YA LEO VICTORIA 09FNL

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024

Комментарии • 37

  • @allykaucha4207
    @allykaucha4207 3 года назад +5

    Victoria mbinafsi sana na ana roho ngumu na mbaya

  • @ramlabaruani4202
    @ramlabaruani4202 3 года назад +3

    Nimeumia mnoo uwiii😭😭😭Kaka huyu kaniuma Kama Kaka yangu wa damu Vic ni unatamaa Sana na unaroho ngumu mno umemkosea mme wako RIP Kaka wa watu dah alikupenda mno mno Vic ulipata mume mwenye mapenzi ya kweli na ya dhati ulimpelekesha mno

  • @nolimittvonline6822
    @nolimittvonline6822 3 года назад +1

    Mungu nijalie niweze kuishinda tamaa

  • @rehematawalani733
    @rehematawalani733 Год назад +1

    Kweli wanawake ni wauwaji

  • @mwajumasabo7973
    @mwajumasabo7973 3 года назад +1

    Mwanamke mbaya sana Victoria sna sana najifunza

  • @graceramadan5583
    @graceramadan5583 3 года назад +2

    Ila ulizidi kwa tamaa watu tunafanya vitu unaangalia na kurudi nyuma ,hata mume sijui alikuwa na upendo wa namna ipi kila ulichomwambia yy twende tu,na pia mume wako alishaona mbali sema alikusikiliza sana ila ndio malipo yako dear,kama kumchuna mzungu bac mgetakiwa mmchune pesa mkabaki Tz sio kutaka kwenda ulaya wakati ukweli mliujua kuwa sio dada na kaka

  • @mussamivache4986
    @mussamivache4986 3 года назад +2

    Kiatu cha uyu dada siwezi kukivaa naumia sana

  • @jumanatv417
    @jumanatv417 3 года назад

    Jamani Victoria.... So sad lakini ndo ishatokea. Mungu amjaalie awalee mapacha wake. Asante kwa funzo japo inaumiza.

  • @chrismdawi3524
    @chrismdawi3524 5 месяцев назад

    Tuleteee ep 8 madam umeturuka

  • @salladonard7344
    @salladonard7344 3 года назад +2

    Daaa ee mungu ninusuru pole da Vicky 😭😭😭😭😭😭

  • @zulfaabasi1168
    @zulfaabasi1168 3 года назад +1

    Hakika wakati wa Mungu ni wakati sahihi SUBIRA NI MUHIMU SANA

  • @sarahkitindi3420
    @sarahkitindi3420 3 года назад

    Uwiiiiiii😭😭😭 tamaa so nzuri

  • @neemaneema9969
    @neemaneema9969 Год назад

    Muha gani ww mwenye Roho ya Kishetani hivo??? 😭😭😭😭😭😭

  • @lilyrose7983
    @lilyrose7983 3 года назад

    Yaani huyo kaka ameniuma acha tu.Kwanin alivyokwambia mrudi ulikata?Pole sana Victoria 😭😭😭

  • @shakiraunyoro3297
    @shakiraunyoro3297 2 года назад +1

    inasikitisha uyo jamaa kaendauku anajiona

  • @josephgregory9843
    @josephgregory9843 3 года назад +1

    Maskini hana hoja bali maskini ana haja na ndicho hiki kilichotokea kwa Victoria,maskini hujawa na tamaa kuliko utu.

  • @rehematawalani733
    @rehematawalani733 Год назад

    Tamaa ni kitu kibaya

  • @gracekretus1851
    @gracekretus1851 10 месяцев назад

    😞😭😭😭😭😭😭😭

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 3 года назад

    Woooooow 1 no

  • @mwajumasabo7973
    @mwajumasabo7973 3 года назад

    Naumia sanaa

  • @esharhassan9825
    @esharhassan9825 3 года назад

    Pole Saana Vict

  • @saraasatenisanasimlizimixc9232
    @saraasatenisanasimlizimixc9232 3 года назад +2

    Vic umempoza mmeo kwa tamaa yako inaumiza sana 😭😭😭😭

  • @yonayoh3736
    @yonayoh3736 3 года назад

    Tamaa mbaya

  • @lucygodwin7590
    @lucygodwin7590 3 года назад

    Fundisho kubwa mno. Tamaa mbaya mno.

  • @nellymwangilwa4288
    @nellymwangilwa4288 3 года назад

    Jamani !!!

  • @reginamluviji9405
    @reginamluviji9405 3 года назад

    Lakini da vero ya nane hatujasikia chochote

  • @zulfaabasi1168
    @zulfaabasi1168 3 года назад

    No 8 da vero haina sauti

  • @rayaally2745
    @rayaally2745 3 года назад

    Tamaa mbele mauti nyuma

  • @emmahbooooo
    @emmahbooooo 3 года назад

    😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @jacklineurio9963
    @jacklineurio9963 3 года назад

    Namba 8 Vero Haina saut plzii

    • @jacklineurio9963
      @jacklineurio9963 3 года назад

      Afu Kama Kuna group naomba ni add 0763331104

  • @happyfihavango4151
    @happyfihavango4151 3 года назад

    Nyumba walizojenga alizikuta salama?

  • @frankernest9161
    @frankernest9161 3 года назад

    Akuna grop la ripoti ya leo la tsap

  • @nellymusiwa6795
    @nellymusiwa6795 3 года назад

    😭😭😭😭😭

  • @annamartine6669
    @annamartine6669 3 года назад

    😭😭😭😭