Nimeumia mnoo uwiii😭😭😭Kaka huyu kaniuma Kama Kaka yangu wa damu Vic ni unatamaa Sana na unaroho ngumu mno umemkosea mme wako RIP Kaka wa watu dah alikupenda mno mno Vic ulipata mume mwenye mapenzi ya kweli na ya dhati ulimpelekesha mno
Ila ulizidi kwa tamaa watu tunafanya vitu unaangalia na kurudi nyuma ,hata mume sijui alikuwa na upendo wa namna ipi kila ulichomwambia yy twende tu,na pia mume wako alishaona mbali sema alikusikiliza sana ila ndio malipo yako dear,kama kumchuna mzungu bac mgetakiwa mmchune pesa mkabaki Tz sio kutaka kwenda ulaya wakati ukweli mliujua kuwa sio dada na kaka
Victoria mbinafsi sana na ana roho ngumu na mbaya
Nimeumia mnoo uwiii😭😭😭Kaka huyu kaniuma Kama Kaka yangu wa damu Vic ni unatamaa Sana na unaroho ngumu mno umemkosea mme wako RIP Kaka wa watu dah alikupenda mno mno Vic ulipata mume mwenye mapenzi ya kweli na ya dhati ulimpelekesha mno
Mungu nijalie niweze kuishinda tamaa
Kweli wanawake ni wauwaji
Mwanamke mbaya sana Victoria sna sana najifunza
Ila ulizidi kwa tamaa watu tunafanya vitu unaangalia na kurudi nyuma ,hata mume sijui alikuwa na upendo wa namna ipi kila ulichomwambia yy twende tu,na pia mume wako alishaona mbali sema alikusikiliza sana ila ndio malipo yako dear,kama kumchuna mzungu bac mgetakiwa mmchune pesa mkabaki Tz sio kutaka kwenda ulaya wakati ukweli mliujua kuwa sio dada na kaka
Kiatu cha uyu dada siwezi kukivaa naumia sana
Jamani Victoria.... So sad lakini ndo ishatokea. Mungu amjaalie awalee mapacha wake. Asante kwa funzo japo inaumiza.
Tuleteee ep 8 madam umeturuka
Daaa ee mungu ninusuru pole da Vicky 😭😭😭😭😭😭
Hakika wakati wa Mungu ni wakati sahihi SUBIRA NI MUHIMU SANA
Uwiiiiiii😭😭😭 tamaa so nzuri
Muha gani ww mwenye Roho ya Kishetani hivo??? 😭😭😭😭😭😭
Yaani huyo kaka ameniuma acha tu.Kwanin alivyokwambia mrudi ulikata?Pole sana Victoria 😭😭😭
inasikitisha uyo jamaa kaendauku anajiona
Maskini hana hoja bali maskini ana haja na ndicho hiki kilichotokea kwa Victoria,maskini hujawa na tamaa kuliko utu.
Pole sana Victoria
Tamaa ni kitu kibaya
😞😭😭😭😭😭😭😭
Woooooow 1 no
Naumia sanaa
Pole Saana Vict
Vic umempoza mmeo kwa tamaa yako inaumiza sana 😭😭😭😭
Tamaa mbaya
Fundisho kubwa mno. Tamaa mbaya mno.
Jamani !!!
Lakini da vero ya nane hatujasikia chochote
No 8 da vero haina sauti
Tamaa mbele mauti nyuma
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Namba 8 Vero Haina saut plzii
Afu Kama Kuna group naomba ni add 0763331104
Nyumba walizojenga alizikuta salama?
Akuna grop la ripoti ya leo la tsap
Lipo,wasiliana na Vero
😭😭😭😭😭
😭😭😭😭