🔴LIVE: RIPOTI YA LEO SIMULIZI YA PHILIPO SEHEMU YA 5 - MARCH 22/2024
HTML-код
- Опубликовано: 15 сен 2024
- 🔴LIVE: RIPOTI YA LEO SIMULIZI YA PHILIPO SEHEMU YA 5 - MARCH 22/2024
Blogger 📻 93.7 Dsm | 93.9 Moshi | 103.7 Arusha | 94.1 Iringa | 91.3 Mwanza | 88.9 Tanga | 92.5 Dodoma | 95.5 Moro | 102.9 Kigoma | 103.3 Mbeya | 93.7 ZNZ 📻
-
Follow Us On:
INSTAGRAM:
efmtanzania
TWITTER:
efmtanzania
FACEBOOK:
efmtanzania
Natamani simulizi ya huyu kaka isikilizwe nawatu woteee,nakwenye madaradara madereva wote wafungue redio ili abaria wanaoenda kwenye makanisa yakujaza watu nakukanyagana wapate macho nawashuke njiani waende kwenye mazeebu yao
walikokimbia kisa changamoto zamaisha wanajua wakifika huko wapokee magari namajumba,nakupona ugonjwa wawo,nabyashara kufunguriwa,kuoa nakuolewa😢
jaman watu wanapita sana barikiwa mtumishi
Leo wakwanza 😂😂 love you dada Vero nakuskiliza from Germany❤
Mambo upo ujeruman
😢
Khee nnavo kupenda nikikuona tiktok❤ kumbe nahuku upo❤
Bukoba mnapatikana namba ngapi kwenye redio
Asante sana dada Vero Mungu akubariki kwakweli najifunza mengi sana kupitia simulizi hizi..nakusikiliza kutoka 🇺🇸
Yesu mwenyewe alisema wengi watakuja kwa jina langu
Waoooooo fantastic barikiwa sana mtumishi wa MUNGU Pastor Philip
Hakika wakati wa Mungu ukifik kila Jambo Lita fik mwisho ubarikiwe sanaaaa mtumish wa Mungu
Asante Vero wangu tunajifunza mengi sana kutokaa kwako kwa kupitia simulizi hizi
Nyie usipate hyu paster anae zungumziwa ni yule alompa Rose Ukimwi😂😂😂😂😂😂subirni tamuuliza Da VERO kisha nawaletea ubuyu hpahpa😅😅😅😅
Ndiyo yeye😂😂😂😂😂
We nae atakuaje ni huyu nawakati kasimulia jinsi alivokuwa anapewa masharti yakuwa haruhusiwi kuoa ,,,anatakiwa awe anatembea na waumini wake tofauti tofauti?
😂😂sasa hata yule sialikua anatembea na wauminii@@selinajohn536
Mbeya mwenzangu umewaz Kam mm😂😂😂
@@selinajohn536 be4 uropokwe elewa comment kwanza nimesema anae zungumziwa cjasema anae zungumza...kumbuka hpo kuna pastar yuwaongelewa hyo alotaka kumuinguza philipo kwa freemason..na dada alotiwa ukimwi na pasta c alikua muumini....Next time akikisha waelewa ndipo undandieee
Nimechoka bila kufanya kazi, Mungu akutunze mtumishi wa MUNGU
Safari inaendelea Bwana Philipo Hongera Sana kwa kunyoooka na story hii. DARASA
Dada umetisha
Mi naona akaunt yake ya insta ameiweka private Acha kufanya ivyo wewe ni mtumish fungua
Kwanini sasa atuwekee pr,,,,,😢
sorry naomba jina la account yake
Pengine ameweka bila kuelewa, maana watu wengine hawaelewi mambo ya mitandao kiundani
Haiko private railway philipo rweyendera gregory
Mapema sanaa❤
Philipo ubarikiwe sana nimejifunza vitu vingi kupitia story yako,God bless you
Ameenn barikiwaa mtumishiiii Mungu anatupenda kupitia wewe tumepata kitu kipiyaa
Kweli mungu yupo
Naitwa jacqueline kutoka arusha sakina asante dada vero umenifunza vitu sana ubarikiwe sana kipenzi ❤❤❤
Sawa jorani
Jamani mbona kwenye account yake mbona ukimsach humpati
dada Veronica love you, MUNGU mwenyezi akutunze
Da Vero tunaomba namba nikaombewe
Naomba uniombee mtumish mii na watoto wangu
MUNGU akubariki sana na MUNGU asikuache Kaka
Sasa Vero hii ni simulizi ama interview .?
Good start bad ending😏
Acha gubu tulia
Imetufunza sana
Nlisal madhabahu ya ivyo nikasikia mchungaj aliongea k2 cha ovyo aisee nkaacha kwenda kusal humo nkazika mama na mume aisee iz madhabahu za giza za ovyo sana
💯💯💯😂😂😂
Hii interview au simulizi kama sijaelewa hivi 😂😂
Huwezi kuielewa kama huna uelewa 😊
@@selinajohn536 sawa mama mtumishi ukielewa ww inatosha
Mchungaji upo eneo gani
Hhha yani wtu hawana masihara
Majaribu ni mengi mno
Nataka kujua kuhusu kile kisa cha zamani kwy familia yake alisema walikua taabuni nyumba Yao kupata tetemeko vp iliisha Ile Hali? Ila jmn Dunia Ina.mambo
Alishasema iliisha dear
Mungu tunakuomba utusaidie sana, maana hali ni mbaya
DAAAH😢POLE SANAAA YANI UMEAZA NA WASHIRIKA WA 5
NAHIC KM NINGEKUA MIMI NINGEKATA TAMAA😢
KWELI KILA MTU ANAISTORY YA MAISHA YAKE
MUNGU ALIEKUPIGANIA KUWASHINDA HAWO FRIMASON NDOUYO UYO ATAENDELEA KUKUPIGANIA NAKUSAAU YOTEE ULIYOPITIA❤