I Need this especially in this fasting period. Thank you pastor for the revelation 🤲🏼🤲🏼. Nimepata nguvu ya kuendelea. Nimekuwa nikihairisha kutizama hii service toka imeanza nimeisikiliza jioni ya leo na imenipa nguvu ya kushinda katika vita vyangu. Invaded system 2023🕊️🇹🇿
I love the word of God through tonny kapola. He encourages me very greatly to grow spiritually and physically Amen🙏 man of God be Blessed spiritually and physically .Amen, 🙏🙏
Mtumishi tunabarikiwa,ushauri wangu ufanyie kazi mazoea ya kuchanganya lugha nafikiri ni kutoka na mazingira yako labda.lifanyie mazoezi Ili kundi kubwa la kanisa linufaike.
Nikweli. Watu wengi wametoka Afrika kuja ulaya mambo yao na mifumo imebadirika sana. Mwanamke tena mama mchungaji leo kuacha ndoa nikitu cha kawaida. Masha ya kazi yapo juu zidi ya ibada.
Posho ya mfalme is very sweet and hard to resist but once you find strength to resist it then you will be surprised I work in gulf it's not easy to fast here but I do my best
Power full word of God ❤ weka volume pastor that's another step you have taken us Na Roho ya uzima ii Huu yangu ❤ talking to someone here in kenya❤ Na zongea pahali
Fungu la kumi ni sehemu ya 10 ya kila kitu unachokipata muda wowote / kila Mwezi /kila wakati iwe ni pesa au mifugo lakini limbuko ni kitu Cha kwanza Cha kila kitu na unatoa chote kwa mara Moja mfano mshahara wa kwanza unautoa wote,mifugo ya kwanza unaitoa Yote n.k hope nitakua nimejibu kwa sehemu pastor atakuja kujaziliza🥰
Ahsante MUNGU kwa kunipa mawazo mapya❤
this is 2024 and we see your prophesy of great people seeking God...May God bless you abundantly na akuwekee for our generation
Mungu azidi kukupa upako, ujumbe ni wà
Kweli.
2024 From Team Mkuyuni ONLINE ...
Watching 4rom Saudia 👏👏
Hongera mwanangu na huduma. Mafuta ya Bwana Yazidi kuwamiminikia po pote mnapohudumu
Alipata upako Huko Zimbabwe inaanza kuwateka
Barikiwa sana mtu wa MUNGU
I Need this especially in this fasting period. Thank you pastor for the revelation 🤲🏼🤲🏼. Nimepata nguvu ya kuendelea. Nimekuwa nikihairisha kutizama hii service toka imeanza nimeisikiliza jioni ya leo na imenipa nguvu ya kushinda katika vita vyangu. Invaded system 2023🕊️🇹🇿
Invaded system
Sisi ni kama fimbo ya musa😂😂
Nimeipenda hii
Mfumo wa maisha yangu umevamiwa sana😭🙆♀️Mungu nisaidie
Barikiwa san
Akili nyingi inahitajika
I just like the spirit in you ......may God keep increasing the spirit day by day *YOU ARE BLESSSINGS TO MANY* ever tunned from🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Ameni pastor
Hili neno ni la kwangu kabisa😢elimu ya wakaldayo iliaribu maisha yangu sana😭Mungu niponye nipe mwanzo mpya🙏
Pia mm dadangu 😪😪😪
Elimu ya wakaldayo ni ipi??
@@olivermfinanga9387 elimu ya ulimwenguni ya wanadamu si yakimungu dear Fatima mahubiri ya mwezi huu mzima utaelewa barikiwa
Mungu atupe hekima sana
Mmm mtazoa Vya kuzoa siku hizi ametoka kwa manabii
Mbona anafanana na malisa
I watched your sermon live. May God bless you abundantly and keep teaching us, I love you Pastor Tony Kapola.
mzigo naupokea kinoma mtu wa Mungu.mshehena fulani hivi.Mungu akuinue zaidi kwa ajili ya hekima akupayo.🙏🙏🙏🙏🙏malindi pwani kenya watching
Amen pastor
Neno hili limenitia Nguvu sana
Leo tena nimekuja as me, watching this for a purpose ! for a voice heard inside ... Mungu wangu akaonekana katika muda huu ninaokaa hapa
'Basi enendeni Kwa roho katika viongozo vya Mungu'
Kweli .Roho zetu korapted
Holy Spirit, 🙏🏼
Mungu akubariki saana Mtumishi wa Mungu🙏🙏. Hakika nimebarikiwa mno na somo hili and i will never be the same as i was before. Thank you God🙏.
I love the word of God through tonny kapola. He encourages me very greatly to grow spiritually and physically Amen🙏 man of God be Blessed spiritually and physically .Amen, 🙏🙏
Mtumishi tunabarikiwa,ushauri wangu ufanyie kazi mazoea ya kuchanganya lugha nafikiri ni kutoka na mazingira yako labda.lifanyie mazoezi Ili kundi kubwa la kanisa linufaike.
Mungu aendelee kukuweka pastor Tonny
Exactly nimeilewa hii,maana kazn nishabadilishiwa jina naitwa mama mchungaji,au mama mtumishi Niko nayo Makin sasa
I'm here man of God remember me in prayers..woching from 🇴🇲 🇴🇲 🇴🇲
WHAT DO I SAY, BUT GOD IS REAL, HE REIGNS TO MY LIFE. MY ALMIGHTY GOD INCREASE YOUR MINISTRY. TIKTOK IS WHERE I SAW YOUR SERMONS
Nimebarikiwa sana, na kufunguka macho ya kiroho kuhusu mifumo hii. Barikiwa zaidi mtumishi wa bwana.
Mema ya nchi yana watu wake wa kula🙏🙏🙏
Ooh God
Thank you Lord for the wonderful revelation... Asante sana PT 😊😊
Nikweli. Watu wengi wametoka Afrika kuja ulaya mambo yao na mifumo imebadirika sana. Mwanamke tena mama mchungaji leo kuacha ndoa nikitu cha kawaida. Masha ya kazi yapo juu zidi ya ibada.
Watching from Omani
Great revelations. May God grant you more grace, you are a blessing. Watching from Kenya
This is helpful. Strengthens and heals broken and lost minds and hearts, God Bless You
God bless you pastor
GOD BLESS YOU PASTOR
Amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Mungu tuokoe najua unakusudu na maisha yetu ndo maana unatupa haya mafundisho
Watching from Kenya, very powerful sermon 💯🙌
Invaded system 🔥🔥
I'm watching this from Dubai, God Bless you 🙏
God bless you Sir❤
Ibada zawazungu zimekufa...wanataman ibada zetu.....
God bless you pastor
Kivipi
Be blessed the servant of God nimebarikiw sana
Posho ya mfalme is very sweet and hard to resist but once you find strength to resist it then you will be surprised I work in gulf it's not easy to fast here but I do my best
Mungu akusaidie sana
Nakua na nimebadilika Sana ...ubarikiwe!!!
here listen❤❤❤
Amina Baba napokea Neno la uzima
Mungu akupereke viwango vya juu sana
ezra 1;1-10
Am getting blessed from Nairobi Kenya
watching from germany
Binafsi namshku Mungu kwa ajili yako maana umetumwa na Mungu kukomboa mfumo wa maisha yangu Mungu akubariki sana
Unachanganya kwa kiwango kubwa.
Amina
Glory to God😇🙏👼 God bless you Pastor
Kanisa lipo wapi.?? , wiki yangu haiwezi isha bila kumsikiliza pastor Tony , God bless him alot
Love the message portrait in this movie. Love love all the characters.
BE BLESSED MAN OF GOD 🙏
Very true 🙏
Ufunuo mkuu..barikiwa Pastor
Ameeen: mafundisho mazur mno
hallelujah. Amen Amen Amen
Glory be to God 🙏 this is something will change my life forever
Watching from 🇰🇪
I love you so much man of God 🎉🎉
Huwa nakuelewa sana
Nimebarikiwa sana 🙌🙌🙌🙌
Very true. Muchugaji
AmenAmenAmenAmen🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙇🙏
Ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu
This is for me, thank you JESUS🙏
Powerful message, God bless you pastor
🙏🙏🙏🙏
Asante yesu🙏🙏💕
Watching this from 🇧🇮
Thank you God👏👏👏👏👏👏
Be blessed the servant of God
Ameeeen
Power full word of God ❤ weka volume pastor that's another step you have taken us Na Roho ya uzima ii Huu yangu ❤ talking to someone here in kenya❤ Na zongea pahali
Hili somo ni la moto
May our almighty God lord continue guiding you and protect you for us..thank you for the word..am touched..God protect you pastor
Neno la wakati.
Tena hapo kuvaa suruari wana judge sana eti kuvaa suruali zambi mungu ana angalia moyo
Bless Lord 🙏🙏 pastor am sorry to ask this 😔😔utafauti wa fungo la kumi na rimbuko ni gani maana mh sijui kabisa 🙌🙌
Fungu la kumi ni sehemu ya 10 ya kila kitu unachokipata muda wowote / kila Mwezi /kila wakati iwe ni pesa au mifugo lakini limbuko ni kitu Cha kwanza Cha kila kitu na unatoa chote kwa mara Moja mfano mshahara wa kwanza unautoa wote,mifugo ya kwanza unaitoa Yote n.k hope nitakua nimejibu kwa sehemu pastor atakuja kujaziliza🥰
Powerful text....
Asante kwaujumbe
Thank you Father💥💥 🇻🇳
Pastor injiri yako inaniguza naomba uwe ukitupea maadiko yake
Where is your church
Swali kwani ni hiyo safu ya mbele awakai chini
Mfumo wa roho ni nini?
Aà
Watching from Botswana
Mungu akubarik pastor Tony nabarikiwa na jumbe zako sana
Amen
🙏🙏🙏🙏🙏
Amen
Amen,