UNAPOSUSA NDOA UNASUSA URITHI WA WATOTO WAKO : PASTOR TONY KAPOLA
HTML-код
- Опубликовано: 10 фев 2025
- Msimu Huu wa 2023 Tumepewa Nguvu Zaidi na @dstvtanzania @vodacomtanzania @cocacola_kwanza Pamoja na @y9microfinance
Ukumbi huu umepambwa na @sadas_choice_events
#MwanamkeWaShoka2023 #ChukuaCode : #Wanyooosheee
Naona watoto wangu wakiwa juui kiriho na kimwili pia in Jesus name
Huyu pastor is every genius and blessed
Tatizo Mch Kapora hauko huru ni mtumwa wawazugu sisi sote tumesoma na tunajua lugha hiyo lakini unashindwa kupambnua unawafundisha watu wa taifa gani wewe ni mtanzania unawafundisha watanzania tuna lugha ya Taifa kiswahili wewe unachanganya kama si mtumwa ninani alafu unasema umewekwa huru
Ndani yako kuna mamlaka
Asikiae hii sauti hii na apone kwa jina la Yesu Kristo 🙏🏽
Umebarikiwa ili ubariki wengine pastor Mungu WA mbinguni anikumbuke na mimi
Maneno yako yameniingia sana Asante Pastor Mungu aendelee kukubariki
Pastor Asante kwa somo zuri sana hta ambao hatujafanikiwa kufika tumejifunza mengi sana Mungu ni mwema sana na akubariki sanaaa
Straight forwad mimi mwenyewe nilishafikiwa na hayo nilivyomwambia mama mimi naachana naye kani cheat mama alicheka kwa nguvu yuko huna kamkeka hapo tandika ombea ndoa yako ombea mume wako kila unampoamka unapoenda kazini mume anavyoondoka mwambie ngoja nikuombee hata maneno matatu anapoenda nje kila akitaka kufanya upuuzi anakumbuka maombi ya mkewe anaacha.leo hii tuna miaka 25 kwenye ndoa sina stress
Waow hongera sana 25 sio midogo ...umetutia moyo tulio na miaka michache kwenye ndoa
@@gracekenan4665 asante mpenzi atakayekuja kukuambia ndoa haina changamoto ni muongo huyo sio kaka yako huyo sio mtu mliolelewa pamoja.kazaliwa huko umezaliwa huko mmekutana kujaribu kuoanisha tabia zenu.kinachotakiwa katika miaka saba ya ndoa ni wewe kumsoma mumeo na mume kumsoma mke then mkubaliane hizi tabia zinanikwaza na yeye aseme tabia ambazo hazipendi then muanze tabia mlizozijenga ninyi sio mlizotoka nazo makwenu.kwani tumelelewa tofauti kilicho ndio kwako kwa mwingine sio.nikupe mfano sisi kwetu hata kama una marafiki unataka waje wikend as long as uko kwenye himaya ya wazazi unatakiwa uwataalifu marafiki zangu watakuja mama yako atauliza umejiandaa utawapikia nini mnajadiri.upande wa mume wangu wakishua yeye kwao walikuwa hawana hicho, kakutana nawashikaji twende kwetu wanakuja pale chakula hamna mama hajali kwani anajua mtoto wake ana hela ataagiza chakula watakula na washikaji then basi.tulivyooana akazileta hizo tabia kwangu.mmekaa mnakuta anarudi na marafiki mimi tumbo linaunguluma mama yangu hatujapika hatuna vinywaji jamani nakasirika ,hivi kwanini asingeniambia jamani maana marafiki zake ni mashemeji zako. unataka waje wale wafurahi.akifika yeye tu anamtuma dada nenda dukani fata soda,chipsi kuku mimi moyoni nawaza hawa mashemeji siwatajua sijui kupika kumbe mimi sikuwa na taarifa.nikavumilia tabia zake nikashindwa nikakaa naye alichonijibu Mungu wangu samahani kumbe nilikuwa nakosea mimi nikadhani labda hutaki wageni niko hapana nachokasirika kushitukiza watu wamekuja tuna agiza chakula badala ya kuwapikia. yuko kuanzia leo sitarudia mke wangu sisi kwetu tulikuwa tukifanya hivi.sasa unaweza jifunza ni mambo mangapi tunahukumiana bila kujua why yanafanyika hivi.mazungumzo ni muhimu kwenye ndoa siku yenye furaha uliza maswali yako ukiwa huna hasira mtaelewana ukimpandishia moli sahau
Mungu ambariki Mama wetu kwa hekima zake❤
umenitia nguvu my love
Safi dada mimi mwanzo niliona kazi nilipokua na mtoto mdg wa1 kidg niondoke ila Mungu tu leo miaka 12 watoto 3 ahsante Mungu dada uko sawa umeniongezea ngv nyingine zaidi 🙏
Hekima kubwa sana hii,mwenye sikio na asikie🔥
Powerful word great revelation av been blessed. MOG pray for me and my family
Penye neno la Mungu pana Mungu pokeeni neema hii wadada, Mungu awape mwanzo mpya amen
Amen 🙏
AMEN 🙏🙏🙏
AMEEEN, MTUMISHI WA MUNGU.
Nemekuelewa sana mtumishi wa Mungu
Amen
Huu ujumbe umenibariki leo na umekuja kwa wakati sahihi 2 Feb 2024 ❤❤❤
Powerful word from the powerful man of God
Mtumishi nimebarikiwa sana nilikuwa nimekata tamaa. Na ndoa yangu inabidi nipambane kwa maombi
Amina isiyokuwa na mwisho mtumishi barikiwa
Mchungaji kumanisha nimefaidika na maubiri wako no way to explain but ubarikiwe kabisa am augandan in Dubai with ma Kenyan wife in Uganda with two children your message has totally changed my life i can not explain
Sure sure pastor point taken wazaidia wa mama waaawaa Na kila mama anaye kushikiliza apate kuponyua live is spiritual
My lord bless u pastor be blessed at all
Ni kweli neno la MUNGU ni taa,,,nimeelewa , MUNGU tusaidie kwenye ndoa yangu,,,, barikiwa mtumishi ,,,nachukua baraka za neno
Na kenye nimesahao niko mchungaji but due to some situations at home i have hired ma self to serve some Iranians in working car body kits na i need your prayers n some more business ideas basing on what I heard from you
Sikuwepo. Ila kwa neema ya MUNGU now nimejiongamanisha kupitia haya mafundisho na maombi kupitia hii ibada NAPOKEA kila kitu cha BARAKA alichotamka MTUMISH huyu🙏🙌🙌❤️
barikiwa sana pastor nimepokea jambo kubwa sana
Wallah pastor nimepokea uponyaji
Hapo upo sahihi kumuombea au ruombeane mmoja anapokosea , Mungu akubariki mchungaji
Anaongea Kama mtu MWENYE Amri 😢😢😢 Glory to God
Am happy of having this man in our Generation
ASANTE mungu akutunze sana nimejifunza umegusa maisha yangu kwa shemu kubwa san
Alaye, anakula Hadi afya, umoja,AMANI furaha.. Unajua nini kaka Kapona,, you're blessed.
Your amazing ! Mungu ametupa wewe tupone kwa Kweli
Ameeen sana hakika umenivusha mahali fulani Mungu azid kukutia nguvu uzidi kutuinua🙏
Pastor ubarikiwe Sana kwa ujumbe ushauri wangu hio display hapo kama Iko kanisani isidisplay hayo matangazo itumike kumtangaza Mungu na sio Vodacom na matangazo ya nywele
Hayo tunayapata huku duniani
Hapo sio kanisani ni mkusanyiko wa wanawake mbalimbali watokao katika dini tofauti na sio mahubiri tuu yalikuwepo katika ratiba.
Sio kanisani kaka apo alialikwa tu
Glory to JESUS barikiwa Pastor
🙏🙏🙏🙏🙏Ooooh yes amenena mwenyewe huyu Mungu in Jesus name
Amina baba MUNGU akutunze mtumishi barikiwa Sana babaangu
Pastor wangu oyeee
Mungu akubariki mtumishi 🙏
Amina sana pastor i got it very clear
Mtumis nakushukuru kwa elimuyako mungu akupe maaisha marefu ilituzidi kujifunz
Umesikika kwa saut kubwa pastor 🥰🥰🙏
Barikiwa Pastor Tony!
Asante Mungu Baba. Asante Yesu Kristo Amina.
Hallelujah hallelujah 🔥🔥🙏🇰🇪
Hallelujah Hallelujah bwana Yesu ameeeen
Ni maneno makubwa sana
God bless you paster🙏
Nmekuelewa sna mchungaji remain blessed 🙏
Amen mtumishi wa MUNGU
Asante sana mtumishi wa Mungu.
Ni kweli mchungaji ubarikiwe sana
Mchungaji Hilo bango na tangazo nyuma yako pastor linawatoa watu kwenye uwepo wa mungu
Chukueni namba ya huyu mchungaji mmpe pesa apeleke ujumbe africa nzima ana kitu cha kuongea na waafrica
Mungu atusaidie kwa kweli
Ameni mtumishi wa mungu mungu akubarki sana
Paster Tony unajua sana
blessed pastor i appreciate. you
Amina. Daddy Nitafanya hivyo 🙏
Mungu mwema nimefuniliwa sana
Mungu anibariki na mke
Yaaani hapo kwenye kupaaa tu na watoto ndipo nimelia ninapaa na watoto wangu wawili mpaka ufaransa Bwana amenitendea makubwa sana
God bless you more than you are.
Thanks mtumishi
Stay blessed my spiritual father
Amina na pokea. Uzima kwajina la yesu
Mungu akuvike nguvu mchungaji
Amen mtumishi barikiwa sana
I like your teachinyg Pastor... Ubarikiiwe sana as you blessed other people with the word of God...
Yesu tusaidie
Wallah tena ??? pastor
Amen day🙏🙌
Mungu asante kwa kunifundisha
🎉🎉🎉🎉 pastor Tony
Alhamdulilah 🙏
Nimebarikiwa sana sana
Wow marvelous
Amen dady🙏🙏
Amina mtumishi wa Bwana
Barikiwa kwa mahubiri ila matangazo yanaharibu
Barikiwa mtumishi
Asante Yesu kwa mafunuo haya kupitia mtumishi na mchungaji Kapola
Mtu wa Mungu kapola nakupenda sana mafundisho yako ni dawa ya mioyo yetu
Napokea....Amina
I need a spiritual power of God 🎉
Wewe tena! barikiwa sana
Hiyo ndoa wanazosusa labda hazina kumuuingiza Mungu,au kunawachopitia labda inatakiwa ujue,ni kweli unasusa urithi zingine hazifuati maneno ya Mungu ,hazitaki mabadiliko sasa wasisuse,wamchao Mungu watadumu ktk ndoa
Uko vzr pastor kapola
Mungu akubariki sana baba
Amen Ameen Ameen, Napokea kwa Jina la YESU.
Asante mucungaji
Wanawake mpoooooooo
Tuombe sana na ss ambao tupo mbali na ichi yetu
Amina ktk kitabu hicho cha Marko
Dady Amen 🙏🙏🙏
Amen Amen Amen Amen Amen
Amina🙏🙏🙏🇰🇪🇰🇪
❤❤
Amen mtumishi
Ameni pastor jamani
Dada Dina kitchen ta mwakani mlete Tena pastor jamn tunajifunza
Amen!
Amina ,tuponywe
Tunasaidiwa na Bwana
🙏🔥🔥
😢mungu akubariki Niko congolai
Umenikonga nyoyo kwa hili somo
Pastor unasauti ya mamlaka ubarikiwe san