UNAPOSUSA NDOA UNASUSA URITHI WA WATOTO WAKO : PASTOR TONY KAPOLA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • Msimu Huu wa 2023 Tumepewa Nguvu Zaidi na @dstvtanzania @vodacomtanzania @cocacola_kwanza Pamoja na @y9microfinance
    Ukumbi huu umepambwa na @sadas_choice_events
    #MwanamkeWaShoka2023 #ChukuaCode : #Wanyooosheee

Комментарии • 196

  • @tanzcanmediatv4473
    @tanzcanmediatv4473 Год назад +49

    Straight forwad mimi mwenyewe nilishafikiwa na hayo nilivyomwambia mama mimi naachana naye kani cheat mama alicheka kwa nguvu yuko huna kamkeka hapo tandika ombea ndoa yako ombea mume wako kila unampoamka unapoenda kazini mume anavyoondoka mwambie ngoja nikuombee hata maneno matatu anapoenda nje kila akitaka kufanya upuuzi anakumbuka maombi ya mkewe anaacha.leo hii tuna miaka 25 kwenye ndoa sina stress

    • @gracekenan4665
      @gracekenan4665 Год назад +3

      Waow hongera sana 25 sio midogo ...umetutia moyo tulio na miaka michache kwenye ndoa

    • @tanzcanmediatv4473
      @tanzcanmediatv4473 Год назад

      @@gracekenan4665 asante mpenzi atakayekuja kukuambia ndoa haina changamoto ni muongo huyo sio kaka yako huyo sio mtu mliolelewa pamoja.kazaliwa huko umezaliwa huko mmekutana kujaribu kuoanisha tabia zenu.kinachotakiwa katika miaka saba ya ndoa ni wewe kumsoma mumeo na mume kumsoma mke then mkubaliane hizi tabia zinanikwaza na yeye aseme tabia ambazo hazipendi then muanze tabia mlizozijenga ninyi sio mlizotoka nazo makwenu.kwani tumelelewa tofauti kilicho ndio kwako kwa mwingine sio.nikupe mfano sisi kwetu hata kama una marafiki unataka waje wikend as long as uko kwenye himaya ya wazazi unatakiwa uwataalifu marafiki zangu watakuja mama yako atauliza umejiandaa utawapikia nini mnajadiri.upande wa mume wangu wakishua yeye kwao walikuwa hawana hicho, kakutana nawashikaji twende kwetu wanakuja pale chakula hamna mama hajali kwani anajua mtoto wake ana hela ataagiza chakula watakula na washikaji then basi.tulivyooana akazileta hizo tabia kwangu.mmekaa mnakuta anarudi na marafiki mimi tumbo linaunguluma mama yangu hatujapika hatuna vinywaji jamani nakasirika ,hivi kwanini asingeniambia jamani maana marafiki zake ni mashemeji zako. unataka waje wale wafurahi.akifika yeye tu anamtuma dada nenda dukani fata soda,chipsi kuku mimi moyoni nawaza hawa mashemeji siwatajua sijui kupika kumbe mimi sikuwa na taarifa.nikavumilia tabia zake nikashindwa nikakaa naye alichonijibu Mungu wangu samahani kumbe nilikuwa nakosea mimi nikadhani labda hutaki wageni niko hapana nachokasirika kushitukiza watu wamekuja tuna agiza chakula badala ya kuwapikia. yuko kuanzia leo sitarudia mke wangu sisi kwetu tulikuwa tukifanya hivi.sasa unaweza jifunza ni mambo mangapi tunahukumiana bila kujua why yanafanyika hivi.mazungumzo ni muhimu kwenye ndoa siku yenye furaha uliza maswali yako ukiwa huna hasira mtaelewana ukimpandishia moli sahau

    • @evalynedenis
      @evalynedenis Год назад +2

      Mungu ambariki Mama wetu kwa hekima zake❤

    • @marystanleymarystanley1702
      @marystanleymarystanley1702 Год назад +2

      umenitia nguvu my love

    • @edinakyaruzi9226
      @edinakyaruzi9226 Год назад +4

      Safi dada mimi mwanzo niliona kazi nilipokua na mtoto mdg wa1 kidg niondoke ila Mungu tu leo miaka 12 watoto 3 ahsante Mungu dada uko sawa umeniongezea ngv nyingine zaidi 🙏

  • @judithnjunwa6668
    @judithnjunwa6668 Год назад +4

    Naona watoto wangu wakiwa juui kiriho na kimwili pia in Jesus name

  • @mpendwalove4390
    @mpendwalove4390 Год назад +31

    Huyu pastor is every genius and blessed

    • @jorammsemakweli3116
      @jorammsemakweli3116 Год назад +1

      Tatizo Mch Kapora hauko huru ni mtumwa wawazugu sisi sote tumesoma na tunajua lugha hiyo lakini unashindwa kupambnua unawafundisha watu wa taifa gani wewe ni mtanzania unawafundisha watanzania tuna lugha ya Taifa kiswahili wewe unachanganya kama si mtumwa ninani alafu unasema umewekwa huru

  • @upendoamani8164
    @upendoamani8164 Год назад +8

    Ndani yako kuna mamlaka
    Asikiae hii sauti hii na apone kwa jina la Yesu Kristo 🙏🏽

  • @aledesiomushi875
    @aledesiomushi875 Год назад +13

    Umebarikiwa ili ubariki wengine pastor Mungu WA mbinguni anikumbuke na mimi

  • @aminajuma8629
    @aminajuma8629 Год назад +8

    Pastor Asante kwa somo zuri sana hta ambao hatujafanikiwa kufika tumejifunza mengi sana Mungu ni mwema sana na akubariki sanaaa

  • @leonardoautomotivegarage9452
    @leonardoautomotivegarage9452 Год назад +19

    Penye neno la Mungu pana Mungu pokeeni neema hii wadada, Mungu awape mwanzo mpya amen

  • @leaherasto929
    @leaherasto929 Год назад +12

    Maneno yako yameniingia sana Asante Pastor Mungu aendelee kukubariki

  • @jacklinesamson1175
    @jacklinesamson1175 Год назад +10

    Hekima kubwa sana hii,mwenye sikio na asikie🔥

  • @joshuabartonpolelaab4985
    @joshuabartonpolelaab4985 Год назад +8

    Anaongea Kama mtu MWENYE Amri 😢😢😢 Glory to God
    Am happy of having this man in our Generation

  • @anandepallangyo4177
    @anandepallangyo4177 17 дней назад

    🎉🎉🎉🎉 pastor Tony

  • @meshacknyandongo577
    @meshacknyandongo577 Год назад +2

    Pastor ubarikiwe Sana kwa ujumbe ushauri wangu hio display hapo kama Iko kanisani isidisplay hayo matangazo itumike kumtangaza Mungu na sio Vodacom na matangazo ya nywele
    Hayo tunayapata huku duniani

    • @missieflavie
      @missieflavie Год назад

      Hapo sio kanisani ni mkusanyiko wa wanawake mbalimbali watokao katika dini tofauti na sio mahubiri tuu yalikuwepo katika ratiba.

    • @barakastephano481
      @barakastephano481 Год назад

      Sio kanisani kaka apo alialikwa tu

  • @asnathmwaipopo6877
    @asnathmwaipopo6877 Год назад

    Sikuwepo. Ila kwa neema ya MUNGU now nimejiongamanisha kupitia haya mafundisho na maombi kupitia hii ibada NAPOKEA kila kitu cha BARAKA alichotamka MTUMISH huyu🙏🙌🙌❤️

  • @judithnjunwa6668
    @judithnjunwa6668 Год назад +1

    Ni kweli neno la MUNGU ni taa,,,nimeelewa , MUNGU tusaidie kwenye ndoa yangu,,,, barikiwa mtumishi ,,,nachukua baraka za neno

  • @natusmanumbu8885
    @natusmanumbu8885 Месяц назад

    Barikiwa kwa mahubiri ila matangazo yanaharibu

  • @osilojackson-oj8dk
    @osilojackson-oj8dk Год назад +1

    Na kenye nimesahao niko mchungaji but due to some situations at home i have hired ma self to serve some Iranians in working car body kits na i need your prayers n some more business ideas basing on what I heard from you

  • @nancymuturi629
    @nancymuturi629 Год назад +4

    Sure sure pastor point taken wazaidia wa mama waaawaa Na kila mama anaye kushikiliza apate kuponyua live is spiritual

  • @agnessbulegu996
    @agnessbulegu996 Год назад +1

    Alaye, anakula Hadi afya, umoja,AMANI furaha.. Unajua nini kaka Kapona,, you're blessed.

  • @emmanuelcharleschitete4879
    @emmanuelcharleschitete4879 Год назад +7

    Powerful word from the powerful man of God

  • @tainamsemwa2865
    @tainamsemwa2865 Год назад +4

    Amina isiyokuwa na mwisho mtumishi barikiwa

  • @osilojackson-oj8dk
    @osilojackson-oj8dk Год назад

    Mchungaji kumanisha nimefaidika na maubiri wako no way to explain but ubarikiwe kabisa am augandan in Dubai with ma Kenyan wife in Uganda with two children your message has totally changed my life i can not explain

  • @lulusufian9455
    @lulusufian9455 Год назад +4

    Amina baba MUNGU akutunze mtumishi barikiwa Sana babaangu

  • @venitarugemalila9290
    @venitarugemalila9290 Год назад +1

    Hapo upo sahihi kumuombea au ruombeane mmoja anapokosea , Mungu akubariki mchungaji

  • @tumainimwaijonga5407
    @tumainimwaijonga5407 Год назад +1

    Mtumishi nimebarikiwa sana nilikuwa nimekata tamaa. Na ndoa yangu inabidi nipambane kwa maombi

  • @fatumarashidi5182
    @fatumarashidi5182 Год назад +2

    Wallah pastor nimepokea uponyaji

  • @ShidaKazungu-tp8ld
    @ShidaKazungu-tp8ld 3 месяца назад

    Ameni pastor jamani

  • @FelixMjen-fx4lx
    @FelixMjen-fx4lx Год назад +3

    My lord bless u pastor be blessed at all

  • @NeemaKimaro
    @NeemaKimaro Год назад +3

    barikiwa sana pastor nimepokea jambo kubwa sana

  • @tawocatv9940
    @tawocatv9940 Год назад +4

    Your amazing ! Mungu ametupa wewe tupone kwa Kweli

  • @user-vv1rs5ho1v
    @user-vv1rs5ho1v 9 месяцев назад

    ASANTE mungu akutunze sana nimejifunza umegusa maisha yangu kwa shemu kubwa san

  • @sekitauniquedesigns8813
    @sekitauniquedesigns8813 Год назад +5

    Barikiwa Pastor Tony!

  • @user-fk9mj4vd7s
    @user-fk9mj4vd7s 10 месяцев назад

    Ameeen sana hakika umenivusha mahali fulani Mungu azid kukutia nguvu uzidi kutuinua🙏

  • @beatricefuraha6471
    @beatricefuraha6471 Год назад +1

    Mungu akubariki mtumishi 🙏

  • @nancymuturi629
    @nancymuturi629 Год назад +4

    🙏🙏🙏🙏🙏Ooooh yes amenena mwenyewe huyu Mungu in Jesus name

  • @heavenlight5084
    @heavenlight5084 Год назад +2

    Amen mtumishi wa MUNGU

  • @maryeer6392
    @maryeer6392 Год назад +5

    Hallelujah hallelujah 🔥🔥🙏🇰🇪

  • @rosesanga6163
    @rosesanga6163 8 месяцев назад +1

    Pastor wangu oyeee

  • @user-ps2lt7bc2j
    @user-ps2lt7bc2j Год назад +1

    Ni kweli mchungaji ubarikiwe sana

  • @user-gr9wc7bc2m
    @user-gr9wc7bc2m 6 месяцев назад +1

    Chukueni namba ya huyu mchungaji mmpe pesa apeleke ujumbe africa nzima ana kitu cha kuongea na waafrica

  • @KibibiMtuhi-xg8ju
    @KibibiMtuhi-xg8ju 7 месяцев назад

    Huu ujumbe umenibariki leo na umekuja kwa wakati sahihi 2 Feb 2024 ❤❤❤

  • @johnmahu5060
    @johnmahu5060 Год назад +1

    Amina

  • @sumaiyabakary2692
    @sumaiyabakary2692 Год назад +5

    Ni maneno makubwa sana

  • @venitarugemalila9290
    @venitarugemalila9290 Год назад +4

    Hiyo ndoa wanazosusa labda hazina kumuuingiza Mungu,au kunawachopitia labda inatakiwa ujue,ni kweli unasusa urithi zingine hazifuati maneno ya Mungu ,hazitaki mabadiliko sasa wasisuse,wamchao Mungu watadumu ktk ndoa

  • @damianandrew3074
    @damianandrew3074 Год назад

    Mchungaji Hilo bango na tangazo nyuma yako pastor linawatoa watu kwenye uwepo wa mungu

  • @blessedtumaini516
    @blessedtumaini516 Год назад +2

    Asante Mungu Baba. Asante Yesu Kristo Amina.

  • @gladysramadhan4008
    @gladysramadhan4008 Год назад +4

    Hallelujah Hallelujah bwana Yesu ameeeen

  • @winifridakigingachacha3412
    @winifridakigingachacha3412 Год назад +1

    Aminaaaaa

  • @user-nb6qg2qb9g
    @user-nb6qg2qb9g Год назад

    Amina Amina 🎉🎉🎉❤❤

  • @beatricefilbert1171
    @beatricefilbert1171 Год назад +5

    Yesu tusaidie

  • @kissamwamunyange1018
    @kissamwamunyange1018 Год назад +2

    Alhamdulilah 🙏

  • @evaakyoo3009
    @evaakyoo3009 Год назад +1

    Amen day🙏🙌

  • @EmmyMwaipopo
    @EmmyMwaipopo 3 месяца назад

    Amina na pokea. Uzima kwajina la yesu

  • @marthamlowe7928
    @marthamlowe7928 Год назад +3

    Umesikika kwa saut kubwa pastor 🥰🥰🙏

  • @UpendoMnzava-kr3nk
    @UpendoMnzava-kr3nk 9 месяцев назад

    Mtumis nakushukuru kwa elimuyako mungu akupe maaisha marefu ilituzidi kujifunz

  • @user-ee8vj1km2v
    @user-ee8vj1km2v 5 месяцев назад

    Nmekuelewa sna mchungaji remain blessed 🙏

  • @gasperurassa6440
    @gasperurassa6440 Год назад +2

    Amen Amen Amen Amen

  • @yasintacharles3594
    @yasintacharles3594 Год назад +2

    Amina sana pastor i got it very clear

  • @godwinagustava5634
    @godwinagustava5634 Год назад

    AMINA!!!!

  • @selegioelias9076
    @selegioelias9076 Год назад +3

    Wallah tena ??? pastor

  • @dahliamapunda8256
    @dahliamapunda8256 Год назад +2

    Amina. Daddy Nitafanya hivyo 🙏

  • @AwaziBange-yo1wq
    @AwaziBange-yo1wq Год назад +2

    Paster Tony unajua sana

  • @DeoKapimpiti-fm7sk
    @DeoKapimpiti-fm7sk Год назад

    God bless you paster🙏

  • @user-ps2lt7bc2j
    @user-ps2lt7bc2j Год назад

    Ameni mtumishi wa mungu mungu akubarki sana

  • @rhodanangoma7386
    @rhodanangoma7386 Год назад +3

    Mungu atusaidie kwa kweli

  • @patrickdebe8416
    @patrickdebe8416 7 месяцев назад

    Asante sana mtumishi wa Mungu.

  • @KilihonaNdaki
    @KilihonaNdaki 3 месяца назад

    Mungu mwema nimefuniliwa sana

  • @olivemwamengonakilimombeya6951
    @olivemwamengonakilimombeya6951 Год назад +1

    Thanks mtumishi

  • @rebeccamwiseneza2431
    @rebeccamwiseneza2431 6 месяцев назад

    Amen amen ubarikiwe mtumish❤❤i

  • @dahliamapunda8256
    @dahliamapunda8256 Год назад +2

    Napokea....Amina

  • @daudichija2800
    @daudichija2800 Год назад +5

    blessed pastor i appreciate. you

  • @JanethNgambeki
    @JanethNgambeki 3 месяца назад

    Mungu asante kwa kunifundisha

  • @oscanyakunga
    @oscanyakunga Год назад +2

    Amen Amen

  • @sararasmamwamapupa3577
    @sararasmamwamapupa3577 6 месяцев назад

    Amina mtumishi wa Bwana

  • @israelchacha6424
    @israelchacha6424 Год назад

    Mungu anibariki na mke

  • @Mjeshi215
    @Mjeshi215 7 месяцев назад

    Amen mtumishi barikiwa sana

  • @SisteKayombo-up5cy
    @SisteKayombo-up5cy Год назад

    Wow marvelous

  • @RichardGilbartMPAGAZE-hk2ny
    @RichardGilbartMPAGAZE-hk2ny 5 месяцев назад

    God bless you more than you are.

  • @joynnko5186
    @joynnko5186 Год назад

    Amen!

  • @lightsamweli8296
    @lightsamweli8296 8 месяцев назад

    Stay blessed my spiritual father

  • @flokirui2742
    @flokirui2742 Год назад

    I like your teachinyg Pastor... Ubarikiiwe sana as you blessed other people with the word of God...

  • @jojotanzan609
    @jojotanzan609 Год назад +2

    Barikiwa mtumishi

  • @lovenesslukas5360
    @lovenesslukas5360 Год назад +2

    Dady Amen 🙏🙏🙏

  • @user-ei9vv9hu7i
    @user-ei9vv9hu7i 9 месяцев назад

    Mungu akubariki sana

  • @dahliamapunda8256
    @dahliamapunda8256 Год назад +2

    AMINAAAAA

  • @RehemaMwingira-jc1pz
    @RehemaMwingira-jc1pz 10 месяцев назад

    Nimebarikiwa sana sana

  • @BigirimanaJoly-ec3rj
    @BigirimanaJoly-ec3rj 7 месяцев назад

    Mungu akuvike nguvu mchungaji

  • @hdhdhdhdhdh3264
    @hdhdhdhdhdh3264 Год назад

    Amina🙏🙏🙏🇰🇪🇰🇪

  • @anordalfred
    @anordalfred Год назад

    Wewe tena! barikiwa sana

  • @josephinemapuga3515
    @josephinemapuga3515 Год назад

    Asante Yesu kwa mafunuo haya kupitia mtumishi na mchungaji Kapola

    • @gracenkembo8318
      @gracenkembo8318 Год назад

      Mtu wa Mungu kapola nakupenda sana mafundisho yako ni dawa ya mioyo yetu

  • @jacklinejohn4531
    @jacklinejohn4531 Год назад +1

    Powerful

  • @pilikafuku5468
    @pilikafuku5468 Год назад +2

    Amen mtumishi

  • @manirakizamireille8337
    @manirakizamireille8337 Год назад

    Asante mucungaji

  • @judithnjunwa6668
    @judithnjunwa6668 Год назад

    I need a spiritual power of God 🎉

  • @gasperurassa6440
    @gasperurassa6440 Год назад +2

    Amen

  • @bukuruphilibert8658
    @bukuruphilibert8658 Год назад

    Uko vzr pastor kapola

  • @belinadeusdedit3993
    @belinadeusdedit3993 Год назад

    Amina ,tuponywe

  • @tumainmolell887
    @tumainmolell887 8 месяцев назад

    Ameen

  • @VailettyShigerla-fw2sg
    @VailettyShigerla-fw2sg 6 месяцев назад

    ❤❤❤❤

  • @ngowibeatrice1701
    @ngowibeatrice1701 Год назад +1

    Kweli point

  • @LovenessTzer
    @LovenessTzer 5 месяцев назад

    🙏🙏🙏