HUYO NI YESU - Kwaya ya Mt. Karoli Lwanga Njiro
HTML-код
- Опубликовано: 13 окт 2024
- Huyo ni Yesu kweli aliyekuja si kwa ajili ya ufalme wa Dunia hii bali kwa ajili ya wote watesekao na wasumbukao na mizigo. Karibu tutafakari pamoja ukuu wa Yesu kupitia wimbo huu. Wasiliana nasi kupitia +255752947032 au +255754628561
Mtunzi: @rayufunguo
Audio & Video: @rajopro
Organist: @tumainiswai5946
Mat. 11: 2-6: Yohane Mbatizaji akiwa gerezani alipata habari juu ya matendo ya Kristo. Basi, Yohane akawatuma wanafunzi wake, wamwulize: “Je, wewe ni yule anayekuja, au tumngoje mwingine?” Yesu akawajibu, “Nendeni mkamwambie Yohane mambo mnayoyasikia na kuyaona: Vipofu wanaona, viwete wanatembea, wenye ukoma wanatakaswa, viziwi wanasikia, wafu wanafufuliwa na maskini wanahubiriwa Habari Njema. Heri mtu yule ambaye hana mashaka nami.”
I really appreciate you guys, I like this song. Mubarikiwe sana ❤🎉🎉
Hakika mnaimba vizuri.Mungu awabariki.
Endeleeni kumtumikia mungu kwa njia ya nyimbo mungu yuko nanyi siku zote
Wonderful setting choir . I love you songs ., woooh , Huyu ni Yesu tu nairundia mara kwa mara
Barikiwa wimbo mzuri
Nmeipenda sana hii kwaya nimewafatilia sana hongereni sana
Nawasiliza kutoka Kenya
Tumsifu Yesu Kristu...!
Hongereni sana kwa Uinjilishaji.
Ee YESU kwa huruma Yako na pendo lako❤❤ utubebe
I love this song aki guys,you look so smart
Na sauti je?
Hongera Kwa kazi nzuri iliyo na mafunzo mazito, kuimba ni mojawapo ya Sala.
MUBARIKIWE SANA JAMANI, TUNAMUONA MUNGU KUPITIA NYIMBO ZEKU.
Kway nzuli sana jamani naiombea kwaya yang ya mt sesiria namimi jamani
Hongereni❤🎉
Mmeitendea haki kipaji chenu
Nakubali
Hakika nimeguswa na nyimbo hizi za katoriki
Jina la Bwana libarikiwe!
Ni kazi nzuri, Mungu aendelee kuwa nanyi Katika kueneza injili.
wow mr ray ufungu good work to God
Nawapenda sana mungu awabariki
Vzr sana nataman badaa ya mwaka ujao nijiunge ili nami niweze kumwimbia mungu,,maana kuimba ni kusali mara mbili na ni talanta moja wapo tuliopewa na mngu🎉🎉🎉❤❤🎉🎉🎉
Karibu sana
Rajo production ni 🔥🔥🔥🔥👌
Gd 1
I love the song even the melody very nice
Mungu azidi kuwabaliki katika utume wenu, wimbo mzuri sana
Tunawapenda sana Kenya tuko locked
Wueeeh! I can't stop listening to this song❤❤❤❤❤it is mo fire!! Especially the last part ya mi mi so fa re so la so😂😂😂😂
Penda sana aki ju ya uimbaji wenu aki guys love this song 💖💖💖🙏🙏
❤❤
B
😊😊@@HalimaIssack-vm6if
Hongeleni ❤❤❤❤
Kwakweli mnatisha mno Mungu awaongezee hekima.
Wow nice one
Kweli yesu ni jibu kwa masumbuko yetu❤❤❤
❤ hakika Mungu akubariki sana japo kwaya watakatifu wa mashahidi wa Uganda Tpc wamekukumbuka mbooii
Wow nice song
I love you so much
We called to the LORD Who is worthy of praise and we will be saved from our wicked enemies Psalm 28:'3
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Nice.
Tafakarini nyimbo
Good song..Mbarikiwe sana nyote kwa utume
They are very smart 👍, wimbo nao uko sawa mbarikiwe sana watu wa mungu.
Very nice song.
Beautiful songs from the Best producer ever,🌷🌷👏🧡
Hakika Yesu ana mamlakakotekote hana wa kulinganisha nae .Atukuzwe milele yote.
Amina
You guys l salute you
I ever dream of meeting this choir live one day...kwa kweli atabaki kuwa yesu❤❤❤❤
Kumuimbua mungu niraha sana❤️
hongereni sana
Ray Salut kwako
Ray Ufunguo kam kawaida yake ❤️❤️🌹🌹
Amina mbalikiwe sana ninafurahi kusikiliza nyimbo zenu kumsifu Mungu nimoja wapi wa kueneza ijili
Nice one 👍🙏
Nice song
Natamani kuimba sauti TAMU nawapenda
Amina kubwa🎉🎉🎉🎉🎉
Mungu awabariki sana
❤❤❤❤❤ lovely❤❤❤❤❤
Nota hatupati bwana
Kazi nzuri mbarikiwe
Huyo ni nani!!! Huyo Ni Yesu. nzuri sana
Na wa like the way you have sang nawasiliza kwa ratio waumini Kila siku🙏
Asanteni sana kwa wimbo mzuri Mungu awabariki
Nice song thank you for translating
Amina
Kazi nzr snaa
Mko vzr sn Mungu n mwema
Nice one
Viwango vya juu vya upako
Penda nyinyi sana guys.....kenya tunawapata vizuri sana
Huyo ni yesu
I like the voice projection
Hongereni sana mungu awabariki sana kwa kinjisha vizuri kwa njia ya nyimbo
Wimbo tumu
Yetu ❤❤
Hongereni sana watu wa Mungu
Nice song mungu awabariki sana
Kwaya hii ni moto nkubali kuimba ni kusali mara mbili
Nota ndo hamtupatii
Mungu awabariki kwa uinjirishaji
God bless you now and forever
👏👏 👍 Kwaya ya Njilo Mungu awabariki sana.
Hongeleni wanakwaya kwawito mumependeza sana
Asante sana
Ray ufunguo is so talented 🎉
Cjui nisemeje. Bali nawapongeza wimbo mzuri. Huyo ni Yesu hakika hafananishwi na wala hana wa kuringana naye. Sifa na utukufu ni kwake
Hongereniiiiiiiiiiiiiiiiiii
Napenda sana kwaya katolikii
Hongereni mnoooo
Nimependa Mungu awabariki
Hongera wanakwaya Mt Karoli Lwanga
Nice 👍
ZABURI 27:4 Neno moja nimelitaka kwa BWANA nalo ndilo nitakalolitafuta nikae nyumbani mwa BWANA siku zote za Maisha yangu, ..................., ♥️♥️♥️
Kanißa
Ainuliwe aki
Hongereni Kwa utume mnaimba viziri sana, mungu awatunze muishi maisha marefu.
We plead your Mercy Lord and Grace over All our personal sins failure and families iniquities
Lift up your heart to GOD pray Unceasingly and respect HOLY Spirit who Dwells in our lives as His Temple
Nice
Thanks
Appreciate 🤗♥️♥️
Nawapendaaa 💕💕💕💕 meimba vizuri tuuuu 💯🙏🤣
Balaaa,, wimbo tamu Sana.. nota he?
I like rajo production
Acha kabisaa kwaya katoliki ni chombo chenye nguvu acha kabisaa Mungu ni mnenee
Nzur sana Mungu awatunze nimewamic sana parokia yangu pendwa
Karibu Sana Njiro
Hongereni sana🙏