Hii ndio maana ya mziki mtakatifu na usio wa kitoto. Mmenifanya niurudie rudie kila siku na yamenifika kooni imenibidi leo nirudi nami nitoe hata comment. Aisee mmeupiga mwingi ngoma imetulia Nawaombea mkue zaidi mkayatende maajabu ktk kumuimbia Mungu. Namuomba Mungu nikiwa mkubwa nije tandale nikaungane na hawa watu 😂😂😂😂😂. Nawapenda sana. WAKATI WA MUNGU NI WAKATI SAHIHI SANA.
Wakati wa Mungu ni wakati sahihi sana...🙏🏿 Tunapokea ujumbe mzuri tokea Kanisa la mwenyeheri Beatha Maria Theresa Ledochowska Jimbo Kuu Katoliki Dodoma Cc Kwaya Ya Maria Mama Wa Mungu
Hongereni sana kwaya ya Mt Karoli Lwanga kwa uimbaji mzuri, na hongera sana Baraka Mashibe kwa utunzi mzuri na umeutendea haki wimbo katika kinanda kama kawaida hujawahi kukosea.
Nice song, nimebarikiwa mnoo, Kongole Mtunzi ,Organist umeutendea Haki, pia waimbaji Wote Mungu azidi kuwainua kwa Viwango Vya Juu .WAKATI WA MUNGU NI WAKATI SAHIHI SANA.
just when I thought I have listened to the best melody voices of Tz then boom, here comes Wakati wa mungu by St. Karoli. Another big thing cooking here. I just love the vocals, content, the message aarrrggggg you guys are just gooood. Kenyans tulilala in music.
Amen Hallelujah,nimebarikiwa sana na wimbo huu hakika wakati wa Mungu ni wakati sahihi sana. Hongereni Kwa kazi nzuri ROHO MT.azidi kuwafunulia karma zake.mbarikiwe sana St. Karoli Lwanga,Tandale
Mungu ni mwema tutasonga mbele
I heard this song on radio waumini, mpaka nikaja kuutafuta kumbe wakati wa mungu kweli ni wakati sahihi Sana mubarikiweni Sana waimbaji.
Same to me thanks to Billy
Me too I heard it first time on radio waumini and from then, it became one of my favorite. Thanks to Billy.
I don’t know what to say exactly why I am here thanks to Radio waumini
Same here. I heard it today
Wakati wa Mungu ni sahihi sana kwakweli
Kweli kbsa
Kazi nzuri sana.. #Nyimbo Tamu sana
Sana mbaeukiwemnatusapot
Long waited to be employed finally I secured a job. This song blesses me always. God's time is always the best
Hakika wakati wa Mungu ndio wakati sahihi, Ee Mungu naendelea kusubiri wakati wako ulio sahihi kwa Yale nikuombayo maishani mwangu🙏
another wonderful song mimi mkatoliki daima
What a wonderful song. Mbarikiwe sana aiseee. Wakati wa Mungu ni sahihi sana.
Kazi nzuri hongereni sana carol lwanga
Asnte majige
Proudly RC ❤️❤️🙏🏻❤️❤️❤️🔥🔥🔥🔥
Hii ndio maana ya mziki mtakatifu na usio wa kitoto.
Mmenifanya niurudie rudie kila siku na yamenifika kooni imenibidi leo nirudi nami nitoe hata comment.
Aisee mmeupiga mwingi ngoma imetulia Nawaombea mkue zaidi mkayatende maajabu ktk kumuimbia Mungu.
Namuomba Mungu nikiwa mkubwa nije tandale nikaungane na hawa watu 😂😂😂😂😂.
Nawapenda sana.
WAKATI WA MUNGU NI WAKATI SAHIHI SANA.
Hii ngoma aijawahi kuchuja inatisha inaogopesha ni tamu mpaka inakera yaan ongereni sana
Nice 1 we are on 🔥🔥🔥🔥☄
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥💯💯💯
Wakati wa Mungu ni wakati sahihi sana...🙏🏿
Tunapokea ujumbe mzuri tokea Kanisa la mwenyeheri Beatha Maria Theresa Ledochowska Jimbo Kuu Katoliki Dodoma
Cc Kwaya Ya Maria Mama Wa Mungu
Wimbo niupendao kazi nzuri sana mbarikiwe sana
Asante sanazid kutusambazia rinck na mungu akubarik zaid
Kazi nzuri kabisa
Mashibe mdogowangu Mungu anakuona
Nice 🎵
Wakati wa Mungu
Wakati wa Mungu ni wakati sahihi sana. Thanks for the wonderful message. It is home
Mwenyezi Mungu awabariki nyoote kwa kaz nzuri
Amina akubariki na we unayetusapot
Mnajua tena mnajua
Wimbo mzuri sanaaa❤🎉🙏
Aksanti kwa wimbo huu
Hongereni sana kwaya ya Mt Karoli Lwanga kwa uimbaji mzuri, na hongera sana Baraka Mashibe kwa utunzi mzuri na umeutendea haki wimbo katika kinanda kama kawaida hujawahi kukosea.
God's timing👌💯💯
We mc u guys may the LORD GOD connect you again and come back again with strong energy and good work more than your 1'st album..
Nyimbo nzuri Isaya 60:22
Nice song, nimebarikiwa mnoo, Kongole Mtunzi ,Organist umeutendea Haki, pia waimbaji Wote Mungu azidi kuwainua kwa Viwango Vya Juu .WAKATI WA MUNGU NI WAKATI SAHIHI SANA.
just when I thought I have listened to the best melody voices of Tz then boom, here comes Wakati wa mungu by St. Karoli. Another big thing cooking here. I just love the vocals, content, the message aarrrggggg you guys are just gooood. Kenyans tulilala in music.
Wakati wa MUNGU ni Wakati sahihi sana. Makuu yake ni mengi kwa nyakati alizotuandalia kila mmoja. Asante St karoli choir ❤🙏 barqka za 2023 ziwe kwenu
Hakika wakati wa mungu ndio sahihi
When it my time it's my time
Safi sana mazingira, ujumbe wenu ktk wimbo safi,mavazi safi,vyote safiii hongereni sana
Ujumbe mzuri Sana mbarikiewe Sana wote muliousika kwenye huu wimbo
🥰🥰
Naomba flash ya hii Albamu aisee nyimbo zote za moto,
❤
Amen Hallelujah,nimebarikiwa sana na wimbo huu hakika wakati wa Mungu ni wakati sahihi sana.
Hongereni Kwa kazi nzuri ROHO MT.azidi kuwafunulia karma zake.mbarikiwe sana St. Karoli Lwanga,Tandale
Can't stop listening this song...
Well arranged vocals and voices...
God's time is a perfect time.
Hongereni sana waimbaji....
Wonderful song...wakati wa Mungu ni wakati sahihi sana...nimebarikiwa sana na huu wimbo
Amina
Ujumbe mzito
Wakati wa Mungu ni sahihi Sana.
Hello Wana Lwanga am a Kenyan want to be singing your songs with my choir .there very good and well composed with very good message.
Hakika wakati wa Mungu ni sahihi. Nasubiri 🙏
Nawafatilia sana. Na nina nyimbo zenu zote 🙏 mko vizuri
God's timing is the only best time.
Baraka hongera kwa utunzi wa nyimbo hii na kwaya ya klc kwa uinjirishaji mzr sn kazi nzr kbsa ya 2022
Very timely. This song is so good, it revives hope
Pongezi Kwa nyimbo nzuri mubarikiwe
Wakati wa Mungu ni wakati sahihi sana, kweli kabisa hongereni.
Mbarikiwe Sana always I am listening to this song I m blessed Asante sana 🙏🙏🙏💓💓💓
Mmeimba vizuri sana kwa uturivu, Mungu awabariki zaidi mtunzi
Indeed Gods time is the best!
Best of the best song💪
My favorite song❤️❤️❤️
Wakati wa Mungu ni sahihi
Wimbo mzuri sana nimebarikiwa...hongereni sana 😊
Asante
Hongereni Sana wanakwaya hakika wakati wa Mungu ni wakati sahihi Sana.
Wakati wa Mungu si wakupingwa kabisa.
Ujumbe mzuri sana
Kaz nzuri mno, sauti nzuri wapiga vyombo wazuri na mwisho tabasam iliyoshiba
Wimbo mzuri sana. Sauti safi sana. Hongereni
Wow this song is good. Beautiful message
God's Time is sure the best! Almighty keep protecting us from the strong tides of this world..Blessed and angelic vocals nice message
Wow nice song and comforting words
Kazi nzuri sana. Mbarikiwe na Mungu
Ndio ni wakati wa Mungu, na ni sahihi🙏🙏
Huu wimbo unanifariji sanaaaa
Kazi nzuri sana ndugu zangu. U made it guys.
Kazi nzuri sana 💪
Well composed,, Mungu awabariki kazi safiii sanaaa
Mungu awabariki kwa wakati sahihi
Moto mwingne safiiiiii
God's time it's always the best.
💚💞💐
I keep repeating this song, feeling Soo blessed, asante sana
Mbarikiwe kwa wimbo mzuri.
Nice
Wimbo mzuri👏👏👏
Hongereni Sana🙏
Hongeren sana kazi ya mungu iendelee
Amina
Kazi nzuri
@@wencesloucemasiger41 nimeipenda
Super 👍
nc song
Asante mwakibiki
Am so blessed..God bless you too
Well arranged.
Lovely
Thanks a lot
Good
Jamani hii CD inapatikanaje?
Mungu awabaliki mmenifaliji sana
NAOMBA AUDIO YAKE TAFADHALI