Kutana na Mtanzania anayetengeneza Milioni 5 za Kitanzani kwa siku akiwa Mjasiriamali Marekani.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 июл 2021
  • СпортСпорт

Комментарии • 40

  • @nasseralhabsi1483
    @nasseralhabsi1483 3 года назад +6

    Safi sana, biashara halali kabisa. 👍

  • @enezermwafrica7443
    @enezermwafrica7443 2 года назад +3

    Hii imekaa vizuri xn, heko

  • @Veni584
    @Veni584 9 месяцев назад +3

    Angekuwa huku angekutana na migambo, anachafua jiji

  • @amanisaid9863
    @amanisaid9863 6 месяцев назад +1

    Hongera sana kaka ,,Mungu akusimamie

  • @johnhery-wh4lq
    @johnhery-wh4lq 3 месяца назад

    Hongera sana nimekupenda creative xna

  • @pastorndunguru4870
    @pastorndunguru4870 11 месяцев назад

    Habar za US kaka Yasin , Mungu akubariki nimefurahi

  • @mohamedfaris3000
    @mohamedfaris3000 2 года назад +3

    Njoo ufanye Tz au Zanzibar utaambiwa unahujumu uchumi hutaki kulipa kodi kwa7b hujakodi mlango

    • @safiasaleh669
      @safiasaleh669 2 года назад

      Sasa iyo bussness license c ndio anolipia ndio Kodi yenyewe iyoo uko ndio huko kila kitu kinalipiwa

  • @GeradinaJohn-xh8pw
    @GeradinaJohn-xh8pw 3 месяца назад

    ♥️♥️♥️♥️big up bro

  • @saidkanyonge912
    @saidkanyonge912 3 года назад +3

    Ongera sana mzee tunataman kuiga ukifanyacho

  • @chakubanga8053
    @chakubanga8053 2 года назад

    Masha'Allah

  • @hamidaalhabsi8568
    @hamidaalhabsi8568 2 года назад

    Maashallah

  • @barakamazigo4840
    @barakamazigo4840 2 года назад +1

    Xafi xn Mzee

  • @sauda1236
    @sauda1236 3 года назад

    Nakubali

  • @Ndu-wa.uroony2
    @Ndu-wa.uroony2 9 месяцев назад +1

    Mwandishi nikufundishe jambo.
    Usikurupuke tu na kuvaa kofia inayouzwa bila kuomba tishu ama kitambaa chepesi cha kutanguliza kichwani vinginevyo unaichafua bro

    • @peacemwesiga
      @peacemwesiga 4 месяца назад

      Mwandisi anadhan ni bongo😂😂

  • @amanisaid9863
    @amanisaid9863 6 месяцев назад

    Pia jitahidi sana kuekeza kwenye timu ,,,mbele utaona mafanikio

  • @graceanyungu2774
    @graceanyungu2774 Год назад

    Wow

  • @hidayasaidi7872
    @hidayasaidi7872 3 года назад

    Waau ujenagarikamahilo nalipenda

  • @user-pg1xe1qs2g
    @user-pg1xe1qs2g 2 года назад

    Safi sana

  • @haidarsaid6800
    @haidarsaid6800 3 года назад +1

    Duh

  • @rockcitynative9985
    @rockcitynative9985 Год назад

    Kwa Tanzania hiyo biashara haiwezekani hakuna wateja wa kusapoti hiyo biashara

  • @ErickJohnson-qf8zn
    @ErickJohnson-qf8zn Год назад +1

    Uliza kuhusu kodi

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 4 месяца назад

    MSIWATIE WATU MOTOO, HUO NI UWONGO UMTUPUU.HIYO MILIONI TANO NI KAMA DOLA 2600/=. LAKINI HAPOBADO HUJALIPA USHURUU.

  • @Hussein-gx4qu
    @Hussein-gx4qu 4 месяца назад

    angekua huku lazima migambo wangemfukuzia mbali

  • @user-pb3ub3gl4q
    @user-pb3ub3gl4q 20 дней назад

    KAMA UMEKUJA HAPA BAADA YA KUSIKILIZA INTERVIEW NA MANARA KWA TUHUMA ZA KUGAWA VITABU VYA KUSHAWISHI USHOGA GONGA LIKE HAPA

  • @raheemahamees6410
    @raheemahamees6410 Год назад

    Mwambiye atowe namba

  • @anjelinakasembe845
    @anjelinakasembe845 Год назад

    Europe pia kuna vyakula Kama hinyo

  • @ChejoBuchejo-mm8bb
    @ChejoBuchejo-mm8bb 4 месяца назад

    Under the carpet ....hao sio Kama unavowajua ....we jaa kichwa Kama chura wa nchi kavu.....😂

  • @user-pg1xe1qs2g
    @user-pg1xe1qs2g 2 года назад

    😁😁😁😁

  • @DavidDanken-uf7kp
    @DavidDanken-uf7kp 8 месяцев назад

    😅😅😅 maulid we n mjanjamjanja sn.

  • @adam-saffi211
    @adam-saffi211 2 года назад

    Kapuya? Related to Professor Kapuya

  • @vincentndonye7989
    @vincentndonye7989 Год назад

    Jamaa promoti mwenzio

  • @boasliberath5798
    @boasliberath5798 5 месяцев назад

    Mtangazaj anamiemko

  • @marymlewa8682
    @marymlewa8682 Год назад

    Namba zake nataka kununua kofia

  • @cettyamandus2929
    @cettyamandus2929 2 месяца назад

    Usukuie uko siyo goli paka wewe