MVUA KUBWA YASABABISHA BARABARA YA ARUSHA MOSHI YAFUNGWA MASAA 8
HTML-код
- Опубликовано: 13 апр 2024
- Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
Hai.Wasafiri waliokuwa wakisafiri kutoka nje ya wilaya ya Hai, Mkoani Kilimanjaro kwenda maeneo mbalimbali nchini wamekwama kwa zaidi ya saa 8 katika eneo la kwa Msomali, wilayani hapa baada ya kukatika kwa mawasiliano ya barabara yaliyosababishwa na mto Sanya kujaa maji kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha Mkoani hapa na kupeleka daraja kuziba kwa magogo na kuleta adha kwa wasafiri hao.
Kutokana na hali hiyo imesababisha magari yote yanayoingia na kutoka Mkoani hapa katika barabara kuu ya Moshi-Arusha kushindwa kuendelea na safari kutokana kukatika kwa mawasiliano hayo ya barabara
Turudi tu kwa mwenyezi Mungu. Dhambi zimezidi matokeo yake ndo hayo
Poleni
Hongereni kwa kujituma usiku ili maafa yasitokee.
Safi,tunawapenda pro actors🪴
Ma engineer hawazingatii mikondo ya maji wakati wa ujenzi wa barabara
Si ndiyo
Mbona hamsemi pia mafuriko ya Moshi yamesababishwa na Nyerere hydro power
Polen asee
Tumuombe MUNGU wa Tanzania wenzangu,IBADA IBADA JAMANI.
Na huko vipi,bwana la nyerere au.
Kilichojengwa hapo ni nini mlishindwa kukadiria kiwango halisi cha wingi wa maji?
Haya sasa hapo Rufiji!?
Dah!! Hii mnvua ninoma
Tujifunze kupanda miti mingi, hii ndiyo athari kubwa, mvua zinaponyesha maji hayawezi kuingia ardhini kwa sababu hakuna miti inakuwa ni "pan" hivyo badala ya kupenyeza kwenye ardhi yanakuwa hayana namna bali kuendlea na ndio mwanzo wa mafuriko sehemu ambazo hazina historia ya mafuriko kama hayo.
Tanroads wanafanya kazi za kubabaisha. Daraja hili hukarabatiwa kama usanii maana kila mwaka husababisha sintofaha. mu.
Yani uko sawa kama huku arusha kila siku majanga lakini ukiangalia ni ubovu wa miundombinu yaani mkondo wa maji badala ujengewe daraja kubwa eti wanaweka vi kalavati ku divert maji mvua ikinyesha inabeba mpaka barabara
Hilo ni Daraja la Mto Sanya na Syo Mto Biririi!!
KUNA MADARAJA MAWILI ENEO HILO ( kwa wasomali).... ni miaka zaidi ya 43 hilo daraja halijawahi kujaa Maji!!!
@@ThomasMcha-jk5yt biriri tena unanikumbusha nyumbani naibili
Kwa msomali kila msimu wa mvua ni majanga wahusika wamelala
Siyo kwa wasomali