Kutoka Kenya 🇰🇪.... RR cullinan ya diamond ndo sasa gari... Anachezea ligi kuu sasa... Alafu mansory anacustomise any type of luxury vehicle, gwagon, urus, autobiography
Hakuna company mbili au tano zinatengeneza magari ya rose Royce nimojatu. Wakishaona hakunawateja wanauziya wale vibanda nawewe utaweza kununua kwao lakinii ni gari ya compuni ileile
Hiyo simu haviendani na thamani ya pesa inayotajwa, maana wametumia processer ya miaka 3 nyuma, ambapo simu kama hiyo ni redmi note 8pro ambayo haizidi laki5, ni bora uchukue a 52, poco x3, au note 10 redmi
watu mutakuwa wajingahafi lini Eti ni fake ?? Diamond angekuwa muzungu Hamungesema kwamba ni fake, wewe unajuwa mwana y’a fake, wivu tu !! Kuliko kumuha hongela munasema ni fake
Kabisa. Wakati hii story ya fake imeanza niliwaza, waandishi wa habari wanao fanya research wapo wapi kuwaelimisha watu 🤔 . maana gari(super car) haliwezi kutengenezwa na kuuzwa nje ya nchi kama halina copyright ya manufacurer na usajuli. Kazi nzuri
Wow! Snash! Keep up the good work...!!! You are so professional and you really know your shit! Umenifanya mpaka nime-subscribe kwa sababu unafanya kazi nzuri. I wish Diamond akupe nafasi ya kufanya live review ya both Escalade na Rolls Royce!!! Hongera na kila la Kheri.
Afrika tuache ujinga, ukiona mwenzenu ana kitu cha samaani unasema eti ni fake? That’s true ! Mupeni hongela katika bala la Afrika wangapi wana muchuma Kama huwo? Hata ulaya kwenye we ni wa dogo sana
Kweli ni rose Royce lakin sioya2021apana kabsa rose Royce za 2021zinamuonekano tofauti kidogo matairi ndani nalong noise diamond Angesema ni too.ni roseroyce sioya2021 maneno yangekwisha
#aboi_4rm makambako oi man hapo imezingua kuna wana kibao wanagushi vitu feki kupitia jina la campn kubwa mfano simu I phone simu hiyo inatambulia ni ya garama sana duniani lkn nw kuna watu wamegushi mpk ukiwa na laki unapata I phone mpya muungo ule ule wa original lkn ni simu feki na inatoka kwenye campn kubwa sasa unavosema hizo gari hakuna feki unafeli man
BANZI SYSTEM MAINTAINENCE ....TUNATOA HUDUMA ZA KUJAZA FOMU ZA BODI YA MKOPO OLAMS HELSB .... PAMOJA NA KUTUMA MAOMBI YA VYOO KOTE NCHINI NA NJE YA NCHI TUNAPATIKANA MBEYA SOKO MATOLA KARIBU NA CHUO CHA UTUMISHI WA UMMA
Uko vizuri nimekuelewa mi binafsi
Nimekuelewa vzr
Endelea kutuelimisha
Kutoka Kenya 🇰🇪.... RR cullinan ya diamond ndo sasa gari... Anachezea ligi kuu sasa... Alafu mansory anacustomise any type of luxury vehicle, gwagon, urus, autobiography
Asantee baba🔥🔥🔥
Umefanya paka nime subscibed channel yako dahh umeeelezea vzur
Nakubali broo salute💥💥
Keeping going brother ❤️❤️❤️❤️❤️
Nakubali kaz yako kaka 🙏🙏
Daaa unatuelesha had cc tusiolijua tumelijua , big up
Jamaa unasaut nzuri saana ya kutangaza au kuelezea kitu,. Nakuona pale Apo dadaake kdogo, cngrtltn bro
Uko vzr kwa maelezo
Lind kiwalala. Fnya review ya movie ya avatar ingawa ni ya mda Ila utatisha kinoma brother.🔥🔥🔥🙏
sjawahi kukupinga mzee baba
ipo siku watakuelewa tu bro..... mi nimekuwa kikufwatilia kitambo kidogo.... naona juhudi yako ilivyokubwa
Audi kaka jamani ❤❤❤tuletee
👏👏👏👏
🔥🔥🔥 by kelonelions
Sanaaa nakupata
Hilo modified halijakaa poa limekuwa na mambo mengi kwenye shape ya nje ,, hizo kavu za kutoa rollroys ndo kali sana
Hakuna company mbili au tano zinatengeneza magari ya rose Royce nimojatu. Wakishaona hakunawateja wanauziya wale vibanda nawewe utaweza kununua kwao lakinii ni gari ya compuni ileile
Umeongea pointi
Brother ielezee phantom x
Hiyo simu haviendani na thamani ya pesa inayotajwa, maana wametumia processer ya miaka 3 nyuma, ambapo simu kama hiyo ni redmi note 8pro ambayo haizidi laki5, ni bora uchukue a 52, poco x3, au note 10 redmi
Sasa mbna mwinyaku anasema kampuni haijatao gari ya blue mwaka huu
Kaka sijawai kukupinga unajuwa san hap tu
Ninoma
Mnaangalia ili ununue au
Afu ya davido ni type gani?
Rolls RoyceGhost 2021 brah'
We jama ni hatari
Ametisha kinamanoma
watu mutakuwa wajingahafi lini
Eti ni fake ?? Diamond angekuwa muzungu
Hamungesema kwamba ni fake, wewe unajuwa mwana y’a fake, wivu tu !! Kuliko kumuha hongela munasema ni fake
Ah wew muongo kama sio fake basi ningeona atA jina kake
Hakunaga gari fake bwana. Fake kwenye nguo huko na viatu
achen kuazima magari ya watu kiki duuh huna hela wewe
Rose Royce fake zipo kibao boss ukienda Dubai unazikuta tu kibao wanatengeza wachina km hujui magari fuatilia hiyo
Ahahahaha kaka ukuwahiii kutuangushaa walaaa bigup blood take my 100% support
Diamond huyu jamaa anakufaa wasafi pale😙😙😙
Kabisa. Wakati hii story ya fake imeanza niliwaza, waandishi wa habari wanao fanya research wapo wapi kuwaelimisha watu 🤔 . maana gari(super car) haliwezi kutengenezwa na kuuzwa nje ya nchi kama halina copyright ya manufacurer na usajuli. Kazi nzuri
Shikamoo @diamondplatnumz 👑🚘💎⚡. NB diamond kanunua Rolls-Royce cullinan OG
fake kwa sababu amenunua tusiyempenda
Nahii ndo point ya Wanaosema fake coz Wana chuki na Diamond platnumz 💎🤣🤣🤣🤣
Nipo na wewe bampa tu bampa
Hujawah danganyaaa brudaaaa ✊✊✊✊
Wow! Snash! Keep up the good work...!!! You are so professional and you really know your shit! Umenifanya mpaka nime-subscribe kwa sababu unafanya kazi nzuri. I wish Diamond akupe nafasi ya kufanya live review ya both Escalade na Rolls Royce!!! Hongera na kila la Kheri.
Roho mbaya inawasumbua wabongo kaka kwanza Mimi ndio leo Nasikia Gari fake 😂😂😂
😂😂😂 Mimi pia jameni wa Tz ..mna mengi tu
Nikwel kabisa wanaomdisi mond hawana hata kitu mtu mwenyewe ni mwijaku na H mama
Mie najua simu feki tu lakini sio Gari
snash upo makini sanaa na technology unaijua sana ongera kaka
Afrika tuache ujinga, ukiona mwenzenu ana kitu cha samaani unasema eti ni fake? That’s true ! Mupeni hongela katika bala la Afrika wangapi wana muchuma Kama huwo? Hata ulaya kwenye we ni wa dogo sana
Aliejaliwa kajaliwa tu asante kaka
Waache waongee yao ya upumbavu akuna Hali feki
Tatizo tusiwalaumu wale shida kubwa ni elimu.. Big up bro
You are very right!
Simba mnyama wewe KamA wanasema feki olijino yakwao ipowap
We mbwa unajua...ngoja nisubscrib mapema
Kiba atafute2 kaz nyingn Ushauli Lakin😎😎
🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣
Mpaka nimekomenti unajua kutangaza hongera
Umetisha kinomanoma
👍🏽👍🏽👍🏽👍🏽
Gari LA mondi ni tushio, wanaosema no fake wakatuletee yao Og
Ahsante kaka well said
Tanzania mko na ufala sana
Bro tufafanulie hii tozo ya serikali kwenye miamala..
Msenge wewee🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣
Shikamoo Diamond :)
Ahseee upo vizur
Kweli ni rose Royce lakin sioya2021apana kabsa rose Royce za 2021zinamuonekano tofauti kidogo matairi ndani nalong noise diamond Angesema ni too.ni roseroyce sioya2021 maneno yangekwisha
Nakubali 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
bro nash kazi nzuri sana unatutosheleza kujua vitu kuipana zaidi kwa lugha nyepesi kabisa keep deeping in..........
Wa kwanza
Jamani tumechoshwa na ushamba wa kuona rolls royce kwa kweli kwani ndege hiyo acheni ujinga wenu mnachekwa tu post vitu vya maana
#aboi_4rm makambako oi man hapo imezingua kuna wana kibao wanagushi vitu feki kupitia jina la campn kubwa mfano simu I phone simu hiyo inatambulia ni ya garama sana duniani lkn nw kuna watu wamegushi mpk ukiwa na laki unapata I phone mpya muungo ule ule wa original lkn ni simu feki na inatoka kwenye campn kubwa sasa unavosema hizo gari hakuna feki unafeli man
Hiyo ni rose Royce kweli lakinii sioya2021apana hatamwenyewe anajuwa
snashtz what about today movies tumepowa leo aiseee
Sio fake but hiyo gari ni used sio brand new. Kanunua Dubai. Gari yake ni left hand.
Inawezekana fake hyo
Umetisha mzazii
Wale wanaodharau kuwa ni fake walete moja original il tujuwe ktofautsha
mzeeee atuoni majabu tushazohea kulila kila siku tunakutana na video mpyaaaaaaaaaaa
Hujui unachokizungumza. Usiwe chawa
Waliosema ya diamondplatnums ni fake walikuwa wanaziona za mansory kama mimi hapa😂😂😂, yaani kweli kuna kipya nimekijua.
Uko na akili nyingi
Tishaaa sana
Jiandae na kuelezea kuh Lamborghini URUS na Bentley Bentayga kama kweli zinasubiriwa
Saw nash
Ustazi juma ajaenda shule ndomaana anasema kuna gari feki shule muhimu yeye anajuwa ile gari nisimu za k.koo
Uelewa wako mdogo sana mwandisha tembea
BANZI SYSTEM MAINTAINENCE ....TUNATOA HUDUMA ZA KUJAZA FOMU ZA BODI YA MKOPO OLAMS HELSB .... PAMOJA NA KUTUMA MAOMBI YA VYOO KOTE NCHINI NA NJE YA NCHI TUNAPATIKANA MBEYA SOKO MATOLA KARIBU NA CHUO CHA UTUMISHI WA UMMA
Kk ufai akuna anae kufikia kweny utaft
Uo mpira sio poa
Uwaufichi bro
Kaka uko vizur
Nice,nimeletwa hapa na middle Simba.
Dahh ni kweli broohh
Pqmoja kaka
Mr Facts
Swahili
Jamaa anajuwa jaman @snadhtz
Hio unayo tangaza hapo ndo original! Ya Diamond ni feki!
#aboi_4rm_makambako ovaaaa umegusa mwamba
We mtu unajua
Kali kinoma noma💪
Uko fresh mzeee
safiii
Umetisha kinoma noma,,,hii ndio maana halisi ya techinswahili
Safi #Ekainjili
Hongera Mond kwa gari yako nzuri sana sana!
Na hiyo mipira