HII ni ya KISASA! MACHINJIO ya VINGUNGUTI IMENOGA BALAA, WANYAMA WANACHINJWA KIDIGITALI...

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • HII ni ya KISASA! MACHINJIO ya VINGUNGUTI IMENOGA BALAA, WANYAMA WANACHINJWA KIDIGITALI...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
    ⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

Комментарии • 38

  • @yahyamkone5601
    @yahyamkone5601 3 года назад +16

    Mzee wetu jpm tutakukumbuka Sana kwa alama ulizotuachia mwenyezi mungu akufanyie wepesi ktk kaburi lako

  • @temuemanuel4671
    @temuemanuel4671 3 года назад +13

    Safi sana.
    JPM alituheshimisha sana. Mungu ampumzishe kwa amani. Tutamkumbuka daima

  • @eneambogo1941
    @eneambogo1941 3 года назад +14

    R.i.p jpm

  • @eliaminishembazi6804
    @eliaminishembazi6804 3 года назад +8

    Uongozi nikuacha alama .Rip Magufuli

    • @m.mmarckus6298
      @m.mmarckus6298 3 года назад +2

      Tutazidi kumkumbuka kwa kweli hata waliomchukia wanatumia alivyoacha

  • @victorjames3730
    @victorjames3730 Год назад +1

    Nilitegemea kuona kwa vitendo 😔😔 ninemaliza MB zangu pumbavu zenu

  • @hassanmpwepwe3826
    @hassanmpwepwe3826 3 года назад +3

    Uyo mama yenu kaz yake kuimba taarab kaz ya jpm iyo mungu aku leheem upo ulipo maana yake uku kuna wa2 na via2

  • @kibasatv1524
    @kibasatv1524 3 года назад +3

    Hiyo ni theory ulipaswa kuonesha practical really sasa unaelezeaaaa porojoooo mjifunze jamaniiiiiii duuuuuuuuu

  • @neemarobert6159
    @neemarobert6159 3 года назад +1

    Kweli Tanzania tupo juu

  • @charlesemmanuel9434
    @charlesemmanuel9434 3 года назад

    Hio machinjio ni kero sana hapa, mtaa mzima harufu mbaya..hafadhali ingeliwekwa pembezoni mwa mji ingeokoa sana utunzaji wa mazingra na afya bora kwa binadamu

  • @kessykatimba7272
    @kessykatimba7272 3 года назад +2

    Tuonesheni kwa vitendo maneno matupu hayatosh

  • @vintagemusicgroup9236
    @vintagemusicgroup9236 Год назад

    Mnatesa wanyama sababu ya imani? Hiyo risasi kwanini isimuue moja kwa moja kisha achinjwe chap

  • @selestinsongola2787
    @selestinsongola2787 3 года назад

    Mashine hazina kasi sana nishda

  • @yusuphabsaid8151
    @yusuphabsaid8151 3 года назад +1

    Hongera mama Samia

  • @binahmedjuma8681
    @binahmedjuma8681 3 года назад +1

    Hawa ndio ma *journalist* wetu!
    Kelele nyingi vitendo sifuri, wakati majournalists wa nchi za wenzetu tungeoneshwa vitendo vyote! 😆😆😆

  • @jomoswai
    @jomoswai 3 года назад +1

    Unaongea sana na kuuza sura bila kuonyesha picha halisi ya story! Acheni Porojo kasomeni zaidi!!!

  • @davidmalogo7100
    @davidmalogo7100 3 года назад

    Mbona jengo navifaa havilingani na mapesa uliyoyataja? Yani bilioni 12

  • @ramadanmahunja1708
    @ramadanmahunja1708 3 года назад

    Maneno tu vitendo tunataka inaonesha hamna maendeleo

  • @ukhtynaa1096
    @ukhtynaa1096 3 года назад +1

    Bas hapo watu watageuza wenzao ng'ombe watachinjana

  • @abdulwahababdulkadir9965
    @abdulwahababdulkadir9965 3 года назад +3

    Dadangu izo hela ulozitaja unazijua lakini,ivi ayo mabanda na mitambo hiyo inayopigiwa kelele kila uchao ndio inaendana na pesa hiyo,sema tu pesa imeliwa mno apo acheni kuwaona watz ni wajinga

  • @sebastianmpepayena5587
    @sebastianmpepayena5587 3 года назад +1

    Mbona kama mifugo inatia huruma

  • @gefmwa-nyigo1596
    @gefmwa-nyigo1596 3 года назад

    Lala salama MWAMBA

  • @ramadhannjaite8326
    @ramadhannjaite8326 3 года назад

    tayar kuta ziekua chafu

  • @kainimlowe7555
    @kainimlowe7555 3 года назад

    mbona dada unatudanganya ivo

  • @jennifersindano5135
    @jennifersindano5135 3 года назад

    Mbona pachafu safisheni

  • @paulonatanael2286
    @paulonatanael2286 3 года назад +1

    Asee kumbe baba magufuri kweri aripania kuibadirisha tazania manake nirikuwa naangaria mitambo hiyo kama uraya manake baba magufuri arikuwa ni mutu wamaono sana bahati mbaya hatutamupata tena mwingine

    • @amenyemwansile631
      @amenyemwansile631 3 года назад

      Huo mradi ulianza kipindi Cha kikwete na ukaja kukamilika kipindi Cha magufuli

    • @temuemanuel4671
      @temuemanuel4671 3 года назад +1

      @@amenyemwansile631 Sio kweli

    • @temuemanuel4671
      @temuemanuel4671 3 года назад +1

      Alianzisha chuma mwenyewe

    • @hamisiliton4505
      @hamisiliton4505 3 года назад +1

      @@amenyemwansile631 hta kama unamchukia mtu sio kwa dizine hii watz wote tunajua mradi huu umeanza 2017 mwisho kikwete katokea wapi

    • @mamboshepea8888
      @mamboshepea8888 3 года назад

      @@amenyemwansile631 acha uongo basiiii!!!

  • @princekagame8203
    @princekagame8203 3 года назад

    Hiy sio machinjio ni zizi la kufugia nan? Aliwahi kuona ikifanya kazi hii mashine essu sio kununua mitambo itunike sasa sio kituonyesha2 kila siku