DR MOSES KULOLA PINGAKRISTO ATATOKEA PACKSTANI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • mosese kulola aliubili katika mkoa wa shinyanga mwaka 2000 katika viwanja vya kambalage

Комментарии • 27

  • @fatmafa1896
    @fatmafa1896 5 лет назад +4

    Amen mungu mwema kweli, kweli

  • @khadijaayubu4725
    @khadijaayubu4725 Год назад

    Ubarikiwe Sana hakika tutakumbuka one day

  • @yusufukazamba2391
    @yusufukazamba2391 5 лет назад +4

    Nawapongeza watumish wa Mungu mnaorusha mahubiri ya baba Kulola hakuna kughoshiwa tutayatunza kwenye flash

  • @imejachunga9958
    @imejachunga9958 5 лет назад +3

    Mungu nijalie mwisho mwema

  • @linosjohn9020
    @linosjohn9020 5 лет назад +2

    Mungu nipe unikomboe na matukio hayo Amina

  • @paullazaro3127
    @paullazaro3127 2 года назад

    Nimemuelewa sana mtumishi wa Mungu ila ninyi msijiharibie sifa ya kazi nzuri, kwa kuweka title inayokinzana na mahubiri,

  • @trizafrances4304
    @trizafrances4304 2 года назад

    Amen 🙏🙏🙏 Jina la yesu lizidi kuinuliwa

  • @nichorausntajunja3144
    @nichorausntajunja3144 5 лет назад +1

    Mungu alikutumia sana injili kama hii saivi niadimu

    • @gedionelius55
      @gedionelius55 4 года назад +1

      Shalom,, Injili Kama Hii Iko Kwa Bishop Zachary Kakobe

  • @sakinamohamedy7506
    @sakinamohamedy7506 5 лет назад

    Yn ayo maneno yanafanana na kuruani vile vile. Iyo itakuwa siku nzito sn Baba hatomjua mtt na mtt hatomjua mama.

    • @financialloan9818
      @financialloan9818 5 лет назад

      Kwan ujui kama Qran imekopy kila kitu kutoka kwenye injili torati na zaburi au ujui ilo?

  • @mosesanosa9956
    @mosesanosa9956 5 лет назад +1

    Nani ataziba nafasiyako baba askofu kulola nakukumbuka baba

  • @myself4128
    @myself4128 5 лет назад +1

    Sasa hiyo Tittle mna laaana? Mnadanganya kama wapagani tuu ili mpate views

  • @thadeusmathiews2564
    @thadeusmathiews2564 2 года назад +1

    Huyu ndiye Nabii wa Pekee wa MUNGU

    • @jairosjulius9447
      @jairosjulius9447 10 месяцев назад +1

      Mungu alimwambia nuhu 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉😅😅😊😮😢😂❤

    • @jairosjulius9447
      @jairosjulius9447 10 месяцев назад

      🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉😮😂😅😊😂😅😂mungu akbrk

    • @jairosjulius9447
      @jairosjulius9447 10 месяцев назад

      😂🎉😢😢😢😢😢😢😢😢🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤😂😂😂😮😮😮😮😅😅😅😅😊😊😊😊

  • @carolinetalam5832
    @carolinetalam5832 5 лет назад

    Amen

  • @davidmhina4999
    @davidmhina4999 5 лет назад

    Amina

  • @MussaAlly-j8o
    @MussaAlly-j8o 5 месяцев назад

    Injili ya kweli kabisa

  • @myself4128
    @myself4128 5 лет назад

    Issue ya moinga kristo ni complicated sana..namkubali sana mzee kulola lakini suala la mpinga kristo sikubali....
    Anti christ ni muislamu anaitwa Imamu mahdi sababu anatimiza unabii wote someni mfahamu...sifa zote zinamuangukia yeye

    • @hellenevarist5221
      @hellenevarist5221 4 года назад +1

      Soma Biblia vizuri utakutana na aliyosema baba usisikilize story za uongo hilo jina ulilotaja hata kwenye neno la Mungu halipo neema ya Mungu ukufungue na pia YESU KRISTO AKUEPUSHE NA UPOFU WA INJILI.kwa neema tumefunuliwa neno lake.

    • @adamubushiri9594
      @adamubushiri9594 3 года назад

      Hallelujah

    • @MussaAlly-j8o
      @MussaAlly-j8o 5 месяцев назад

      Mpinga kristo hajajulikana mpaka saiv atatokea wapi lakini papa ana dalili za mpinga kristo