"RANGE ZINAZOINGIA TZ KUTOKA 'SAUZI' 90% NI ZA WIZI" - KIJANA ANAYEISHI UINGEREZA AFUNGUKA
HTML-код
- Опубликовано: 7 фев 2025
- "RANGE ZINAZOINGIA TZ KUTOKA 'SAUZI' 90% NI ZA WIZI" - KIJANA ANAYEISHI UINGEREZA AFUNGUKA
www.youtube.co...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Hata Uingereza zipo Za wizi. Si zote za South ni za wizi. Zimelipiwa Ushuru halali na Export Papers Halali acha kutupakazia Watu tulio South Africa na tunaishi kihalali.
Uyu niga ana jipya chuma kutoka south Africa ni unyamah sana
Anajitangaza
Nimepata Elim, uwenda na mimi Allah akanijalia nikapata gar yangu.
😂😂😂😂😂okay,wapi range zetu😂😂😂
Kweli kabisa,kwanza ukiona gari yoyote ya kifahari yenye namba za usajili za SA,asilimia kubwa unakuta ni watakatishaji fedha ,wezi wa mitandao na gari limeibwa huko na huwa wanakuwaga wasouth au wanigeria wanaoishi ktk hotel za kifahari mara nyingi Arusha au Dar, lakini ni utakatishaji tu wa fedha hawana cash ni CRedit card tu wanatumia mahotelini lakini zote ni fedha za deal.
thanks boka my discovery from VERITABLE is very comfort bro hope to take next Range from You soon bro.......Big up bro
Range ya Harmonize na Esma ni zawizi kutoka South Africa...😂😂😂
😂😂😂😂
Watanzania nyinyi bhana 😂😂
Asante Wasafi saiv tuna download post ❤
Watanzania ni binadamu waliojaa wivu sana. Mambo ya mange iphone 13 za Tanzania feki. WATU WEUSI WANA WIVU SANA
Umeongea vitu vya msingi lkn mwishoni umeharibu kwa uongo wako... Gari haivunjwi kioo, inafunguliwa mlango wa nguma na dereva anatoka
Wewe ndio unadanganya,na kama gari inaboneti haina mlango wa nyuma dereva anatokea wapi kwenye kontena?
Kuvuja kioo ili dereva atoke ni kweli inatokea, kama magari yenye boneti mapana yalichokua nafasi kubwa yamepakiwa kwenye kontena.
Aisifuye MVUA IMEMNYEA. Hivi wewe Binafsi ulifanikiwaje katika Issue kama hizo? 🙏🙏🙏
Kwani ni gari zote zina milango ya nyuma.?
Kwani kioo hakiwezi kutolewa bila kuvunjwa.
Uwe unaskiliza vizur au wakat namalizia maneno ya Mwisho ulikua Ushavuta bangi mbona kasema wakat mwingine mtu kupitia nyuma Sasa ulijua nyuma kwako nn😂😂😂
Dareva anaweza kutoka mlango wa nyuma unaofunguka kwa juu au upande mmoja au miwili ila nyuma baada ya apo unafunga na kutoka baadae wanafunga kontina
Anaongea point
sio 90% gari za south ni za wizi huo ni uongo mbona wengi tu wananunua
Yeye ndio mwizi mwenyewe
Tanzania nchi yangu mtihani mkubwaa, hao viongozi wenyewe wanapola pesa za miladi na za wananchi wakati barabara mbovu
Sio Tanzania yako sema yatu
Jamaa mwongo sana
Katokea nyuma bana
Hongera sana broo kwa elimu nzuri
Jamaa anajua nimeskiliza
Ebana wa-K 🇸🇸wanawivu kinoma😀😀
Mbona kaongea ukweli jaman ndugu watanzania amesema wakati mwingine wanapasua hata kioo au wanatokea kwa juu (sunroof) pia kasema au wanatokea kwa nyuma sasa uongo wake ni upi
Mwisho umesema uongo😂😂😂
Huyu nae sasa mbaka uvunje kioo cha Gari si anafunguwa kioo tu . Huyu muongo na anawaonea wivu Sauz. Uingereza magari mengi Pia ya michongo na wana claim insurance. Uwizi upo kote tu
Huyubwana ni mfanya biashara wa magari lakini hayajui magari.
Kuna magari mabovu tu hata yawe mapya na moja kati ya magari hayo ni Landrover Ranger rover haya magari reliability ni mbovu.
Gari kuwa na kilomita lakimbili sio sababu ya gari kukuharibikia inategemeana na maintenance na gari reliable kama Toyota ziko gari na kilometa lakitano na ziko sawa na tunanunua malori yakiwa na kilimeta mpaka millioni na yanaishi tu. Magari ya wizi south yalikuepo na yalikamatwa kwenye msako lakini si kweli kwamba 90% ni ya wizi ila huwa bei rahisi kwani watuwengi hu upgrade magari yearly na kibali hakiruhusu mtu kutembelea chasis number bali kutembelea usajili wa nchi husika. Inaonekana kalipa ili kujitangaza lakini script mbovu
Sijui sana kuhusu hv vtu ila inawezekana huyu jamaa anajipalilia biashara yake
South Africa kumiliki Gari Ni Jambo la kawaida sana.sio Kama Tanzania magari mazuri mnataka waendeshe Tu wakubwa.tafuta pesa.ukiwa Na Pesa hata ndege unamilikiii😝😝😝😝😝
Uko sawa naliona hilo mie nipo pritorie
Jamaa katudanganya aise khaa gari inapoingizwa kwenye contena wakati inaingia dereva anaingia kwa mlango wakawaida wakati wa kutoka anatokea nyuma ya gari pia kumbuka siyo kila gari inaingizwa kwenye contena
Jamaa ongo sana hilo hata hapa South Africa zipo zinazoibiwa ulaya zinaletwa South na zinauzwa hapa South Africa Dunia kijiji acha roho mbaya
Shoga uyo anafikili atujui kama wa Italy wanaiba uk hapo wanauza afrika wezi wa magari ulaya nzima ni wa itAly
😂😅kupasua kioo umebugi😢
Bora ungesema wanaptia juu kwenye roof ya gari au nyuma ya gari kwenye boot baada yakulaza viti😂
Kwa saloon/sedan car utapasua kioo tu hamna namna na kasema vile based on experience,lkn SUV unatokea mlango wa nyuma izo hazina shida
Yaani nyie wa Tz mna roho mbaya na chuki mbona huku Mozambique magari yako mengi tu ya wizi but kila mtu anajali maisha yake, huo ni ushamba na roho mbaya
NDio zilee za mmakonde kuhonga mbili zilikuwa za mchongo
Watanzania kweli wachawi duuuh
Sas upsue kioo badala ufungue hyo kioo uweke ndan.. Ety unapsua kioo afu unanunua ingne unaweka ndan ya gar kwel hyo ni akil 😂😂
Pa kutokea ni mlango wa nyuma hakuna pengine
Uyu amna anachojua
Hume ongeya vyema hila mwisho hume haribu south africa huwezi kuiba kari kubwa kama hizo hikose kushikwa hacha kuongopeya watu😅😅😅😅
Huyu ni boya tu, apigie upatu gari ambazo analeta. Siyo aharibu biashara ya watu.
Kazi ya remote ya gar ni nin siunabonyeza buti inafunguka unapitia apo nyuma huyu jamaa muongo 🥲🥲upasue kioo tena 🤔😂
Muongo uyoo sisi tunaishi huku gari c za uwizi Bali ni gari ambazo zmepata ajali huku tunaita za kukata aache kualbu biashara za watu uyooo anavutia kwake uyoooo mshamba
Wanajaribu kumtangazia biashara ni vile hamjagundua tu
Kupasua kioo sio kweli,hapo anatokea kwenye buti
Huyu ni muongo ....Wasafi mnatuletea watu wa ajabu.
Tuitie Chris Lukosi ndie anayeelewa magari ya Muingereza huyo hajui chochote ukiona mtu amevaa suti jua anaishi kwa Kalamu. Chris Lukosi global link mpango mzima
Tafuteni hela Range sio gari ya Matajiri😂😂😂
TUNATOKA KWENYE MLANGO WA BOOT YA GARI HASA HIZI ZENYE MLANGO NYUMA
Wanafunguaga milango ya nyuma bana so kupasua kioo
Mmhh jamaa linaongopa'ongopa tu hli🙂
SErikali kupitia TRA wanajua? Magari yanayoingia kama ya IT na kugeuzwa nchini wanayajua?
Sio kila range rover inayonunuliwa south Africa Ni ya wizi.nakataa tatizo wabongo wengi wanaona range rover ndio Gari latest.wakati south Africa Ni Gari la kawaida sana
Hajasema zote na wew kasem nyingi zake 😅😅ulinunua la wizi nin😁😂
Namimi kununua gar kwa mtu aaaaaah
Stosubutu hata siku moja
zikiwa nyingi kuna tatizo gani
Unavutia kwako kk,Interpol wana kaz gan?Gar itoke South mpk Tz hapo kati inapaa ama vp n Interpol border zote wamelala?
Ni hela tu braz ktk hiz nchii,Botswana tu ndiyo mziki
Sasa hapo si dreva anatokea mlango wa nyuma wa buti Au nyie wenye range mtueleze huko ndani Kuna uzio huwezi kutokea kwenye mlango wa Buti?
Gali ikiwa na funguo ya remote hyo remote yako itafungua milango yote so ilunaeza ukiwa nje ukatumia remote kufungua hyo milango ukainhilia mlango huo wa nyuma
Upasue kioo cha nini wakati gari inabuti
Kwaiyo uyu ndo anajua kila kitu apa duniani ??
Nafikiri ungesema kioo kinatolewa, kuliko kuvunjwa yaan jibu jepesi umetoa
Hapo anatokea kwenye buti
Kwanini upasue Kipo wakati Kioo kinashuka na kupanda. Na kama ni coup inakua na mlango wa nyuma! Think!
How about saloon or sedan car?
NI KWELI NI GARI ZA WIZI
Kwenye kupasua kioo ni uongo
Buti yanyuma inaonekana alafu mtu anauliza katokaje ndani
Gari ambayo haina inakuaje?
Kwa akili yangu ndogo tu gari inafungwa kifaa kinachoweza kuteleza ktk matairi harafu unaisukuma kwenda ndani au unaweza kuivuta..au kifaa chenye matair kinabeba kuingia ndani ambacho kipo kama jec
Ni uongo gari ndogo kwenye kontena mlango unafunguka na mtu anatoka akivunjwi kioo wala nini
Anajua gari za south ziko vizuri kuliko za kiingeleza sasa anawasomesha lkn ajue dunia kijiji watu wanamuangalia sasa asije jichanganya sana akawa anatia story nyingi
me naisi itakua deleva anaingilia kwenye buti
Mnafk mkubwa uyo gari ukiingiza ktk contena unatokea kwenye buti Kisha unalock kwa funguo au kwa rimot sio kuvunja kioo kaonesha yeye hajui kitu pia katumwa kuchafua gari za Africa
Kuna gar azina boot ya moja kwa moja hadi nyuma
Hivi wa bongo sijui Nani katuroga Kama mtu kafanya alichofanya na kupata alichopata akijanacho hapa nchini wewe unaumia na Nini wakati hajamzulumu hapa Tanzania tulitakiwa hivi Sasa tutumie hata mafuta ya wizi ili huku kwetu Bei owe ndogo
👌👍
Wivu tu kwa kuwa Huna range rover wala si za wizi
Kwa hili la kuvunja kioo kachemka, mlango wa nyuma upo na remote ipo au nayo inakuwa ya wizi?
Ametokea kwenye buti
Huwa wanatokea kwa nyuma
😅😅😅 NIMECHEKA KISENGE.
sikiliza wewe acha kupotosha watu usidhan uingereza na biashar ya Magari unafny peke,ko' kwa afrika kusini kwanini Magari ni bei rahisi cha kwanza lazima utambue hapa south ambapo mm naishi kwa sas ni kwamba huku Kodi ya gari sio kubwa kama unavyodhani. na watumishi wa huku wanapewa nafasi ya kumiliki Magari kwa mkataba wa makato ya ujira kidogo kidogo. na wengiwao ambao wanauelewa uchukua Magari na badae kuyauza. Chapili kwanini range Rover ya south bei ipochini tofaut na uingereza sbb huku ni sub,Africa sio Europe kuna baadhi ya vtu vitatofautiana na za huku zinatengenezwa kukidhi na kukubaliana na mazingira ya Africa.
Na kuhusu ukaguzi ukaguzi huku upo Kila mahari. Swali la kujiulz kwnn kuna Magari ya wizi ni kwamba afrikakusini makundi ya kiharifu ni mengi na yanajulikana kbs ambapo hata ww MUANDISHI wa HABARI ukitaka gari ya aina fln ukazama pale SOWETO 5T ni kwerekweche unawapa muda wajuba wanakuletea gari. Na kuhs vibali cjui nn namba ya afrika kusini kwa jangwa la Sahara ndio namba yenye uzito ambao unaweza kuitumia nchi yoyote kwa kulipia malipo eidha ya Kila mwez au miezi mitatu. USITUPANGESANA UKAONA WOTE NI MAANDAZI. ATUJUI KITU.
-
TUKIENDA ULAYA kwanini Magari mengi ya ulaya ayafanyiwi ukaguzi sio kweli. Gari la ulaya kabra ya kuwasilisha MAOMBI ya kusafirishwa ufanyiwa ukaguzi na kampuni ya ukaguzi husika na bdae taarifa upewa mteja. TATIZO ni wabongo wachache ambao wanaweza kukataa kusema gari mbovu sichukui. UNAPEWA TAKATAKA ZA ULAYA. nandomana unakuta Magari ya Japan gharama inakuwa kubwa kutokana na sheria za wenzetu wa Japan ni tofaut na ulaya wao wanatoa takataka ulaya na kuhamishia afrika. Na japan wanapunguza uharibifu wa hali ya hewa.
NA ukubari ukatae Magari madogo mengi yanayotoka ulaya haswa haya ya starehe asilimia 70 uaga ni Yale ambayo yamepata ajari yakafanyiwa marekebisho.
SASA NINUNUE RANGE YA ULAYA iliorekebishwa AIRBAG kisa imetoka uingereza na bei juu.
Au NINUNUE RANGE YA kisouth inayoshabiana na mazingira ya kiafrika na ikosawa shughur ni kubadir VIBALI VYA UMILIKI. 😂😂😂😂😂😂.
-
KUHUSU MTU ANATOKAJE KWENYE GARI AMBAYO IPO KWENYE KONTENNA kaka umepuyanga sana wew upo ulaya ya Sunderland nn 😅😅😅😅😅.
Unavunja kioo nani kasema nn maana ya remote nn maana ya kioo cha nyuma cha dhalura. Nn maana ya mlango wa nyuma 😅😅
Mengi ni salvage
Sasa kwenye kontena ndo muoneshe ya diamond
Anatokea mlango wa nyuma
mbona kama nimejiskia jina langu nikireport gabrwills
Njoo na wewe South Africa uibe😂😂😂😂 kama hujavunjwa fuvu kama AKA😂😂😂
Swali la kijinga unashindwa kujua mtu katokaje basi hta maisha hutatoka daimaa
Haitihusu pambana kwa hali yako
Mambo ya magali tuwaachie viongozi
aacahe ujinga wake kama yeye anafanya biashara afanye aache kuaribu biashara za wenzie sio wote niwezi
Hao ndio wabongo analofanya yeye ndio halali ila wenzie wezi, anasahau yeye anunua gari huko milioni Kumi ye anauza milioni sabini hilo hasemi kama wanawapiga watu ngoja na sisi tukawasanue wazungu
Sasa unaambiwa ukweli unabishana nao, Bongo nyoso😂
Tatizo watanzania mkieleweshwa mnamuona mtu mbaya ebooo
Awo wanatokea kwenye buti mbona nyie akili yenu ndogo.
Nani amekulalamikia kaibiwa gari?
Acha majungu dogo
Wabong tunamaish magumu 😏😏
Afadhali umetujulisha mengi mana sisi watz wabishi 😂😂😂
Boka fighter
hawa viongozi wetu huwa wana agiza magari ya ma bilioni huku barabara ni MBOVU
Mbali na maelezo mazuri na ushauri wa kucheki historia ya magari kabla ya kununua kama ni la uwizi au laah...hakuna hata mtu aliyesema asante na kumpongeza humu...ila sababu hajasema unatokea kwa kupitia mlango wa nyuma au buti...basi watu wanamzodoa,wabongo kenge sana 😂😂😂
Kabisa aisee
Siunaweza kipitia kwenye butt
uyo muongo sana sisi tunaingiza gari kila siku kutoka dizonga na sio za uwizi labda yy ndio analeta magari ya uwizi
Watu wapumbavu kabisa si mtu ametokea kwenye buti hapo au?
Soko langari nilimoja tu Japan wengi wanababaisha tu
nyie wasafi mnakua madalali wa kuwatangaza madalali wa magari
jinga kabisa
Wewe kuma atakama gari jipya linaalibika tu kenge wewe
Tunatokea butumi wewe acha hizo
Swali la kijinga kweli, sasa kuna gari isio na mlango wa boot? Kama haina huwa inaingizwa kwa forklift
Wanapita kweny boot bhn acha uongo hawapasui kioo
It's business shut Yu mouth and find money 😂