Igizo ni nzur sana ina wawomba kitu kimoja ogezeni ubunifu wa kufunga mimba maana mimba mpaka inaonekana kama nimenguo .mefugafunga tumboni ila samahani
Kama film ya kiasili basi hata majina yawe ya asili, Humu ndani nimeskia jina la HAPPY, ila haikupaswa kuwe na majina hayo ilitakiwa kuwe na majina ya kibantu na si ya kuzungu. Ila season nzuri hongera Ruta
❤ya leo kali tena tamu❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉 ruta man hapa karibuni naona unabeba bendera yawasani bora tanzania hadi nchi zote zinazo zungumza kiswahili , kamaunakubaliana nami gonga like alafu sambaza hii link ❤❤❤❤❤ umoja ni nguvu
Baisa Acha kuenda na mwendo wa mwakatobe bwana kuna Wana wengi walicheja ya scene ya uganga kuna kama mganga mwavumba,kuna yule chidi unaeza fuata awoo samahani n fan wa Ruta gang kama nimekosea mnisamehee
Me siombi like me nasapoti kazi😂embu tuache utani like Zina raha yake bana😊Aya twende kazi kumsapoti mwanetu 🎉🎉🎉
Hahahahah
Umetekenywa@@zuberpaulo7577
Igizo ni nzur sana ina wawomba kitu kimoja ogezeni ubunifu wa kufunga mimba maana mimba mpaka inaonekana kama nimenguo .mefugafunga tumboni ila samahani
saf san hayo ndo maon mazur wame jitahd lkn pia tunapasw kuwa kosoa wanapokosea❤
Kama film ya kiasili basi hata majina yawe ya asili,
Humu ndani nimeskia jina la HAPPY, ila haikupaswa kuwe na majina hayo ilitakiwa kuwe na majina ya kibantu na si ya kuzungu. Ila season nzuri hongera Ruta
❤Wa kwanza Mimi Leo kuitizama Tamthilia ya TARZAN 🎉🎉🎉😂😂😂
😢Yaniii huyu gumbwa kapendeza Jameni hepu nipe liké hâta tano basii n'a mimi
Woow kumbe kazi nzuri mungu ashidi kukuongoza kaka rutaman🎉🎉❤❤
Pongezi kwa ruta man kwaiyi kazi nzuri ame tuletea
Hiii ni nzurii sanaaa wametukumbuka kina mwaghona na bhughonilee😅😅😅😅😅😅
Ndagaaaaaaaaa #Boncena🎉🎉🎉🎉
❤ya leo kali tena tamu❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉 ruta man hapa karibuni naona unabeba bendera yawasani bora tanzania hadi nchi zote zinazo zungumza kiswahili , kamaunakubaliana nami gonga like alafu sambaza hii link ❤❤❤❤❤ umoja ni nguvu
walaii hii movie ni moto ila luta man banaa🤣nakupenda babaa
Ngoma imeanza na unyama yaani moto moto👍👍👍👍
Tarzan,wa kwanza mimi from congo 🎉
Nzuri sana, mabint nguo zimewapendeza na lutha pia vazi limempndeza bila kusaha mtoto wa chief gumbwa kapendeza 🎉🎉🎉🎉
Mbona mnamtesa sana Happy wang ama hana Bahat kwenye mapenzi😂😂😂
Jameni,
Sema mganga kunanamna unapita na idea za mwakatobe siyo poa ingependeza kama ungepata ya kwako✊ ingependeza zaidi
@@BenjaminMetanyau kwelii kabisaa kazingua
@@BenjaminMetanyau ushauli ndo una faa kama huu✅️siyo kuomba like
@@octavian54 🤝
@@YoungblackPeople-qf7vx 🙏
Nlitaka kusema hvo
Wabongo bhana uwa siwaere wagi sana ilandoivyo mtukwao inabidi ukubar2 chakwako
Baisa Acha kuenda na mwendo wa mwakatobe bwana kuna Wana wengi walicheja ya scene ya uganga kuna kama mganga mwavumba,kuna yule chidi unaeza fuata awoo samahani n fan wa Ruta gang kama nimekosea mnisamehee
Ni kweli apo kapiga kama mwakatobe bn😂
Kweli kabisa kazingua
Wala hujakosea kazingua
Kuiga kitu kizuri sio mbaya kwa upande wangu
Kaka kama ww unaweza weka naww yako uone kama itapata views Ata wa 5hapo ndio utaamini kuwa mwamba kaupiga mwingi anasitahili pongezi
Bonge la story ruta man appreciate it brother
Noma sana .......watching from 🇰🇪
Wasafwa big up mwagona ewane ...mbeya stand up .
Ruta mnyama mkali sana kisha chunga sana gumbwa ni moto wa kuotea mbali💪💪💪💪💪
Bona kama itakua tamu kizindi zote 😂😂😂🎉
Kazi nzuri mwanzo mmefungua vizuri ila Mganga anatembea na code za #Mwakatobe 😂😂 #zinga kama mmeliona hilo gonga like zangu nyingi sana..
Kama umeipenda TARZAN tujuane kwa like nawapendaa
Inaoonekana zury nayo mapara kama ,,,,,,,,,,😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Wa Tanzania na likes jameni,wat for? 😂😂
@@JamaliNdwata good
Kaz nzur sana jmn wanaoipenda like me hebu nipeni like zanguuu
Oya kaz imempata mwenyewe mganga uyo hakoseag kwenye mishe izo baisa mganga
Apo Kwan mganga ameharibu movie yote😢😢angeongea sautii yake aachane na ya ZINGA anamharibia 😢😢
@@GlorylukaBura 😆😆😆😆🤔
@@GlorylukaBura na kaiwezea kwelii 😁
@@perajiampipi4473 kawezea ila atumie tu yake maana si kote anaweza..ep2 katimia yake na movie inanoga tuu🥰
Sitokuangusha Mie❤❤❤❤❤🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮Hadi mwisho
Waoooooo!!! God job maua yako boncena🎉🎉🎉
Kazi safi sanaaaaaaa🎉🎉🎉...am in love with the location walai
Woow nilikua nimengoja❤
Yani napenda movie za hivi za kijijini arafu wanajichora chora ivo Yan dah raha Sana,
Luta man upo fire 🎉
dah nilikua naichukulia poa kumbe ni mzigo wa kwendaaaa❤🎉 good job
Kaz nzur sana
Na mimi nipeni like japo nimechelewa kuwai
Mamaaaa mm nikajua miguu ya ng`ombe ndo wanaokimbia kumbe binadamu naomba mnisamhe😂😂😂😂
🤓🤣🤣luta man VP ktk kushuka mti mbona km umeanguka, kateleza ❤nimeipenda iyoo🤓🤣🤣🤩🥰
Nakubali sana master movie nzuri sana ❤😂🎉😢😮😅😊
Tanzania sijawai ona movie imepangiliwa kama hii the best kila kitu kimekaa sawa director apewe Maua Yake m
Kwakweli❤❤❤❤❤
Kama unamkubali ruta mani gonga like🎉🎉🎉🎉heshma kwako kazi nzuuuri❤❤❤❤❤
Ongera rutaman kwa kazi nyingine mungu akuzidishie kipaji mara dufu🎉😅
Love from Burundi❤❤🎉🎉
Mwamba ruta man hongera kaka pambana MUNGU atusaidie utimize ndoto zako.
Mimi wa kwaza naipenda sana tarzan luta mimi shabiki yako kutoka Bujumbura 🎉
Kama umeona kua mganga anajitahid kupita njia za mwakatobe au zinga gonga like tujuane.
Hii nimeipenda sana Tarzan ♥️♥️♥️💪🇰🇪🇰🇪
Jamani heppy mmmh pole sana nawafatilia sana jamani
Mie nimekuja kwa mfumo huu tulio rudia kuangalia mara tatu(3) tujuane sasa APA kwa like sawa mashabiki wa Ruta man
Na mm naomba like Leo jamani nimewai nawakubari sana
Kaz nzur sana team Boncena❤❤❤
Na mimi kutoka south africa 🇿🇦 naombeni like zenu jameni
Nikajua wanawake ndo wanaomba like kumbe hadi midume😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
Midume ndo balaa kwa kuomba like 😂😂😂
Tofautisha Kati ya mwanaume na shoga..mashoga ndio huwa wanaomba like@@elizabethcatherine-jm8fr
Kitambo ila nyumba ni za bati
Munanifurahisha sana.Mubarikiwe
Kazi nzuri, hongera wanangu
Inapendeza sana❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉love story❤❤❤❤❤
Huyu mganga ni kama mwaikatombe
Nice Work Tanzanian Tarzan
Mashallah asante sana washilika mungu abaliki kazi zenu ❤❤❤
Ni zaidi ya maajabu brother eeeeh heshima kwako
Nakubali team ruta man
Very nice location congratulations
Bonge la movie, pia ubunifu mzuri sana ... salute kwako kaka mkubwa ruta❤👊
Bonge la movie hongela ...Mr ruta🔥🔥🔥
Anaefanya Color Collection ajitahidi kuzingatia hiyo Green na skin Tone maana havina uhalisia
Kazi nzuri wallah upew mauwa yako boncena ruta man
🤸💃💃💃 jamani eeh Gubua na Happy tena rahaaa 😍 hii naamini itatufunza nakutuburudisha pia
Nimependa pk boncena mwenyewe kabla sijaimaliza
Mmmh Hao wenye vipara Sasa 😂😂😂❤❤❤
SASA AO WANAOLINGA KUTOA SNAKE BOY SISI TUPO KWA TARZAN😂😂♥️♥️☑️
Wa kwanza naomba like zenu
Ni nzuri nimeangalia hadi mwisho mimi nimeipenda japo yapo mapungufu madogo madogo lakin mumefanya vizuri
Mimi sijuwi bosina anakuwa ananima link , wakati muvi zake nazifatiliya Kila mala piya nakuwa muwatu wakwanza kufatiliya , awo niju niko burundi
Yes bonge moja ya series hukuenda america bure boncenw
Thamthilia nzuri maudhui yake mazuri,from Kenya,Gen_z
😂😂leo wa kwanza kwa tarzani gonga kopa aaaapo
Nakubali sana master movie nzuri sana 🎉🎉
Location nzuri sana❤❤❤❤
Brother hiyi nikali kuzidi filafu zako zote hoyi njo umeanza kazi sasa
❤❤❤❤❤ Masha Allah movie nzur sana
Tumeikubari nzuri sana musichereweshe 🎉🎉❤
Location na uhusika umechaguliwa vizuri
mashabiki wenzangu, inguwa vizuli sana kutoa maoni juu ya tamsilia hii,kuliko kushobokea laik
True talent... Yes u talented
Much love from kenya 🇰🇪
TARZAN sasa kitu na nusu lkn hapo kwa mimba mmetudanganya tumbo lote hilo hata kama n mimba hapana bana ila niko nanyi hatua kwa hatua
Wakwaza kutoka burundi nipe likes zangu
Wow mashallah❤❤❤mko vzr san na isitoshe mazingira yko fresh kinyama wallah❤❤
Mganga ana nyota tatu😂😂
Ruta na kwaaminia yani umependeza mpaka nilikuwa nimekusahau😂😂nice 👌 👍
I loved the graphics man 😊
Jamani leo mm wa KWANZA naomben like ZENU tafdhal jaman❤
Jamn me leoo wa mwishoo jmn like zanguh kwa eshima yenu
Wa kwanza ku like na ku coment hata ku tazama video hii, drc tuna kupenda saana luta man👍👍
Pema ndo best, niko hapa
Sema mnajua kufanya kaz jamani❤❤❤❤❤❤
Ndio mara ya kwanza kuona mganga ana nyota tatu
Kwan unyago iliendaje jaman ❤❤❤❤
Mpunguze vinanda kidogo hatuskii.❤❤❤
Wakwanza hapa nahomba like zangu
Hongera Luta big up bro🎉🎉❤❤
Oya king makokwa mwanangu nakubali asaiv upo clias asana bigapu man
Mganga mwakatobe ❤😂😂
Happy wangu kila siku ni kuteseka