TARZAN 《 01 》

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 сен 2024
  • ##DIRECTOR_VASCO_SHOTS

Комментарии • 691

  • @Dls24-l6v
    @Dls24-l6v 2 месяца назад +117

    Me siombi like me nasapoti kazi😂embu tuache utani like Zina raha yake bana😊Aya twende kazi kumsapoti mwanetu 🎉🎉🎉

  • @amanijumanne5543
    @amanijumanne5543 2 месяца назад +29

    Igizo ni nzur sana ina wawomba kitu kimoja ogezeni ubunifu wa kufunga mimba maana mimba mpaka inaonekana kama nimenguo .mefugafunga tumboni ila samahani

    • @muhsiniamiri9310
      @muhsiniamiri9310 2 месяца назад

      saf san hayo ndo maon mazur wame jitahd lkn pia tunapasw kuwa kosoa wanapokosea❤

  • @rashidkibavu1863
    @rashidkibavu1863 2 месяца назад +13

    Kama film ya kiasili basi hata majina yawe ya asili,
    Humu ndani nimeskia jina la HAPPY, ila haikupaswa kuwe na majina hayo ilitakiwa kuwe na majina ya kibantu na si ya kuzungu. Ila season nzuri hongera Ruta

  • @LilmmyCrazyfficial
    @LilmmyCrazyfficial 2 месяца назад +30

    ❤Wa kwanza Mimi Leo kuitizama Tamthilia ya TARZAN 🎉🎉🎉😂😂😂

  • @JescaIrakoze
    @JescaIrakoze 2 месяца назад +25

    😢Yaniii huyu gumbwa kapendeza Jameni hepu nipe liké hâta tano basii n'a mimi

  • @BothainaBothaina-k6c
    @BothainaBothaina-k6c 2 месяца назад +13

    Woow kumbe kazi nzuri mungu ashidi kukuongoza kaka rutaman🎉🎉❤❤

  • @Footballre-zx9lc
    @Footballre-zx9lc 2 месяца назад +27

    Pongezi kwa ruta man kwaiyi kazi nzuri ame tuletea

  • @annaki318
    @annaki318 2 месяца назад +7

    Hiii ni nzurii sanaaa wametukumbuka kina mwaghona na bhughonilee😅😅😅😅😅😅
    Ndagaaaaaaaaa #Boncena🎉🎉🎉🎉

  • @KambaleMbangale
    @KambaleMbangale 2 месяца назад +103

    ❤ya leo kali tena tamu❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉 ruta man hapa karibuni naona unabeba bendera yawasani bora tanzania hadi nchi zote zinazo zungumza kiswahili , kamaunakubaliana nami gonga like alafu sambaza hii link ❤❤❤❤❤ umoja ni nguvu

    • @ruthkarisa3045
      @ruthkarisa3045 2 месяца назад +1

      walaii hii movie ni moto ila luta man banaa🤣nakupenda babaa

    • @AbdulMussakabagambe-qd6lv
      @AbdulMussakabagambe-qd6lv 2 месяца назад

      Ngoma imeanza na unyama yaani moto moto👍👍👍👍

  • @Isael.6396
    @Isael.6396 2 месяца назад +22

    Tarzan,wa kwanza mimi from congo 🎉

  • @shidashida6060
    @shidashida6060 2 месяца назад +8

    Nzuri sana, mabint nguo zimewapendeza na lutha pia vazi limempndeza bila kusaha mtoto wa chief gumbwa kapendeza 🎉🎉🎉🎉

  • @AmblosMbata
    @AmblosMbata 2 месяца назад +20

    Mbona mnamtesa sana Happy wang ama hana Bahat kwenye mapenzi😂😂😂

  • @BenjaminMetanyau
    @BenjaminMetanyau 2 месяца назад +64

    Sema mganga kunanamna unapita na idea za mwakatobe siyo poa ingependeza kama ungepata ya kwako✊ ingependeza zaidi

  • @LagerMtandila-g7x
    @LagerMtandila-g7x 2 месяца назад +12

    Wabongo bhana uwa siwaere wagi sana ilandoivyo mtukwao inabidi ukubar2 chakwako

  • @HamadMwagoani
    @HamadMwagoani 2 месяца назад +32

    Baisa Acha kuenda na mwendo wa mwakatobe bwana kuna Wana wengi walicheja ya scene ya uganga kuna kama mganga mwavumba,kuna yule chidi unaeza fuata awoo samahani n fan wa Ruta gang kama nimekosea mnisamehee

    • @khido_tz
      @khido_tz 2 месяца назад +1

      Ni kweli apo kapiga kama mwakatobe bn😂

    • @ngulathfundikira4205
      @ngulathfundikira4205 2 месяца назад

      Kweli kabisa kazingua

    • @agnesjohn9382
      @agnesjohn9382 2 месяца назад

      Wala hujakosea kazingua

    • @chaggastar9236
      @chaggastar9236 2 месяца назад +1

      Kuiga kitu kizuri sio mbaya kwa upande wangu

    • @JohnJustine-no1zv
      @JohnJustine-no1zv 2 месяца назад +2

      Kaka kama ww unaweza weka naww yako uone kama itapata views Ata wa 5hapo ndio utaamini kuwa mwamba kaupiga mwingi anasitahili pongezi

  • @essaojohn3971
    @essaojohn3971 2 месяца назад +11

    Bonge la story ruta man appreciate it brother

  • @JmmJacky
    @JmmJacky 2 месяца назад +11

    Noma sana .......watching from 🇰🇪

  • @ollenmlangali2867
    @ollenmlangali2867 2 месяца назад +5

    Wasafwa big up mwagona ewane ...mbeya stand up .

  • @AbdulMussakabagambe-qd6lv
    @AbdulMussakabagambe-qd6lv 2 месяца назад +4

    Ruta mnyama mkali sana kisha chunga sana gumbwa ni moto wa kuotea mbali💪💪💪💪💪

  • @HussenRamadhani-g9w
    @HussenRamadhani-g9w 2 месяца назад +13

    Bona kama itakua tamu kizindi zote 😂😂😂🎉

  • @pogo946
    @pogo946 2 месяца назад +14

    Kazi nzuri mwanzo mmefungua vizuri ila Mganga anatembea na code za #Mwakatobe 😂😂 #zinga kama mmeliona hilo gonga like zangu nyingi sana..

  • @JamaliNdwata
    @JamaliNdwata 2 месяца назад +218

    Kama umeipenda TARZAN tujuane kwa like nawapendaa

    • @aaminaasljbgbvf745
      @aaminaasljbgbvf745 2 месяца назад +5

      Inaoonekana zury nayo mapara kama ,,,,,,,,,,😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @JacksonMutinda-jw5qw
      @JacksonMutinda-jw5qw 2 месяца назад +5

      Wa Tanzania na likes jameni,wat for? 😂😂

    • @BensonMugambi-l1w
      @BensonMugambi-l1w 2 месяца назад +1

      @@JamaliNdwata good

  • @MbarakaSefu-w6y
    @MbarakaSefu-w6y Месяц назад +3

    Kaz nzur sana jmn wanaoipenda like me hebu nipeni like zanguuu

  • @MadingaMadinga-ff7po
    @MadingaMadinga-ff7po 2 месяца назад +16

    Oya kaz imempata mwenyewe mganga uyo hakoseag kwenye mishe izo baisa mganga

  • @GlorylukaBura
    @GlorylukaBura 2 месяца назад +28

    Apo Kwan mganga ameharibu movie yote😢😢angeongea sautii yake aachane na ya ZINGA anamharibia 😢😢

    • @johnmwirigi3836
      @johnmwirigi3836 2 месяца назад

      @@GlorylukaBura 😆😆😆😆🤔

    • @perajiampipi4473
      @perajiampipi4473 2 месяца назад

      @@GlorylukaBura na kaiwezea kwelii 😁

    • @GlorylukaBura
      @GlorylukaBura 2 месяца назад

      @@perajiampipi4473 kawezea ila atumie tu yake maana si kote anaweza..ep2 katimia yake na movie inanoga tuu🥰

  • @vallesndayishimiye2396
    @vallesndayishimiye2396 2 месяца назад +9

    Sitokuangusha Mie❤❤❤❤❤🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮Hadi mwisho

  • @Sterina-r5h
    @Sterina-r5h 2 месяца назад +9

    Waoooooo!!! God job maua yako boncena🎉🎉🎉

  • @aishaomar2287
    @aishaomar2287 2 месяца назад +4

    Kazi safi sanaaaaaaa🎉🎉🎉...am in love with the location walai

  • @metrinemanyonge6055
    @metrinemanyonge6055 2 месяца назад +7

    Woow nilikua nimengoja❤

  • @Lovekidoti32
    @Lovekidoti32 2 месяца назад +3

    Yani napenda movie za hivi za kijijini arafu wanajichora chora ivo Yan dah raha Sana,
    Luta man upo fire 🎉

  • @FadhiliKyavala
    @FadhiliKyavala Месяц назад +3

    dah nilikua naichukulia poa kumbe ni mzigo wa kwendaaaa❤🎉 good job

  • @ZuhuraNgubule
    @ZuhuraNgubule 2 месяца назад +13

    Kaz nzur sana

  • @SelemaneIssa-vr7po
    @SelemaneIssa-vr7po 2 месяца назад +7

    Na mimi nipeni like japo nimechelewa kuwai

  • @melaniameri2847
    @melaniameri2847 2 месяца назад +2

    Mamaaaa mm nikajua miguu ya ng`ombe ndo wanaokimbia kumbe binadamu naomba mnisamhe😂😂😂😂

  • @abdullatif053
    @abdullatif053 2 месяца назад +3

    🤓🤣🤣luta man VP ktk kushuka mti mbona km umeanguka, kateleza ❤nimeipenda iyoo🤓🤣🤣🤩🥰

  • @PrinceAmos-y8t
    @PrinceAmos-y8t 2 месяца назад +4

    Nakubali sana master movie nzuri sana ❤😂🎉😢😮😅😊

  • @jofrayanthony9769
    @jofrayanthony9769 2 месяца назад +1

    Tanzania sijawai ona movie imepangiliwa kama hii the best kila kitu kimekaa sawa director apewe Maua Yake m
    Kwakweli❤❤❤❤❤

  • @Boniphacehachili
    @Boniphacehachili 2 месяца назад +32

    Kama unamkubali ruta mani gonga like🎉🎉🎉🎉heshma kwako kazi nzuuuri❤❤❤❤❤

  • @User7700
    @User7700 2 месяца назад +2

    Ongera rutaman kwa kazi nyingine mungu akuzidishie kipaji mara dufu🎉😅

  • @samuelbonfils57
    @samuelbonfils57 2 месяца назад +12

    Love from Burundi❤❤🎉🎉

  • @falejilala1158
    @falejilala1158 2 месяца назад +4

    Mwamba ruta man hongera kaka pambana MUNGU atusaidie utimize ndoto zako.

  • @TaKEoffJospin
    @TaKEoffJospin 2 месяца назад +2

    Mimi wa kwaza naipenda sana tarzan luta mimi shabiki yako kutoka Bujumbura 🎉

  • @KikohBoy
    @KikohBoy 2 месяца назад +31

    Kama umeona kua mganga anajitahid kupita njia za mwakatobe au zinga gonga like tujuane.

  • @mughishajohn3287
    @mughishajohn3287 2 месяца назад +3

    Hii nimeipenda sana Tarzan ♥️♥️♥️💪🇰🇪🇰🇪

  • @shakehmedicatz
    @shakehmedicatz 2 месяца назад +4

    Jamani heppy mmmh pole sana nawafatilia sana jamani

  • @IsayaKudeli
    @IsayaKudeli 2 месяца назад +32

    Mie nimekuja kwa mfumo huu tulio rudia kuangalia mara tatu(3) tujuane sasa APA kwa like sawa mashabiki wa Ruta man

  • @boydinhobabaneemadinho9677
    @boydinhobabaneemadinho9677 2 месяца назад +18

    Na mm naomba like Leo jamani nimewai nawakubari sana

  • @زهرةكيني-ث3ل
    @زهرةكيني-ث3ل 2 месяца назад +4

    Kaz nzur sana team Boncena❤❤❤

  • @ramseykey940
    @ramseykey940 2 месяца назад +9

    Na mimi kutoka south africa 🇿🇦 naombeni like zenu jameni

  • @MariaMagele
    @MariaMagele 2 месяца назад +21

    Nikajua wanawake ndo wanaomba like kumbe hadi midume😂😂😂😂

    • @Mwenge-li2kr3vk8w
      @Mwenge-li2kr3vk8w 2 месяца назад +1

      😂😂😂😂😂

    • @elizabethcatherine-jm8fr
      @elizabethcatherine-jm8fr 2 месяца назад +3

      Midume ndo balaa kwa kuomba like 😂😂😂

    • @mtzhalisi2232
      @mtzhalisi2232 2 месяца назад

      Tofautisha Kati ya mwanaume na shoga..mashoga ndio huwa wanaomba like​@@elizabethcatherine-jm8fr

    • @bernnoely5519
      @bernnoely5519 2 месяца назад

      Kitambo ila nyumba ni za bati

  • @BlessingIgiraneza-jw4qv
    @BlessingIgiraneza-jw4qv 2 месяца назад +4

    Munanifurahisha sana.Mubarikiwe

  • @KambaleMbangale
    @KambaleMbangale 2 месяца назад +4

    Kazi nzuri, hongera wanangu

  • @FonissaamimuAmiama
    @FonissaamimuAmiama Месяц назад +1

    Inapendeza sana❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉love story❤❤❤❤❤

  • @SHYNESZAWADI
    @SHYNESZAWADI 2 месяца назад +7

    Huyu mganga ni kama mwaikatombe

  • @GENzRevolution-s2u
    @GENzRevolution-s2u 2 месяца назад +3

    Nice Work Tanzanian Tarzan

  • @fatumaselemani3807
    @fatumaselemani3807 2 месяца назад +1

    Mashallah asante sana washilika mungu abaliki kazi zenu ❤❤❤

  • @officialgee-m3b
    @officialgee-m3b 2 месяца назад +2

    Ni zaidi ya maajabu brother eeeeh heshima kwako

  • @SelemaniIddy-nc1nf
    @SelemaniIddy-nc1nf 2 месяца назад +7

    Nakubali team ruta man

  • @SydenNyondo
    @SydenNyondo 2 месяца назад +1

    Very nice location congratulations

  • @JumanneMchona
    @JumanneMchona 12 дней назад

    Bonge la movie, pia ubunifu mzuri sana ... salute kwako kaka mkubwa ruta❤👊

  • @JumanneMchona
    @JumanneMchona 12 дней назад +1

    Bonge la movie hongela ...Mr ruta🔥🔥🔥

  • @Swahilibranding12
    @Swahilibranding12 2 месяца назад +2

    Anaefanya Color Collection ajitahidi kuzingatia hiyo Green na skin Tone maana havina uhalisia

  • @Allyahloleka
    @Allyahloleka 2 месяца назад +2

    Kazi nzuri wallah upew mauwa yako boncena ruta man

  • @ChristineAsifiwe
    @ChristineAsifiwe 2 месяца назад

    🤸💃💃💃 jamani eeh Gubua na Happy tena rahaaa 😍 hii naamini itatufunza nakutuburudisha pia

  • @AminaMohamed-td2bi
    @AminaMohamed-td2bi 2 месяца назад +1

    Nimependa pk boncena mwenyewe kabla sijaimaliza

  • @ميريم-ط1س
    @ميريم-ط1س 2 месяца назад +2

    Mmmh Hao wenye vipara Sasa 😂😂😂❤❤❤

  • @MinnahMsomal
    @MinnahMsomal Месяц назад +1

    SASA AO WANAOLINGA KUTOA SNAKE BOY SISI TUPO KWA TARZAN😂😂♥️♥️☑️

  • @JuniorJunior-p8s
    @JuniorJunior-p8s 2 месяца назад +8

    Wa kwanza naomba like zenu

  • @neemalkiswaga6126
    @neemalkiswaga6126 12 дней назад

    Ni nzuri nimeangalia hadi mwisho mimi nimeipenda japo yapo mapungufu madogo madogo lakin mumefanya vizuri

  • @patricemapike9244
    @patricemapike9244 2 месяца назад +4

    Mimi sijuwi bosina anakuwa ananima link , wakati muvi zake nazifatiliya Kila mala piya nakuwa muwatu wakwanza kufatiliya , awo niju niko burundi

  • @JuliusPaul-se6wk
    @JuliusPaul-se6wk 2 месяца назад +1

    Yes bonge moja ya series hukuenda america bure boncenw

  • @stephanosafari3792
    @stephanosafari3792 2 месяца назад +1

    Thamthilia nzuri maudhui yake mazuri,from Kenya,Gen_z

  • @Joelmwandete
    @Joelmwandete 2 месяца назад +2

    😂😂leo wa kwanza kwa tarzani gonga kopa aaaapo

  • @PrinceAmos-y8t
    @PrinceAmos-y8t 2 месяца назад +1

    Nakubali sana master movie nzuri sana 🎉🎉

  • @mobastian5050
    @mobastian5050 2 месяца назад +1

    Location nzuri sana❤❤❤❤

  • @EspoirJames-nd9bt
    @EspoirJames-nd9bt 2 месяца назад +4

    Brother hiyi nikali kuzidi filafu zako zote hoyi njo umeanza kazi sasa

  • @HannyMuhammed-je7zo
    @HannyMuhammed-je7zo Месяц назад

    ❤❤❤❤❤ Masha Allah movie nzur sana

  • @NasraNgoda
    @NasraNgoda 2 месяца назад

    Tumeikubari nzuri sana musichereweshe 🎉🎉❤

  • @SkillfulNgenje
    @SkillfulNgenje 2 месяца назад +1

    Location na uhusika umechaguliwa vizuri

  • @moiseszacariasmoisesmoises
    @moiseszacariasmoisesmoises 2 месяца назад +1

    mashabiki wenzangu, inguwa vizuli sana kutoa maoni juu ya tamsilia hii,kuliko kushobokea laik

  • @mtzhalisi2232
    @mtzhalisi2232 2 месяца назад +1

    True talent... Yes u talented

  • @AnnetteAnne-og8cp
    @AnnetteAnne-og8cp 2 месяца назад

    Much love from kenya 🇰🇪

  • @benjaminwafula
    @benjaminwafula 2 месяца назад +3

    TARZAN sasa kitu na nusu lkn hapo kwa mimba mmetudanganya tumbo lote hilo hata kama n mimba hapana bana ila niko nanyi hatua kwa hatua

  • @widamagic
    @widamagic 2 месяца назад +7

    Wakwaza kutoka burundi nipe likes zangu

  • @ashamwanganzi6400
    @ashamwanganzi6400 2 месяца назад

    Wow mashallah❤❤❤mko vzr san na isitoshe mazingira yko fresh kinyama wallah❤❤

  • @barakaabelimlekwa3735
    @barakaabelimlekwa3735 2 месяца назад +4

    Mganga ana nyota tatu😂😂

  • @FatimaFatima-bx8ez
    @FatimaFatima-bx8ez Месяц назад

    Ruta na kwaaminia yani umependeza mpaka nilikuwa nimekusahau😂😂nice 👌 👍

  • @El_football21
    @El_football21 2 месяца назад +1

    I loved the graphics man 😊

  • @Ahmad-c9l1r
    @Ahmad-c9l1r 2 месяца назад +22

    Jamani leo mm wa KWANZA naomben like ZENU tafdhal jaman❤

    • @atickbuda7743
      @atickbuda7743 Месяц назад +1

      Jamn me leoo wa mwishoo jmn like zanguh kwa eshima yenu

  • @abirasas1664
    @abirasas1664 2 месяца назад +2

    Wa kwanza ku like na ku coment hata ku tazama video hii, drc tuna kupenda saana luta man👍👍

  • @siogopisiogopi6546
    @siogopisiogopi6546 2 месяца назад +2

    Pema ndo best, niko hapa

  • @luludiviyajuma2107
    @luludiviyajuma2107 2 месяца назад

    Sema mnajua kufanya kaz jamani❤❤❤❤❤❤

  • @ahmedbwire882
    @ahmedbwire882 2 месяца назад +1

    Ndio mara ya kwanza kuona mganga ana nyota tatu

  • @SelinaZenabu
    @SelinaZenabu 2 месяца назад +1

    Kwan unyago iliendaje jaman ❤❤❤❤

  • @HaniferMwiru-wn9wq
    @HaniferMwiru-wn9wq 2 месяца назад

    Mpunguze vinanda kidogo hatuskii.❤❤❤

  • @Luundu
    @Luundu 2 месяца назад +8

    Wakwanza hapa nahomba like zangu

  • @halimamlala
    @halimamlala 2 месяца назад +1

    Hongera Luta big up bro🎉🎉❤❤

  • @ShabaniBandini
    @ShabaniBandini Месяц назад

    Oya king makokwa mwanangu nakubali asaiv upo clias asana bigapu man

  • @gun60jgt40
    @gun60jgt40 2 месяца назад +1

    Mganga mwakatobe ❤😂😂

  • @Odreille
    @Odreille 2 месяца назад +1

    Happy wangu kila siku ni kuteseka