MAGIC SCHOOL | ep 04 | FULL EPISODE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 сен 2024
  • #dubu #magicschool

Комментарии • 309

  • @OfficialDubu_tz
    @OfficialDubu_tz  11 часов назад +122

    TUTAOMBA MTUSAMEHE KWA KUCHELEWA NDUGU ZETU ILA KUNA CHANGAMOTO TUNAPITIA ZINAKUWA NJE YA UWEZO WETU ILA HATUPENDI KUCHELEWA MAANA KUWAHI KUPOST NDIO MAFANIKIO TENYEWE. NAAMINI MTATUELEWA NA KUTUVUMILIA NDUGU ZENU TUNAWAPENDA❤🙏

  • @mohamedlopa8410
    @mohamedlopa8410 11 часов назад +10

    Asalamu walekum bwana yesu asifiwe utakayesoma hii uwe na siku njema 🤲🤝🙏🤲🤝🙏🤲🤝🙏🤲🤝

  • @Hadijawashuma
    @Hadijawashuma 11 часов назад +18

    Kama mnachelewesha hivo basi ongezeni dakika tuzid kuinjoy

  • @EmilykuvunaKonzi
    @EmilykuvunaKonzi 11 часов назад +12

    Kama wamkubali Dubu gonga like 👍apo

  • @SalphineSally
    @SalphineSally 11 часов назад +10

    Nipewe zangu kutoka kenya jamani ♥️❤️

  • @AlfaMozes
    @AlfaMozes 11 часов назад +5

    Biggup San bro ... Japo nimechelew lakin sio mbaya

  • @ShabanHamza-qi9uy
    @ShabanHamza-qi9uy 11 часов назад +7

    Wakwanza mm jomooon 😢😢😢😢

  • @KubelwaIlungaMardochéeSalama
    @KubelwaIlungaMardochéeSalama 11 часов назад +6

    Dubu kwa Nini unakawiya kwa kutowa ?

  • @godfreymusungu
    @godfreymusungu 10 часов назад +4

    Very good ,😁,we were waiting for this, lakini musikiwe mnachelewesha kutoa episodi nyingine,nawafuatilia kutoka Qatar

  • @SherniHussein-ii6mb
    @SherniHussein-ii6mb 11 часов назад +6

    😂😂😂leo kapatikana

  • @RizikiZiki
    @RizikiZiki 11 часов назад +4

    Wa 58 nimecelewa kidogo tu maana siosana naomba nieleweke🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤

  • @marymele9714
    @marymele9714 10 часов назад +4

    Eti nimenasa naomba nibandue😂😂😂😂

  • @aikatemu-yh7lq
    @aikatemu-yh7lq 10 часов назад +4

    mnachelewesha sana viipnde boresheni

  • @JeremiahMgoba
    @JeremiahMgoba 11 часов назад +4

    Jaman naomben like japo kuw nimechelew

  • @Hamzawaryoba
    @Hamzawaryoba 11 часов назад +5

    naikubali sana hii series from MWANZA

  • @atifosalimo
    @atifosalimo 11 часов назад +4

    Number 1 nipo apa naomba ata like 10

  • @atifosalimo
    @atifosalimo 11 часов назад +5

    Good job

  • @KWIBEAMISIOBAMA-congo
    @KWIBEAMISIOBAMA-congo 6 часов назад +3

    Wa kwanza Léo from Congo Kolwezi 🦅 ms'Obama 🇨🇩🇨🇩

  • @PatrickKitupa
    @PatrickKitupa 11 часов назад +3

    Mnachelewa saana.had tunasahau tulipoishia.badilikeni

  • @Malesa255..1
    @Malesa255..1 11 часов назад +5

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉 iko motoooo

  • @BienvenuSerraphinNkoy
    @BienvenuSerraphinNkoy 11 часов назад +4

    Bon travail monsieur Dubu

  • @MkasyswallehsaidSwalleh
    @MkasyswallehsaidSwalleh 10 часов назад +4

    Waaah nimechelewa 😢

  • @DonMooFILMES_Express
    @DonMooFILMES_Express 11 часов назад +4

    Nimewahi kwa Dubu 😂 Twende kazi 🔥

  • @PurityMuoki
    @PurityMuoki 11 часов назад +3

    Aya jamani asalam aleikum ,bwana yesu asifiwe yeyote atakaye soma comment hii awe na jioni njema

  • @SarahMugisha-bh8yu
    @SarahMugisha-bh8yu 11 часов назад +3

    Wakwanzab🎉🎉🎉nipe hâta kalike kamoja

  • @espoirkipanza
    @espoirkipanza 9 часов назад +2

    Ongezeni dakika tafadhali tuendeleye ku enjoy
    From Bujumbura

  • @PhilipKazungu-u9b
    @PhilipKazungu-u9b 10 часов назад +4

    Kazi nzuri sana Mungu awabariki na awepee upeo zaidi ilimzidi kutoa kazi nzuri zaidi

  • @RAVINItz
    @RAVINItz 11 часов назад +5

    Dubu naomba like kutoka kwako nishee kwenye group

  • @BakariAthuman-g3b
    @BakariAthuman-g3b 10 часов назад +4

    DUBU UNATUKOSEA SANA MASHABIKI ZAKO KWA KUTUCHELEWESHEA

  • @MarieMutambala
    @MarieMutambala 11 часов назад +3

    Nimekuwa wa 2 toka 🇺🇲🇺🇲🇺🇲🇺🇲

  • @Jacky01180
    @Jacky01180 11 часов назад +4

    Fire 🔥🔥🔥

  • @jamaliaugustino7408
    @jamaliaugustino7408 11 часов назад +4

    Battle la Mwl moto na nyani ngwengwe ni 🔥 😂😂

  • @ChristineRumba
    @ChristineRumba 11 часов назад +4

    Mr Dubu mhona wanakuonea hao jamani .

  • @KubelwaIlungaMardochéeSalama
    @KubelwaIlungaMardochéeSalama 11 часов назад +4

    Dubu kwa Nini unakawiya kwa kutowa ?

  • @HASHMANTZ-n1v
    @HASHMANTZ-n1v 10 часов назад +3

    Dubu naona 100k inakaribia saivi 88.6k lkn ingekua huchereweshi kazi basi ingekua una hata 500k subscriber anyway kaz nzuri dubu maana RUclips ni ngumu sana mm nina video zangu siku mbili views 5 we hougopi. Hongera kk you tube yako inamwaka mmoja tu lkn unafanya vizur

  • @AnsmarMaso
    @AnsmarMaso 11 часов назад +2

    Mim leo ndo wakwanza au nchapen LIKE sasa

  • @RehemaSaid-r4h
    @RehemaSaid-r4h 11 часов назад +4

    Kazi nzuri dubu asañt ❤❤❤❤

  • @marthawanjiru6675
    @marthawanjiru6675 6 часов назад +2

    Dubu tv mnalala sana jameni❤❤🇰🇪🇰🇪

  • @ashamwanganzi6400
    @ashamwanganzi6400 6 часов назад +2

    Nataka nyonyo 😂😂😂😂umetisha san dubu

  • @MariaMgashi
    @MariaMgashi 6 часов назад +2

    Basi usichelewee kutoa nyingine

  • @KWIBEAMISIOBAMA-congo
    @KWIBEAMISIOBAMA-congo 6 часов назад +2

    Yani apo bado baka useme 😂😂😂🎉🎉

  • @elizabethmahenzo7220
    @elizabethmahenzo7220 11 часов назад +3

    Nice movie ❤❤❤🎉

  • @ZainabAlly-un2yw
    @ZainabAlly-un2yw 10 часов назад +2

    Kazi nzur ungez dakik brother

  • @sharonbhoke-hk2my
    @sharonbhoke-hk2my 11 часов назад +3

    Good job ❤❤

  • @FaustineJonasi
    @FaustineJonasi 11 часов назад +4

  • @manaseababele-g6d
    @manaseababele-g6d 11 часов назад +2

    hello dubu🐤🐤🐤🐤

  • @MauaroseMauarose
    @MauaroseMauarose 11 часов назад +2

    Me naomba subscribe jamani

  • @amzasadikimamadou6066
    @amzasadikimamadou6066 10 часов назад +2

    Nikupe maua yako🎉🎉🎉🎉

  • @GeorgeGayo-k8x
    @GeorgeGayo-k8x 11 часов назад +2

    Wa kwanza from Zanzibar

  • @Msaniitz
    @Msaniitz 11 часов назад +3

    Yaani dubu kazi yko uanga c mbaya wajua kuigiza

  • @espoirkipanza
    @espoirkipanza 9 часов назад +1

    Ongezeni dakika tafadhali tuendeleye ku enjoy
    From Bujumbura

  • @MwanahamisiSalumu-uq2pj
    @MwanahamisiSalumu-uq2pj 6 часов назад +1

    😂😂Mwalimu moto na nyani ngwengwe ugomvi wao unachekeshaa kwelkwel😂😂

  • @mtzhalisi2232
    @mtzhalisi2232 6 часов назад +2

    Mwalimu motooooooo

  • @geoffreymaingi6088
    @geoffreymaingi6088 6 часов назад +2

    Ubaya ubwela❤🎉

  • @BénjaminNDIKUMANA-g1g
    @BénjaminNDIKUMANA-g1g 11 часов назад +2

    Wa pili naomba like

  • @aishaaisha7097
    @aishaaisha7097 11 часов назад +3

    Jamani nilimmic mandonga 😅

  • @djcrownkenya
    @djcrownkenya 11 часов назад +2

    Mnakawia sana jamani

  • @lilianauma5629
    @lilianauma5629 11 часов назад +2

    Ila mnachelewesha

  • @elisamehejoseph8314
    @elisamehejoseph8314 11 часов назад +2

    Wakwanza mm hapa

  • @mtzhalisi2232
    @mtzhalisi2232 6 часов назад +2

    Safi sana

  • @MwajabuMnzava-k9y
    @MwajabuMnzava-k9y 10 часов назад +1

    Mshkaji wangu DUBU ❤❤Fanya kwa wiki Uwe unatoa hata mara mbili broooh🙏🏼

  • @EdmondFilemon-nr9mr
    @EdmondFilemon-nr9mr 11 часов назад +2

    Nakubalisana 😂like hapa

  • @Aisha-ld3ol
    @Aisha-ld3ol 10 часов назад +2

    Dubu mm ni shabiki yako mkubwa sana napenda sana kazi yako nzri ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉

  • @HidayaHamisi-w5k
    @HidayaHamisi-w5k 10 часов назад +1

    Sija Chelewa marafiki zangu namim Niko please dakika kidogo san

  • @MichaelCharles-uo6rw
    @MichaelCharles-uo6rw 8 часов назад +1

    Ushauli wangu mnachelewesha sana kazi yenu badilishen

  • @mwinyihilal2329
    @mwinyihilal2329 7 часов назад +1

    kazi mzur sana dubu tz nakukubali sana kazi zako hujawahi kuniangusha.

  • @Masterstevemedia-kb5oc
    @Masterstevemedia-kb5oc 11 часов назад +2

    Kazi nzu

  • @wamboiwamboh
    @wamboiwamboh 3 часа назад +1

    Dubu umeniundia siku😂😂😂😂untaka nini😂😂😂😂

  • @ashrafurajabu-nw9gd
    @ashrafurajabu-nw9gd 10 часов назад +4

    me nikajua tatizo ni edition ila Kaz nzurii sana @nyani ngwengwe

  • @BoariIsmail
    @BoariIsmail 11 часов назад +2

    Wa 5

  • @Mwana85Mwana85-wz1ol
    @Mwana85Mwana85-wz1ol 9 часов назад +1

    Nimewai leo mshangazi wa ndege 🔥🔥🔥 hila movie zuri san wallah wap mandoga mtu kazi anajiona mjanja mandoga mtu kazi kitakuramb tu ww muda sio mrefu

  • @Mwana85Mwana85-wz1ol
    @Mwana85Mwana85-wz1ol 9 часов назад +1

    Chuchu ngozi 🤣🤣pole san unaitaka yako ww ugopiiii chuchu ngozi nakweli aishi kama huba vile mpka isheeeeeeeee mandoga ana roho mbaya san sura mbaya naroho yake pia mbaya madongaaaaaa

  • @ZakiaAbdul-h7x
    @ZakiaAbdul-h7x 8 часов назад +1

    Mnachelewèsha saan humu fanyenyi mtoe kwa haraka

  • @AssdfAssd-g3y
    @AssdfAssd-g3y 7 часов назад +1

    Mm kutoka kenya leo nimeingia na 🚂 ndugu ndio maana nkachelewa ila nimezuiliwa sana hpo bt si mbya nimefika salama nipeni like moja tu ntafurahi😂😢

  • @Khadija-sn3fp
    @Khadija-sn3fp 9 часов назад +1

    Mchawi mwenye hofu ya mungu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @Tundawikaako
    @Tundawikaako 11 часов назад +2

    Kaka dubu asante kwa kazi
    Ila unachelewa ku2leteya ngoma

  • @FatimaFati-pu4lb
    @FatimaFati-pu4lb 11 часов назад +2

    Wooooh mzingo❤❤❤

  • @NasraFahmy-j9y
    @NasraFahmy-j9y 11 часов назад +2

    Ahhh kadubu nakukubli hun xhoo mbovu ww 🎉🎉🎉🎉 mzenj ap

  • @NaimaRama
    @NaimaRama 6 часов назад +2

    Hii movie nzuri sn jmn jitahidini kutoa kwa wakati bc

  • @salamaslaim6678
    @salamaslaim6678 10 часов назад +3

    Hahaha 🤣🤣🤣 uyu kibonge na ilo gauni jamani

  • @AliMwinyi-w3v
    @AliMwinyi-w3v 7 часов назад +2

    Dubu movies safiri sana naagalia kutoka mombasa kenya

  • @Beb-r9v
    @Beb-r9v 8 часов назад +2

    My dubu❤❤

  • @RahmaMoon-e3h
    @RahmaMoon-e3h 10 часов назад +2

    Nice 👍 job

  • @janetadamcharo1606
    @janetadamcharo1606 10 часов назад +2

    Dubu wangu 😂😂🎉🎉 much love from Kenya

  • @SERAKAHINDI
    @SERAKAHINDI 11 часов назад +2

    Nimewahi leo mungu azidi kuwasimamia kwa kazi zenu❤❤

  • @AbubakharyMiduma-i6e
    @AbubakharyMiduma-i6e 11 часов назад +2

    Kazi nzuri Sana sema unakaa muda mrefu Sana kiongozi

  • @JoselineJuma-r7o
    @JoselineJuma-r7o 10 часов назад +1

    Mwalimu moto hii vita yao si ya kitoto ubaya ubwela😂😂😂

  • @MaryvineBhoke
    @MaryvineBhoke 8 часов назад +1

    Kazi nzuri Natokea Kenya Jamanii 🎉🎉🎉

  • @HilalSalum-tn3zv
    @HilalSalum-tn3zv 10 часов назад +2

    Muwe mnawahisha maana tunaisubilia Kwa hamu filamu hii

  • @EyecandieDr
    @EyecandieDr 9 часов назад +1

    Wakenya tunawapenda zaidi...kazi nzuri kaka ❤❤

  • @UmaziSusanguni
    @UmaziSusanguni 6 часов назад +1

    Nipitieni jamani kutoka Kenya 🇰🇪 ❤

  • @MussaibrahimGhalib-u3s
    @MussaibrahimGhalib-u3s 11 часов назад +2

    Nice

  • @fadhilamauwa7242
    @fadhilamauwa7242 9 часов назад +1

    Dubu alikuwa bado anatoa nyimbo ya dr x😅😅😅

  • @JoaquimCornelio-wp4mh
    @JoaquimCornelio-wp4mh 10 часов назад +2

    Go 5

  • @Johar903
    @Johar903 11 часов назад +2

    ❤❤kweli kabisa unachelewesha mpendwa

  • @MauzoDeus
    @MauzoDeus 8 часов назад +1

    Good nice but mnachelewesha sana

  • @PascalIlunga-zs6xi
    @PascalIlunga-zs6xi 11 часов назад +2

    🙏🙏🙏🙏🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩❤️❤️❤️❤️❤️

  • @ZabroniMahobe-u9w
    @ZabroniMahobe-u9w 11 часов назад +2

    Kaka usiwe unachelewa mimi nakukubar sana

  • @NajmaRajabu-q8e
    @NajmaRajabu-q8e 10 часов назад +1

    Mama misondo muhuni jamani😂😂😂😂😂

  • @DodomaNebrix
    @DodomaNebrix 6 часов назад +1

    ilaDubu kwa utani haujambo😅😅