TUTAOMBA MTUSAMEHE KWA KUCHELEWA NDUGU ZETU ILA KUNA CHANGAMOTO TUNAPITIA ZINAKUWA NJE YA UWEZO WETU ILA HATUPENDI KUCHELEWA MAANA KUWAHI KUPOST NDIO MAFANIKIO TENYEWE. NAAMINI MTATUELEWA NA KUTUVUMILIA NDUGU ZENU TUNAWAPENDA❤🙏
Dubu naona 100k inakaribia saivi 88.6k lkn ingekua huchereweshi kazi basi ingekua una hata 500k subscriber anyway kaz nzuri dubu maana RUclips ni ngumu sana mm nina video zangu siku mbili views 5 we hougopi. Hongera kk you tube yako inamwaka mmoja tu lkn unafanya vizur
Chuchu ngozi 🤣🤣pole san unaitaka yako ww ugopiiii chuchu ngozi nakweli aishi kama huba vile mpka isheeeeeeeee mandoga ana roho mbaya san sura mbaya naroho yake pia mbaya madongaaaaaa
TUTAOMBA MTUSAMEHE KWA KUCHELEWA NDUGU ZETU ILA KUNA CHANGAMOTO TUNAPITIA ZINAKUWA NJE YA UWEZO WETU ILA HATUPENDI KUCHELEWA MAANA KUWAHI KUPOST NDIO MAFANIKIO TENYEWE. NAAMINI MTATUELEWA NA KUTUVUMILIA NDUGU ZENU TUNAWAPENDA❤🙏
Kazi nzuriii kijana tuko Pamoja
@@jamaliaugustino7408🙏
MKITUCHEREWESHEA BASI UTUZIDISHIE TU DADIKA
Saw kazi nzuri broo ❤❤❤❤
Kazi nzuru mkuu♥️❤️
Asalamu walekum bwana yesu asifiwe utakayesoma hii uwe na siku njema 🤲🤝🙏🤲🤝🙏🤲🤝🙏🤲🤝
Kama mnachelewesha hivo basi ongezeni dakika tuzid kuinjoy
❤️
Ukweli kabsaa ongezeni dakika kama mtakua mnachelewa ivi
Safi sana
Kama wamkubali Dubu gonga like 👍apo
Nipewe zangu kutoka kenya jamani ♥️❤️
Biggup San bro ... Japo nimechelew lakin sio mbaya
Wakwanza mm jomooon 😢😢😢😢
Dubu kwa Nini unakawiya kwa kutowa ?
Very good ,😁,we were waiting for this, lakini musikiwe mnachelewesha kutoa episodi nyingine,nawafuatilia kutoka Qatar
😂😂😂leo kapatikana
Wa 58 nimecelewa kidogo tu maana siosana naomba nieleweke🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤
Eti nimenasa naomba nibandue😂😂😂😂
mnachelewesha sana viipnde boresheni
Jaman naomben like japo kuw nimechelew
naikubali sana hii series from MWANZA
❤️
Number 1 nipo apa naomba ata like 10
Good job
Wa kwanza Léo from Congo Kolwezi 🦅 ms'Obama 🇨🇩🇨🇩
Mnachelewa saana.had tunasahau tulipoishia.badilikeni
🎉🎉🎉🎉🎉🎉 iko motoooo
💪💪
Bon travail monsieur Dubu
Waaah nimechelewa 😢
Nimewahi kwa Dubu 😂 Twende kazi 🔥
Aya jamani asalam aleikum ,bwana yesu asifiwe yeyote atakaye soma comment hii awe na jioni njema
Wakwanzab🎉🎉🎉nipe hâta kalike kamoja
Ongezeni dakika tafadhali tuendeleye ku enjoy
From Bujumbura
Kazi nzuri sana Mungu awabariki na awepee upeo zaidi ilimzidi kutoa kazi nzuri zaidi
🙏🙏
Dubu naomba like kutoka kwako nishee kwenye group
❤️
@@OfficialDubu_tz❤
DUBU UNATUKOSEA SANA MASHABIKI ZAKO KWA KUTUCHELEWESHEA
🙏
Nimekuwa wa 2 toka 🇺🇲🇺🇲🇺🇲🇺🇲
Fire 🔥🔥🔥
Battle la Mwl moto na nyani ngwengwe ni 🔥 😂😂
😂😂😂
Mr Dubu mhona wanakuonea hao jamani .
😢
Dubu kwa Nini unakawiya kwa kutowa ?
🙏
Dubu naona 100k inakaribia saivi 88.6k lkn ingekua huchereweshi kazi basi ingekua una hata 500k subscriber anyway kaz nzuri dubu maana RUclips ni ngumu sana mm nina video zangu siku mbili views 5 we hougopi. Hongera kk you tube yako inamwaka mmoja tu lkn unafanya vizur
🙏🤝
Mim leo ndo wakwanza au nchapen LIKE sasa
Kazi nzuri dubu asañt ❤❤❤❤
🙏❤️
Dubu tv mnalala sana jameni❤❤🇰🇪🇰🇪
Nataka nyonyo 😂😂😂😂umetisha san dubu
Basi usichelewee kutoa nyingine
Yani apo bado baka useme 😂😂😂🎉🎉
Nice movie ❤❤❤🎉
Kazi nzur ungez dakik brother
Good job ❤❤
❤
hello dubu🐤🐤🐤🐤
Me naomba subscribe jamani
Nikupe maua yako🎉🎉🎉🎉
Wa kwanza from Zanzibar
Yaani dubu kazi yko uanga c mbaya wajua kuigiza
🙏
Ongezeni dakika tafadhali tuendeleye ku enjoy
From Bujumbura
😂😂Mwalimu moto na nyani ngwengwe ugomvi wao unachekeshaa kwelkwel😂😂
Mwalimu motooooooo
Ubaya ubwela❤🎉
Wa pili naomba like
Jamani nilimmic mandonga 😅
🥰
Mnakawia sana jamani
Ila mnachelewesha
Wakwanza mm hapa
Safi sana
Mshkaji wangu DUBU ❤❤Fanya kwa wiki Uwe unatoa hata mara mbili broooh🙏🏼
Nakubalisana 😂like hapa
Dubu mm ni shabiki yako mkubwa sana napenda sana kazi yako nzri ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
🙏❤️
Sija Chelewa marafiki zangu namim Niko please dakika kidogo san
Ushauli wangu mnachelewesha sana kazi yenu badilishen
kazi mzur sana dubu tz nakukubali sana kazi zako hujawahi kuniangusha.
Kazi nzu
Dubu umeniundia siku😂😂😂😂untaka nini😂😂😂😂
me nikajua tatizo ni edition ila Kaz nzurii sana @nyani ngwengwe
🙏
Wa 5
Nimewai leo mshangazi wa ndege 🔥🔥🔥 hila movie zuri san wallah wap mandoga mtu kazi anajiona mjanja mandoga mtu kazi kitakuramb tu ww muda sio mrefu
Chuchu ngozi 🤣🤣pole san unaitaka yako ww ugopiiii chuchu ngozi nakweli aishi kama huba vile mpka isheeeeeeeee mandoga ana roho mbaya san sura mbaya naroho yake pia mbaya madongaaaaaa
Mnachelewèsha saan humu fanyenyi mtoe kwa haraka
Mm kutoka kenya leo nimeingia na 🚂 ndugu ndio maana nkachelewa ila nimezuiliwa sana hpo bt si mbya nimefika salama nipeni like moja tu ntafurahi😂😢
Mchawi mwenye hofu ya mungu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Kaka dubu asante kwa kazi
Ila unachelewa ku2leteya ngoma
🙏
Wooooh mzingo❤❤❤
Ahhh kadubu nakukubli hun xhoo mbovu ww 🎉🎉🎉🎉 mzenj ap
🙏
Hii movie nzuri sn jmn jitahidini kutoa kwa wakati bc
🙏
Hahaha 🤣🤣🤣 uyu kibonge na ilo gauni jamani
Tena na mkanda 😂😂😂
😂😂😂
Dubu movies safiri sana naagalia kutoka mombasa kenya
🤝🙏
My dubu❤❤
Nice 👍 job
Dubu wangu 😂😂🎉🎉 much love from Kenya
🥰
Nimewahi leo mungu azidi kuwasimamia kwa kazi zenu❤❤
🙏❤️
Kazi nzuri Sana sema unakaa muda mrefu Sana kiongozi
🙏
Mwalimu moto hii vita yao si ya kitoto ubaya ubwela😂😂😂
Kazi nzuri Natokea Kenya Jamanii 🎉🎉🎉
Muwe mnawahisha maana tunaisubilia Kwa hamu filamu hii
Unaweza kutuma hata whatsup
Wakenya tunawapenda zaidi...kazi nzuri kaka ❤❤
Nipitieni jamani kutoka Kenya 🇰🇪 ❤
Nice
Dubu alikuwa bado anatoa nyimbo ya dr x😅😅😅
Go 5
❤❤kweli kabisa unachelewesha mpendwa
🙏❤️
Good nice but mnachelewesha sana
🙏🙏🙏🙏🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩❤️❤️❤️❤️❤️
Kaka usiwe unachelewa mimi nakukubar sana
Mimi nitakupataje kaka ata namba yako tuu
Mama misondo muhuni jamani😂😂😂😂😂
ilaDubu kwa utani haujambo😅😅